Serikali yangu ya Tanzania nawaomba sana sana sana kiongozi yeyote atakae soma msg hii awe mjumbe wa tarifa kuifikisha juu, tufanyieni yooooote ila msiwaguse guse viongozi wa Dini nihatari sana kwa Taifa nawaomba sana sana asanteni
Tunajua sasahiv lile genge la mama na mwemnzake wa msoga.watakuwekea chuki sana mpa wanaweza kuuwa.magufuri alikupenda na wewe ulimpenda pia wewe ndio ulikuwa rafiki wa kweli wa mjomba.
Hii video ya Mtume na Nabii Mwingira, ni ya miaka miwili iliyopita, kipindi kile tumepata wimbi la kwanza la UVIKO-19. HAIHUSIANI NA YANAYOENDELEA KATI YAKE NA JESHI LA POLISI
Ukakasi kwa jambo la kweli, ni wapi au wananchi wangapi umewahoji na kuwauliza na kusema ni ukakasi?? Na hii press conference ni ya zamani Sana kipindi Cha corona miezi kama Tisa iliyopita, acheni uongo NYIE kwa jamii mnayoisema, si ya wiki iliyopita
Mmm huyu mtumishi ana utiisho na mamlaka isiyo ya kawaida, ombeni macho ya rohoni mumuone hakika kila mtu atahofu na kutetemeka, namuona Yesu ndan ya mtu huyu
Haya mambo ya mungu kaniambia au kanipatia kibali siyapendi. Kwakua Hawa watu ni wanasiasa ambao wamejificha nyuma ya pazia. Hivi mungu kwanini akutume kwangu wakati na mimi nipo? Huo sio umbea? Mungu Hana taifa. Mataifa yamegawanywa na watu. Mwingereza, Germany, Marekani, ufransa, sio mungu kugawa africa,
Clip ya Mwaka 2020 inaoletwa kama ya Leo. Waziri mkuu uingereza alilazwa Jana? Rais kama Baba. Maneno hayo yanaonesha ilikuwa wakati wa Magu. Nashauri tu Ukiendelea hivi utapoteza watazamaji acha uhuni
Jamani,viongozi wadini ni hatari,hawaguswi jamani,Mimi naogopa sana,Wako na Mwenyezi mungu Tena Kwa ukaribu sana.Tuche jamani,watu mishi wa mungu wowote wale,wadini yoyote Ile,nihatari mno,sawa.
Wachungaji ndo mnaharibu mwelekeo w nchi hamjui mkae wapi,, kwenye dini au kwenue siasa, kwanini mwuwe mnahubilia watu vitu ambavyo havihusiki.. Kazi ya mchungaji nikuhubili bibli, mengine yote ya nini,. Sasa kanisani. Ulileta habari ya tundulisu ua nini, kama siyo siasa.. Mnatuchanya bwana
Mwingira anayo macho ya kuona mambo ya mbele sana. Jitu la mbinguni.
Sinashaka naye kabisa
Mwingira anao msimamo , nakumbuka hata kipind cha kikao cha viongoz wa din alisema, maswala ya haki
Muziki wa nini sana wakati watu wanataka kusikiliza maelezo, hopeless
Nakuelewa sana mwingira Moja ya manabii WA ukwel waliobaki Tanzania..naomba Bwana Yesu akutetee..tunakuombea
Hii channel Ni ya Kihuni, press ya mwaka juzi kabisa 2020 akiwa kibaha. Channel hii imetumwa na wahuni
Mungu yu pamoja nawe baba
Serikali yangu ya Tanzania nawaomba sana sana sana kiongozi yeyote atakae soma msg hii awe mjumbe wa tarifa kuifikisha juu, tufanyieni yooooote ila msiwaguse guse viongozi wa Dini nihatari sana kwa Taifa nawaomba sana sana asanteni
Huyu ndio mtumish wa Mungu. Hapend kupepesa macho
Tunajua sasahiv lile genge la mama na mwemnzake wa msoga.watakuwekea chuki sana mpa wanaweza kuuwa.magufuri alikupenda na wewe ulimpenda pia wewe ndio ulikuwa rafiki wa kweli wa mjomba.
Zaburi 14:2 toka mbinguni Bwana aliwachungulia wanadamu aone Kama Yuko mtu mwenye akili,Amtafutaye Mungu
Mbona aliongea vizuri tuuu!!!!
Sijaelewa Mtanzania mwenzangu kwa clip hii ni kibaya alichoongea Askofu Mwingira mpaka akaitwa kuhojiwa na jeshi la polisi?au haikurushwa yote?
Hii video ya Mtume na Nabii Mwingira, ni ya miaka miwili iliyopita, kipindi kile tumepata wimbi la kwanza la UVIKO-19. HAIHUSIANI NA YANAYOENDELEA KATI YAKE NA JESHI LA POLISI
Kama mwingira akinyamaza mawe yatainuka..mwachen uyo baba yetu wa kiroho
Mwachen uyo baba askar...mtakufa kwa tamaa zenu
Mungu akutunze baba yangu Mwingira, Nakupenda sana
HUO UTUME NA UNABII
KAKUPA NANI WE BABUUUU MUOWAJII?
Unasitahir
Usipotoshe , tuhuma zake hazijaleta ukakasi kwa wananchi , wananchi tulifurahi kumsikia akitoa maoni yake.
Wewe mwandishi ni pumbafu kabisa... kwanini unahadaa watuu..Mungu akakukemee mwenyewe
Unsubstantiated mnatafuta view kumbe CLP ya mwaja juzi mna ileta Leo ?
Kumbe unajua kiswahili vizuri hivi🤔🤔!!!!!!
Huyu ni mtumishi was mungu jaman ni mungu amemchagua
Kwa kweli MUNGU akubariki sana umetukumbusha kuwajibika kwenye nafasi Zetu
Askofu we pray for you,GOD IS THE WINNER!
Baba we love you forever nakupenda daddy
Askofu ondoa shaka tuko kwenye mikono Salama ya Rais Samia Suluhu Hassan.
Hii Ni wakat Magu akiwa hai
Eti kuna uhuru!!!uhuru gani???
Maneno tu, uhuru wa watu fulani tu!!
Ni neema ya Mungu tu inayoibeba Tanzania.
Ukakasi kwa jambo la kweli, ni wapi au wananchi wangapi umewahoji na kuwauliza na kusema ni ukakasi?? Na hii press conference ni ya zamani Sana kipindi Cha corona miezi kama Tisa iliyopita, acheni uongo NYIE kwa jamii mnayoisema, si ya wiki iliyopita
Mmm huyu mtumishi ana utiisho na mamlaka isiyo ya kawaida, ombeni macho ya rohoni mumuone hakika kila mtu atahofu na kutetemeka, namuona Yesu ndan ya mtu huyu
watangazaji na waandishi wetu wajaribu kuwa makini zaidi kwani Apostle Mwingira siyo askofu...
Ni nan tusaidie
Waandishi wa habari mkikosa ueledi na mkazidi kuwa waongo umaskini hauwezi kuwaisha. Hii clip ni ya mda mrefu uliopita.
Mtume itakuwa mg on I?watakuja manabii wa uongo wakinena kwa jina langu
Tatizo hili taifa sijuwi kwanini babu akuweka katiba yenye usawa
Haya mambo ya mungu kaniambia au kanipatia kibali siyapendi. Kwakua Hawa watu ni wanasiasa ambao wamejificha nyuma ya pazia. Hivi mungu kwanini akutume kwangu wakati na mimi nipo? Huo sio umbea?
Mungu Hana taifa. Mataifa yamegawanywa na watu. Mwingereza, Germany, Marekani, ufransa, sio mungu kugawa africa,
Sikuhizi maasikari nao ni ccm 😂 yani inachosha tatizo wanapenda matumboyao lazima wanyoke safari hii
Clip ya Mwaka 2020 inaoletwa kama ya Leo. Waziri mkuu uingereza alilazwa Jana? Rais kama Baba. Maneno hayo yanaonesha ilikuwa wakati wa Magu. Nashauri tu Ukiendelea hivi utapoteza watazamaji acha uhuni
Tafadhali musipige muxiki sisi tunataka taarifa sio muziki
God blesses
Tatizo mnachanganya din na siasa
Wenga mwngila nikuona uronda kurotakujela
Ma ling ton yani kwenye vitu muhimu kama hivi
mungu akubalik
Background music inaharibu ujumbe kutoka kwa Askofu.
Mmh mnafel hii press ni ya mwaka jana au mwaka juzi acha uongo
Kweli hiiyazamani nimekumbuka aisee
Jamani,viongozi wadini ni hatari,hawaguswi jamani,Mimi naogopa sana,Wako na Mwenyezi mungu Tena Kwa ukaribu sana.Tuche jamani,watu mishi wa mungu wowote wale,wadini yoyote Ile,nihatari mno,sawa.
Unajikosha huna lolote
Una laaana kubwa wewee
Nafanya kwa kibali cha Bwana 😭😭😭
Yupo nje kabisa ya topic iliyokusudiwa, au kaingia upepo?
NYIE VIONGOZI WA DINI ISHINI KTK KWELI NA HOFU YA MUNGU.FATENI MFANO WA AKINA MUSA.
Ya
Mungu amesha muinua na sisi wanadamu wa Dunia nzima tutamuinua. Samia Suluhu Hassan.
Sio clip hii ina tatizo ile aliongea akiwa kanisani
Ameen Baba 🙏🙏🙏
Mhuuu
Wachungaji ndo mnaharibu mwelekeo w nchi hamjui mkae wapi,, kwenye dini au kwenue siasa, kwanini mwuwe mnahubilia watu vitu ambavyo havihusiki.. Kazi ya mchungaji nikuhubili bibli, mengine yote ya nini,. Sasa kanisani. Ulileta habari ya tundulisu ua nini, kama siyo siasa.. Mnatuchanya bwana
We endeleaa kuchanganyikiwaa wenye akili tunamuelewaaa