MAMA DANGOTE AMVAA SHILOLE/DIAMOND HAKUPENDA AMEMKOSEA/YULE DADA TUNAMJUA ALITAKA KUTOA MILIONI 20
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- 𝕎𝔸𝕋ℂℍ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝕋𝕍 📺
𝗔𝗭𝗔𝗠-𝟰𝟭𝟭 | 𝗗𝗦𝗧𝗩 𝟮𝟵𝟲 | 𝗭𝗨𝗞𝗨-𝟬𝟮𝟴
𝗦𝗧𝗔𝗥𝗧𝗜𝗠𝗘𝗦-𝟰𝟰𝟰 & 𝟯𝟯𝟯 | 𝗖𝗢𝗖𝗢𝗡𝗨𝗧 𝗧𝗩-𝟮𝟬 |𝗗𝗼𝗱𝗼𝗺𝗮𝗖𝗮𝗯𝗹𝗲-𝟭𝟭𝟯
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝘁𝘃/
𝕃𝕀𝕊𝕋𝔼ℕ 𝕎𝔸𝕊𝔸𝔽𝕀 𝔽𝕄 📻
𝟴𝟴.𝟵 𝗗𝗔𝗥 𝗘𝗦 𝗦𝗔𝗟𝗔𝗔𝗠 📻 | 𝟭𝟬𝟰.𝟭 𝗗𝗢𝗗𝗢𝗠𝗔 📻 | 𝟵𝟰.𝟱 𝗔𝗥𝗨𝗦𝗛𝗔 📻
𝔽𝕆𝕃𝕃𝕆𝕎 𝕌𝕊 𝕆ℕ:
𝑰𝑵𝑺𝑻𝑨𝑮𝑹𝑨𝑴: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗶𝗻𝘀𝘁𝗮𝗴𝗿𝗮𝗺.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑻𝑾𝑰𝑻𝑻𝑬𝑹: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘁𝘄𝗶𝘁𝘁𝗲𝗿.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺/
𝑭𝑨𝑪𝑬𝑩𝑶𝑶𝑲: 𝗵𝘁𝘁𝗽𝘀://𝘄𝘄𝘄.𝗳𝗮𝗰𝗲𝗯𝗼𝗼𝗸.𝗰𝗼𝗺/𝘄𝗮𝘀𝗮𝗳𝗶𝗳𝗺
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2020 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm
Kakurupuka shishi Kwa Sisi Wazanzibar shabiki zake dai tunasema sio heshma. ,, Alafu dunia imechenji anco kaongea point na sio kila shabiki mkamuona ndie kwapengine wengine wanatumwa Kwa namna moja au nyengine . Mungu amlinde Mondi pamoja na familia yake 😘😘😘
Mmh
Kweli kabisa ulichoongea hata huyo dai mwenyewe hakufurahikia anaonesha wazi maskin
Yani mama uyu mm nampendagasana ju anajielewa Sana l loveyou mamadangote 😘😘😘😘😘
Maman Mond asanti sana kuwa hangi na mutoto wako sana.mimi niko maman.mashabiki ya hivi inaogopesha.asante sana Oncle chamute
Huyo mm unae mshabikia anakata kiuno jukwaani na amemkna mme wake daaaah hii ni hatariii 😓😓😓
Mrs Shamte mko vizuri kwa biashara ❤️♥️♥️
Kwakweli nimependa Mama kama Mama amefanya anatakiwa awe makini kwa mtoto wake hongera mzazi mwenzangu
Sana maana wanawake wengine si wazuri hasa huyu wa kusukumiwa bila tarifa
I like the creativity in Refresh now
Kazid sana yy na baba level hawana mipaka
Nikweli kakoseya sana shishi
Ni kweli kabisa kitu kibaya alicho fanya shilole usirudie dada fikiria kwanza kabla hujafanya au uliza ushauri kwa familia maana unaijuwa vizuri unaongea nao
Huyomm mbona anasauti nzuri utafikili dume jike utashangaa kupiga picha hushangai weye kumtambulisha bb mwengine au nitabia alizozoe zakinafiki
Alikurupuka sana
Kweli hata ukitazama macho ya babu tale na nasib wametazamana macho kuwa hawakufurahiya
Apo umezungumza ukwel big
Umeonaaa eeeh🙏🙏
Alikuwa amtaarifu mapema na sio kumshtukiza mana amewasimamisha khafla
Tale mnafkimimi ningekua shsh ningestuka
Wahandishi wa wasafi media ni wambea sana kuliko kazi zenu
Kwahiyo uncle shamte ameongea kama Mzee Nyange... Hajapenda.. 😂😂
Skuiz ma baba wakambo wakali wanachunga watoto ili wapendwe
🤣🤣🤣🤣Msi nichekeshe
@@kalelekalele6444 tuta banana humu humu
@@mahamedabdi1881 umeona
Una nn lakin 😂😂😂😂😂
Mama dangote leoo umenifuraisha sana waooo
Mama anamajibu huyu 😝😝staring 🔥🔥
Nakupenda sana mama Dangote, SHILOLE Umezidi Shobo Kiukweli Kha!🙌🙌🙌
Ila mama leo nimekuelewa kumbe mtaratibu ivo na unavoonesha huna tabu nimekupenda bure
Sana ♥️♥️
Mm hunipendi?
Umeonaeee
Mama dangote kumbe mremboo
@@lucyhussein7126 sana
Mama yuko sahihi 100%, Shilole hajui protocol
Diamond you need to get away from these so called females bringing you down or to Allah forbidden a killer to you please we value you too much my son these women are disperate IN SHAA ALLAH KHER
@@aishaomar1845, he must be very careful or else women will bring him down like the biblical Samson
@@nahyialetomia9284 l know just coz he is nice but now he is bigger and bigger he has to we don't want him to end up like MJ 🤣😅🤣🤣😅
Huyu mama nasibu mjinga Sana Wala hafkirii kwnza adabu yenyewe Hana uzee uwo bado kutembea na watoto mambo mengne yakupite kizee wewe utafute msala uswali waachie watoto mambo yao shilole kweli anakosea lakin na wewe mama ni mtu mzm uwache uhayawni na uzeek vbay
Huyu mtangazaji anaakili sana ya kuhoji yaan mama dangote kiulaini 😅
Hahaha akumuungisha biashara
Zawandi kwa wasafi 🔥🔥🔥🔥
Shilole alikosea Sana hakuonyesha heshima kwa diamond platnamz
Kweli alikosea sas mbele za watu ivyo mbon asipige simu
Ni kweli shilole alivyofanya sio vizuri
Good job 👍👌👍 mammy Dangote
Shishi nakpenda sana lkn umekosea d mwenyewe hakupenda iyo kitu mama yuko sahihi bhana wengne wanatumwa dunia ya sasa imebadilika wanadamu wanaroho chafu roho za kikatili ucludie tena muombe msamaha mama.
Shilole amekosea kwa kwel haikuwa sehem sahih ya kumpeleka uyo shabik pale..
Kabisa kaharibu biashara Sasa mboso baada atrend anatrend diamond
Shishi umekosea sana kwa kweli Sasa weye njo unamletea wanawake ama
Shilole ttz shobo nyingi
Eti shilole kashakula dola zakeeee....dola hizo xitakutokea puani 🤣🤣🤣🤣🤣
Mama dangote rudi kwa mungu wko utubu sai umekuwa Mtu mzima
Asante uncle umeeleweka
Mama upo sawaa na unafanya kile mama ambacho anatakiwa kufanya kwa mwanae
Dah sema me nakupenda bi sandra
🤣 Huyu jamaa napendaga anavyohoji, kama vile hayuko serious lakn kumbe yuko serious
Eti shilole anapenda rangi gani 🤣🤣🤣🤣
Kasomea hii kaz😂😂👊
@@safiaimran7339 😂😂😂😂
Jamaa akili nyingi kam mimi
Wakwanza mnipe likes zangu
Ilo nalo neno
acha ushoga
Wa tanzania mnapenda umbea khaa 1k in 58 minutes 🤣😂😂🤣🤣😂😂mmenishinda tabiya
😂😂😂😂 yaan
Kweli 🤣🤣🤣
ni tabia siyo tabiya😂
Shilole anajitoa fahamu sana
Sanaaaaaa
nimepongeza mama umejua kutunyoshea mtu😀😀
Mama D ako sawa kumwangalia mwanae,coz vijana sometime wakipakuliwa hao hula tu bila kujali then at the end of it duh...... 🇰🇪
Ooooookkkkkkkk apoo nimeelewa yani roho inawauma shishi atakuwa ame kula elaaaa
wewe huelewi na hutaelewa
@@mathewdyzymaleyafrica9128 ukielewa ww inatoshs maana aituusu nahuyo nimama shishi nimwanae alishindwa kumpigia sm adi aje kwenye mitandao
We aliyah ume kaaje
Unajua mie pia nimetaka kuuliza mkao gani huo huomkao ni wakimalaya malaya yoyote mtazame ukaaji atakuna nywele atatafuna kucha hizo nidalili mbovu
@@salmadhiab2693 🤣🤣🤣
@@salmadhiab2693 😂😂😂
Malaya huwo
@@salmadhiab2693 malaya
Love you mama Dangote uko sawa
Mama ka mama yuko 👌sahihi.shishi nampenda lkn nae kazidi kujichetua khaa.uko really sawa lkn kuwa mtulivu.unapayuka sana.unajishushia hadh yko.uswahil umekuzid.punguza
Apo nimeelewa mama dangote anamlinda mwanae diamond Mana diamond anamaadui wengi huwez kumuamin mtu kirahisi hujui anania gani kwer wapo makin na wanajitambua saana hii familia sio yamchezomchezo ndomana Babu tale alimshusha na kumpandisha huyu dada,,inaonekana hata chakula mond hali ovyoovyo Safi hakurupuki
Kabisa
Shilole muongo mno🤣🤣
Hatari Sana jamani
Shilole n shidaaa
Mtangazaji mbeya😀😀😀
Umeona ehh adi bi.mkubwa anacheka kaingia milango sio
I'm NOT a big fan of Harmonize but he's humble he showed to the Congolese boy who came to visit him. Problem here this family they think Diamond is tiny brand. He's HUUUUGE and he has fansbase all over the world. What this family showed here to the girl, scares me. If she came from France, UK, US or Tandale, treat them with respect. I believe cos she's a girl. If he could be a boy, all this shit wouldn't happened. Poor girl but very poor family with lots of disrespectful parents
hili mama dangote roho mby mno
Good
Kwahiyo Shishi amepewa dolla😂😂😂
Shilole amekosea. Kakurupuka. Mungu mlinde Daimond Plantum 🙏
Mimi mwenyewe sijapenda shilole ameudhi Sana mjinga Sana
Uyo mtangazaji wa kike ndio roho kwatuuuuuu maana kaona angeibiwa bwana 😂
Tabia mbaya 😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🏃♀️🏃♀️🙆♂️
🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂
I believe she's milking Mr behind the scene. She looks happier and angry
BABA WAKAMBO NAE MKALI ULIKO BABA MZAZI
So ame coseya plz for give her
Kama walimjua wangegoma kusimama hii familia niyakinafk nakupenda kuongelea vitu vyakipuuz
Uyo mdada nimuongo eti hajui Kiswahili alafu amejibi nini apo eti no kiswahili nikusema ameskia yenye Babu tale ameuliza
Uyo mama dangot nayeye nishida jekweri nanywere zake
Watangazaji wa Tanzania bure kbs
Mtangazaji unajua sanaa
Uncle kaa mbali na mambo haya
mwache time yake yaja tena atatamani hangeingia kwa hii Familia..
Shilole tatizo anaongea sana.labda hata hakuna nia mbaya na hakujua kama walishaenda dukan.sasa the way alivoenda.mazingira sio sahihi..lakin mama nae angempigia sim...wasameheane tu.
Due itakuwa unajuana sana na mama dangote... 😁😁
Jaman uyu kaka anaehoji mbona kama kimbembe wa kwenye saloon ya mama kimbo
Baby tale's facial expression tells it's all.they were abit embarrassed..
Exactly
Shilole ngwaaaaa
Sema huyu jamaa anajua sana kuhoji daaaaah
Shabiki popote as long hajafanya fujo na pia ni jambo zuri tu kwan diamond ni mungu ,mnyamaze mda mwingine
Dada wa watu hata kumsogelea haja msogelea.
Shilole ni mshamba tu...hana jipya...
Namu mpenda maman diamond
Kweli kabisa unamuwinda kama ndege
🔥🔥🔥🔥
Shilole mshamba tuu
I'm supporting mama i can read the girl is bad you can tell mtizame alivyoshutuka at one point when she was getting her phone ready
Uncle ety press ya usingle😅😅😅
One day is one day, we understand shilole what she done,but where is Kanumba today!!!!!
Kwa Mara ya kwanza nimekuelewa mama kumbe mtaratibu jamaniii
Walinzi eslijisahau,
ila shishi ni mjuwaji sana ana penda sifa
Dah...nimecheka...sn
Nimechekaa Sana macho kuvimba wana furahisha snaaa..hawaa udaku
Kwani hakua na number ya shishi
Kwan shishi hakuwa na namba ya mondi kabla ya kwenda mpk kweny press ili ajue kama Nassibu yuko tayari au laa!
#Shilole kawa chawa sema ndo mambo ya kuzoeana zoean wkt mwngne MTU anawez kukuletea watu ambao ww hauna mahusiano nao vzr
Huyu mama kweli mjinga wa miaka na karne sasa mbona huyo diamond anatafuta ukubwa wa kazi gani
Urafiki wake na Diamond anautumia vibaya achunge mdomo wake Diamond msanii mkubwa
Hello
Uncle Ana busara sn
Shishi anatabia chafu na zimalaya ukiwa na adabu uwezi fanya hivyo kabisa kama mzazi sikupenda kabisa tena livyokuwa na adabu mbele za watu, shishi anawaficha watoto wake ndani ila yeye anampelekea diamond malaya umekosea sana weka heshima ujinga wako fanya kwa wanao umekosea sana sana mama dongete upo sahihi kama mzazi uliongea sawa
Shilole amekosea Sana kweli hatakama si umaarufu wa mtu but heshimu privacy ya mtu alafu live vile alafu kuwa na mazoea na mtu yasivuke mpaka
Huyu mama hovyoo tuh
Izo sikafu mama hata kukunja vizuri daaaa
Huyu mama jamani mbona afiniki kichwa kama sie muislamu vile
Kwakwel
Watu waajabu sana yani Monday naumalaya wake wote huo wakulala na wanawake tofaut tofaut mpaka kuzaa nao lakini mama yake anatoa meno 2 ila kwenye inshu hiyo ya shingle anajifanya kunyoosha demo kama hutaki mambo ya kipuuzi kwa mwanao siumsimamie ili are uliko kujiongezea mizambi kila kukisha, wote nyie ni wapuuzi wewe na huyo mwanao ni wapumbavu maa gani anaeshadadia mwaae kuzini zini tuu na kuzaa ovyo kama mbuzi, hebu kua na akili wewe mama usiejielewa achana na huo upumbavu iga Mifano ya wamama wa mastaa wenzio wasioshboka mitandaoni kwa mambo ya kipumbavu uliyonayo wewe usiejitambua kila kukicha mitandaoni kugombana na watt wadogo😏kasujudu huko utubu kufa kwaja😏😏😏
Nan kaona jicho la babu tale
That was so primitive, i didnt like it either. Thats bad manners. Shilole hapo alikosa adabu. Watching from Texas.
Nimecheka leo 🤣🤣🤣🤣🤣
Shishi nae alipuyanga
Yaaan huyu mm simuelw kummak zakeee ....Laana tuuu hawaaaa
Msitete bimkubwa anafel mashabik wangap wanakumbatia kama wangekuwa wanamzuru wange mzr mama analala na mtoto wake wivu tu
Ni kweli kabisa kakosea Shilole
Na huyo uncle shamte hapo ndo anauza vitambaa vya esma mke wa msizwa😅😅😅😅🏋️🏋️🤐
Vimeumana 😂😂😂😂😂