Hivii Vipindii huwa ni vizurii sanaa kwenye hii channel ilaa napenda kutoa maoni yangu kwa haswa wanakuwa wanahoji they should atleast do some home work sababu apaa tukiangalia tunajaribu kutafta cha kujifunza wasiwe kama wanapiga story wawe na vitu crucial vya kuuliza iswe na wao wanashangaa they should atleast have something ili na watazamaji kupata madini ya kutoshaa
Nondo aliniuzia mbwa mgonjwa nimehangaika naye mpaka amekufa juzi, nikanunua mbwa mwingine kumbe alicross na mbwa wa mtaani.Kwa hiyo ukideal naye unatakiwa uwe makini sana!. Huwa anachukua mbwa wa watu wengine halafu anasema ni wa kwake.
Yan duniani wenye wivu hawakosi nikuulize bongo kiwango cha awali kumuajili mtu Na kiwango cha mshahara cha level ya serikali nikipi upuhuzi Tu jamaa amepiga Tena economic salute kwake Sana 🎉
@@mosespeter5618 kutokana na chuki na wivu wabongo wanapenda kukosoa Kila kitu ✓ ukinunua gari utasikia gari gani hili ✓ ukijenga utasikia nyumba gani ✓ ukioa utasikia mke gani huyo ✓ ukapata kazi utasikia kazi gani hyo Hawawezi kusifia wanaweza kukosoa tuu
@@sadikidaudi460 mbwa jike mmoja anagharim 5million faida kwake ni watoto watakao zaliwa na mbwa jike huyo mfno jike kazaa watoto sita kila mtoto 2million lazima apate faida
Kama wewe si mfugaji utakuwa na mawazo hayo. Kwa sisi wafugaji kwa bei ya hao mbwa faida lazima upate. Hao mbwa wanapendwa sana na wafanyabiashara kuinda mali. Sasa amenunua miloni 5 na ni jike. Akizaa watotoo 10 awamu ya kwanza @2,500,000/= anapata milion 25/=. Na mbwa anazaa mara 3 kwa mwaka. Vipi hapo faida hakuna?
Napenda kuona watu wakiingia kwenye ufugaji bora wa mbwa. Safi ndugu yangu mringo
Hivii Vipindii huwa ni vizurii sanaa kwenye hii channel ilaa napenda kutoa maoni yangu kwa haswa wanakuwa wanahoji they should atleast do some home work sababu apaa tukiangalia tunajaribu kutafta cha kujifunza wasiwe kama wanapiga story wawe na vitu crucial vya kuuliza iswe na wao wanashangaa they should atleast have something ili na watazamaji kupata madini ya kutoshaa
Hongera ndugu umejitahidi inabidi utafute na breeds nyingine
Mimi nipo south Africa Pretoria hongera sana ndugu yangu nimkwel aina hii ya mbwa inabei sana nitatafuta mawasiliano yako kunakitu umeniongeza sana .
Ahsante sana kaka karb sana
MiMi niko jurbg ila nataka kuamia Pretoria wajina wangu mpaka jina la Baba yangu 🥰🥰🥰🇿🇦
@@Jurbeg ooh aise naagiza sana mbwa hapo kak nikama second home
Kaka naomba mawasiliano yakoo
Haya na ww tafuta mbwa uje utuzie milioni3
Gongradulation 🎉 brother god stand with you on your business ❤❤
Nakubari kakaaaa!!!!! Mringo hardweare
Safi sana kijana mwenzangu ✊✊✊
NONDO WA ARUSHA Ndio Kiboko yao.
Kuna mixer kook wengi pale
Nondo aliniuzia mbwa mgonjwa nimehangaika naye mpaka amekufa juzi, nikanunua mbwa mwingine kumbe alicross na mbwa wa mtaani.Kwa hiyo ukideal naye unatakiwa uwe makini sana!. Huwa anachukua mbwa wa watu wengine halafu anasema ni wa kwake.
@@dismasmtui729duuh jamaa sio kumbe
goood sema mm nnamtafuta alabai dog nnaweza kumpataje?na shingapi hata kama ana miez 2 powaaa
sio masihara hata me ndo kazi yangu hiii ukiona km dharau hv ila wanahela nzuri hao viumbe ooohoooo
Ww uko wap mwana
Hao mbwa ni noma kabisa aisee, Wana hatari sana
MSOMI WA DEGREE TATU ANAUZA NYANYA KARATU OYAA WANANGU TUPAMBANE TUJIAJIRI
Ndiyo maana ya kusoma ili ujitambue.
Iyo hesabu ya wapi mtangazaji 16+8=30
Hahaha ndugu mtangazaji kateleza tumsamehe bure
Duh ni bora uweke cctv tu yaani milion2😂 akiugua ama kufa 😢
kaka pupy wako viwango sana ntarudi kuchukua wengine aisee
Karb sana mkuu
Boom Allah atuongezee kweny kaz ya mikono yetu
Rajab handsome
Bruh unahitaji elimu zaidi (dogshandler)
Yes kk ni kweli bado najifunza
Yaani hamjui ata hesabu 8+16 ni 30 kweli ?
Naomb namb yak
Mimi nahitaji huyo mbwa nipe mawasiliano yakopls
Unapatikana wap
Nipo dsm msongola
Congrats Rajab❤
Thanks so much
16+8 =30 😂😂😂
Bado hamjasema😂😂
😂😂😂
Degree elimu ya kawaida siku hizi, huezi muita mwenye degree msomi
Basi tumuite mvuvi
Wewe unavyosema degree ndogo kwenu Kuna maprofesa wangapi?
Ww sawa professor
Yan duniani wenye wivu hawakosi nikuulize bongo kiwango cha awali kumuajili mtu Na kiwango cha mshahara cha level ya serikali nikipi upuhuzi Tu jamaa amepiga Tena economic salute kwake Sana 🎉
@@mosespeter5618 kutokana na chuki na wivu wabongo wanapenda kukosoa Kila kitu
✓ ukinunua gari utasikia gari gani hili
✓ ukijenga utasikia nyumba gani
✓ ukioa utasikia mke gani huyo
✓ ukapata kazi utasikia kazi gani hyo
Hawawezi kusifia wanaweza kukosoa tuu
Sasa mbona mmeandika mbwa 300 badala ya 30
Kumbe mwenye degree nae nimsomi
Hawa huwa wanatimiza tu mashart ya waganga wao, ununue mbwa 5milion afu hio pesa utairudisha vip? Waongo sana hawa
Sawa masikini ww
Kiukweli kwenye hesabu sijamuelewa yaani bei yakununua kubwa kuliko yakuuza labda kama mbwa anazaa watoto 100
@@sadikidaudi460 mbwa jike mmoja anagharim 5million faida kwake ni watoto watakao zaliwa na mbwa jike huyo mfno jike kazaa watoto sita kila mtoto 2million lazima apate faida
Kama wewe si mfugaji utakuwa na mawazo hayo. Kwa sisi wafugaji kwa bei ya hao mbwa faida lazima upate. Hao mbwa wanapendwa sana na wafanyabiashara kuinda mali. Sasa amenunua miloni 5 na ni jike. Akizaa watotoo 10 awamu ya kwanza @2,500,000/= anapata milion 25/=. Na mbwa anazaa mara 3 kwa mwaka. Vipi hapo faida hakuna?
duh! Hakuna biashara nzuri kama ya mbwa jaribu kufuatilia utaona kwa nn watu wanafuga? Na bei zao utaona zilivyo juu
wale wa mapema tujuane kwa likes
bei gani namtaka mmoja
2.5m
Rajabu nakupataje aiseee
16+8=30
😅😅
Halooooo
Mzee wa sotele
Yes 😂
nahitaji mbwa wa bure
Nenda jalalani wako kibao
😢😢😢😢
Mbona wako wengi tu
😂😂@@FahadAbubakari
Dah hatar@@FahadAbubakari