Na when someone receives calls zote lkn Kuna Ile moja hawezi itika heri aweke block ataongea baadae ama when far from you akiwa karibu hapo hawezi pick anaanza kutoa reasons ama kukasirika kasirika uyu nae anapiga juu ya Nini and when far anachukua
Mume wangu anapenda kutumia simu mara mingi game na nikimuuliza anasema eti kabla hajanioa alizoea simu yake ....basi sai amenioa na bado anatumia simu kwa saana.
Pia Kuna msemo, gari ya polisi huzunguka nchini kote lakini baadaye hurudi kwenye station
Benjamin carries the day
Good morning Christine,
Na when someone receives calls zote lkn Kuna Ile moja hawezi itika heri aweke block ataongea baadae ama when far from you akiwa karibu hapo hawezi pick anaanza kutoa reasons ama kukasirika kasirika uyu nae anapiga juu ya Nini and when far anachukua
Mume wangu anapenda kutumia simu mara mingi game na nikimuuliza anasema eti kabla hajanioa alizoea simu yake ....basi sai amenioa na bado anatumia simu kwa saana.
sawa mum nikweli ujivinie jee utafanyrje ndio kuwa unajivuniankwampago ipo kstikakielekezezeo
Ben.. Weee.. On the point..
Noted
Benja mini upo sahihi kabisa 🎉
Wueeeee!!! What av experienced with this phone thing is not interesting
Simu ni a no go zone always avoid your partners phone...
kama alona niyake sip mbaya ikosababi
Chunguza chunguza 😂😂😂
Papa. 😂😂