Makamu wa Kwanza alivyowapasha Kitwana na wenziwe, awataka waitaje haki pia wanapoizungumzia amani

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 9 ก.พ. 2025
  • Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman akihutubia kwenye uzinduzi wa skuli Unguja.

ความคิดเห็น • 12

  • @ZanItalyTours
    @ZanItalyTours 10 วันที่ผ่านมา

    👏🏻👏🏻👏🏻

  • @KichinaHaji
    @KichinaHaji หลายเดือนก่อน +2

    Huyu jama hatari Bora upigwe na risasi unauwa haraka kuliko maneno ya mpemba huyu huyu Omo kiboko ya ya uchafu wote

  • @MshamAli-o4e
    @MshamAli-o4e หลายเดือนก่อน +1

    Waambie hap

  • @NassoroHaji-i8k
    @NassoroHaji-i8k หลายเดือนก่อน +1

    Waachambue chaambue hao mh omo

  • @HajiMakame-f5f
    @HajiMakame-f5f 16 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa Ubaya Ubwela Sana

  • @BakariMakame-j5f
    @BakariMakame-j5f 26 วันที่ผ่านมา

    Omo ana mfumo mgumu sana kama wa yanga gusa achia twende kwenye mada,ni dawa ya presha anojua elimu yake atakwambia ( wende vizuri na mada yako) turudi kwenye mada inasemaje nimesahau kuisoma nimeharakia kwenye mada AA watoto wetu ndiyo walimu wetu

  • @ConfusedBalkhHound-on2mx
    @ConfusedBalkhHound-on2mx หลายเดือนก่อน

    Omo waambie maana hawajitambui

  • @bongo39
    @bongo39 29 วันที่ผ่านมา

    Wewe omo sijui magadi baada ya kushirikiana na serikali iliyoko madarakani ili muipaishe zanzibar kimaendeleo kimapato huna ufanyalo zaidi ya mipasho tuu kili kukicha sii bora tujue moja tuu uingie kwenye taarab uimbe mipasho

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 29 วันที่ผ่านมา

      Watu hawahitaji kuuliwa kila kipindi cha uchaguzi binafsi linaniudhi jambo hilo na ccm ndio chanzo cha mauaji ili waendelee kubaki madarakani .tufanye uchaguzi bila hadaa na wala yasitokee mauaji kwa sababu chama fulani kibaki madarakani .

    • @jumamohamed3168
      @jumamohamed3168 29 วันที่ผ่านมา

      Hayo maneno anayo zungumza yasikilize vizuri utaelewa nini anachokusudia ,au wewe watu wakipoteza maisha kwa sababu ya uchaguzi huumizwi na hilo ,kama unaumizwa basi ungemchukia anayefanya hadaa na dhulma katika chaguzi kwa sababu unajua kitakachotokea ikifanyika dhulma na hadaa.na huwezi kumchukia anayesisitiza haki itendeke na dhulma iondoke ili amani itamalaki.

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Naona wewe akili zako zimeshikiliwa na mshipa wako wa haja kubwaaa!😂

    • @AliSalim-yu4mo
      @AliSalim-yu4mo 3 ชั่วโมงที่ผ่านมา

      Au wewe ni miongoni mwa Watanganyika muliopewa vitambulisho vya Uzanzibari na kutaka kupiga Kura?