Eric Omondi - CCM, DIAMOND, MAGUFULI and ZUCHU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 323

  • @dieudonnebigirimana8083
    @dieudonnebigirimana8083 3 ปีที่แล้ว +10

    Omondi bhana we kiboko yao😂😂😂unatembea na nyota ya diamond 😃😃😃😃tunakupenda 🇧🇮🇧🇮🇧🇮 WCB wasafi💪💪💪in Africa number 1

  • @husnajuma6249
    @husnajuma6249 3 ปีที่แล้ว +84

    Kama umemuona wema sepetu gonga like twende sawa😂😂😂😂😂😂

  • @surayadunia7029
    @surayadunia7029 3 ปีที่แล้ว +58

    We jamaa unapenda kututania sana, iposiku tutakupiga makofi 😂😂😂😂

    • @massive8867
      @massive8867 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/IUuJF17dFdc/w-d-xo.html

  • @charlesotwalo9335
    @charlesotwalo9335 3 ปีที่แล้ว +14

    Ukweli usiopingika kabisa Magufuli ni pendo wa watu, hadi kutoka Mataifa mengine saf sana jpm ni kiongozi mwenye maono siku zote DAIMA. Big up, Eric Omondi

  • @natiiveson4846
    @natiiveson4846 3 ปีที่แล้ว +38

    Watanzania jirani zetu,
    Mchukueni huyo jamaa. Tumempatia.

  • @lydiathomas2905
    @lydiathomas2905 3 ปีที่แล้ว +32

    From Tz....🇹🇿🇹🇿 Eric we ni nomaaaa, come and live here😂😂😂

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 ปีที่แล้ว +2

    Mungu amekupa kipaji kizuri sana karibu Tz pia it's more important if u are born again my brother

  • @BONGO_FILAMU
    @BONGO_FILAMU 3 ปีที่แล้ว +7

    Eric umenifurahisha saaaana .... You are most talented in Africa

  • @jumamwengwa4682
    @jumamwengwa4682 3 ปีที่แล้ว +3

    Daaah!!!! Watu wanpig pesa kupitia #Mh,Magufuli#VIVA P MAGUFULI#CCM#TANZANIA#EAST AFRICA.

  • @EmanuellVictoria
    @EmanuellVictoria 3 ปีที่แล้ว +1

    Nimecheka ila eric wew mshenzi sana nakukubali, love from Tanzania

  • @babloomkisauji2818
    @babloomkisauji2818 3 ปีที่แล้ว +1

    Ubunifu very bogaz hamjajipanga... mumekurupuka... nawapenda lkn hapa N O

  • @mkakampole7802
    @mkakampole7802 3 ปีที่แล้ว +6

    😂😂😂😂😂 dah ila wewe ni fala kweli. Mimi kama mtanzania i appreciate ulicho kifanya Omondi... Umetuvunja mbavu aise

  • @KS-iw7qv
    @KS-iw7qv 3 ปีที่แล้ว +30

    🇹🇿✔😁😁 nyie mnapenda saana kutufatilia ila kwa nini hamuigi mpaka tabia zetu kuwa Hatubaguwani sisi si mnatuona kila time happy na tunapendana... 🇰🇪=🇹🇿

    • @linalinhwefwe6584
      @linalinhwefwe6584 3 ปีที่แล้ว +5

      Wewe bila shaka hujaenda shule ndo maana unaongozwa na mafeelings hii ni komedy na lazima uwe mbunifu katafuta content nje ya kenya keshafanya south afrika uganda na hata usa mbona una roho nyeusi kisha wasema tz raha. Mimi mkenya na shida zangu huja wakati Niko mgonjwa tu wewe una shida ndogondogo una raha kweli?

    • @dgt6303
      @dgt6303 3 ปีที่แล้ว +4

      Asee HK nmependa comment yako Kenyan hasa Eric anapenda sana kutoa comedy kuhusu tz na wasanii wao wanapenda mambo yetu ila sasa wangejitahidi wakaiga hata tabia yetu ya kutobaguana ili wapunguze ukabila kwao. Tunawapenda na tunapenda kuona wanaishi bila ukabila kama sisi

    • @linalinhwefwe6584
      @linalinhwefwe6584 3 ปีที่แล้ว +5

      Nyinyi ndio mnafaa kulearn from kenyans ndio msipitie ile njia tuliyopitia haya mambo hutokea wakati mnapoanza kukua kwenye miundo mbinu na uchumi kwa jumla. Sasa nyinyi ndo mnaanza kukua mtaona mikoa mingine inakua zaidi ya mingine hapo ndipo chuki na ukabila huanzia kwa mfano mbona airport chato na wala si tanga . Sie tunaelekea kupona kwa sababu raslimali zinagawanya sawa kila jimbo na maendeleo yapo kenya nzima sasa .

    • @millicentayangokunting3728
      @millicentayangokunting3728 3 ปีที่แล้ว +1

      @@linalinhwefwe6584 point

    • @adrianignas5119
      @adrianignas5119 3 ปีที่แล้ว +2

      Nataka nikukumbushe, Dar es salaam, Tanga, mbeya, Mwanza Dodam ni mikoa iliyoendelea Sana Tz lakin mtz kutoka mtwara au iringa au rukwa au morogoro huwezi kuona akilalamika Wala kubaguana. Hivyo kwetu ubaguzi ni mwiko. Matajiri wetu wanaoongoza kiuchumi tunaishi nao mitaani wanaamka asubuhi wanakimbia kufanya mazoezi without body guard Wala bunduki. Tukiwa kwenye michezo wanajichanganya kwenye shoo pamoja na wananchi wa Hali ya chini mfano Mo Dewji kwenye tamasha la Simba Day.
      I guys to have to change.

  • @claudiahkinara4053
    @claudiahkinara4053 2 หลายเดือนก่อน

    Continue work hard President Eric Omondi

  • @judamsaki5609
    @judamsaki5609 3 ปีที่แล้ว

    fuatilia Kenya haiko sawa .....tuachie Tanzania......acha wivu

  • @pierrearcaldo1073
    @pierrearcaldo1073 3 ปีที่แล้ว +3

    😂😂 sista #katuni kila mahali upo.. kwan ushamalizana na #sweetmoyo.
    all in all nakupenda you are so funny

  • @rahimumkwanda160
    @rahimumkwanda160 3 ปีที่แล้ว +11

    He realize Tz the home of fanbase and viewers
    Karibu sana Temeke

    • @massive8867
      @massive8867 3 ปีที่แล้ว

      th-cam.com/video/IUuJF17dFdc/w-d-xo.html

  • @andreakulisha5144
    @andreakulisha5144 3 ปีที่แล้ว +4

    One love kaka Eric, upo creative sana

  • @manungda9955
    @manungda9955 3 ปีที่แล้ว +4

    Watanzania tuchangeni kila mtu 5000 tsh tumnunue kabisa huyu Erick wao 🤣🤣 Wakenya tuambieni bei Erick na Omond tupo tayari kuwanunua🙌

    • @irenevunza58
      @irenevunza58 3 ปีที่แล้ว

      Hata msimkujie tutamleta

  • @salumufaki220
    @salumufaki220 3 ปีที่แล้ว +4

    😂😂😂😂😂Daaah cjuw umeshauriwa kula nini siku maana zle skeleton znakuhama shavu dodo hongera sana,,,

  • @natusmaganyiro442
    @natusmaganyiro442 3 ปีที่แล้ว +1

    Nan mtanzania ashaingilia kampeni zenu kenya omond acha ushamba

  • @EmanuellVictoria
    @EmanuellVictoria 3 ปีที่แล้ว

    Where have I been? We love eric omondi
    Welcome to Tanzaniaaaa

  • @godblessmbowe1514
    @godblessmbowe1514 3 ปีที่แล้ว +4

    Am from Lamu kenya, hii mutu iko na kipaji muno the man is very very talented

  • @kawesobsgadiel8803
    @kawesobsgadiel8803 3 ปีที่แล้ว +1

    We Eric Omondi unaidharau Tz. Hebu acha iyo dharau Kwa Tz

  • @teclamamkhumbi6976
    @teclamamkhumbi6976 3 ปีที่แล้ว

    Eric mjinga kweli unautani na Rais wetu

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 3 ปีที่แล้ว

    Waziri wa maji njooo......

  • @muddykivamba9998
    @muddykivamba9998 3 ปีที่แล้ว +5

    Ujawahi kufeli omond sema mwanangu endelea na gym upate six pack 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @jacklinemwanga1691
    @jacklinemwanga1691 3 ปีที่แล้ว +23

    Shenz sana we Erik 😂😂😂 mbav zang mie 😁

    • @jenyyusuph4973
      @jenyyusuph4973 3 ปีที่แล้ว +1

      😂😂😂😂😂 Unajua na tizama huu mkutano ni upi? Sielewi

    • @jacklinemwanga1691
      @jacklinemwanga1691 3 ปีที่แล้ว +1

      @@jenyyusuph4973 yaan katuacha hoi huyu mt

    • @farajihemed4013
      @farajihemed4013 3 ปีที่แล้ว

      Eric omondiiiiii

  • @hajiadam6027
    @hajiadam6027 3 ปีที่แล้ว

    Umetisha mzeee Raha sana

  • @aynessgomes7436
    @aynessgomes7436 3 ปีที่แล้ว

    Hi hi hi hi Eric Mungu anakuona unavyotuvunja mbavu

  • @manhattanog8589
    @manhattanog8589 3 ปีที่แล้ว +4

    Eric forever,,,,from 255

  • @alizedawa.5131
    @alizedawa.5131 3 ปีที่แล้ว +6

    Ericooo..guduwaan,fantastic creative man!!...much love of your work from isiolo,kenya

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 3 ปีที่แล้ว +14

    🤣🤣🤣 Erick hujawah kufel tunakukubali Sana Tanzania 🇹🇿🇹🇿

  • @top_10comedy60
    @top_10comedy60 3 ปีที่แล้ว

    Jamani orick omondi awe laia wa TZ TUTAMPOKEA SANAA

  • @helgamodaha634
    @helgamodaha634 3 ปีที่แล้ว +2

    🤣🤣🤣🤣🤣 Big up sana Eric omondy welcome Tanzania tupo pamoj san

  • @rahmazahor4333
    @rahmazahor4333 3 ปีที่แล้ว

    Mzee noma anataka kuona kiuno cha ukweli cha Tanzania....

  • @afandebrighttz2887
    @afandebrighttz2887 3 ปีที่แล้ว

    Hatariiiiii sana,omond wew ni baraaaaaaa

  • @is-hakayussuf9981
    @is-hakayussuf9981 3 ปีที่แล้ว +1

    Jaman namkubali diamond wa kenya

  • @anuarguni8492
    @anuarguni8492 3 ปีที่แล้ว

    Unajua omondi

  • @jacobrehany3492
    @jacobrehany3492 3 ปีที่แล้ว

    Omondi hamia tu Tanzania...maana unaipenda sana

  • @udakuplus7775
    @udakuplus7775 3 ปีที่แล้ว

    Mngemchukua Baraka Magufuli Mngeua

  • @yahyahamad1802
    @yahyahamad1802 3 ปีที่แล้ว

    Wewe eric mungu anakuona

  • @mtemijohn2799
    @mtemijohn2799 3 ปีที่แล้ว +1

    Umempatia umejuaje mwamba anapenda vyeupe

  • @jaribhamis9247
    @jaribhamis9247 3 ปีที่แล้ว +11

    😂😂😂😂😂, we eric ni balaa san umefany nimechek had basi

  • @francisjapan1594
    @francisjapan1594 3 ปีที่แล้ว +2

    Eric Tanzania twakupenda

  • @nuruelmada9570
    @nuruelmada9570 3 ปีที่แล้ว

    Uwiii!!! Mmejua kunifurahishaaa

  • @josephinekimaro761
    @josephinekimaro761 3 ปีที่แล้ว +1

    😂😂😂😂waziri wa ukulima😂😂hiyo kofia sasa wee aki leo nimecheka...wema mwenyewe anatafuna tu

  • @doctorgames5011
    @doctorgames5011 3 ปีที่แล้ว

    Bonge Mwenzangu Omond

  • @ernestsinje8693
    @ernestsinje8693 3 ปีที่แล้ว +2

    we Eric haha you are crazy.....haha much love from TZ

  • @edosafaris7989
    @edosafaris7989 3 ปีที่แล้ว +1

    Huyu fala apewe uraia tuu🤣🤣🤣🤙🏿🤙🏿💥💥

  • @mussajohn771
    @mussajohn771 3 ปีที่แล้ว +4

    Diamond kiherehere sana, tako mbinuko, gumboot, creative sana. Nimecheka sana.

  • @fmr8880
    @fmr8880 3 ปีที่แล้ว +1

    Waziri wa maji anatembea na maji 😂😂

  • @Fabulousmom509
    @Fabulousmom509 3 ปีที่แล้ว +23

    Erick Omondi your welcome to Tanzania anytime😂😂😂😂

  • @Gamba177
    @Gamba177 3 ปีที่แล้ว +1

    Wasenge watupu wamejaa pamoja na msenge kuma makufuli mnafirwa

    • @ShSh-my8cw
      @ShSh-my8cw 3 ปีที่แล้ว

      Matus ya nn jaman

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 3 ปีที่แล้ว

    Mmetisha sana

  • @ivygidoti3143
    @ivygidoti3143 3 ปีที่แล้ว +1

    I loved the work

  • @stevenlugo8195
    @stevenlugo8195 3 ปีที่แล้ว +1

    Nice from 🇹🇿✌🏾

  • @mantawellah
    @mantawellah 3 ปีที่แล้ว +2

    Huyu mtoto mpuuzi sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @nichorausrichard3469
    @nichorausrichard3469 3 ปีที่แล้ว +7

    Mmemuona sepetunga pale wajumbeeee?!! 😂😂😂🏋️🏋️

  • @kayandaseppe7616
    @kayandaseppe7616 3 ปีที่แล้ว

    Pesa kidogo unaanza kunenepa

  • @johncavishe353
    @johncavishe353 3 ปีที่แล้ว

    Ww noma sana

  • @avelinmaiko2455
    @avelinmaiko2455 3 ปีที่แล้ว +1

    Duuuh 😭😭😭ndio nn kumsema vibaya hvyo rais wetu

    • @DrMbonea
      @DrMbonea 3 ปีที่แล้ว

      Hawajamsema vibaya popote ni namna ya Sanaa tu kufurahisha

    • @kelvinkajuna6689
      @kelvinkajuna6689 3 ปีที่แล้ว

      Waziri wa maji,,nipe maji, ninywe😁

    • @sophiabisho8835
      @sophiabisho8835 3 ปีที่แล้ว

      Wajinga hao

  • @ericklaura7511
    @ericklaura7511 3 ปีที่แล้ว +2

    Fascinating 🔥🔥

  • @AdonisSifa
    @AdonisSifa 3 ปีที่แล้ว +10

    Hii kitu ilikuwa imeekwa private...nmeshangaa no views

  • @jamessanga8945
    @jamessanga8945 3 ปีที่แล้ว +1

    Omond erick talented sana

  • @wellbrand3415
    @wellbrand3415 3 ปีที่แล้ว +1

    We Erick ni shidaaaaa

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 3 ปีที่แล้ว

    Mwehu kweli wewe Omond.

  • @munsheedtvonline8399
    @munsheedtvonline8399 3 ปีที่แล้ว

    Upo vyema ... From tz

  • @Luthermwaniki
    @Luthermwaniki 3 ปีที่แล้ว

    uyu ni wema sepetu ama ni Wambui

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 3 ปีที่แล้ว

    Sema nimeangalia hii video naishia kucheka tuu

  • @faustinefesto7705
    @faustinefesto7705 3 ปีที่แล้ว

    Mtammisi sna jpm

  • @noahvan6890
    @noahvan6890 3 ปีที่แล้ว +3

    Elick Omond ni mtanzania Tena mnyakyusa wa mbeya

  • @achortony6006
    @achortony6006 3 ปีที่แล้ว +2

    😂😂😂 njoo waziri wa kilimo. Mpe chakula

  • @afterfull-time1348
    @afterfull-time1348 3 ปีที่แล้ว +1

    Pumbav zenu mlishapata ulaji tz kila siku n kuchungulia tz utafkr kenya hamna wasanii na viongz

    • @ahmedmahamudu4140
      @ahmedmahamudu4140 3 ปีที่แล้ว

      Mimi kama mtanzania naona kabisaa wewe ni fala na pungu wani

    • @afterfull-time1348
      @afterfull-time1348 3 ปีที่แล้ว +1

      @@ahmedmahamudu4140 unateseka ukiwa wap? Nitume msaada

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 3 ปีที่แล้ว

      Sasa ikiwa kenya hamna ile hamshe hamshe

  • @metrocommunicationskenya.8806
    @metrocommunicationskenya.8806 3 ปีที่แล้ว +4

    here after magufuli's sudden death so sad mahn

  • @denisadriano9153
    @denisadriano9153 3 ปีที่แล้ว

    Omera erick we angere unajua waz kabisa kuwa ccm haipendwi alafu utumbo gani hii unatuwekea apa

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY 3 ปีที่แล้ว +1

    Wew jamaa ni njoka yan? Dah umetisha

  • @lizb2012
    @lizb2012 3 ปีที่แล้ว +1

    Nasubiri uigize na wanasiasa wengine kama hawakujia hukohuko wakuvute kama chewing gum 😂😂😂

  • @dannynyotatz1705
    @dannynyotatz1705 3 ปีที่แล้ว +1

    Jamaaaa unauwa

  • @adamelly8781
    @adamelly8781 3 ปีที่แล้ว +7

    Wangapi wanamuona lukamba hahaha

  • @Dennybwoy4072
    @Dennybwoy4072 3 ปีที่แล้ว +7

    Eric we ni mjinga 😂🤣🤣 gumboots kabisa daimond ana gumboots kweli

  • @bosypainterswathika3514
    @bosypainterswathika3514 3 ปีที่แล้ว

    Upuzi tu....mumenimalizia data bure

  • @Kazz.AiMusic
    @Kazz.AiMusic 3 ปีที่แล้ว +12

    Eric you're so crazy 😂😂😂😂😂😂

  • @halimamasai2234
    @halimamasai2234 3 ปีที่แล้ว

    Noma sana wa kenya mechekesha

  • @eliyawilliammagesamarwa8413
    @eliyawilliammagesamarwa8413 3 ปีที่แล้ว

    😁😁😁 sawa kalibu TZ

  • @ayubuhenry5426
    @ayubuhenry5426 3 ปีที่แล้ว +9

    mbona diamond mapepe anataka kwenda wapi huyu

  • @naomyachieng8444
    @naomyachieng8444 3 ปีที่แล้ว +15

    This guy of mine😂😂

  • @anneanitah8014
    @anneanitah8014 3 ปีที่แล้ว

    Diamond naye anakimbia kimbia sna

  • @ismailmaulid1616
    @ismailmaulid1616 3 ปีที่แล้ว +1

    We nyau siku hiz umenenpa

  • @alexiganja7938
    @alexiganja7938 3 ปีที่แล้ว

    Nyie washenz kweli

  • @nicodemuschale7731
    @nicodemuschale7731 3 ปีที่แล้ว

    Ivy ni mm tyuu au Eric omondi kanenepa

  • @yohanahbyzehomba1352
    @yohanahbyzehomba1352 3 ปีที่แล้ว

    Uko vizuri mzeeya hizo buti watengenezee magari ya jeshi hahahah huhuhu

  • @charleskhasiani
    @charleskhasiani 3 ปีที่แล้ว +1

    mm nmebaki apo kwa kiatu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @ikoziboy4488
    @ikoziboy4488 3 ปีที่แล้ว +2

    Hahahahahahah iAppreciate Éric omondi

  • @umrahcompanion1023
    @umrahcompanion1023 3 ปีที่แล้ว

    Kizazi kabisa

  • @shaabaniali9816
    @shaabaniali9816 3 ปีที่แล้ว +1

    Diamond umesikia hivyo viatu ni vya wakulima na sio vya kupanda navyo kwa stej...ubunifu ukizidi sana mwisho mnaharibu....mwisho wa siku mtapanda stejin na yeboyebo

  • @ishqmeinmarjawan1048
    @ishqmeinmarjawan1048 3 ปีที่แล้ว

    Jmn wema sepetu ni balaa yan hawajamaa kwel noma

  • @monicaandrew8292
    @monicaandrew8292 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha umetisha sanaaaaa

  • @wemaroy1535
    @wemaroy1535 3 ปีที่แล้ว

    Yan nmecheka kifara kwer mxuuu🤣🤣🤣😍😍😍

  • @robbarobbz4088
    @robbarobbz4088 3 ปีที่แล้ว +8

    Hizo ni gumboots ama n buti la jeje 😂😂