#LIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • @vugaonlinetv
    Join this channel to get access to perks:
    / @vugaonlinetv
    #vugaonlinetv, #siasatz #zittokabwe #jussa #mazurui #mikutano #mazurui #politics #actwazalendotv #omo #
    Sisi Wengine Tumepoteza Umri wetu kwa ajili ya Kupambania Nchi Hii iwe na mamlaka kamili, Tunasema Hatukubali na ujinga ujinga sasa basi
    #LIVE 🔴MKUTANO WA HADHARA WA CHAMA CHA ACT WAZALENDO #KIVUNGE KASKAZINI #UNGUJA #ACT #OTHMAN #MASOUD 2.2.2025

ความคิดเห็น • 20

  • @mukhtaromar-g5p
    @mukhtaromar-g5p 6 วันที่ผ่านมา +3

    Othman ndio mtu pekee mwenye uchungu na Zanzibar na wananchi wake kura zote kwa viongozi wa Act wazalendo 2025❤

  • @BobMacha
    @BobMacha 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mwaka huu watawajaza kibaoo aowapiga kura kutoka Tanganyika kwasababu Wazanzibar wote hawaipendi hiyo ccm 😮

  • @HajiJuma-k3l
    @HajiJuma-k3l 6 วันที่ผ่านมา

    Asante Mazurui unasomeka vyema tena uko sawa. Waambie waone na wahisi aibu na wafiche hizo aibu zao.

  • @KIDAURA-f5
    @KIDAURA-f5 6 วันที่ผ่านมา +1

    ❤❤❤..

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +7

    Ndugu msikubali kuendeshwa na TANGANYIKA, piganieni UHURU wa nchi yenu ZANZIBAR.Mrudisheni kwao MKURANGA , tunahitaji viongozi WAZANZIBARI , sio watu wanaoletwa kutoka TANGANYIKA.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 2 วันที่ผ่านมา

    Othman masoud othman InshaAllah 2025 ni rais wa jamuhuri ya watu wa zanzibar

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ndugu msikubali kuendeshwa na TANGANYIKA, piganieni UHURU wa nchi yenu ZANZIBAR.

  • @hajiabdalla5772
    @hajiabdalla5772 6 วันที่ผ่านมา +1

    Maneno ya njaa kali na tamaa za pesa Tu hamna kitu ndio yale yale

  • @jumabonge8577
    @jumabonge8577 3 วันที่ผ่านมา

    shida kupewa nchi

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 3 วันที่ผ่านมา

    Nani alieona apo muheshimiwa othman masoud akikwepa mkono wa mwanammke au nimeona mm tu wazungu usishangae wanaweza kupiga zogo amemdhalilisha bila ya kujua kwa muislamu ni haramu kugusa mkono wa mwanammke ambae sio mahaarim wako kwa maana asiekuwa mkeo mama ako watoto wako na wale ambao sheria imewataja

  • @HajiJuma-k3l
    @HajiJuma-k3l 6 วันที่ผ่านมา

    Ulikuwa wapi Muheshimiwa miaka yote hiyo sijakusikia kusema virginity kama ivo. Naturalisation kuisikia sauti yako leo Allah akupe umri mrefu. Namtaka Jussa+Mansour niwasikie nawo.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +1

    WATANGANYIKA wakapige kura kwao TANGANYIKA.

  • @ALIKHAMIS-un4fv
    @ALIKHAMIS-un4fv 2 วันที่ผ่านมา

    Kama huna D mbili huwezi kumuelewa huyu mwamba othman masoud othman

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +2

    2020 ccm haikushinda Uchaguzi walipewa sio wao na tume yao ya ccm.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +2

    Uchaguzi ni siku moja tu.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +2

    WATANGANYIKA wasiruhusiwe kupiga kura ZANZIBAR, kura ni ya WAZANZIBARI.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +1

    Waondoeni WATANGANYIKA wote walikuwa kwenye serikali ya ZANZIBAR, ZANZIBAR inahitaji viongozi WAZANZIBARI.

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ana sijida la UNAFIK

  • @KassimMbwana
    @KassimMbwana 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kesho ratbag wp

  • @ndimimaskati3641
    @ndimimaskati3641 6 วันที่ผ่านมา

    Miaka yote Uchaguzi ni siku moja Ulimwenguni mzima.