Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.
Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani
Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili Maana maandiko yako bayana kwamba WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe. BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE
Asante sana mtumishi wa Mungu Baba Jehova akutunze na akulinde katika la Yesu.🎌🎌🎌🎌
Amen and Amen Mtumishi wa Mungu aki tumepotea kabisa from Kenya
Barikiwa sana, ahsante aki dunia watu wanakimbilia miujiza, waaah mimi mingu wa binguni ndo naamini
Amina mtumishi nimelewa vizuri sana Mungu akuinuwe kwa viwango vya juuu
Mungu akubariki mtumishi uliyejitoa muhanga kuisema kweli, utalipwa usipoimia roho,utawaponya wengi
Barikiwa San mtumishi w mungu kw injili yko
😢😢😢Mungu akubariki na akulinde na akutunze wafutwe kazi katika jina la yesu wasitoe kafara
Mungu akubariki baba
Kwa maelezo unayotoa kuna watumishi nawahis kama ndo unaowalenga lkn mbona wanatumia jina la Yesu!?
Sikila aniitao bwana bwana wote ni wana wangu wengi uvaa ngozi za kondo kumbe mbwamwitu
Wanataka jina la Yesu mwingine wa muigo sio ule Yesu Kristo mwana wa Mungu.😢
Yesu wanayemtaja sio Yesu Kristo,Bali ni Yesu asiye wa kweli.
Barikiwa sana mchungaji Mungu wa amani akuongezee
Sahihi mtumishi wa yesu kristo ubarikiwe 🤝🤝🤝🤝 wazizi hawa jamaa balaa
Miujiza ni kwa ajili ya wasioamini, ndy mahali watu wamepotea, mtumishi wa Mungu
Mungu akubariki wakupingao ni mashetani
Mch mungu akubariki naomba namba zako niongee nawewe ninashida.
Nakukubali san mchungaji wangu jamn 1:29 1:31
Amina sana naomba Mungu anitokee
Nakukubali san mchungaji wangu jamn
❤❤ barikiwa mtumishi
Nakupenda bule mchungaji
Amina mungu akulinde
Pastor maswali ,hivi Kuna wengine Wana taja jina la yesu nawana kuwa na maji na mafuta hapo Ina kuwaje naomba ufafanuzi vizuri hapo
Imeandikwa watataja jina la Yesu ila si wa yesu..angalia matendo yao
Ubarikiwe sana
Mtumishi mungu akulinde katika jina la Yesu
Ubarikiwe pst 🙏🙏
Amen Asante sana mutumishi wa mungu 🙏🙏🙏
Umenifunza kitu mtumishi wa Mungu.Hayo mafuta ni Olive oil ama?
Ubarikiwe Mtumishi wa MUNGU .
Waongo Sana hao MASHETANI wanawateka wenye tamaa za pesa..wanadanganya hakuna kafara..ukiingia tu, wanaanza kumaliza familia baadae mtaka pesa nae wanamfuta.
Mchungaji napenda kuwa na namba yako maana watu wametutesa sana na kutuonea
Ubarikiwe mwanawitu nakupenda 🥰 bure kaka
Asanti sana mutumishi wa mungu watu wengi tumeumia
Mtumishi mungu akulinde
Ubarikiwe sana mtumish
Tumekusikia pastor ila hilo jina ulilojiita osama.lifute.jiite tu mchungaji linajitosheleza sana.
Ameni sana baba kwa kazi njema hii
Hubiri Ufalme Mungu Akuinue Siyo Kusema Watu Wengine Ukadhani Ndo Utakuwa Na Kanisan Kubwa Hapana
Hata mimi sijapenda kabisa yeye ahubili wito wake alioitiwa acha kusema watumishi baba siyo hicho ulichoitiwa
Kila mtumishi anaitwa kwa namna yake
@@gracemahugi4380 Umeona Eh
Kanisa analo kubwa sana ko hatafuti kuwa na kanisa kubwa anaongea ukweli na watu siku zote hatupendi ukweli
@@huldavalence7823 Unaijua Habari njema ya Kristo?
Mungu wa Bwana wetu yesu asifiwe Baba na taka namb ya ya kwako whatsapp
apostle pray 4me plz 🙏
Ubarikiwe
Mungu akubariki sana
Amina
Hewe aduwi wa shetani hacha mungu akulinde
Mungu akulinde
Amina mtumishi wamungu
MUNGU akubariki na azidi kukutumia zaidi
Ubarikiwe kamanda
Amen mtumishi
Mungu akubariki saaanaaa baba
Kuna mtume mmoja kila anapoenda kwenye mkoa lazima ajali itokee kwenye mkoa huo?? Sasa ndio nini,,??
Mitume wapo 12 wale Tenashara...Manabii wa kweli hawana mbwebwe za kutabiri maisha ya mtu izo ni Ramli..Nabii anabeba Neno la Mungu sio kwamba yeye tena asome neno la Mungu yeye anakuwa kinywa cha Mungu hapa duniani
Nimejiunga kwako mchungaji mwahangila,Niko Lusaka zambia.nisaidie mtumishi mbona nafanya kazi Ila vitu haviendi kwenye familia yangu.
Kalibu
@@nikodemmwahangila3334here,naitwa much.kabasa ni mwagalizi section ya mbogwe naomba n.mtumishi
I HAVE SUSCRIBED THIS IS BITTER TRUTH OOH!!
Amina mtumishi wa Mungu
Na haya watu wanayochota kwenye ndoo na wengine wanatumia mafuta ya kula je hayo pia yanawekewa nguvu nyingine
Daddy twaomba number yako ya whatsap wengine tuko mataifa ya nje na ni expensive Sana kukupigia direct
Yaani MUNGU AZIDI KUKULINDA mtu wa MUNGU na songa mbele na YESU akupiganie zaidi
AMINA,,,,,,,,"ADUI YANGU KUFA BADALA YANGU"
Naomba namba yako Mtumishi
Baba bwana yesu asifiwe
Baba samahan naomba unisaidie kwamaombi kwani napitiya magumu
Mwenye masikio amesikia japo kizazi cha leo hakisikii wala kushituka
Mtumishi page yako Facebook inaitwaje?
Ameni mchungaji nakufatilia
Naomba namba yako paster ..
Amina baba
Amen and amen
niukweli mutumishi haya mambo yapo na pia yanatendeka watu wa Mungu hawaoni hawasikii hawafikirii
Safi sana baba
ubalikiwe mtumishi wa mungu
Haleluya
Kweli kabisa
Nitakupata wapi mtumishi nimependa sana mafundisho niko na kanisa imani yako dio yako natoka sirare Kenya
Yupo Tanzania jijini Mbeya airport ya zamani
AMEN AMEN AMEN
Hiyo ndiyo injili inayotakiwa kwa sasa
Amen
Sema baba sema tunapona
Tutebelee hapa Kenya
Asifiwe yesu mtumishi nime pendeswa sana na ujumbe wako mtumishi imani yako dio yako nita kupata wapi Niko na kanisa natoka sirare Kenya
Sasa askofu Sumbe na gwajima mbona wana waumini wengi nawo ni wa nabi feke?
Gwajima hauzi Majii Wala matakataka yote hayo
Wooooiiii mungu wangu
Barikiwa
Ameni
Nimeipenda sana hii baba hiii ndiyo injili
Maana maandiko yako bayana kwamba
WAGALATIA 1:8 Lakini ijapokuwa sisi au malaika wa mbinguni atawahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo tuliyowahubiri, na alaaniwe.9 Kama tulivyotangulia kusema, na sasa, nasema tena, mtu awaye yote akiwahubiri ninyi injili yo yote isipokuwa hiyo mliyoipokea, na alaaniwe.
BULDOZA TINGATINGA OSAMA ULIYEJITOA MUHANGA KWA AJILI YA INJILI TOBOA SIRI BABA LAZIMA WAPIGWEEE
Mungu akutunze baba
amen amen 🙏
We usiende huko kwenye mafuta utaenda jehanamu
AMEN
🔥🙏🙏
Kwelikabisa
A
Uongo utakuja kukugharimu hapo tu umechonga pembe za ndefu na pembeni kwa kichwa biblia ilishakataza
Hajaongea uongo wowote anachokiongea ni ukweli tu
Amen and Amen 🙏🙏
Mungu akubariki saana kwa kusema kweli
Mungu akutunze uendelehe kuwalipua wakina Mwamposa na wengine wengi
Isheee ntuwe nahovyoha ntu wewe uyendelele
Barikiwa mtumishi
Nakukubali san mchungaji wangu jamn
Nakupenda bule mchungaji
Ubalikiwe
Amina
Amen
Amina
Amen