MCH NIKODEM MWAHANGILA.ATOBOA SIRI YA MITUME NA MANABII FEKI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 121

  • @sweetbertnswima5352
    @sweetbertnswima5352 2 ปีที่แล้ว +1

    Asante sana mtumishi wa Mungu Baba Jehova akutunze na akulinde katika la Yesu.🎌🎌🎌🎌

  • @susanwanyoni249
    @susanwanyoni249 2 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen Mtumishi wa Mungu aki tumepotea kabisa from Kenya

  • @daisyakhini9331
    @daisyakhini9331 2 ปีที่แล้ว +1

    Barikiwa sana, ahsante aki dunia watu wanakimbilia miujiza, waaah mimi mingu wa binguni ndo naamini

  • @neemaedward6627
    @neemaedward6627 2 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi nimelewa vizuri sana Mungu akuinuwe kwa viwango vya juuu

  • @ruciasimeo4431
    @ruciasimeo4431 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki mtumishi uliyejitoa muhanga kuisema kweli, utalipwa usipoimia roho,utawaponya wengi

  • @dorislinus8296
    @dorislinus8296 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa San mtumishi w mungu kw injili yko

  • @PamboCharo
    @PamboCharo 6 หลายเดือนก่อน

    😢😢😢Mungu akubariki na akulinde na akutunze wafutwe kazi katika jina la yesu wasitoe kafara

    • @ZacharyYohana
      @ZacharyYohana 2 หลายเดือนก่อน

      Mungu akubariki baba

  • @ephraimndelwa4073
    @ephraimndelwa4073 2 ปีที่แล้ว +3

    Kwa maelezo unayotoa kuna watumishi nawahis kama ndo unaowalenga lkn mbona wanatumia jina la Yesu!?

    • @srdorcaskulimushi3195
      @srdorcaskulimushi3195 2 ปีที่แล้ว

      Sikila aniitao bwana bwana wote ni wana wangu wengi uvaa ngozi za kondo kumbe mbwamwitu

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai หลายเดือนก่อน

      Wanataka jina la Yesu mwingine wa muigo sio ule Yesu Kristo mwana wa Mungu.😢

    • @Esthermordecai
      @Esthermordecai หลายเดือนก่อน

      Yesu wanayemtaja sio Yesu Kristo,Bali ni Yesu asiye wa kweli.

  • @jackkerubo6158
    @jackkerubo6158 2 ปีที่แล้ว

    Barikiwa sana mchungaji Mungu wa amani akuongezee

  • @jacoblongo1244
    @jacoblongo1244 2 ปีที่แล้ว

    Sahihi mtumishi wa yesu kristo ubarikiwe 🤝🤝🤝🤝 wazizi hawa jamaa balaa

  • @LazaroDamiano
    @LazaroDamiano ปีที่แล้ว

    Miujiza ni kwa ajili ya wasioamini, ndy mahali watu wamepotea, mtumishi wa Mungu

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki wakupingao ni mashetani

  • @joycembosa210
    @joycembosa210 2 ปีที่แล้ว

    Mch mungu akubariki naomba namba zako niongee nawewe ninashida.

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn 1:29 1:31

  • @neemajames5368
    @neemajames5368 2 ปีที่แล้ว

    Amina sana naomba Mungu anitokee

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael หลายเดือนก่อน

    ❤❤ barikiwa mtumishi

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda bule mchungaji

  • @jenniferpita6885
    @jenniferpita6885 2 ปีที่แล้ว

    Amina mungu akulinde

  • @christianmlelwa2351
    @christianmlelwa2351 3 ปีที่แล้ว +1

    Pastor maswali ,hivi Kuna wengine Wana taja jina la yesu nawana kuwa na maji na mafuta hapo Ina kuwaje naomba ufafanuzi vizuri hapo

    • @alexjos7625
      @alexjos7625 2 ปีที่แล้ว

      Imeandikwa watataja jina la Yesu ila si wa yesu..angalia matendo yao

  • @jeanettegloria6244
    @jeanettegloria6244 4 ปีที่แล้ว +3

    Ubarikiwe sana

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi mungu akulinde katika jina la Yesu

  • @maureenadega1065
    @maureenadega1065 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe pst 🙏🙏

  • @yasminebukhebi7907
    @yasminebukhebi7907 2 ปีที่แล้ว

    Amen Asante sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏

  • @fanicejotham9431
    @fanicejotham9431 2 ปีที่แล้ว +1

    Umenifunza kitu mtumishi wa Mungu.Hayo mafuta ni Olive oil ama?

  • @elizabethbentil3100
    @elizabethbentil3100 2 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU .

  • @jesusfirstchurch4162
    @jesusfirstchurch4162 2 ปีที่แล้ว

    Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.

  • @philimanmbowe6226
    @philimanmbowe6226 4 ปีที่แล้ว

    Mchungaji napenda kuwa na namba yako maana watu wametutesa sana na kutuonea

  • @zainaelia1746
    @zainaelia1746 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe mwanawitu nakupenda 🥰 bure kaka

  • @mathildaapiyo3684
    @mathildaapiyo3684 2 ปีที่แล้ว

    Asanti sana mutumishi wa mungu watu wengi tumeumia

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 ปีที่แล้ว

    Mtumishi mungu akulinde

  • @makimbiliotemplembeya8972
    @makimbiliotemplembeya8972 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana mtumish

  • @upendopeter5358
    @upendopeter5358 2 ปีที่แล้ว

    Tumekusikia pastor ila hilo jina ulilojiita osama.lifute.jiite tu mchungaji linajitosheleza sana.

  • @ev.eng.enockl.mwakapalila2499
    @ev.eng.enockl.mwakapalila2499 4 ปีที่แล้ว

    Ameni sana baba kwa kazi njema hii

  • @mosesmussa2096
    @mosesmussa2096 2 ปีที่แล้ว +2

    Hubiri Ufalme Mungu Akuinue Siyo Kusema Watu Wengine Ukadhani Ndo Utakuwa Na Kanisan Kubwa Hapana

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 11 หลายเดือนก่อน

      Hata mimi sijapenda kabisa yeye ahubili wito wake alioitiwa acha kusema watumishi baba siyo hicho ulichoitiwa

    • @gracemahugi4380
      @gracemahugi4380 11 หลายเดือนก่อน

      Kila mtumishi anaitwa kwa namna yake

    • @mosesmussa2096
      @mosesmussa2096 11 หลายเดือนก่อน

      @@gracemahugi4380 Umeona Eh

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 10 หลายเดือนก่อน

      Kanisa analo kubwa sana ko hatafuti kuwa na kanisa kubwa anaongea ukweli na watu siku zote hatupendi ukweli

    • @mosesmussa2096
      @mosesmussa2096 10 หลายเดือนก่อน

      @@huldavalence7823 Unaijua Habari njema ya Kristo?

  • @Ursain.IKE.jesuis9365
    @Ursain.IKE.jesuis9365 2 ปีที่แล้ว

    Mungu wa Bwana wetu yesu asifiwe Baba na taka namb ya ya kwako whatsapp

  • @gib3888
    @gib3888 2 ปีที่แล้ว

    apostle pray 4me plz 🙏

  • @subilamwakalobo433
    @subilamwakalobo433 2 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe

  • @graceriziki7339
    @graceriziki7339 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki sana

  • @octaviachusi6153
    @octaviachusi6153 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @srdorcaskulimushi3195
    @srdorcaskulimushi3195 2 ปีที่แล้ว

    Hewe aduwi wa shetani hacha mungu akulinde

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akulinde

  • @joshuaadam2998
    @joshuaadam2998 2 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi wamungu

  • @neemamfusi4446
    @neemamfusi4446 2 ปีที่แล้ว

    MUNGU akubariki na azidi kukutumia zaidi

  • @domisianpius214
    @domisianpius214 4 ปีที่แล้ว +1

    Ubarikiwe kamanda

  • @AIDANIKAHIMBI-ql6tn
    @AIDANIKAHIMBI-ql6tn 9 หลายเดือนก่อน

    Amen mtumishi

  • @edithanchimbi2754
    @edithanchimbi2754 2 ปีที่แล้ว

    Mungu akubariki saaanaaa baba

  • @AidaRaphael
    @AidaRaphael หลายเดือนก่อน

    Kuna mtume mmoja kila anapoenda kwenye mkoa lazima ajali itokee kwenye mkoa huo?? Sasa ndio nini,,??

  • @myself4128
    @myself4128 2 ปีที่แล้ว

    Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani

  • @gabbymwamulima345
    @gabbymwamulima345 2 ปีที่แล้ว

    Nimejiunga kwako mchungaji mwahangila,Niko Lusaka zambia.nisaidie mtumishi mbona nafanya kazi Ila vitu haviendi kwenye familia yangu.

    • @nikodemmwahangila3334
      @nikodemmwahangila3334  2 ปีที่แล้ว

      Kalibu

    • @talpacompany8358
      @talpacompany8358 6 หลายเดือนก่อน

      ​@@nikodemmwahangila3334here,naitwa much.kabasa ni mwagalizi section ya mbogwe naomba n.mtumishi

  • @sponsoredbygrace6832
    @sponsoredbygrace6832 2 ปีที่แล้ว

    I HAVE SUSCRIBED THIS IS BITTER TRUTH OOH!!

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 ปีที่แล้ว

    Amina mtumishi wa Mungu

  • @annehaysanday9214
    @annehaysanday9214 2 ปีที่แล้ว

    Na haya watu wanayochota kwenye ndoo na wengine wanatumia mafuta ya kula je hayo pia yanawekewa nguvu nyingine

  • @euniceenike2240
    @euniceenike2240 2 ปีที่แล้ว

    Daddy twaomba number yako ya whatsap wengine tuko mataifa ya nje na ni expensive Sana kukupigia direct

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 ปีที่แล้ว

    Yaani MUNGU AZIDI KUKULINDA mtu wa MUNGU na songa mbele na YESU akupiganie zaidi

  • @Isackmagudzi
    @Isackmagudzi 4 ปีที่แล้ว +1

    AMINA,,,,,,,,"ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU"

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako Mtumishi

  • @JoyceNchama
    @JoyceNchama ปีที่แล้ว

    Baba bwana yesu asifiwe
    Baba samahan naomba unisaidie kwamaombi kwani napitiya magumu

  • @peterpaul-mq5qn
    @peterpaul-mq5qn ปีที่แล้ว

    Mwenye masikio amesikia japo kizazi cha leo hakisikii wala kushituka

  • @Neema182
    @Neema182 4 ปีที่แล้ว

    Mtumishi page yako Facebook inaitwaje?

  • @claretkinembwe3452
    @claretkinembwe3452 2 ปีที่แล้ว

    Ameni mchungaji nakufatilia

  • @uchaguzipiusbusurwa3584
    @uchaguzipiusbusurwa3584 2 ปีที่แล้ว

    Naomba namba yako paster ..

  • @EstraEmily
    @EstraEmily 5 หลายเดือนก่อน

    Amina baba

  • @esnartkayuni558
    @esnartkayuni558 ปีที่แล้ว

    Amen and amen

  • @anitababyderickwasike7872
    @anitababyderickwasike7872 2 ปีที่แล้ว

    niukweli mutumishi haya mambo yapo na pia yanatendeka watu wa Mungu hawaoni hawasikii hawafikirii

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana baba

  • @isakayolam
    @isakayolam 4 ปีที่แล้ว

    ubalikiwe mtumishi wa mungu

  • @NEEMAMAEDA-u1m
    @NEEMAMAEDA-u1m 5 หลายเดือนก่อน

    Haleluya

  • @Neema182
    @Neema182 4 ปีที่แล้ว

    Kweli kabisa

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 ปีที่แล้ว

    Nitakupata wapi mtumishi nimependa sana mafundisho niko na kanisa imani yako dio yako natoka sirare Kenya

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 10 หลายเดือนก่อน

      Yupo Tanzania jijini Mbeya airport ya zamani

  • @elizabethbentil3100
    @elizabethbentil3100 2 ปีที่แล้ว +1

    AMEN AMEN AMEN

  • @venancemwakibete9830
    @venancemwakibete9830 2 ปีที่แล้ว

    Hiyo ndiyo injili inayotakiwa kwa sasa

  • @Shalom2018
    @Shalom2018 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @sixteenonline9811
    @sixteenonline9811 4 ปีที่แล้ว +1

    Sema baba sema tunapona

  • @ngangadk
    @ngangadk 2 ปีที่แล้ว

    Tutebelee hapa Kenya

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 ปีที่แล้ว

    Asifiwe yesu mtumishi nime pendeswa sana na ujumbe wako mtumishi imani yako dio yako nita kupata wapi Niko na kanisa natoka sirare Kenya

  • @carolinenakirutimana1559
    @carolinenakirutimana1559 2 ปีที่แล้ว

    Sasa askofu Sumbe na gwajima mbona wana waumini wengi nawo ni wa nabi feke?

    • @emmiKalagho
      @emmiKalagho 4 หลายเดือนก่อน

      Gwajima hauzi Majii Wala matakataka yote hayo

  • @gib3888
    @gib3888 2 ปีที่แล้ว

    Wooooiiii mungu wangu

  • @anthonyzambi4415
    @anthonyzambi4415 4 ปีที่แล้ว

    Barikiwa

  • @MariamuJoseph-z2j
    @MariamuJoseph-z2j ปีที่แล้ว

    Ameni

  • @ajohj.mwanjala8913
    @ajohj.mwanjala8913 4 ปีที่แล้ว

    Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili
    Maana maandiko yako bayana kwamba
    WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
    BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE

  • @gib3888
    @gib3888 2 ปีที่แล้ว

    amen amen 🙏

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 2 ปีที่แล้ว

    We usiende huko kwenye mafuta utaenda jehanamu

  • @gib3888
    @gib3888 2 ปีที่แล้ว

    AMEN

  • @vj8313
    @vj8313 2 ปีที่แล้ว

    🔥🙏🙏

  • @jumakalinga2496
    @jumakalinga2496 2 ปีที่แล้ว

    Kwelikabisa

  • @janeatiang4883
    @janeatiang4883 2 ปีที่แล้ว

    A

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 ปีที่แล้ว

    Uongo utakuja kukugharimu hapo tu umechonga pembe za ndefu na pembeni kwa kichwa biblia ilishakataza

    • @huldavalence7823
      @huldavalence7823 10 หลายเดือนก่อน

      Hajaongea uongo wowote anachokiongea ni ukweli tu

  • @roseu728
    @roseu728 2 ปีที่แล้ว

    Amen and Amen 🙏🙏

    • @ruciasimeo4431
      @ruciasimeo4431 2 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki saana kwa kusema kweli

    • @ruciasimeo4431
      @ruciasimeo4431 2 ปีที่แล้ว

      Mungu akutunze uendelehe kuwalipua wakina Mwamposa na wengine wengi

  • @mwl.michaelsainethmlowe2641
    @mwl.michaelsainethmlowe2641 4 ปีที่แล้ว

    Isheee ntuwe nahovyoha ntu wewe uyendelele

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 หลายเดือนก่อน

    Nakukubali san mchungaji wangu jamn

  • @LinahMwakamsale
    @LinahMwakamsale 4 หลายเดือนก่อน

    Nakupenda bule mchungaji

  • @MarryJoseph-s5x
    @MarryJoseph-s5x ปีที่แล้ว

    Amina

  • @annahayasanday7174
    @annahayasanday7174 2 ปีที่แล้ว

    Amen

  • @agneshassan4712
    @agneshassan4712 2 ปีที่แล้ว

    Amina

  • @annjuma3395
    @annjuma3395 4 ปีที่แล้ว

    Amen