MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 31 ม.ค. 2025

ความคิดเห็น • 553

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 4 ปีที่แล้ว +14

    Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 4 ปีที่แล้ว +69

    Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son

    • @sadickmtoi2990
      @sadickmtoi2990 4 ปีที่แล้ว +1

      Hi

    • @irenemagetamarwa4677
      @irenemagetamarwa4677 3 ปีที่แล้ว

      Hongera brother

    • @danieldaniel5848
      @danieldaniel5848 3 ปีที่แล้ว +1

      Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 4 ปีที่แล้ว +51

    Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.

    • @godfreymillardayoripota3002
      @godfreymillardayoripota3002 4 ปีที่แล้ว +2

      Shukrani sana ndugu yangu

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว

      Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว +1

      @@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 ปีที่แล้ว

      @@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว

      @@munaahmed8499 sio ugomvi😀

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 ปีที่แล้ว +1

    Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.

  • @spsaguti8461
    @spsaguti8461 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.

  • @jrochuboy5802
    @jrochuboy5802 4 ปีที่แล้ว +25

    Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼

  • @michaelmauki6690
    @michaelmauki6690 4 ปีที่แล้ว +4

    Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania

  • @VictoriaCharlesMwanziva
    @VictoriaCharlesMwanziva 4 ปีที่แล้ว +4

    Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿

  • @saidmatikti2783
    @saidmatikti2783 3 ปีที่แล้ว +1

    Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko 4 ปีที่แล้ว +3

    Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 ปีที่แล้ว +36

    Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana

  • @catherinekasoyaga9523
    @catherinekasoyaga9523 4 ปีที่แล้ว +3

    Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 4 ปีที่แล้ว +1

      Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.

  • @sakinakaikai3511
    @sakinakaikai3511 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania

  • @justinkalika589
    @justinkalika589 4 ปีที่แล้ว +9

    Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 ปีที่แล้ว +19

    Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.

  • @gaby06099
    @gaby06099 3 ปีที่แล้ว +1

    Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata.
    Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.

  • @owdenisaga4361
    @owdenisaga4361 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera ziende kwake....
    Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 4 ปีที่แล้ว +15

    So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!

  • @salimmatala1027
    @salimmatala1027 4 ปีที่แล้ว +1

    Mzee umetisha mungu akupe maisha marefu kaka wazazi ndokitu chakwanza kabisa na umefanikiwa Hilo pia 🙏🙏🙏

  • @Ivavoxvibe369
    @Ivavoxvibe369 4 ปีที่แล้ว +8

    umetisha safi sana Mungu awe nawe daima

  • @Justinebaada
    @Justinebaada 3 ปีที่แล้ว +1

    Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san

  • @najma3268
    @najma3268 4 ปีที่แล้ว +24

    Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah

    • @utaani1
      @utaani1 4 ปีที่แล้ว

      Naomba namba yako tafadhali

  • @editatairo9667
    @editatairo9667 4 ปีที่แล้ว +64

    Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius

    • @ericksimon8323
      @ericksimon8323 4 ปีที่แล้ว +5

      Amen nawapenda sana

    • @mwana4599
      @mwana4599 4 ปีที่แล้ว +1

      Kabisa kabisa. Yaani kawafikiria wao kwanza.

    • @vema_tv
      @vema_tv 4 ปีที่แล้ว

      @@ericksimon8323 niaje faza

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 4 ปีที่แล้ว +29

    Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 4 ปีที่แล้ว

    Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE

  • @innocentgodwin5855
    @innocentgodwin5855 2 ปีที่แล้ว

    Hongera sana na hongera pia kwa St.. Jude schools

  • @vero57
    @vero57 4 ปีที่แล้ว +6

    Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana

  • @imanilaizer9994
    @imanilaizer9994 3 ปีที่แล้ว

    Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 4 ปีที่แล้ว +28

    in Life, a Mentor is very important variable

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 4 ปีที่แล้ว +1

    Ongera sana, Mungu akutangulie

  • @beatricesaru1624
    @beatricesaru1624 4 ปีที่แล้ว +1

    Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 3 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana hiyo ni neema kubwa kwa wazazi amini.

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 2 ปีที่แล้ว

    Wema utakufikisha mbali. Mungu akubariki

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 ปีที่แล้ว +2

    Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri

  • @fatumagodfey8838
    @fatumagodfey8838 4 ปีที่แล้ว +36

    Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian

  • @jklymollel5992
    @jklymollel5992 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 3 ปีที่แล้ว

    Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.

  • @Richbtz
    @Richbtz 4 ปีที่แล้ว

    Mafanikio siku zote ni kujitoa na kujua wewe unataka kuwa nani Naamini Dogo katambua anataka kuwa nani ndio maana leo kapiga hatua sna tena sna..Hakuangalia familia aliyotoka bali aliangalia Ndoto yake ni kuwa nani Big Up sna
    Congratulations sna 🤝🤝🤝🤝🙏

  • @julysusa5998
    @julysusa5998 4 ปีที่แล้ว +1

    Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.

  • @marympango9247
    @marympango9247 4 ปีที่แล้ว +5

    Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 4 ปีที่แล้ว +3

    Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!

  • @liliangabriel3953
    @liliangabriel3953 4 ปีที่แล้ว +1

    May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.

  • @kanyewest1850
    @kanyewest1850 4 ปีที่แล้ว +21

    Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥

  • @raytorrosy4402
    @raytorrosy4402 4 ปีที่แล้ว +2

    Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 3 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri, kipawa toka kwa Mungu

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 4 ปีที่แล้ว +18

    Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 ปีที่แล้ว +13

    Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍

    • @aliyomar2222
      @aliyomar2222 4 ปีที่แล้ว

      Habari za siku munira

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 4 ปีที่แล้ว +23

    Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.

  • @vannesseramadamalick3038
    @vannesseramadamalick3038 4 ปีที่แล้ว

    Majina ya akina Laizer....yamebalikiwa.....anyway bigup hongera sana

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 ปีที่แล้ว +76

    Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 ปีที่แล้ว +2

      kweli

    • @sophiekivuyo6028
      @sophiekivuyo6028 4 ปีที่แล้ว +3

      😄😄😄😄😄😄😄 wale bongo mavi

    • @hildaheart8830
      @hildaheart8830 4 ปีที่แล้ว +3

      Yani true

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 4 ปีที่แล้ว +3

      @@sophiekivuyo6028 Ndio Hawo Hawo Na Wakiongea Lazima Waingize Kizungu Matope.

    • @geturdablatch9706
      @geturdablatch9706 4 ปีที่แล้ว +3

      Mie nilijengewa kajumba kadogo ka vyumba viwili kwa zaidi ya 70m. Hakika a mungu amujalie zaidi

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 4 ปีที่แล้ว

    Maa Shaa Allah
    Hongera sana Kijana
    Mungu Akubariki

  • @jomba6514
    @jomba6514 4 ปีที่แล้ว +2

    Ubarikiwe sana mungu ni mwema

  • @binkamwanah9498
    @binkamwanah9498 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana, umefanya jambo zuri sana

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 4 ปีที่แล้ว +8

    Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.

  • @aurrylassy5078
    @aurrylassy5078 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kijana kwa kazi nzuri. Kaza buti.

  • @saraenock7600
    @saraenock7600 4 ปีที่แล้ว

    Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.

  • @benedictflorence2870
    @benedictflorence2870 3 ปีที่แล้ว

    Mungu akubarik

  • @rayaalirashid656
    @rayaalirashid656 4 ปีที่แล้ว +1

    mungu akubariki na akujaalie ufanikiwe ndoto zako

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 4 ปีที่แล้ว +6

    Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 4 ปีที่แล้ว +4

    Ila umefanàna na wachina, .....hongera cn ufike mbali zaidi

  • @franklyimony7497
    @franklyimony7497 4 ปีที่แล้ว

    Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "

  • @nyambirotrueinformation7500
    @nyambirotrueinformation7500 4 ปีที่แล้ว +2

    Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 4 ปีที่แล้ว +3

    Hongera San mungu akulinde

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 4 ปีที่แล้ว +1

    Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!

  • @Donrugi
    @Donrugi 4 ปีที่แล้ว +13

    Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 ปีที่แล้ว +7

    Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 3 ปีที่แล้ว

    Kwamazuri umefanya sikatai mdogowangu. Ila kale kadenikakangu nilipe bwana siunajua nilikufanyia kazi Erki. Japo uliamua kulipakidogo kidogo fanya mpango tumalizeee dogo langu au unataka zilekelele za mlinzi wa Nnkya ulipokuwa kwa zile Apatiment.

  • @beatricemisso7310
    @beatricemisso7310 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana,👏 mwenyezi Mungu azidi kukuzidishia.🙏 Nimependa ulichokifanya.

  • @jamesgodfrey4683
    @jamesgodfrey4683 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi Sana Kijana Mwenzetu kwa Akili yako ya kuwaza Mbali

  • @josephinelaurent7972
    @josephinelaurent7972 4 ปีที่แล้ว

    safi sana kwa ufupi waafrica tupo vizuri sema tuu wazungu wanatubania itabidi tupambane tuu na level zetu

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah ALLAH barik

  • @siahmaucky4459
    @siahmaucky4459 4 ปีที่แล้ว

    Mungu akuzidishie ufahamu ili uweze kuwasaidia na wengine.kwa kweli Mungu akutete.

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 4 ปีที่แล้ว +1

    Mashaallah hongera woow

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sn bro, that’s is talent,

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 4 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana mwanangu mungu akujalie zaidi na zaidi na ajalie pia wenetu insha'Allah

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 3 ปีที่แล้ว

    Hongera sana lalashe wamasai oyeeee

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 4 ปีที่แล้ว

    hongera sana kina Mungu ueneze utaalamu Afrika

  • @jemmyrose2442
    @jemmyrose2442 3 ปีที่แล้ว

    Congratulations to him keep doing good job Mungu akubariki sana 🙏

  • @danielmoshi8325
    @danielmoshi8325 4 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Mr simon

  • @mwanakombojuma9029
    @mwanakombojuma9029 3 ปีที่แล้ว

    God bless you👌

  • @kingj3280
    @kingj3280 3 ปีที่แล้ว

    God bless u bro

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 4 ปีที่แล้ว

    mashallah Mungu akuzishie maarifa zaidi

  • @melkezedeckamos1148
    @melkezedeckamos1148 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana qaqa ang....may the lord be with you always na uendeleee na moyo huooo💪✊

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 ปีที่แล้ว +35

    Mungu alibariki tumbo la mama aliyekuzaa. Hongera kijana

    • @marympango9247
      @marympango9247 4 ปีที่แล้ว +1

      Yan kuna wanawake wanabarikiwa watt jmn!!!! Yan mpaka machoz ya ananitoka..

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 4 ปีที่แล้ว +2

      Yaani Mungu akikubariki anakupa mpaka mvuto, yaani dogo anavutia hata kumrudia rudia kumsikiliza kwani kamebarikiwa hata sauti na uwezo wa kujielezea mpaka mtangazaji ameambulia kuuliza maswali machache tu huku akibaki kuvutiwa na jinsi anavyojielezea. Yaani hata kama kamenyoa kiduku lakini hakaashirii kuwa kahuni bali katoto kenye busara. Mungu aendeleze baraka juu yake kwa Jina la Yesu Kristo 💗💗💗💗💗

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 4 ปีที่แล้ว

      Mungu akubariki

    • @sharamtulya9728
      @sharamtulya9728 4 ปีที่แล้ว

      Mungu akutangulie kijana

    • @simonmkodya3936
      @simonmkodya3936 4 ปีที่แล้ว

      Mngu am baliki baba yake alie mzalisha mama

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 3 ปีที่แล้ว

    MUNGU azidi kukuangazia mwanga katika Njia zako zote! Siri ya ushindi kimaisha ni kujishusha kadiri MUNGU alikokutoa na jinsi alivyokuinua bila kujali umefika umbali wa kiasi gani jambo ambalo ndilo ninaloliona katika maisha yako!
    Ubarikiwe Sana na uzidi kujitoa Kwa Taifa lako ambalo linaweza kung'ara duniani kupitia maisha yako!
    Heri ya tumbo lililokuzaa

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 3 ปีที่แล้ว

    WOOUW BLESS UP YOUNG PULL UP GOD BLESS AND GIVE YOU LONG LIFE AND GOOD HEALTH 👊🏽

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 4 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana mdogo m mungu azidi kukupa afya njema

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 ปีที่แล้ว

    Mashaaallah watu wa hali ya chini huwa wana akili sana mwenyezi mungu anawapa akili

  • @tinongolo2242
    @tinongolo2242 4 ปีที่แล้ว +1

    Safi sana,thats very inspiring......

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 4 ปีที่แล้ว +10

    Mashallah nimependa saana

    • @hildaamsi8737
      @hildaamsi8737 4 ปีที่แล้ว +1

      Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 ปีที่แล้ว

    Hongera sana kuwajali wazazi na kuwajengea..
    Mungu azidi kukubariki na kukuinua

  • @naimamuturi3475
    @naimamuturi3475 4 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah, big up bro!!! Hongera sana we need young people like u to change our society.,am so excited to see that keeo it up. May Allah bless u

  • @ismsilmangare2411
    @ismsilmangare2411 4 ปีที่แล้ว

    Chalii Yuko vizuri na maungua aendelee Kum bariki

  • @samsawidi5648
    @samsawidi5648 4 ปีที่แล้ว +2

    Salute sanaaa broo

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 4 ปีที่แล้ว +1

    Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana

  • @barakasamwely599
    @barakasamwely599 4 ปีที่แล้ว +1

    Good news. Brooo

  • @kinglongoiofficial8553
    @kinglongoiofficial8553 3 ปีที่แล้ว

    Wale wanapenda kusaport musc wa mr.jay tz basi bofyaa kushoto kwko na kusubucribe