Shida Siyo engine ya 1Kr-Fe. Shida ni sisi waswahili. Hivi unajua kwamba hiyo engine ya 1KR-Fe ilichukua tuzo ya International Engine of the year sub ya 1000Cc kwa miaka minne mfululizo (2007 mpaka 2010). Halafu sisi ndio tunaita engine mbovu. Unakuta mtu ana engine kama hiyo halafu anaweka Oil ya 20W 50. Halafu unataka engine isikusumbue? You can't be serious. In short hii gari ukiweza kuiservice kama inavotaka basi unapiga nayo root kwenda mkoa wowote. Ni kama tu watu wanavyozilalamikia engine za 1AZ-FSE D4. Yaani vitu vyote vinavyotaka matunzo wabongo lazima wavilalamikie. Kwa sababu wanapenda kufanya mambo mengi kienyeji.
Kevin kutoka kenya... Sija wahi ona review nzuri kaa hii kwa lugha ya kiswahili. Umeeleza vizuri saana ndugu.. nina subscribe leo walaii! Swali moja tu lakini ndugu, uki li nganisha Passo hii model na Vitz old model, gani nzuri? Umbo wa mwili wangu ni mrefu kama futi 6.6. ni gari gani dogo una weza recommend ni nunue? NOTE: nili taka kununua Passo 1300cc, lakini baada ya kuona Review yako, sita inunua kwasababu ya hizo joints ume ongelea. Mahali niko barabara haileti shagwe na kwa hivyo siezani nayo. Ninge pendelea gari strong.
Daihatsu company imenunuliwa na toyota 100% which means hata magari yao ni reliable as toyota ndiyo parent company. Just like toyota rush ni daihatsu cami a.k.a terios but as long as ni toyota engines with aisin transmissions it is a good buy. Toyota ni king of reliability
You need to get back out there..... amazing content ila umeacha kutengeneza content you probably have the best car review in TZ as car enthusiast we need more context like this
yeah unaweza mimi nmesafiri nayo mara kadhaa ipo vizuri tuu sema kwa engine kama 1kr sikushauri sana kama ww ni mtu wa safari sana hii engine haina nguvu sana kwa vile ni piston tatu lkn ukipata ya piston nne inachapa kazi tuu
You are the best kaka!! Ulivyo itetea passo unawezamfanya mtu aende yard straight forward baada ya kuangalia hii video
Maelezo yako poa sana, unatufanya tununue kitu ambacho tunakielewa..umeleta ukombozi mana weng tunavamia tu
Mengi yanakujaa
Hatukuoni kaka
Hajataja Bei
even though i cant understand ur language ur review is the best that have seen so far among african vloggers
Shida Siyo engine ya 1Kr-Fe. Shida ni sisi waswahili. Hivi unajua kwamba hiyo engine ya 1KR-Fe ilichukua tuzo ya International Engine of the year sub ya 1000Cc kwa miaka minne mfululizo (2007 mpaka 2010). Halafu sisi ndio tunaita engine mbovu.
Unakuta mtu ana engine kama hiyo halafu anaweka Oil ya 20W 50. Halafu unataka engine isikusumbue? You can't be serious.
In short hii gari ukiweza kuiservice kama inavotaka basi unapiga nayo root kwenda mkoa wowote.
Ni kama tu watu wanavyozilalamikia engine za 1AZ-FSE D4. Yaani vitu vyote vinavyotaka matunzo wabongo lazima wavilalamikie. Kwa sababu wanapenda kufanya mambo mengi kienyeji.
Toyota probox
Kwahiyo ni oil size ngap?!!!
Ninayo kaka nitumie oil gani?
Huyu jamaa mkwer sana .. Kwenye kuwa bomoa anawabomoa kweri kweri na penye kusifia anasifia saf sana.
Well done brother, elezea wish
boss naomba ukiona hi comment unitafute 0762575128
Watching from Kenya. Good work
Uko vzr Bro, endelea kutuwekea review za magari mengine mfano Sienta, Vitz & Ractis
Man review nzuri sana. Keep it up. Nataka kununua Toyota RunX ikoje hii?
Brother unajua kuelekeza vzr sana
Safi sana bro umeeleza vizur sana, mimi sio mtu wa magari lakin nimekuelewa kiurahisi kabisa
😂aisee unatetea hapohapo unaponda, ila kulingana na uwezo wa gari, tajiri ataamua mwenyewe!
I think you need to rectify at around 1:04 of the video where it gives the details " 1KR-FE, 4 CYLINDER, CC 996".... shouldn't it be 3 cylinder?
Thanks.. aloot. its a typing error.. you are right
Kevin kutoka kenya... Sija wahi ona review nzuri kaa hii kwa lugha ya kiswahili.
Umeeleza vizuri saana ndugu.. nina subscribe leo walaii!
Swali moja tu lakini ndugu, uki li nganisha Passo hii model na Vitz old model, gani nzuri?
Umbo wa mwili wangu ni mrefu kama futi 6.6. ni gari gani dogo una weza recommend ni nunue?
NOTE: nili taka kununua Passo 1300cc, lakini baada ya kuona Review yako, sita inunua kwasababu ya hizo joints ume ongelea. Mahali niko barabara haileti shagwe na kwa hivyo siezani nayo.
Ninge pendelea gari strong.
Daihatsu company imenunuliwa na toyota 100% which means hata magari yao ni reliable as toyota ndiyo parent company. Just like toyota rush ni daihatsu cami a.k.a terios but as long as ni toyota engines with aisin transmissions it is a good buy. Toyota ni king of reliability
It's a Good job brother, well done Maa shaa Allah
Blaza maelezo yako yananipa sababu kadhaa kuangalia video zako zingine. uko vizuri be bless
Bei Gani iyo broo
Naitaji isn't ya kununua
Kuishiwa nguvu Paso tatizo nn
Umetisha brooooo .....paso pasua
Yani tusi nunuwe mbona mimi nime nunuwa passo new model 2011 ambayo ina poston ine
Uwakika
Ninayo kaka naomba kujua loteshen isizidi ngapi kwa ili nikae nayo mda mrefu?
Really wished you spoke English. I don't understand what you are saying but I really like your expressions
nimekuelewa vibaya mno
uko vizur kaka
Njoo na TOYOTA RACTIS please bro
You need to get back out there..... amazing content ila umeacha kutengeneza content you probably have the best car review in TZ as car enthusiast we need more context like this
Hello I am looking to buy cv joint for my passo 2009 model which one should I buy
Paso pasua
Naomba tuichunguze Nissan Murano
Inauzwa kwa tsh ngapi
Safi sana broo ,,nichambulie corolla x
Lakini pia naomba utuwekee video ya toyota estima,honda insight na honda streem,,,, shukurani na kazi njema kwako.
Kaka nasubiri ya Vits
Inakuja soon
Unafafanua vizuri sana,asante sana.
Tuambie na bei
Naomba maelezo ya altezza 3sge hata watsp 0787886938
Brooo brevis au crown plz
Nimekuelewa hapo kwenye hiyo ya 3 cylinders
Tuletee na review ya Voltz
tuletee toyota Raum
Vipi kuhusu PASSO New Model
Like to see passo dash board what does all the lights meao.
Prado land cruiser EX, box body!
Naomba no yako please kama huto jali
Tulete Harrier bro
Zungumzia pia kuhusu toyota brevis
Review Toyota spacio
Bro twataka kufahamu kuhusu toyota spacio
Engene gani ina fanya kufanyia uber
naomba maerezo ya toyota spacial new model
Fanya review ya Toyota noah old model
Umetisha kaka , good review
Safi sanaa anii kk info km zotee naamini utapitia magari common yote ya bongo
Kwema mkuu probox vip
Blaza wee unauza magari pia au ni mtaalam wa magari
Gari yangu jamani nakapenda!
Naulizia Toyota lasso cc 1500
Broo fafanua gari ya toyota ractis
Hongera sana ila mimi naomba nikuulize kitu,,, kwanini kila gari inayoelezea ni Toyota tu kwanini Sio hata Honda.
sii toyota tuu brand zingine zinakuja
Good description broo 👌
Thankyou
Naomba reviews za vts
Na passo piston 4 ina changamoto gani
Big up
Nice bro
uchambuzi mzuri sana.
Naomba kama unaweza uchambue gari aina ya SIENTA
Ndo unayo nini boss
elezea Toyota Raum
Broo naomba namba zakooo
Mzee 1kr ni 3 piston
Nice bro
itolee ufafanuzi Toyota raum
Safii
Hujataka Bei
Dah Mr madata vipi tena
Ractis vipi
Uko saf kaka
Inaweza kilometa 700 hyo?!!
Inaweza Gabriel mi nimesafiri nayo sana arusha-dar
Piston 3???
Safio
Mm ukwel naipenda sana hii gari sijui dukan au iliotumika inauzwaje
Kuanzia M3 kwenda juu
@@mandyfitnesstv6738m3 kwa mtu au
Kulger l
Review ya crown athlete plz
inakuja worry out
Gotcha bro
Bei gapi hiyo jibu
7-9m inategemea na hali ya gari
Broh tufanyie toyota brevis
inakuja soon
je naweza kusafiri nayo umbali mlfu
yeah unaweza mimi nmesafiri nayo mara kadhaa ipo vizuri tuu sema kwa engine kama 1kr sikushauri sana kama ww ni mtu wa safari sana hii engine haina nguvu sana kwa vile ni piston tatu lkn ukipata ya piston nne inachapa kazi tuu
Ok nashkuru sana maana watu wanantisha sana mbk nilikua naogpa kusafir nacho
@@ndingazabongo8613 nakuubaliiii Mzee Baba embu naomba zungumzia crown athletic kaka tuish umo
rumion mkuu vepe
Nimekukuta huku tens unaulizia rumio ..inaelekea IPO kwenye roho yako kamamimi...
Boss
Phone number