KIGOMA TO AMERICA: NILIINGIZA MILIONI 3 KWA SIKU, KAZI HATARISHI NILISIKIA WANAKULA WATU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • Katika matembezi ya Dr. Lucas Masungwa leo yanakujia kutoka Dallas Texas Nchini Marekani, ambapo Ndugu Manu Baross mwenye asili ya Congo aliyewahi kuishi Tanzania anashare mastory yake yenye mafunzo ikiwemo kazi za hatari ambazo amewahi kufanya akiwa nchini Marekani.

ความคิดเห็น • 24

  • @samweljoel6128
    @samweljoel6128 2 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana kaka lucas

  • @abdulnaseermrisho4342
    @abdulnaseermrisho4342 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ahsante kwa mahojiano mazuri

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 2 หลายเดือนก่อน +2

    Umetisha

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 หลายเดือนก่อน +1

    Woow great 🎉🎉

  • @NoelChambo
    @NoelChambo 2 หลายเดือนก่อน +2

    Good job

  • @alphaabdallah1406
    @alphaabdallah1406 2 หลายเดือนก่อน +3

    Mr Baros ana stori sana

  • @liannsambu7264
    @liannsambu7264 2 หลายเดือนก่อน +1

    Baros anapenda ugali naona hahaha 🎉🎉🎉 safi sana

  • @abigailalex2146
    @abigailalex2146 2 หลายเดือนก่อน

    Story nzuri sana

  • @SylvesterMbonimpaye-oc9yi
    @SylvesterMbonimpaye-oc9yi 2 หลายเดือนก่อน +2

    safi

  • @KaramaKiumbe
    @KaramaKiumbe 2 หลายเดือนก่อน +5

    Kwakweli Mimi sitamani kabisa kuishi nje ya Tanzania napenda sana tz

    • @Mahene-w1l
      @Mahene-w1l 2 หลายเดือนก่อน +1

      Marekani inategemea umejifunz Kwa Nani coz ni nchi kubwa Sana Nusu ya Africa ko fursa na maish Kila Jimbo ni Tofauti Sana

    • @drisakamwakitalima1937
      @drisakamwakitalima1937 2 หลายเดือนก่อน +1

      😂

  • @FaustineTz
    @FaustineTz 2 หลายเดือนก่อน +2

    Haaà miaka 20 uyo ni mbongo dadeki

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 2 หลายเดือนก่อน +1

    Marekani kama una akili utafanya vitu vikubwa nyumbani.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน +2

    HAKUNA CHA MAANA HUKOO, NI KUPOTEZA MUDA TUU. KUHANGAIKA TUUU KUANZIA ASUBUHI MPAKA JIONI. HUNA HATA MUDA WA KIPUMZIKA. KILA MDA NI KAZI, KAZI.

    • @oliviaseth4652
      @oliviaseth4652 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kupumzika duniani si rahisi, mwili utapumzika lakini akili inawaza

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Kwakweli hapo malipo sio marekani

  • @charlesmajuto4664
    @charlesmajuto4664 2 หลายเดือนก่อน +1

    Da.kaka naweza pata contant ya huyu bwana nione kama anaweza kunihost mimi na familia yangu maana niko kwenye process ya kuja huko mwezi wa nne mwakani.

  • @kelvinmasungakilunguja7539
    @kelvinmasungakilunguja7539 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pako kama tz tu

  • @FrederickThadeo
    @FrederickThadeo 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie ni mafara murani nchi yenu Muna enda kuosha mabibi kize kama umefika kaa usihamasishe vija wetu Wana kuja kuteseka

    • @vincentmbaire2666
      @vincentmbaire2666 2 หลายเดือนก่อน

      We huna akili bali unatamani na wewe uje ukawoshe ma bibi kizee upate pesa

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 2 หลายเดือนก่อน +1

    ZANANI TULIZANI AMERICA UNAOKOTA HELA, KUMBE SHIDA TUPUU. NA SIYO AMERIKA TUU. HATA NCHI ZA ULAYA. SAA NYINGINE UTAKUTA WATU WANAVYOUSHI MPAKA UNAJIULIZA HIVI KWA NINI WAKO HAPA?

    • @ShedrackFaustin
      @ShedrackFaustin 2 หลายเดือนก่อน

      Kwani we shida yako ni nn, siufanye yako, kila mtu ana haki yakuishi popote na kuchagua, Africa ni shida tupu, kazi kuuza mali asiri za nchi na kutekana,, kama mambwa