hii kwa mtazamo wangu ni maisha ya ushirikina ya kutafuta hadhi maishani mali na ni vibaya sana kujihusisha na maisha hayo mabovu yasiyostahili kuigwa kabisa
Inna lillah wainna illaihi rajiun 😭😭 huu ni msiba..tunamsahau Allah Tabbarak Rahman..alietuumba .. subhana Allah 😭 huu ni msiba kwel..jee hii ni tamaa au vip au kutokuwa na imani sahihi ya Dini...Ewe Mola tuzinduwe kabla ya muati tuoneshe njia ya khaki Yarrab 🤲
umesikini mbaya sana unaweza ukakunyima sauti seheemu yoyote unaweza ukakufanya uwe mateka kwa mtu mungu atunusuru na mitihani ya dunia akuna pesa nzur kama ya halali
Maajabu haya...baraka za Mungu hazina masharti...hiyo fimbo inatisha...rudia Mungu akukomboe uishi maisha ya amani na furaha aliyokusudia uishi duniani....hata marafiki huna
sawa kabisa huyu hali chamtu wabaya binadamu kufuatilia maisha yamtu...Mungu hakupatia mwana damu Jeneza haya yamekuja na Mwanadamu halafu anaanza kushangaa mitjme wote wamwenyezi Mungu Ni yupi aliyezikwa kwa jeneza? Huyu anayetengeneza jeza mbona munaona hiyo ni kazi?... wako watu wanafanya makubwa ....Huyu bwana yuko sawa wewe wacha hofu...je wako wanao lala haswa juu ya kaburi tena wengi,,,sasa na mimi ni talala jokofu ni weke historia
Afu bado kuna vijana wanaotamani kujiunga na jamii hiyo ya siri licha ya watu waliokuwepo freemason kusema hadharani magumu wanayopitia ila bado vijana wanatamani kujiunga tufanyeni kazi vijana wezangu
Sio kila utajiri ni u freemason, ebu wabongo kuweni na akili, mali za kushirikina mbona zipo tangu kitambo uko bongo newala sehemu inaitwa ngende wanatoa huo utajiri wakishirikina
Ninachojiuliza mtangazaji izo flashback zauyo Jamaa zimeshutiwa MDA gani wakati mahojiano niya chapu ase,,,tena flash back zaaina tofauti tofauti,,,,Ufafanuzi kidogo
But this man his few last episodes he had a wife he sacrificed and he confessed to it for money as he said his master requested and he was left with his twins aboy and agirl they were 2yeras old and that was early last year.oooh my he sacrificed them too .what's all this money for if you hv no one to spent with ad family ?truly the devil is aliar
Hii yote tamaa ya pesa na shetani hakupi pesayake bure akukufurishe akutese ndoutaipata iyo mali mwishowasiku huinjoy maishayako naukifa kwa Mungu utakiona kwakumkufuru. Nashetani alimuahidi Mungu atawapotosha wanaadamu naww tayari kashakuweza Allah akuongoe akutoe hukouliko kwarehmazake
Kila mtu anajuwa afanyalo sio tumuhukumu mtu mungu anajuwa Nia yake alivo jiamulia madamu anamuamini mungu nimoja basi sawa namungu atampa mke mjasire ayeshia nayea apate nawatoto Kila lakhire bro
Huyu jamaa angekuwa ana imani ya kikristo Waislamu Wange mbeza sana na kumkashifu yeye dini yake na kutukanwa Wakristo wote, ila kwavile ana imani ya kiislamu Waislamu wamenyamaza kimya kama Vile hawapo ...
usilolijua hatunataka ubole wake kwan wee kwa akili yako unaona nikwel anavyofanya uyo ashutiwe vidio saangap ahojiwe saangap halafu waislam hawatumii jeneza kama hilo rafkiang
Pole kaka mungu akuponye
hii kwa mtazamo wangu ni maisha ya ushirikina ya kutafuta hadhi maishani mali na ni vibaya sana kujihusisha na maisha hayo mabovu yasiyostahili kuigwa kabisa
Inna lillah wainna illaihi rajiun 😭😭 huu ni msiba..tunamsahau Allah Tabbarak Rahman..alietuumba .. subhana Allah 😭 huu ni msiba kwel..jee hii ni tamaa au vip au kutokuwa na imani sahihi ya Dini...Ewe Mola tuzinduwe kabla ya muati tuoneshe njia ya khaki Yarrab 🤲
I thought i have seen it all until i came across this😢😢..maajabu haya..wakenya hope mmeona hii
Dadangu tumeona lkn ,ukistaajabu ya Musa utayaona ya firauni,,tazama fimbo ni😮
Yeah nadhani huyu ako freemason ju amesema anatafuta pesa na kuna wenye wanamcontrol
Wah tunajionea mambo ya ulimwengu
Mwenyez mungu akuongoze katika njia sahihi iliyonyooka amin
duuuh polle
Alhamdulillah🤲 namshkuru ALLAH Kwa anachonipatia
😢😢😢😢😢😢
Alhamdulillah
Asante Yesu kwa kuniokoa
Amen
Kweli kabisa Yesu mzuri
39:51
We fala waamini yesu ingia dini ya kweli uislam ni dini ya kweli inshaAllah m.mungu atakuongoza
Pole sana kaka niheli kumgeukia Mungu alie kuumba ili upate balaka zake
Kwahy humuamin Mungu unaamn Fimbo daaah Mwenyezi Mungu akuongoze njia sahihi
Ana pata pesa wapi kazi anafanya
Achana na ayo maisha unayo yataka kumbuka Kuna mungu 19:44
Wewe dada wa kazi utaishi maisha
Kama yake please take step from that man😊😊😊😊
Masharti lazima muyafate c munapenda bure nyny na huto dada wa kazi muacheni afanye kazi akiondoka tu ndio mwisho wa maisha yake😢
umesikini mbaya sana unaweza ukakunyima sauti seheemu yoyote unaweza ukakufanya uwe mateka kwa mtu mungu atunusuru na mitihani ya dunia akuna pesa nzur kama ya halali
Umepotea saanaa kka yate tunakuombea kwa mungu akuokowe
Si umuowe dada wa kazi ashakua jasiri na anajua yako mengi
Kabisa 😂
Na hilo' jeneza, Lina, AC"?
Huyu atapeana dada kwa hao mababu
Maajabu haya...baraka za Mungu hazina masharti...hiyo fimbo inatisha...rudia Mungu akukomboe uishi maisha ya amani na furaha aliyokusudia uishi duniani....hata marafiki huna
😂😂😂
Babuu,,labangamoyo,,,kazi iendeleee
Holy Ghost Fireeeeeee.
Astaghfirullahil Adhweem...protect n Guide us Yaa Allah yaa Rabby
😂
Hayo sio maisha kaka yang mung anatosha uctegemee fimbo
Poleni sana mungu akukumbuke utoke mwaiyo ari
Tumrudie mungu jameni,SI rahisi, street chafu, shetani ashindwe..eeeeish bro,
Mali ya setani nenda kufa Mungu is there
Waaaaaa jamani pesa zatoka mbali pole sana my dear, utajiri huo kwioo😊
Huyo dada wa kazi nae shida na hawezi kuwa n mke kwa mambo hyo rabda huyo dada anamtimizia
Hiyo sio kazi Bora ufe masikini
Kwa kweli
Dada wa kazi namshauri awe anaangalia arise and shine anaongeza na sauti ya mwamposa
Hahahaaa atapigwaaa
I'm speechless 😲 but ningependa huyu kaka Aishi maisha yakila binadamu
Yesu anasema njoo kwangu nyote msumbukao n'a kuelemewa n'a mizigo yéyé atawapumzisha# karibu kwa Yesu sa Nazareth akuponye
Subhana Allah 😭😭...unaingia ktk jeneza mwenyewe kabla ya kifo chako subhana Allah 😭...ukistaajab ya mussa utayaona ya firaun.... mmmh mtihan kwel
Lakini yana mwisho,mwenyezi mungu akurehemu
Kwa Yesu kuna raha
Ongera Sana kwa kuchagua maisha yako ambayo umeyapenda❤❤❤ lovely
😂😂😂😂😂
Huwez kunambia eti kulala kweny jeneza ni raha bali hayo ni masharti ya kumiliki pesa vijana tufanye kazi tukumbuke maisha ya duniani ni mafupi sana
na huyo dada wa kazi hiyo sio kazi ya kufanya toka hapo katafute kazi mahali pengine Mungu atakufungulia njia
Sio kazi kwa kweli
Mshahara ni million Moja na nusu lakini hahahaha
Mpe ww kazi
0:20
Mimi nafanya vizur haya mabalaa yake atajua mwenyewe kila mtu ataenda kulizwa mwenyewe muhimu tunaheshimia na kupewa pesa
Allah akbar Allah akuongoze katika njian sahihi
Uyo Dada wakaz nae anamoyo kwa kweli kuishi hapo au na yeye anatamaa
Pole sana dada toka hapo hiyo siyo kazi
Ak wew ni shaitan ak ongea ukweli
Ata mimi kataka ii Maisha ak
Mandazi sana huyu,eti ukilala kwenye jeneza una enjoy "unaenjoy ya nyoko
😂😂😂
Khahahahahahaha
😁
Hhhhhhhhhh
Babu la bagamoyo
Vp mwangu naomba namba Yako inapatikanaje Ili tuongee vizur
sawa kabisa huyu hali chamtu wabaya binadamu kufuatilia maisha yamtu...Mungu hakupatia mwana damu Jeneza haya yamekuja na Mwanadamu halafu anaanza kushangaa mitjme wote wamwenyezi Mungu Ni yupi aliyezikwa kwa jeneza? Huyu anayetengeneza jeza mbona munaona hiyo ni kazi?... wako watu wanafanya makubwa ....Huyu bwana yuko sawa wewe wacha hofu...je wako wanao lala haswa juu ya kaburi tena wengi,,,sasa na mimi ni talala jokofu ni weke historia
To murch kwl c tuliompokea yesu tuna Raha hatuna masharit yoyote
Mungu akusaidie kwa kweli
Afu bado kuna vijana wanaotamani kujiunga na jamii hiyo ya siri licha ya watu waliokuwepo freemason kusema hadharani magumu wanayopitia ila bado vijana wanatamani kujiunga tufanyeni kazi vijana wezangu
Sio kila utajiri ni u freemason, ebu wabongo kuweni na akili, mali za kushirikina mbona zipo tangu kitambo uko bongo newala sehemu inaitwa ngende wanatoa huo utajiri wakishirikina
@@MpakausemeSafi Kk Ngende Ndio Kiboko Ya Wachawi
Ngende Amna kitu sasaiv
Hakika,tufanyen kazi
hata ningekua mim we😢 hapan kwa kweli
Huyo binti wa kazi nae anaroho ngumu
Ninachojiuliza mtangazaji izo flashback zauyo Jamaa zimeshutiwa MDA gani wakati mahojiano niya chapu ase,,,tena flash back zaaina tofauti tofauti,,,,Ufafanuzi kidogo
niaongo hawa
Wanatafuta wakuwapiga ni wazee wa vipindi hawa
Unatangaza biashara. Hatuji sasa
Pole sana njia uliyo chagua ni jehanam .Yesu ndiye njia kweli na uzima.
Umo kwenye Geneza anapumuaje sasaaa dah maisha mengine ni matesoo tuu bhan hakun jpy
😂😂😂
Atakuwa namanayakew au anaþkiwa kuchungunzwa
Ongera sana my dear ♥️♥️♥️
Wakupewa maisha ni Bwana Yesu kristo alie Maliza yote msalabani kwa kuangikwa msalabani.
Amen 🙏🙏🙏🙏
Haya ndio maisha jaman mmmh!kaka na mm nahitsji hiyo kitu ❤
Unakaa wapi ndungu ❤❤
Mungu akusaidie
Za mungu ni za bure na hazina mashariti ndugu yangu
Wambie waskie
Hakika Na ni baba mwema
Kaka hiyo ni tamaa mbaya kwani ulikata tamaa mapema sanaa
Aina mpya ya sanaa. Usishangae soon kuona wakazuka wengine watakaoingiza hii kitu ili nao wawe na mahekalu
God have mercy
Pole sana kaka
Waaa MUNGU ni mmoja tuu
Wacha mungu aitwe mungu.mtukuze mungu kwa kidogo ulicho nacho
Next time mpini location mkuu 😋 namtaka jaman nipo single
Mimi Nomber Yake ninayo Nikupe
Nitumie namba zako nitakucheki ili nikupeleke mjengoni kwangu
Vijana wakigogo bhana 😂😂😂 namjua vizur huyu jamaa sema okay acha wakuamini😂😂🙌
This man is crazy 🤪 😜
Mungu ni mwema nakupenda mungu wangu
PLEASE PART 2
Mashaallah mashaallah
Bora nife masikini kuliko ayo maisha. Dah hatari hii jamani
Mwenye mungu aninusulu jaman Dunia ipo ukingoni tulud kwa allha
Ushindwe kwa jina la yesu na majeneza yako
Amen ashindwe
😅😅😅😅
Safi sana ndugu maisha yako yanaenda
Bora umasikini wangu nalala kitandani kuliko utajili wa majin
Ha😂😂😂
Jamani tusamehe hee mwenyenz mungu tuko chin ya miguu yako
But this man his few last episodes he had a wife he sacrificed and he confessed to it for money as he said his master requested and he was left with his twins aboy and agirl they were 2yeras old and that was early last year.oooh my he sacrificed them too .what's all this money for if you hv no one to spent with ad family ?truly the devil is aliar
Exactly 💯
Those baby twin also dead?? Ohh can't belive
As u explained means u know him...u decided to likk all family becoz of money 😢😢
Huyu alitoa bibi na watoto mapacha mlishamhoji bibi alipokufa ni pepo chafu mrudiye yesu umefikakupaya
@@PetronilaWekesa na mbona wengine wasema niurongo..?
❤😂🎉jeneza ninzuli kabis ime ememwerewa san lil aje apende jeneza
Yesu anatosha
Daaha acha nife umasikini aisee lkn sio kwa utumwa huo
Anatumika vo maskini hanaraha tena yamaisha apoalipo anajiongelesha tu ila hanaamani unafkiria shetani mwenzio? Shetani niadui mkubwa
🔔
Hii yote tamaa ya pesa na shetani hakupi pesayake bure akukufurishe akutese ndoutaipata iyo mali mwishowasiku huinjoy maishayako naukifa kwa Mungu utakiona kwakumkufuru. Nashetani alimuahidi Mungu atawapotosha wanaadamu naww tayari kashakuweza Allah akuongoe akutoe hukouliko kwarehmazake
Upo,,saiii kamada,,so nimekwelewa,,,kwani,,serekali yako ni wew mwenyewe,,,,nivizuri sana ulivyo fanya so ni changuo la moyo wako
Ushwetwaniiiii! Okoka Yesu akuweke huru! Uko utumwani!
Bola ufe umaskini. Life Gani see. Amani ninzuli
Yupo wapi mm nipo tiari kuishi na yeye hatakama ni kwajeneza bora yeye tu mm nampenda naomba nambaake jamani❤❤❤❤
Mungu akusamehe
Dada wa kazi ndo anaweza kua mke make anaujasili Sana kwa mwingne hawez
Hii Dunia si ni ngumu jamani 😂
Waislam ni washirikina dini ya kweli ni ile inayo mwamini YES U kristo
Atakama ninashida. Kwenda siwez lkn kulala kwenye jeneza sisubutu
😂😂
😂😂😂
😂😂😂😂
Waaa?
Frimanson shikamoo
Kila mtu anajuwa afanyalo sio tumuhukumu mtu mungu anajuwa Nia yake alivo jiamulia madamu anamuamini mungu nimoja basi sawa namungu atampa mke mjasire ayeshia nayea apate nawatoto Kila lakhire bro
Huyu jamaa angekuwa ana imani ya kikristo Waislamu Wange mbeza sana na kumkashifu yeye dini yake na kutukanwa Wakristo wote, ila kwavile ana imani ya kiislamu Waislamu wamenyamaza kimya kama Vile hawapo ...
Umeongea point kabisa hawa jamaa hua wanachukulia wakristo sijui vipi
usilolijua hatunataka ubole wake kwan wee kwa akili yako unaona nikwel anavyofanya uyo ashutiwe vidio saangap ahojiwe saangap halafu waislam hawatumii jeneza kama hilo rafkiang
Mwambie ajue💪
Waaislam hatutumii sanduku la kuzikia hilo, tunatumia janeza la kubebea maiti tu na sio muundo huo na tunazikwa bila ya sanduku.
Story nzuri pia inafundisha mambo haya yapo
Angalia macho zake
Yana nini?😅😅
@@mercymurithii8046 inaka tuu ashakufa tayari
Good your able
Karibu kwa yesu akuweke huru
Ilaa inaogopesha sana hata kam nd one million hapan jumba kubwa na hatok nje hiyo hatar
Majini ya Urabuni haya.. Ndio maana unapitaja Jina la Yesu hawapendi kabisaaaa
Umeonaeeee
😂😂😂😂😂😂
Usikose adabu ukanasibisha majini na warabu
Kwali too mimi nakutafa
Astaghafirullah hayo sio maisha kaka Angu muombe Allah akuweke kwenye njian ya kheri za Shari akuepushie amen🤲
Hizo comedy zenu mnaharibu hii chanel
Wewe comed huzijui kwani hiyo so komed ni live
umeona kaka?halafu wabongo wengi akili zero wanaamini wanacoment ujinga ujinga ,IQ za wabongo zimejaa uoga wa kuamini ushirikina ,
Mungu atasimamixha haki kahid kiama hakitokuja bla ya kuwa macho kiama tunatmbea nacho dalili za mwisho hizi tuombeni mwisho mwema tusemeni amen
Innalilahi wainnaillah Rajiuun
Watu wamepagawa n maisha.
Subhanallah
Ni ushirikina huo
Hongera natafuta jamaa jasiri kama wewe❤
Njoo kwangu mimi ni kijana jasiri
Nitumie namba zako ili nikucheki
Unamtaka ?
Chenzi wewe unafaa kwenda uombewe na pst Ezekiel 🤔🤔
Atar xana munguu alixema mtakulaa kwa jasho xaxa xjajuaa ilo n jasho ah mashart achaa ujingaa mludiee mungu
Allah amuogoze aki anayofanya kama n kweli hafanyi haki
Huyo haki anaijua kuliko wewe, ila ndio maisha yake
😭😭😭😭 pole kaka😭😭😭😭