MKE WANGU ANAJIKOJOLEA KITANDANI NA SEHEM ZA SIRI ZINATOA HARUFU MBAYA MAJILANI WANATUCHEKA..MMH
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 ก.ย. 2024
- #foxetv #hardmovement Bonyeza alama ya Subscribe kisha weka notification on ili kupata matukio yote kwa wepesi zaidi Asante.#FoxeTv Ni Bora Zaidi
.
.
.
.
.
.
.
.
©Instagram @FoxeTvTanzania tufollow sasa kwenye mtandao wetu wa kijamii
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Tag;
#video #bongomovie #truestory #majanga #mikasa #msaada #update #trendingvideo #trending #trendingnews #oman #omannews #omanchannel #omannewstoday #kenya #kenyanews #kenyadigitalnews #kenyanewsmedia #usa #usanews #america #american #amerika #tanzania #tanzaniasafari #tanzaniayetu #uganda #ugandanewsupdates #rwanda #rwandanmovies #burundi #burundinews #uchawi #mikasa #udakutz #udaku254 #ngono #VideoChafu #VideoXxx #Xxx #xxl #uchib #tikitv #tikitvkiakilizaidi #zanzibarbeach #maximumtvonline #maximumtv #DavistarMatal #mtoto #watoto #Ubakaji #diamondplatnumz #harmonize #comedy #comedyvideo #film #movie #movie #ayo #millardayo #millardayoupdates #GroblaUpdates #global #AingiliwaKinyume
Angekua nimke wangu nisinge mtangaza kwenye vyombo vya habari ningepambana mpaka kieleweke apone
Njo nikupe kazi ufanye badala ya kumtafutia tiba ana toa siri loh
Mutu anafichaka aibu ya muke wake
Msitir tu broo
Hizi hadithi zinawatia aibu. Tafuteni njia nyingine ya kuwa maarufu mjini 😢
Tatizo lipo kwa wengi sio kwako tu hasa kwahawa madada wazuriwazuri hawa nihatari sana
Mpeleke hospitali nna imani linatibika
Unajifezeresha mwenyewe
Mbona hilo tatizo linatibika
Nimejikuta nacheka ety kwakukutana nahio halifu😂😂😂😂😅😅
Fistula hiyo pls mpeleke hospitali. Inawexa kuwa imesababishwa na kuzaa
Mpeleke hospitali jamani,watajotokeza madaktari wengi mpaka waganga wa kienyeji.
Mjiiinga sana ww hujajua nn mana ya ndoa n kubeba madhaifu yooote ya mwenza wako
Wekijana unaonekana unaupwilu wakichwani tena weeee😢
😂😂😂Kama jinga vile
Msitiri mkeo mwana ngu kwa njia nyingi ne sio kwenye mita ndao
Atakua natatizo siyoyeye hajapenda kua hivo
Haujafundishwa kwenu..ww siri za ndani usitoe hadhharan. Nyambaf
Huna aibu mwanamme wewe hio SI ni fistula mtibuu
Kwa hiyo unaweka kwenye mtandao kusaidiwa nini mkosa kabila weye😮!? Ili usaidiwe tiba au wakuone usivyojielewa!? Kwani maana ya nitakupenda kwa shida na raha nini? Ndiyo matatizo kama hayo!!
Mwanaume jinga sana.umekosa maadili toka kwenu.pumbavu wewe
Mficha ficha uchi hazai. Kwani kusema tatizo aibu? Hilo ni tatizo kila mtu linaweza kumpata maana huo ni ugonjwa. Hao wanaokulaumu wapumbavu huo ni ugonjwa kama ugonjwa mwengine mnampenda mpeni njia ya kuacha kukojoa sio kumlaumu huyu kaka. Kaka upo sawa hata yeye mwenyewe anaweza kusema kweli nakojoa nisaidieni ushauri wa kitaalamu na tiba ya jisaikolojia. Mficha ficha maradhi kifo kitamuumbua. Sasa huo ni msiba anaumbuka lau angesema mapema angeshapona maana dawa ingepatikana Mwanangu umefanya sahihi kufichua maradhi na sio aibu hao wanaokulaumu wapumbavu wa aakili na wao wabaki na maradhi wasijitangaze ili wapate njia ya kupata tiba. Hongera sana na mkeo sasa atapona ishi naye na mleee mtoto wenu.
ujumbe mzuri
Ila we Dada ni mzuri sana ila usingeficha na ungekuwa unafua hiyo mikojo usingerundika nguo
Badala yakutafuta suluhu hospital umemuanika mwezako mtandaoni aibu vijna wanahitaji elim ya ndoa kabla ya ndoa
Mtafute King po TV awapeleke kwa Jafari atamtibu kunadada alikuwa natatizo kama hilo alitibiwa na Jafari nakwasasa ule dada hakojowi tena.
kwanini umemtangazia mkeo uyo ugonjwa unatinika
Akili zako fupi au bangi?
Media zisingekuwepo ungemtangaza wapi? Kichwa chako kina funza! Unahitaji afya ya akili!
Mbona huo ni ungonjwa unaitwa fistula na mara nyingi huwa pata wanawake wanao zaa hua mikojo haina break inatoka tu tuwasaidieni wanawake na tufiche siri zao ujue kuna watu wanakujua bas wakona hivyo washajua mkeo.
Sasa aibu yake aibu yenu!? Eti ndugu mtangazaji naumia! Yaani naumia! Ungekuwa unaumia ungemtoa kwenye adhara? Wala huumii chochote! Na wala hupendi! Ungekuwa unapenda usingemuanika adharani!! Hujui hata cha kupeleka mtandaoni mtoka pabaya weye! Mwanamme suruali usiye kuwa na koromeo la siri mwangalie!! Afadhali ungemrudisha kwao kuliko hiki ulichofanya mpuuzi weee!
Weye ni muvuta bangi
Huyu nae Kumbe pokoyoyo usoficha aibu ya mkeo una muanika ili iweje
haikuumi km ingalikuwa inakuuma ungalimtafutia dawa nasio kumtangaza asa faid yk nn zaid yakujizalilisha
Haipendezi kitoa aibu ya mkeo
Kweli huna akili timam kama ulitaka kuonekana kwenye vyombo vya habar sini ungepiga ata punyeto ukapost
Shida ni izo nguo zenu nyekundu ni za kiganga ganga mwambie asivae izo nguo
Ss mutangazaji ndie daktar vijana waleo hamna adabu
Kama unampenda usingemtangaza mitandion
Mpeleke Hospitali acha kumuanika
Kwanini unamzalilisha mkeo haipendezi hats kidogo msaidie atapona
Jilevi hili
Mshenzi sana wewe jamaa unashindwa kumtaftia dawa unamtangaza kwenye vyombo vya habari huna akili timamu
ww dishi lako halipo sawa limeyumba yan unamdhalilisha mkeo kias icho si ungemalizana nae uko uko huo ni udhalilishaji wa kijinsia
Si mzaramo ?'maneno mengi, mbona dawa zipo hata wewe mwamshe mara kwa mara na asinywe,maji jioni
Uzalilishaji huo
Huyu kijana ni wakutia makofi tu
huyo jamaa kichaa tena mpumbavu sana
Aibu yenu wote
Hauna akili mjinga ww kichwa box unatangaza ili iweje? Wanaume hatupo ivo ,,,,utakuwa shoga sio bure!!
Auna aibu ata
Mvumilie
😂😂😂
.
I'll jamaa jinga sijui mirungi au huyu punguani loh ingelikua mm simtaki tena
Kama umeshindwa kutunza tatizo la mkeo kama hili, hata vingine hutaweza! Maana huo ndiyo ubavu wako! Harafu unajiita kichwa cha nyumba kweli!!?? Hapana wewe ni miguu ya nyumba huna lolote!
Wacheni ujinga huo. Hilo tatizo sio lakuficha. Yapo ya kuficha lakini sio maradhi. Uko sawa baba sema ili upate msaada wa tiba na njia ya kumsaidia mkeo.
Wa he is hizo ujinga huo lificha maradhi. Sema ili upate njia ya msaada kwa wanaojua.
kwanini umemtangazia mkeo uyo ugonjwa unatinika