KIKWETE Asimulia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 4 ต.ค. 2024
- KIKWETE azungumzia WALIVYOGOMEA IKULU kuhamishiwa DODOMA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo anaweka jiwe la msingi la ujenzi wa ikulu mpya ya Chamwino jijini Dodoma, zoezi lililohudhuriwa na marais wastaafu, Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete sambamba na viongozi wengine wa sasa na wastaafu.
Pia Rais Magufuli amekabidhi ndege aina ya tausi kwa Mama Maria Nyerere, mke wa baba wa taifa, marais wastaafu Ali Hassan Mwinyi, Benjamin William Mkapa na Jakaya Mrisho Kikwete. Wastaafu wote wamezungumza kwenye hafla hiyo, huku mama Maria akiwakilishwa na mwanaye Makongoro Nyerere na kwa pamoja wamemshukuru mheshimiwa rais.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Nyerere tutakukumbuka daima. Na yule aliyetimiza ndoto ya kuhamia Dodoma, jpm, wengine walizidisha maneno kuliko vitendo.
Safii saana international mediator, diplomatic man and international conflict solver bravo kikwete
Umeongea vzr sana ndg Kikwete
Yap
Ulituchelewesha sana Wewe mwanadamu
Maneno tu na kuchekacheka kama fara, wewe ulikuwa mtalii hakuna la maana umefanya licha ya kukuza ufisadi. Mnafiki mkubwa.
My Country Tanzania My Mother Tanzania Thank you.
Nchi nyingine Maraisi wa Tz hao,kwingine hakuna. Nchi yangu naipenda. Hakuna kama Tanzania
Umetuchelewesha sana we jamaa
Amekuchelewesha mwl.nyerere mwinyi na mkapa sio jk acha dhuruma
Ndo maana kunawakati nawaambia bila udketa mambo mengine hayawezekani.Hata maandiko matakatifu yansema mambo mengine hayawezekani ila kwa kufunga na kusali.JPM ameweza kwakuamua bila kushirikisha watu wenye ubinafsi.Unafikiri jambo hili lingepelekwa bungeni,namengine kama ununuzi wa ndege ujenzi wa meri na Reli bwawa la umeme nk vingefanikiwa???Nawaambieni nilazima uwe na msuri wa maamuzi magumu kama Rais JPM ndo unaweza fikia malengo.Nakilichotuchelewesha kuwa na maisha bora kwa wote watanzania ni kila jambo tushirikishane nawanaoshirikishwa niwale wapigaji wenye kugikiria matumbo yao.Ndo maana kwa mambo anayoyafanya JPM kwa wanasiasa anaonekana ni dikteta kwasababu anaamua bila kusubiri maviakao amabayo miaka yote yamefanyika bila kuleta tija.Watanzania wenzangu Tumuunge mkono Raisi wetu JPM.tumpende tumuombee atatufikisha ng'ambo ya mafanikio tutashangilia kama wana wa Israeli walivyoshangilia walipovuka bahari ya shamu.
Uligomea kuhamia dodoma kwa sababu hukuwa na uwezo huo mwanaumea aliweza licha ya miradi mingi kuwepo
Naipenda Tanzania naipenda nchi yangu na nawapenda sana marais wangu
Hongera inchi yangu, hongera raisi wangu John Magufuli
Jamani. Mpeni mama janeth mjane wa rais wetu hayati JPM tausi pia. Furaha na faraja kwa mema ya JPM kwa Tz. Mungu tubariki watoto wa Tz
Atapewa tu ngoja "40" imalizike😊
Hekima,Umoja na Amani..Mungu ibariki Tanzania na watu wake
...
Hongera JPM kwa kutimiza ndoto za mwalimu Nyerere.
Kikwete umeongea poa sana Rais wetu
hongera sana viongozi wa Tanzania
Im proud tanzanian proud to be dodoma tribe
Mie binafsi nafurahia Historia inavyonijia vizuri. Mwaka 1973 Mwalimu Nyerere alipotangaza Makao Makuu ya Nchi kuhamia Dodoma nilikuwa nasoma Shule ya Msingi Ibihwa Dodoma darasa la tatu. Leo nashukudia utekelezaji kamili na ujenzi wa Makao Makuu Kama alivyotangaza Mwalimu Nyerere. Mungu anipe nini Mie maana nimeyashuhudia yote na sio kwa kusimuliwa. Ni kama Nicodemu alivyoshuhudia uwepo wa Kristo. JPM hoyee kwa utekelezaji. Muwaha John Malecela na wewe ulijitahidi chini ya Mzee Mwinyi kuihamisha Ofisi ya Waziri Mkuu kwenda Dodoma, ingawaje baadae wajanja wakairejesha Dar es Salaam. Mungu ibarika Africa Mungu ibariki Tanzania.
Ayubu 45:2 nilikuwa nikikusikia kwa masikio Leo hii nakuona kwa macho
Naisikia lafudhi ya Ridhiwani toka kwa Sauti ya Mzee JK, hongera sana Mzee wetu Mungu azidi kukupa afya pamoja na watangulizi wako, nyie ni majemedari wetu endeleeni kumsaidia Mheshimiwa Rais JPM kwa ushauri ili tusonge mbele kimaendeleo kuelekea Uchumi wa Kati.
Wala,!!!!! Wackubezu mzee wangu Raisi msitaafu MRISHO JAKAYA KIKWETE, Ulifanyanya mambo makubwa sana kwa walio wapofu ndo muda wao wa kuona.
Kwa speech huwa nakuelewa sn kweli ni sauti ya mstaafu
duuu chuma
nakupenda nchi yangu Tanzania
nawapenda marais wote, upendo wenu unamaana kubwa kwetu
Rip president John pombe magufuli, hakuna mtu hapa alijua uko karibu kufaa😢
Wale ambao wanajisahaulisha kazi zilizofanywa na Kikwete..."Chuo Kikuu Cha Dodoma" moja ya Kazi zake..kaunganisha mikoa yote kwa barabara za kudumu
N wapi utaona wastafu Marais na Rais wa awam ya tano JPM wakiwa wamekaa pamoja ni Tanzania utayaona haya idumu Aman tz na Mungu awe Mungu juu ya nch Tz
Good
Allah bless you mzee jakaya
Mungu awabariki Wastaafu wote kwa mliyoyatendea nchi hii. Mungu awajalie afya njema na muendelee kushirikiana na watakaotawala mkiwa hai.
Hivi nyie mlikuwa mnashindwaje? Mambo mengi Jpm anayafanya sielewi yalikuwa yanakwama vipi? Thank you God for Jpm he is a Leader
Sidhani kama kuna tofauti yoyote kati ya marais waliopita na wa sasa. Kila mtu alifanya kwa nafasi yake. Mengi anayofanya raisi wa sasa yalianza toka vipindi vilivyo tangulia.
Pumzika
Edwin Paul acha pumba
Kikwete mwenyewe leo kaongea jinsi mabadiliko makubwa aliyoyaona wakati anapita eneo la Ikulu mpya.. Ama kweli watu wana macho ..lakini ni macho bandia tu..
Hivi kweli jamani .Rais anayejenga reli ya kisasa na bwawa la umeme... Utamfananisha na watangulizi wake kweli ?
Aaaa.. Nashukuru bwana.. Macho yangu yanaona. Sijawa kipofu mie
@@edwinpaul9930 ni kweli kabisa.
Mbiiyuuu;:mbiiyuu yamugambo ikilia ina jambo.Kweli Jpm your laegersy are the dreams of the founder JULIUS MWALIMU KABARAGE NYERERE.weldone.Ukisema tuende wote nituende hakuna kubaki nyuma chapa kazi.
True
Well done
Watoto wa mama tanzania.marais wangu
Asante kwa chuo baba
Nikweli unacho sema mweshimiwa kikwete
Mzee Kikwete safi sana.
do we have double white house now coz naona kama Dar bado inatumika
i love it
MUNGU akulinde na HUSUDA jakaya napenda speech zako
Best naso wanawake wabay
Nice baba
Upendo ndo utamaduni wetu
Kweli ubinasu ndo kikwazo
Nimependa kilicho fanyika,,😍😍
Video mbon mbovu ase
Jakaya kama unakachuk na kawivu ivi?🤔
Amefanya makubwa sana mzee huyu inshort magu na jk ni viongozi bora kabisa wa maisha yangu tumuombe mungu bi samia nae awe zaidi ya hawa
Anao asa ananikaza tu
Umeongea vizuri sana JK kuweka wazi hatua ilivyokwenda... kuna aliesema amekuta li nchi la hovyo hakuna kilichofanyika
JPM amefany kazi Ila amekwama tu kutotoa ajira Ila kwngine kote yupo vzr
Jk was a good politician
My dad my sun my father my presdent nakupendaga Sana JK
Huzeeki !!
munafiki uyoooooooo
Jakaya
Ukimtoa mwinyi anafata kikwete,, ishi maisha marefu
Kikwete umemfanyia nn Mungu, mbona huzeeki
😂😂😂
Kuishi ni watu vizuri brother!! Ukiwapenda watu na ukaishi nao vizuri, Mungu anakubariki kwenye mambo mengi
Pinda nae kazeek vibaya
Achoke amefanya kazi gani???????
hana roho mbaya ndyo maana azeeki
Napenda Tanzania xna coz ni nchi ya amani kabixa
Tunakukumbuka sana jakaya
Mstaafu
Nice
Ni ujinga kutoa ndege kwa mjane alitaka nn.h
Mmh
Ubinafsi uliwakwamisha nchi moja mnataka kuanza kuvutana ndomana mlikuwa mnakwama,,🤔
I lv Tanzania
Muuwaji anasema nakuombea kwa mungu akupe maisha uje kukata utepe......for sure he has something to do with his death
Ft. F fry
Kalale pema mkapa
Na Magufuli pia😭😭🙏
Tubadili katiba wastaaaf waruhusiwe kurudia kuwania urais
Lbd wabadili katiba jpm aendeleee, sio huyo mwenye IPTL
Mhe. Rais mstafu Jk usituache kwa ushauri ili tuweze songa mbele.
@@mohamedmotte1519 alishindwa kutuendeleza happy zamani ataweza leo? Wakati kipindupindu kinatumaliza Leo kipo wapi maji bwena. Lbd mrudie kupishana hewani huku wanainchi wanatabika. Kikwete gogo
@Humphrey Msengi kunywa maji machafu
Acha mawazo mgando
Katikati ni singida sio dodomaa
Wasingida wanakula punda
Ni sindiga pamoja na dodoma
Singida Ingekuwaa Tanganyika Sawa Lakini Kumbuk Zanzibar pia Ni tz Iliyopo feat vzr kutoka Zanzibar mpak kigoma Ni Dodoma Umenielewa nafkilii
Kikwete umeongea poa sana Rais wetu
Nice