SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ต.ค. 2022
  • SISI KWA MTUME MAFALA | BABA YANGU ALIMTAFUNA MWANAMKE JUU YA MTI AKATUBU - SHEIKH ANUARI JONGO
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 35

  • @Marjeby
    @Marjeby ปีที่แล้ว +5

    Jamaa anatoa mawaidha vizuri sana unapata hamu ya kumsikiliza tuu

  • @jumakadamila8794
    @jumakadamila8794 4 หลายเดือนก่อน

    Allahuma Salli Ala Sayyidna Muhammad Ya Rabbi Salli aleyhi Wasaliim

  • @maalimjawzatulhindiiytamr3489
    @maalimjawzatulhindiiytamr3489 ปีที่แล้ว +3

    Maashallah sheikh nakuelewa sana

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 ปีที่แล้ว +6

    Allah akuhifadhi sikutegemea kukuona tena nimelia shekh nilikusikiza toka nasoma mpaka leo ninakazi ndoa na watoto ila basi ulianza daawa kijana sana shekh maana nilitegemea kwa sasa utakua mzee bastaajabu bado unanguvu

    • @alhilaltvonline
      @alhilaltvonline ปีที่แล้ว

      Unamkumbuka kwenye kisa Cha mfalme wa Sham.... Na sauti yake kwenye mashairi.... Zamani sana dada yangu

  • @swaumusuleemani7430
    @swaumusuleemani7430 ปีที่แล้ว +3

    Maashaallah umefikisha kwa ufupi ila ujumbe umetawala nyoyo na akili za watu watakao ibada ya allah

  • @alhilaltvonline
    @alhilaltvonline ปีที่แล้ว +3

    MaashaaAllah, mwamba wa kusimulia na mashairi yenye sauti.......

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 10 หลายเดือนก่อน

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.

  • @khamiskiandiko2965
    @khamiskiandiko2965 9 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah mwenyezi Mungu akupe umri mrefu sheikh wetu mimi mpaka nimedanlod mawaidha yako hasa kisa cha B Mariam

  • @maulidmohammed2762
    @maulidmohammed2762 ปีที่แล้ว +1

    Nimezingatia sana aliekufa kwa kiu cha kiangazi ndie aliepona zama za mvua ya masika

  • @miambayankeba1084
    @miambayankeba1084 ปีที่แล้ว

    Allah ukulipe Kila la heri ustazi wetu
    Nakupenda sana Kwa ajili ya Allah

  • @faiditv5535
    @faiditv5535 ปีที่แล้ว +4

    Ila vichwa vya habari ni vya upuuzi mnashusha heshima ya maustadh mnafanya vitu Kama makafiri bwana

  • @rashidikanyama7227
    @rashidikanyama7227 ปีที่แล้ว

    Ujumbe umefika SHEKHE

  • @user-qe8xp6ii1u
    @user-qe8xp6ii1u ปีที่แล้ว +3

    Huyu muhuni sas Maneno gan uliyoandik Mweny hii Chanel????Haifikii kutukanana.

  • @abuuazhar3738
    @abuuazhar3738 ปีที่แล้ว

    Safi sana wasahili hawafichi jambo.

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 ปีที่แล้ว

    maashaallah

  • @mubaraksaidi6242
    @mubaraksaidi6242 ปีที่แล้ว

    siyo upuzii huo bali ume fika huo Asnte sheikh

  • @mchuzionlinetv9962
    @mchuzionlinetv9962 ปีที่แล้ว

    Duh kamla mtu juu ya muembe

  • @Abuuabdillah259
    @Abuuabdillah259 ปีที่แล้ว +1

    Upuuzi mtupu mcheni Allah

    • @hamzaswaibu9470
      @hamzaswaibu9470 ปีที่แล้ว +1

      Mpuuzi ni nani ??

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 ปีที่แล้ว

      Mwalim tufahamishe upuuzi upowapi ktk hayo aliyoyaongea nasi tupate faida. Shukran

    • @Abuuabdillah259
      @Abuuabdillah259 ปีที่แล้ว +2

      @@rashidmlawa6548 baba yangu alimla mtu juu ya mti mtu mzima mwenye akili zake timamu anaweza akaongea utumbo kama huu mbele ya hadhara watu

    • @rashidmlawa6548
      @rashidmlawa6548 ปีที่แล้ว +1

      Bac allah atujaalie uckivu kamahuu tulonao wakuckia makosa y watu tuckie namema pia kisha tuyafuate na tuwe wakweli ktk nafsizetu.

    • @Abuuabdillah259
      @Abuuabdillah259 ปีที่แล้ว

      @@hamzaswaibu9470 huyu sheikh wenu anaebwabwaja

  • @mussahussein3583
    @mussahussein3583 ปีที่แล้ว +1

    Kwakweli sio Maneno ya busara hata kidogo eti kuyaongea mbele ya hadhara kma hivi. Ndio mawaidha gani hayo ya style hiyo? Lakini then unaelezeamaovu yamtu tena ujajaribu kuwafahamisha watu ili wamjue nimtu gani eti kwasababu alikufata wewe anataka kutubu. Mhh

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 ปีที่แล้ว

    Hivi jamani mbona wahadhiri wengi wapumbavu wapumbavu msibani alafu unaleta mawaidha ya comedian alafu vitu gani unaongea wewe unajitambua kweli? Heee uislam umevamiwa na wahuni kweli

  • @allythabiti8150
    @allythabiti8150 10 หลายเดือนก่อน

    Sijui kwann mnaweka vichwa vya habar vya hovyo, vina maneno ya kihuni.