Kwa kweli utuhurumie na huyu mama na watu wake wanataka kutumaliza Mungu mwema hata kutuuza watumwa. Hatujawahi kuwa watumwa, kwa mwalimu Nyerere. Leo kuanzia tunaanza kuona utumwa unanyemelea
Hahahaaaaaaa!!! Hapana harusi yangu bado nadhani mpaka kiongozi wangu akijiridhisha na kujua kuwa sikuiga na kufuata mkumbo ndipo itafanyika. Zaidi nimejikita tiktok mpaka mda mwingi naisahau you tube ila nitapambana sana Ahsante
Tanzania ime anguka mungu wangu heshima ya Tanzania imeanguka chini kabisa muzazi muzuri ana wa sikiliza kilio cha watoto n'a kuleta majibu ya faida kwa familia ila ikiwa kimefikia mutoweni huyo nje asikiliwe nje 😭😭😭😭 hapa mambo amebadilika ninapo kwenda ni mbaya mno😭😭
Samia hawezi kukutoa ubunge kama ambavyo anamvua ubLozi kwa chuki aliyo nayo kwa Dr. Slaa asiendele kuongea bandari kuuzwa! Nilikuwa na huo Mkataba. Article 10.Confidentiality. hii ni biashara itakuwaje siri kubwa inasema! Article 11 unaingelea kusiwe na ubaguzi Lakini zaidi inaonges kuhusu malipo ya kodi hapa zaidi wajihami ili wasipewe kulipa kodi. Kwanza wstalipaje kodi wakati wametaka usiri mkubwa katika huu Mkataba? Hii ni hatari kubwa sana yote yameegemea Tanzania na watu wake tu Kila kitu kwenye kupokea fauda zote ni Dubei
Ameni
😢😢😢 Magufuli daim tutakukumbuka kwa tanzania yetu jamn❤❤❤❤ ulikua unasikiliza watu 😢😢😢
Kiukwelii gwajimaaa mudaa mwinginee. Namkubarigii. 2 japo. Mpakaa kumuelewaa kwakee uwee unaa hekimaa zaa munguu,,
Raisi wa Tanzania ajaye "Josephat Gwajima" na hapa MUNGU Amemuongoza ajitolee unabii
😢😢😢 inasikitisha sana pia DA SIFA NAKUPENDA
Ameeeeeen
Eeee Gwajima Kiboko ukiwa wa rohoni na wimbo huu utaelewa hahaha 😅🎉
😂😂😂😂😂😂😂 Gwajima we ni noma
Hahahaaaa kumbe unamzungumzia Delilah Mkizimkazi😂😂😂😂😂.
Kwa kweli utuhurumie na huyu mama na watu wake wanataka kutumaliza Mungu mwema hata kutuuza watumwa. Hatujawahi kuwa watumwa, kwa mwalimu Nyerere. Leo kuanzia tunaanza kuona utumwa unanyemelea
Kwa kweli
Ujumbe mufupi ila umeeleweka na unafikirisha, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Dada sifa, mbona kimya Sana sku iz?? Au unajiandaa na harusi????
Hahahaaaaaaa!!!
Hapana harusi yangu bado nadhani mpaka kiongozi wangu akijiridhisha na kujua kuwa sikuiga na kufuata mkumbo ndipo itafanyika.
Zaidi nimejikita tiktok mpaka mda mwingi naisahau you tube ila nitapambana sana
Ahsante
kuna siku mungu anowapa unabii kiholela atawafitinisha hao manabii zake
Tanzania ime anguka mungu wangu heshima ya Tanzania imeanguka chini kabisa muzazi muzuri ana wa sikiliza kilio cha watoto n'a kuleta majibu ya faida kwa familia ila ikiwa kimefikia mutoweni huyo nje asikiliwe nje 😭😭😭😭 hapa mambo amebadilika ninapo kwenda ni mbaya mno😭😭
Mwamuzi wa sasa ni MJUMBE WA AGANO, hakuna mtu yeyote duniani,
Samia hawezi kukutoa ubunge kama ambavyo anamvua ubLozi kwa chuki aliyo nayo kwa Dr. Slaa asiendele kuongea bandari kuuzwa! Nilikuwa na huo Mkataba. Article 10.Confidentiality. hii ni biashara itakuwaje siri kubwa inasema!
Article 11 unaingelea kusiwe na ubaguzi
Lakini zaidi inaonges kuhusu malipo ya kodi hapa zaidi wajihami ili wasipewe kulipa kodi. Kwanza wstalipaje kodi wakati wametaka usiri mkubwa katika huu Mkataba? Hii ni hatari kubwa sana yote yameegemea Tanzania na watu wake tu Kila kitu kwenye kupokea fauda zote ni Dubei
Hii crep yamiaka iliyopita yule gwajima wazaman sio wasasa achen kupotosha watu
Crep ni ya juz tyu,mwez wa 8 acha uwongo ciyo ya zamani ww,
Huyu Samia katili kabisa . MAGUFURI TUNAKUKUMBUKA mnooooo
Magufuli mleteni Huyo nimsikilize shida yake halafu Samia mtoeni nje huyo anatupigia kelele
Hahahahaha kizimkaz ni balaà Bora mjomba kuliko shangaz daaah,m/mungu tusaidie
Mm hujuwi usemalo
@@augustabisetsa5007 aaaaaah kweli?au maono yanatofautiana?