MSOMI WA DEGREE ALIYETAJIRIKA KWA KUFUGA MBWA HATARI, ANAO ZAIDI YA 300, MBWA HADI MILIONI 10

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 1 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 70

  • @hamismndeme9501
    @hamismndeme9501 7 หลายเดือนก่อน

    Napenda kuona watu wakiingia kwenye ufugaji bora wa mbwa. Safi ndugu yangu mringo

  • @johaivenemil2608
    @johaivenemil2608 9 หลายเดือนก่อน +5

    Hivii Vipindii huwa ni vizurii sanaa kwenye hii channel ilaa napenda kutoa maoni yangu kwa haswa wanakuwa wanahoji they should atleast do some home work sababu apaa tukiangalia tunajaribu kutafta cha kujifunza wasiwe kama wanapiga story wawe na vitu crucial vya kuuliza iswe na wao wanashangaa they should atleast have something ili na watazamaji kupata madini ya kutoshaa

  • @geofreymsofe4429
    @geofreymsofe4429 9 หลายเดือนก่อน

    Hongera ndugu umejitahidi inabidi utafute na breeds nyingine

  • @mosespeter5618
    @mosespeter5618 9 หลายเดือนก่อน +8

    Mimi nipo south Africa Pretoria hongera sana ndugu yangu nimkwel aina hii ya mbwa inabei sana nitatafuta mawasiliano yako kunakitu umeniongeza sana .

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel 9 หลายเดือนก่อน

      Ahsante sana kaka karb sana

    • @Jurbeg
      @Jurbeg 9 หลายเดือนก่อน

      MiMi niko jurbg ila nataka kuamia Pretoria wajina wangu mpaka jina la Baba yangu 🥰🥰🥰🇿🇦

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel 9 หลายเดือนก่อน

      @@Jurbeg ooh aise naagiza sana mbwa hapo kak nikama second home

    • @Josephkisava
      @Josephkisava 9 หลายเดือนก่อน

      Kaka naomba mawasiliano yakoo

    • @HuseinJomba
      @HuseinJomba 9 หลายเดือนก่อน +1

      Haya na ww tafuta mbwa uje utuzie milioni3

  • @KhalifaMustapha-lx7ni
    @KhalifaMustapha-lx7ni 9 หลายเดือนก่อน

    Gongradulation 🎉 brother god stand with you on your business ❤❤

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 9 หลายเดือนก่อน

    Nakubari kakaaaa!!!!! Mringo hardweare

  • @nwntz
    @nwntz 9 หลายเดือนก่อน +1

    Safi sana kijana mwenzangu ✊✊✊

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 9 หลายเดือนก่อน +4

    NONDO WA ARUSHA Ndio Kiboko yao.

    • @eyezarc1239
      @eyezarc1239 9 หลายเดือนก่อน

      Kuna mixer kook wengi pale

    • @dismasmtui729
      @dismasmtui729 9 หลายเดือนก่อน

      Nondo aliniuzia mbwa mgonjwa nimehangaika naye mpaka amekufa juzi, nikanunua mbwa mwingine kumbe alicross na mbwa wa mtaani.Kwa hiyo ukideal naye unatakiwa uwe makini sana!. Huwa anachukua mbwa wa watu wengine halafu anasema ni wa kwake.

    • @benahgrafix
      @benahgrafix 9 หลายเดือนก่อน

      @@dismasmtui729duuh jamaa sio kumbe

  • @dstar8454
    @dstar8454 9 หลายเดือนก่อน

    goood sema mm nnamtafuta alabai dog nnaweza kumpataje?na shingapi hata kama ana miez 2 powaaa

  • @CharlesChizo-se2qt
    @CharlesChizo-se2qt 9 หลายเดือนก่อน +1

    sio masihara hata me ndo kazi yangu hiii ukiona km dharau hv ila wanahela nzuri hao viumbe ooohoooo

  • @jumaamohamed2815
    @jumaamohamed2815 9 หลายเดือนก่อน

    Hao mbwa ni noma kabisa aisee, Wana hatari sana

  • @highlightboy255
    @highlightboy255 9 หลายเดือนก่อน +6

    MSOMI WA DEGREE TATU ANAUZA NYANYA KARATU OYAA WANANGU TUPAMBANE TUJIAJIRI

    • @clementhiddi1486
      @clementhiddi1486 9 หลายเดือนก่อน +1

      Ndiyo maana ya kusoma ili ujitambue.

  • @unuc4100
    @unuc4100 9 หลายเดือนก่อน +6

    Iyo hesabu ya wapi mtangazaji 16+8=30

    • @boscopeter6183
      @boscopeter6183 9 หลายเดือนก่อน

      Hahaha ndugu mtangazaji kateleza tumsamehe bure

  • @HuseinJomba
    @HuseinJomba 9 หลายเดือนก่อน

    Duh ni bora uweke cctv tu yaani milion2😂 akiugua ama kufa 😢

  • @amrandonwayz3445
    @amrandonwayz3445 9 หลายเดือนก่อน

    kaka pupy wako viwango sana ntarudi kuchukua wengine aisee

  • @lefinhoAbubakary
    @lefinhoAbubakary 9 หลายเดือนก่อน +1

    Boom Allah atuongezee kweny kaz ya mikono yetu

  • @MWIGAADAM-r3e
    @MWIGAADAM-r3e 9 หลายเดือนก่อน

    Rajab handsome

  • @hmedoggftherljih199
    @hmedoggftherljih199 9 หลายเดือนก่อน +1

    Bruh unahitaji elimu zaidi (dogshandler)

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel 9 หลายเดือนก่อน

      Yes kk ni kweli bado najifunza

  • @YogweMwakulola
    @YogweMwakulola 8 หลายเดือนก่อน

    Yaani hamjui ata hesabu 8+16 ni 30 kweli ?

  • @RegobertoNyalu
    @RegobertoNyalu 9 หลายเดือนก่อน

    Naomb namb yak

  • @SarahLyimo-wr3ed
    @SarahLyimo-wr3ed 9 หลายเดือนก่อน

    Mimi nahitaji huyo mbwa nipe mawasiliano yakopls

  • @abellymwambwiga
    @abellymwambwiga 9 หลายเดือนก่อน +1

    Unapatikana wap

    • @mringoboerboel
      @mringoboerboel 9 หลายเดือนก่อน

      Nipo dsm msongola

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 9 หลายเดือนก่อน

    Congrats Rajab❤

  • @tupacthedon7104
    @tupacthedon7104 9 หลายเดือนก่อน

    16+8 =30 😂😂😂
    Bado hamjasema😂😂

  • @allandavid870
    @allandavid870 9 หลายเดือนก่อน +5

    Degree elimu ya kawaida siku hizi, huezi muita mwenye degree msomi

    • @Gamba81
      @Gamba81 9 หลายเดือนก่อน +1

      Basi tumuite mvuvi

    • @IsaacMichael-fw4cx
      @IsaacMichael-fw4cx 9 หลายเดือนก่อน +3

      Wewe unavyosema degree ndogo kwenu Kuna maprofesa wangapi?

    • @usercabal
      @usercabal 9 หลายเดือนก่อน

      Ww sawa professor

    • @mosespeter5618
      @mosespeter5618 9 หลายเดือนก่อน

      Yan duniani wenye wivu hawakosi nikuulize bongo kiwango cha awali kumuajili mtu Na kiwango cha mshahara cha level ya serikali nikipi upuhuzi Tu jamaa amepiga Tena economic salute kwake Sana 🎉

    • @IsaacMichael-fw4cx
      @IsaacMichael-fw4cx 9 หลายเดือนก่อน

      @@mosespeter5618 kutokana na chuki na wivu wabongo wanapenda kukosoa Kila kitu
      ✓ ukinunua gari utasikia gari gani hili
      ✓ ukijenga utasikia nyumba gani
      ✓ ukioa utasikia mke gani huyo
      ✓ ukapata kazi utasikia kazi gani hyo
      Hawawezi kusifia wanaweza kukosoa tuu

  • @barakarobertmochungu
    @barakarobertmochungu 9 หลายเดือนก่อน

    Sasa mbona mmeandika mbwa 300 badala ya 30

  • @godlema6104
    @godlema6104 9 หลายเดือนก่อน

    Kumbe mwenye degree nae nimsomi

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 9 หลายเดือนก่อน +1

    Hawa huwa wanatimiza tu mashart ya waganga wao, ununue mbwa 5milion afu hio pesa utairudisha vip? Waongo sana hawa

    • @InnocentRichard-qs8ux
      @InnocentRichard-qs8ux 9 หลายเดือนก่อน +2

      Sawa masikini ww

    • @sadikidaudi460
      @sadikidaudi460 9 หลายเดือนก่อน

      Kiukweli kwenye hesabu sijamuelewa yaani bei yakununua kubwa kuliko yakuuza labda kama mbwa anazaa watoto 100

    • @AnziraniShirima
      @AnziraniShirima 9 หลายเดือนก่อน +1

      @@sadikidaudi460 mbwa jike mmoja anagharim 5million faida kwake ni watoto watakao zaliwa na mbwa jike huyo mfno jike kazaa watoto sita kila mtoto 2million lazima apate faida

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kama wewe si mfugaji utakuwa na mawazo hayo. Kwa sisi wafugaji kwa bei ya hao mbwa faida lazima upate. Hao mbwa wanapendwa sana na wafanyabiashara kuinda mali. Sasa amenunua miloni 5 na ni jike. Akizaa watotoo 10 awamu ya kwanza @2,500,000/= anapata milion 25/=. Na mbwa anazaa mara 3 kwa mwaka. Vipi hapo faida hakuna?

    • @deograsiastemba9381
      @deograsiastemba9381 หลายเดือนก่อน

      duh! Hakuna biashara nzuri kama ya mbwa jaribu kufuatilia utaona kwa nn watu wanafuga? Na bei zao utaona zilivyo juu

  • @dennisnyakilambo3992
    @dennisnyakilambo3992 9 หลายเดือนก่อน

    wale wa mapema tujuane kwa likes

  • @samtechtanzania3252
    @samtechtanzania3252 9 หลายเดือนก่อน

    bei gani namtaka mmoja

  • @jospehfabian7856
    @jospehfabian7856 9 หลายเดือนก่อน +3

    16+8=30

  • @FahadMasoud-g9k
    @FahadMasoud-g9k 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mzee wa sotele

  • @Nuhugodfrey1-s3j
    @Nuhugodfrey1-s3j 9 หลายเดือนก่อน +2

    nahitaji mbwa wa bure

    • @FahadAbubakari
      @FahadAbubakari 9 หลายเดือนก่อน +6

      Nenda jalalani wako kibao

    • @CharlesMhindi
      @CharlesMhindi 9 หลายเดือนก่อน

      😢😢😢😢

    • @melanialeonard4031
      @melanialeonard4031 9 หลายเดือนก่อน

      Mbona wako wengi tu

    • @TheBastarrrd
      @TheBastarrrd 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂​@@FahadAbubakari

    • @youthchanel8612
      @youthchanel8612 2 หลายเดือนก่อน

      Dah hatar​@@FahadAbubakari