WAZIRI SILAA ASIKILIZA KERO za ARDHI HADI USIKU wa MANANE MWANZA -WANAOKWAMISHA WATAJWA HADHARANI...
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2024
- WAZIRI SILAA ASIKILIZA KERO za ARDHI HADI USIKU wa MANANE MWANZA -WANAOKWAMISHA WATAJWA HADHARANI...
Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi, Jerry Silaa ameendelea na utaratibu wake wa kuwasikiliza wananchi katika viwanja vya Nyamagana Mwanza waliokuwa na migogoro ya Ardhi amabapo amewasikiliza mpaka kufikia saa tisa za usiku kutokana na wananchi hao kuwa wengi na baadhi yao wametoka umbali mrefu ili kutatuliwa shida zao na serikali mbali kama alivyoelekeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuwasikiliza wananchi...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Huyu waziri anapiga kazi mungu amuongoze
Ulinzi unahitajika zaidi kwa huyu mwamba
I just love him 😍
Huyo mbunge wangu mm nilikuwanga namwelewa toka alivyo kuwa diwani wa kata ya Ukongo Dar es salaam
Waziri allah akupe ulinzi wa kutosha akupe afya na nguvu busara
😢😢 nasikia kusisimka Hadi maini huyu ni kiongozi sasa
Yani nikisikiliza hotuba ya Raisi juzi, ni kweli kabisa watumishi wa serikali ndio wanasababisha migogoro ya ardhi kwa kiasi kikubwa
Huyu Jamaa Msomi 😢❤❤❤❤
yani ahsante. sana mh. jerry kwa.yote. haya
Nakubali anavyotoa maamuzi pamoja na kutoka elimu Kwa wananchii, Bora watu wenye taaluma zao na ni wabunge wapewe hizi nafas kubwa
NAKUOMBA WAKAT WA KUPIGA KAMPEN USIJISUMBUE KUPIGAKAMPEN KOZ UMESHA PITA BILA KUPINGWA GOD BLESS
Huyu Baba ni wa kuombea
Sema anatatua migogoro Kwa hekima sana lakini Sasa hatawezi kufanya hivi nchi nzima wasaidizi wake ndiyo tatizo
Ilemela kuna shida ya ardhi
Unavotaka kumsifia jerry staha msifie raisi samia kwanza ndio alietoa kibali wananchi watendewe haki ila huku kwetu Zanzibar kila kiongoz ni kukaa ofisini tu hatuoni ata kutembelea wananchi zaid ya raisi mwenyewe
Mtaa wa amana dsm Kuna malori makubwa ,na wengine wamejenga penye maeneo ya wazi
Huyu jamaa ni mchapa kazi haswa
Ukipita uchaguzi hamta waona hao
Kila mtu ana wito wake jerry yupo hivyo toka akiwa meya wa ilala
Ni jambo la muda tu. It's to late for drama. Eti usiku wa manane na bdo.
Roho mbaya tu. Kwani huoni anachofanya au unajizima data??❤❤
@@dorothmsuya1686 sioni anacho fanya sbbu chanzo cha tatizo ni wao. Si mtu kutoka sehemu nyingine hapana. Kuna kesi za toka 2017 huko why now ufanye kazi mpka usiku kaka wawatu anapiga miyayo mikubwa kwann. Uwezi kuwa na uwongozi ambao kila moja anafanya lake. Shida kma hizi ni kila moja kula urefu wa kamba yake... hakuna Morales so si ninazima data bali ninapoteza data kucheki jambo la aibu...
@@yokoi3970 zungumzia wakati uliopo sio uliopita! Anafanya kwa kiasi chake na hawezi kuyamaliza vile vile!
@@dorothmsuya1686 do u know the mean of sustainability au u want people to talk tuonekane wabaya. Uwezi ongelea leo bila jana na leo bila kesho kwaiyo acha janja Weed mzee unaongea na mtu wa maendeleo from daystar university so I know what am talk about when it comes to leadership. Serekali ni moja ever since na madudu ni yao. Serekali si mtu ni watu na kwenye kosa we do need to know ulikuwepo muda gani. Ni muda as I said b4 na sina wivu sbbu unijui nina nn. Mm nko sawa kbsa where I am.
@@yokoi3970 hongera kwa hilo. Mawazo yako ni yako na yangu ni yangu. Kila mmoja aheshimu mawazo ya mwingine! Haijalishi wewe ni nani!