VIDEO: MSAFARA WA MAGARI MAPYA YA KIFAHARI YA NABII MKUU GEORDAVIE, WALINZI USIPIME

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 367

  • @majaliwamsigwa6206
    @majaliwamsigwa6206 8 วันที่ผ่านมา +51

    Ipo cku itajulikana,tusitishwe na vitu vionekanavyo vya Duniani,mhimu sana kumwabudu Mungu wa kweli ktkt Roho na kweli

    • @DennyKillanga
      @DennyKillanga 8 วันที่ผ่านมา +2

      Amina wataumbukat mungu achezewi

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 8 วันที่ผ่านมา +1

      Hizi media Acha tu

    • @yusuphkayoka5452
      @yusuphkayoka5452 8 วันที่ผ่านมา +3

      Na Mimi Nina mashaka kwa Nini umwabudu Mungu wa kweli alafu akuache masikini

    • @GrantMwakalambile
      @GrantMwakalambile 8 วันที่ผ่านมา +2

      Acha wivu ww tafuta naww

    • @kennethbenjamin275
      @kennethbenjamin275 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@majaliwamsigwa6206 njoo kabanga huku mpige kazi acheni kukakaa na kusifiasifia watu wafenyeni kazi

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 7 วันที่ผ่านมา +24

    Nabii mkuu ni YESU kristo pekea akuna mwingine duniani

    • @bothinaabothinaa2643
      @bothinaabothinaa2643 7 วันที่ผ่านมา

      Amen

    • @WardaYousuf-g2n
      @WardaYousuf-g2n 4 วันที่ผ่านมา +2

      😂😂😂😂😂bado hamjasema na mtasema tu inshaa Allah Allah awajaliye hidya

  • @kendramartin3707
    @kendramartin3707 9 วันที่ผ่านมา +27

    Dah🙌🔥🔥🔥fedha na dhahabu ni mali ta Bwana Bwana ameanua kmpa mja wake

    • @TeophilBuilding
      @TeophilBuilding 8 วันที่ผ่านมา

      Unatombwa akili kia's kwamba unarosoka shahawa

    • @JeremiahJustine-b3o
      @JeremiahJustine-b3o 8 วันที่ผ่านมา

      @@TeophilBuilding Teo jina lako kubwa kwenye Bible usitukane bwana

    • @WardaYousuf-g2n
      @WardaYousuf-g2n 4 วันที่ผ่านมา

      😂😂je umejiuliza kayapata vp?

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 วันที่ผ่านมา

    Nabii naomba unisaidie gari Moja ata kma nilazamani napokea baba nimetembea namguu mpaka miguu imesagika kwamwendo mpaka naota gari alilochoma godlack Bora angelitelekeza barabarani niliokote mim😭😭😭😭😭😭

  • @augustkessy1572
    @augustkessy1572 4 วันที่ผ่านมา +5

    Ukiwa na pesa ukisema... Mungu anakuamini ndiyo maana tunakulilia pesa ndiyo maana tunakuangaikia.... siyo maneno yangu ni ya Tunda man wimbo pesa.

    • @JohnBenedict123
      @JohnBenedict123 4 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂
      Bora umejiwahi mapemaa 😂😂😂. Maana watu wangekurukia
      😂😂😂

    • @augustkessy1572
      @augustkessy1572 2 วันที่ผ่านมา

      @@JohnBenedict123 🤣🤣🤣🤣

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 8 วันที่ผ่านมา +11

    Wavaa vimini humo Tena hivi mnamfanya Mungu kama mwanasesere siyo acheni kumfanyia sihaka Mungu hubirini kweli iletayo ondoleo la dhambi kemea dhambi ujitae nabii acha kufuga waovu

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา

      Hakuna mungu anaeabudiwa kanisani tafuta nabii yoyote wa mungu alieanzisha zehebu lolote la ukristo ukimpata soma ibadayeke alikua anakaaje au alikua anasimamaje wakat wa ibada mimi nimekaaperee kwa kukusaidia tu kasome nehemia 8.4 endereanayo mpaka hata aya ya 8 kisha jitathmini je wewe unamuabudu mungu au unapenda miujiza?

  • @frankshirima4029
    @frankshirima4029 9 วันที่ผ่านมา +12

    Yuuu karibu kurud yalio semwa na manabii sasa yanatimia mwenye dhambi endelea kuitenda mwenye kujitakasa usichoke yuko malangoni😢😢😢 watu wote mnisikie anakuja kila goti litapigwa na Kila ulimi utakiri yeye ni BWANA

  • @user-hw3sp6ey5e
    @user-hw3sp6ey5e 8 วันที่ผ่านมา +7

    Lazima kuna kitu hakiko sawa. Mimi nategemea mtu kama huyu basi aanze na waumini wake na wasiojiweza. Charity begins at home. Anza na anayekupa sadaka. Hapo huenda kuna muumini hajala mwezi. Instead of luxury cars, jenga nyumba, improve the living conditions of your followers.

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา

      Mchungaji akitaka gari munamchangia muumini akitaka pikipiki munamuombea asiri ya ukristo ni Roma na Roma ni utawala wa zamani dunia nzima ilikua inavamiwa na waroma hata israel ilibamiwa na watoma na wakaacha watuwao akina poul na luka walikua matabibu wa tiba za asiri sasa ili umtawale mtu razma uwe na utajiri sasa ukitaka kujua shida ilipoanzia chunguza ukristo ni nini? Ulianzaje ? Je yesu alianzisha kanisa kile kwao? Je linaitwaje? Alikua akiabuje? Elim ni muhim ukiiacha tu razma utapeliwe

  • @AsiaShaban-zz4yr
    @AsiaShaban-zz4yr 9 วันที่ผ่านมา +8

    Haya maisha Nyerere aliyakataa kabisaa na magufuli hii life inamliza sana yule aliyekosa miambili ya maji ya kadoro😢ila Tz mmh lkn nchi za nje mbona watu ni matajiri lkn wawachapi maskini na utajir wao wako tu kawaida sana msafara ni wa maraisi TU

    • @Kristen-y2b
      @Kristen-y2b 9 วันที่ผ่านมา

      Akifaa watazikutiya juu😂😂

    • @AsiaShaban-zz4yr
      @AsiaShaban-zz4yr 9 วันที่ผ่านมา

      @@Kristen-y2b duuh huzuni walah agetizama hata mtaa anapopita na hayo mandiga Kuna maisha ya watu yanagusa sana aki

    • @zionembassytv5672
      @zionembassytv5672 9 วันที่ผ่านมา

      ​viongoz wa serikali nao wanapita kwenye mazngra hayo hayo nao wamepewa dhaman ya kuongiza nchi

  • @michaelmjaluo905
    @michaelmjaluo905 9 วันที่ผ่านมา +32

    Hapo Mungu hayupo hapo, goodluck uko sawa

    • @hemedmbondejr
      @hemedmbondejr 9 วันที่ผ่านมา +2

      Jamaa wmekua chizii now anaongea hovyo 😭😭

    • @bigboys016
      @bigboys016 8 วันที่ผ่านมา

      Acha wivu fanyabkazi mungu atakuona kwa nafasi yako

    • @barikimushi97
      @barikimushi97 8 วันที่ผ่านมา +1

      Wewe ni una akili mbovu

    • @michaelmjaluo905
      @michaelmjaluo905 8 วันที่ผ่านมา +2

      @barikimushi97 wewe ni una akili imara

    • @VicentKayagula
      @VicentKayagula 8 วันที่ผ่านมา

      Kwa kigezo gani mkuu?

  • @barikimushi97
    @barikimushi97 8 วันที่ผ่านมา +9

    Huyo ndio Nabii Mkuu elewa neno mkuu, sio mtu legelege wala sio maskin, kwake sisi ndio tuna jifunza mafanikio, wengine mna wivu na elemu zenu za kimaskin zina watesa,

    • @IsackNnko-y1t
      @IsackNnko-y1t 8 วันที่ผ่านมา

      Haina shida Annah Davie ni mchaga kwahyo wewe ukisema hvyo unayo haki

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 8 วันที่ผ่านมา +2

      Ila ukumbuke Yesu mpaka anaondoka hakua hata banda la nyumba, alisema Mbweha ana pango na ndege wana viota ila yeye Mwana Adam hana hata pa kulaza kichwa.

    • @MariamMwalongo-x3q
      @MariamMwalongo-x3q 8 วันที่ผ่านมา

      Sadaka za watu maskini zinawanufaisha watu wachache biashara ya dini imekubali

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@MariamMwalongo-x3q dini inataka elim na dini ni jambo la mungu ukilitia uchumi tu lnakua siodini ni biashara sasa fikiliia wauminiwake anawapangiabei ya sadaka siku ikishuka inaanzia 10000 ila maranyingi inaanzia 20000 alaf akija mkaliwenu anapewa mamilion ipande kwenyemadhabahu atumbuize hapo kunadini?

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา

      @@Sheba4651 yesu hana uhusiano na dini inayoitwa ukristo ambayo kwenye biblia haipo yeye alikua kristo tafsiri ya jinahilo kwa kiswahili ni mteule kwa kiarabu mi masihi kwa kiyunani ndo kristo sasa watu acha waache kusoma vitabu vya dini waguate miujiza watapelekasana pesa mkalenu apewe magari eti nabii mkuu hivi nabii ibrahim nae aitweje?

  • @jonasdaniel1025
    @jonasdaniel1025 9 วันที่ผ่านมา +12

    Ni ngumu Sana kuizima trendi ya kuchoma gari,, hata angeliingia na kutoka na Meri za baharini Kwa kanisa lake Bado tukio la kuchomwa gari halizimiki milele na milele,,

    • @ahuriladaniel9849
      @ahuriladaniel9849 9 วันที่ผ่านมา +3

      Kabisaa na anaonekana analipwa huyu Milard kwa sababu kama ni taarifa wanatupa mbona wasimtafute Goodluck wakamhoji wanalalia upande mmoja

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior 9 วันที่ผ่านมา +1

      Kwa level yake hawezi tikiswa na hiyo trend ya kuchoma gari huyo hajaanza kupigwa vita leo lakini bado anapaaa juu tu.Hata waliompiga vita wengine walisharudi kuungana nae na kupewa misaada.

    • @jonasdaniel1025
      @jonasdaniel1025 9 วันที่ผ่านมา

      Sawaaa ibakie tu hivyo Kwamba ningumu kuizima trendi hii ya kuchoma gari,, haiwezi zimwa Kwa misafara ya magari ya kifahari milele na milele​@@MCNgakungaJunior

  • @jeckobass7502
    @jeckobass7502 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nakupenda sana mzee ungekuwa mbeya 😂😂😂😂😂😂❤❤❤ daaaah

  • @StevenJackson-m8g
    @StevenJackson-m8g 9 วันที่ผ่านมา +12

    Yamungu mpe mungu yakahisali mwachie kaisalu.

  • @MiriPeter
    @MiriPeter 8 วันที่ผ่านมา +8

    Huyu ni nguvu za giza sana..poleni sana

    • @meckmbilinyi6077
      @meckmbilinyi6077 6 วันที่ผ่านมา

      Suleiman alikua anachinja ngombe wangapi kwa siku,

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Mentality ya kimasikini ni pale unapoamini uchawi una nguvu kuliko Mungu kwani kuna wachawi wa ngapi unaowajua wewe mbona hawana Marshall kama hayo? Acheni umasikini

  • @AnthonyKinyenzi
    @AnthonyKinyenzi 8 วันที่ผ่านมา +7

    Hii nchi imeharibika kabisaaaa

  • @khalifasultan2677
    @khalifasultan2677 8 วันที่ผ่านมา +4

    WEWE SI NABII,ULINZI WOTE HUO WA NINI SASA MZEE KAMA WATENDA MEMA!???

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 8 วันที่ผ่านมา +5

    Hakika uyo nabii ni Tajili mno ana Benz G wagon 💯💯💯

    • @rechokusilimka5739
      @rechokusilimka5739 8 วันที่ผ่านมา

      Anapata wapi?

    • @michaelsamson9663
      @michaelsamson9663 8 วันที่ผ่านมา

      @rechokusilimka5739 ndio nashanga atamimi

    • @MariamMwalongo-x3q
      @MariamMwalongo-x3q 8 วันที่ผ่านมา

      Sadaka za watu maskini

    • @barikimushi97
      @barikimushi97 8 วันที่ผ่านมา +1

      @@MariamMwalongo-x3q hakuna maskin anae toa sadaka, ukisha kuwa maskin maanaa yake ni Huna hela

    • @jeremiahmsemwa8323
      @jeremiahmsemwa8323 7 วันที่ผ่านมา +1

      ​. Labda biashara zingine. Kwa sadaka zipi! Hizo gari tu sadaka hazinunui

  • @nelsonmrutu371
    @nelsonmrutu371 6 วันที่ผ่านมา +3

    Mh Nabii Mkuu Dk GeorDavie tunakupenda sana Mungu azidi kukupa maisha marefu ya kuishi hapa ulimwenguni🙏

  • @MalikiaRecho
    @MalikiaRecho 9 วันที่ผ่านมา +5

    Mwminn Mungu mdhibite waaminni manabii wake mfanikiwe Nyakat 20:20

  • @PriscusRobart
    @PriscusRobart 8 วันที่ผ่านมา +3

    Duuu sijui bhana kama niyaMungu au Niya Yule wa motoni😮

  • @Content7575
    @Content7575 4 วันที่ผ่านมา +1

    Pesa za waumini ndo unawatesea tena sadaka zao ndo unanunulia magari yako ya kutembelea na unakuja tena kuwalingishia ata awashutuki naooooo si bora ata izo pesa ungekuwa unatoa misaada hospital na ata kwenye mashule na kwa watu wasio jiweza

  • @hamynas
    @hamynas 8 วันที่ผ่านมา +2

    hii inasababisha ukristo kuonekana ni dini ya wapiga pesa kwa mtaji wa maskini wenye shida
    kuna umuhimu wa wakristo kujitafakari maana dini inapoelekea hakuna atakaebakia salama

  • @nassoromussa4440
    @nassoromussa4440 8 วันที่ผ่านมา +6

    Majeneza hayo siyo magari

    • @nahimanafiston6518
      @nahimanafiston6518 8 วันที่ผ่านมา

      Jeneza lako liko wapi??

    • @barikimushi97
      @barikimushi97 8 วันที่ผ่านมา

      Wewe ni mshambaa

    • @HaikaFredrick
      @HaikaFredrick 4 วันที่ผ่านมา

      Hahahaha akili za kimasikini hizo eti majeneza tafuta pesa acha makasiriko

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Masikini ana muamini zaidi shetani kuliko Mungu ndiyo maana na yeye akitaka kutanikiwa utashangaa anaenda kwa waganga akidhani ndo atapata mafanikio

  • @saitotigeorge654
    @saitotigeorge654 8 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu jamaa ameshanogewa na promo za mitandaoni, kuonyesha mali na wanavyovimiliki kuliko ku concentrate na kuhubiri

    • @kakubaamani247
      @kakubaamani247 8 วันที่ผ่านมา

      We ndio una concentrate na mali zake huna muda na mahubiri yake,, mbona anahubiri sana

  • @Thegossipermediatz
    @Thegossipermediatz 9 วันที่ผ่านมา +6

    Mbona kama live band ya bar kama wakongo😂😂😂😂

  • @blackyoungmaestro
    @blackyoungmaestro 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mmeikumbatia Dunia wakati Ahera ni bora zaidi na ya milele

  • @Uswegehamza-s1p
    @Uswegehamza-s1p 9 วันที่ผ่านมา +6

    mtoto mdogo mwenye pesa nyingi aangalie magar hayo sio zile takataka zake pumbavu

    • @WardaYousuf-g2n
      @WardaYousuf-g2n 4 วันที่ผ่านมา

      😂😂ujinga mwingi marina hakuna unajua kayapataje

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 8 วันที่ผ่านมา +5

    Hilo sio kanisa takatifu Bali ni pango la wanyanyanyi!!!!

    • @Joelkilumile
      @Joelkilumile 5 วันที่ผ่านมา

      Pango la wezi na na washirikina kabsa 😂😂😂

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Roho za wivu

  • @baizoboy1719
    @baizoboy1719 7 วันที่ผ่านมา +1

    Ukute Hii issue ya Goodluck ilipangwa na huyu jamaa ili iwe kiki ama wapate mazao zaidi na zaidi😎

  • @mboneamalaki5674
    @mboneamalaki5674 9 วันที่ผ่านมา +12

    Alafu Kuna Lofa anaenda kutoa sadaka kanisani kwake 😅

    • @MwalimuJelly
      @MwalimuJelly 9 วันที่ผ่านมา

      Uta toa sadaka ya shilling ngapi adi aweze nunua iyo V8 na kwa miaka mingapi alafu piga hesabu magari yote ayo na maisha yake kwa ujumla sadaka yako inabidi iwe kiasi gani sasa?

    • @LawrenceHezron-f1q
      @LawrenceHezron-f1q 8 วันที่ผ่านมา

      Hilo kanisa lake hawatoi sadaka. Ni maamuzi yako

    • @barikimushi97
      @barikimushi97 8 วันที่ผ่านมา

      Ndii tuna toa kwa sabau pesa ina takiwa iende kwenye pesaa,

    • @Kabwela776
      @Kabwela776 8 วันที่ผ่านมา

      @@MwalimuJellylittle by little fill a basket 🧺!

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kuna mahojiano alifanya nabii mkuu na milad akasema waumini wanatoa kuanzia 20000

  • @sosthenesmaemba
    @sosthenesmaemba 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mshambulieni G Gosbet, ila sili IPO yeye sio mjinga, niamini IPO siku ualisia utajulikana

    • @AtuganileGodson
      @AtuganileGodson 4 วันที่ผ่านมา

      Kabisa ,ukweli utajulikana.Walio wa Mungu na wa shetani watajulikana tu

  • @Liyale_Kid_Gold
    @Liyale_Kid_Gold 5 วันที่ผ่านมา +1

    Daahh Raisi uyu wa nchi gan 😅

  • @pillykinabo8722
    @pillykinabo8722 9 วันที่ผ่านมา +7

    Mmmh! Hao wadada wanaomwaga maua nikama waudumu wa bar vile wamevaa😅

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 8 วันที่ผ่านมา +2

    Mbona wakati wa Magufuli haya mambo ya kuonyesha magari na utajiri usioeleweka hayakuwepo

  • @Shabani-d7h
    @Shabani-d7h 8 วันที่ผ่านมา +3

    Muacheni nabii wetu ale mema ya nchi .acheni wivu tafuteni pesa pia kuweni na ufahamu

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา +1

      Kweli kabisa maana hata yeye nabii si kafungua kanisa ili apigepesa watu naowakitaka utajili wamuige tu wafungue makanisa na wapangebei nzuri ya sadaka watatajilika baada ya miaka kadhaa watakua matajiri kama nabii mkuu mimi nakuungamkono watu waache kukosoa

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Watu wana ma roho ya wivu Sana kama mnasema mikataba baba zenu mbona wamezunguka kwa waganga wengi na sasa wanakufa masikini?

  • @geofreymilinga2965
    @geofreymilinga2965 8 วันที่ผ่านมา +1

    Wenye roho mbaya wanaumia sana Mzee anazidi kubariiwa msafara kama Raisi magari Yote yakwake

  • @Hillaboy-m6r
    @Hillaboy-m6r 8 วันที่ผ่านมา +3

    Hata yesu hakuwa tajiri wa mali kiasi hicho ila tajiri wa imani sasa hapa naona imani hakuna ila kuna utajiri wa mali

    • @movierecapbongo
      @movierecapbongo 8 วันที่ผ่านมา

      Hakuna tajiri aliyemziidi Suleiman

  • @davidjohn9535
    @davidjohn9535 8 วันที่ผ่านมา +2

    Ni sadaka tu au anakazi ingine..maana sio mchezo

  • @DanielMbena
    @DanielMbena 8 วันที่ผ่านมา +3

    Huyu baba godaver ana hali nzito. Mikataba aliyoingia ni mikubwa sana ya kishetani na kafara nzito mnoooooooo

  • @mirajiomarykilala9463
    @mirajiomarykilala9463 7 วันที่ผ่านมา +2

    Nabii mkuu, Nakukubali sana ulikaa nasi johari Rotana Wakati ukienda China mwishoni mwa mwaka 2024.
    Ulituachia Tips wakati unaingia na wakati unatoka ile tip imebadilisha Maisha na kuwa bora zaidi. Huna baya wewe Ndugu Karibu tena na tena.

    • @WardaYousuf-g2n
      @WardaYousuf-g2n 4 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂ww akili ishatekwa hujitambui

  • @WardaYousuf-g2n
    @WardaYousuf-g2n 4 วันที่ผ่านมา +1

    Mcheni Allah acheni kudanganywa na binadamu wenzenu

  • @Charlzlomo
    @Charlzlomo 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ulimwengu hauna jema usipotoa wanasema unaibia masikini sadaka ukitoa kwanini tajili na anatoa ?MUNGU ni muhukumu wa haki sio binadam

  • @ManjuraGabriel-s1v
    @ManjuraGabriel-s1v 9 วันที่ผ่านมา +4

    Ee mungu tusameh ukute waumini wake hawna hat uhakika wa Milo 2 kwa siku

  • @SamwelMollel-br9md
    @SamwelMollel-br9md 9 วันที่ผ่านมา +2

    Amina napokeya hiyo neema yanabii mkuu iwekwangu

  • @Antelopeaccessories
    @Antelopeaccessories 7 วันที่ผ่านมา

    Dah jamaa ana helaa😂😂😂😂😂

  • @GreysonMdee-x3n
    @GreysonMdee-x3n 9 วันที่ผ่านมา +15

    Ukiambiwa ukristo sio dini elewa sasa ulishawahi kuona ibada ya kuchanganyika wanaume na wanawake sehemu moja tena wanawake wengine wamevaa suruali zinabana wengine wamevaa vimini vinawabana magoti nje akikaa mtu mbele yake ataona mpaka ikulu, ni kweli hakuna binadamu aliyekamilika ila kwenye suala la Mwenyezi Mungu tuache utani jamani mbona tunamletea sana utani Mwenyezi Mungu tutasalimika kweli, dah msiba mzito, mara wengine waseme myahudi ndo Mungu mara wengine wajiite manabii, msiba mzito. INALILLAH WAINNA ILAYH RAJUUN

    • @martinalberty8011
      @martinalberty8011 9 วันที่ผ่านมา +4

      usihusishe ukristo na vitu vya ajabu🙄

    • @Jastus100
      @Jastus100 9 วันที่ผ่านมา +5

      Sema kwa huyu nayejiita nabii sio ukristo... Kuwa muislam usidharau dini zingine, usi generalize

    • @EdwinKipyali-o9o
      @EdwinKipyali-o9o 9 วันที่ผ่านมา +3

      Tengua kauli hyo ukristo unahusiana VP hapo ..tafuta cha kuzungumza c huo upuuzi

    • @frankshirima4029
      @frankshirima4029 9 วันที่ผ่านมา +1

      Huo unao uona hapo sio ukristo ukitaka kuujua ukristo njoo nikifunsishe habari za kristo tunae mwabudu MUNGU wetu huruhusu mambo kama haya kutoka maan yeye atakuja Kwa upesi atachambua walio wake mbuzi na kondoo nafasi bado ilpo mkiri Leo uwe mmoja wa wanafunzi wake

    • @JocyeAdrian
      @JocyeAdrian 9 วันที่ผ่านมา +3

      Achakukalili dini zmeletwa na wagen mbona nyie mnaongea kiarabu

  • @Kisigino
    @Kisigino 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ipo Siku hapa watu watakuja kulia kilio cha kusaga meno

  • @JamesGiligita
    @JamesGiligita 4 วันที่ผ่านมา +1

    Hao wadada wanao mwaga maua nd akina nan na wamevaaje

  • @tekashichannel
    @tekashichannel 9 วันที่ผ่านมา +10

    Uyu mbwa Ana hela🙌🙌🙌

    • @Maya-bm9bu
      @Maya-bm9bu 9 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @ezesaxo8764
      @ezesaxo8764 8 วันที่ผ่านมา +1

      Alianza akiwa kijana

    • @iddykwangaya2794
      @iddykwangaya2794 8 วันที่ผ่านมา +1

      Ayupo peke yake,,wako wengi, iyo ni system ya upogaji

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา

      Sasa sadaka kanisanikwake kola muumini 20000 atakosa kua tajiri?

    • @LilianPhilemon
      @LilianPhilemon 6 วันที่ผ่านมา

      Ataziacha

  • @Yana_queen1
    @Yana_queen1 9 วันที่ผ่านมา +2

    Natooa…natoooa ..natoooouwa mwishoni lzm Nivuneeee sio maneno yangu

  • @franklinjr996
    @franklinjr996 8 วันที่ผ่านมา

    2 Mambo ya nyakati 20: 20
    Wakaamka asubuhi na mapema, wakaenda nje katika jangwa la Tekoa; nao walipokuwa wakitoka, Yehoshafati akasimama, akasema, Nisikieni, enyi Yuda nanyi wenyeji wa Yerusalemu; mwaminini BWANA, Mungu wenu, ndivyo mtakavyothibitika; waaminini manabii wake, ndivyo mtakavyofanikiwa.

  • @joycefrances4516
    @joycefrances4516 8 วันที่ผ่านมา +2

    Hamna kitu,sio sadaka za walala hoi hz,kuna nguvu ya ziada ,itakuwa anapewa gari hz kutoka ,,,,,,

  • @kingj9606
    @kingj9606 10 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Mimi sina shida na pastor kuwa tajiri, (pengine pia una biashara zako halali mimi sijui) lakini unakuwa na magari hivyo halafu una kanisa na madhabahu ya mabati? Really? Yaani Mungu sehemu ya kumuabudu hata air conditioning hamna na sakafu nzuri hamna, na hakupendezi, halafu una magari hivi. Uza magari kadhaa angalau sehemu zs ibada zipendeze. Na mtumishi wa Mungu kweli una maadui wengi mpaka uwe na security hivyo?. Au mbwembwe tu zote hizi😅. Kama ni kweli una maadui hivi, basi Mungu akulinde.

  • @EGM-TZ
    @EGM-TZ 7 วันที่ผ่านมา

    From #EconomicallyGrowthMusicians Nabii hiyo Barabara uwekee Lami inachafua Magari ya kifahari😅😅
    Enjoy Muziki Mzuri kutoka EGM

  • @nyabahailani3169
    @nyabahailani3169 8 วันที่ผ่านมา +2

    Iko siku mungu ataonyesha tu dalili ya mvua mawingu yameenza

  • @eskalade486
    @eskalade486 7 วันที่ผ่านมา +1

    Mambo ya kumwaga mauwa nimeyaona kwenye movie ya came to amelca

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 8 วันที่ผ่านมา +1

    Asee huyu sasa ndio tajiri yule chief godlove muongo sana 😂 hana ela huyu ana FEDHA😂

  • @Maya-bm9bu
    @Maya-bm9bu 9 วันที่ผ่านมา +4

    Uso na mikono vimekataa kutoa ushirikiano 😊

  • @HassanMashaka-e1r
    @HassanMashaka-e1r 9 วันที่ผ่านมา +3

    Nyuma ya Pazia📌📌

  • @SylviaMkami
    @SylviaMkami 9 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli hizi ndy nyakati zenyewe

  • @evancemoevt8597
    @evancemoevt8597 9 วันที่ผ่านมา +5

    Mchungaji Tajiri alafu Waumini wake Masikini 😂😂😂😂😂😂😂

    • @MirriamDevis
      @MirriamDevis 9 วันที่ผ่านมา +3

      Wafanye kz wapate pesa kwani wamekatazwa

  • @iambaizo
    @iambaizo 6 วันที่ผ่านมา

    Nabii Mkuu mheshimiwa dokta😢

  • @andrewbigambo6721
    @andrewbigambo6721 7 วันที่ผ่านมา +1

    If there is true God within u then no need bodyguards or security.though it doesn't matter people are employed to feed there families.were do they go after nabii pass.

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 8 วันที่ผ่านมา +1

    Watu hawapendi kweli wanapenda uongo

  • @mwalimubenjatz677
    @mwalimubenjatz677 8 วันที่ผ่านมา +2

    No no no this is not the man of God ... This video has a lot to reveal if you was keen in watching.... Jesus have mercy on us that we may discern you are elects, holy priests.

  • @RamadhanMdhirai
    @RamadhanMdhirai 7 วันที่ผ่านมา

    TUNAIMANI NA BABA MTAKATIFU GEOR DAVIE BALOZI WA AMANI

  • @colmanuiso545
    @colmanuiso545 6 วันที่ผ่านมา +1

    Gozbert ni Lastborn wa GeorDavie .

  • @Kakamussa1856
    @Kakamussa1856 8 วันที่ผ่านมา +2

    Endeleeni kuombewa tyu yeye akitaka mchangieni

  • @GlorydavidJeremiah
    @GlorydavidJeremiah 5 วันที่ผ่านมา

    Ikiwa wafanyabishara wa Baar wanatafuta wasichana wanaova uchi na kuwaweka hadharani kuvutia wanaume na makanisani tukawaweka wanaovaa uchi kuweka mauwa kwenye capert ya nabii tuna tofauti gani je atawaza maandiko au? Tujisitili kwa kweli

  • @Charlzlomo
    @Charlzlomo 8 วันที่ผ่านมา

    Ulimwe hawana jema paster asipotoa kama gwajima,au mwaposa anaibia masikini akitoa kama joedevi huyu sio mtumishi wa MUNGU anapesa sana ashukuriwe MUNGU mhukumu wa haki sio kama binadam

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb 8 วันที่ผ่านมา

    Ah huwezi kutumikia mabwana wawili (feza, na Mungu)

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Roho za umasikini hizo

    • @henrymatebe
      @henrymatebe 2 วันที่ผ่านมา

      Masikini hawaendi mbinguni

  • @fredmbossa-kc3qn
    @fredmbossa-kc3qn 7 วันที่ผ่านมา

    Naomba kuuliza hivi nabii isaya,nabii mika walikuwa na ufahari kama huu???😭😭😭😭😭🤣🤣

  • @vom84
    @vom84 8 วันที่ผ่านมา +5

    Huyu mzee hategemei sadaka, hayo magari mbn ni pesa ndefu sana

    • @breymbasa3451
      @breymbasa3451 8 วันที่ผ่านมา

      sadaka unaiona ni pesa ndogo syo?

    • @mussammanga7791
      @mussammanga7791 8 วันที่ผ่านมา

      @@breymbasa3451 .Mtajijuwa mnaonyang'anywa bila yakujitambua huku mkifurahia.

    • @mustafamsati9599
      @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา

      Wakat kila muumini anatoa 20000 kila jimapili ww mjingakweli ebu fikilia kwanza

  • @kingmakavely9861
    @kingmakavely9861 4 วันที่ผ่านมา

    jengo la kanisa lina thamani ya gari moja tu ukichukua na uwanja gari nyingine yaani gari mbili tena sio hiyo G wagon
    sio kwa chuki ila hakuna injiri hapa 🚮🚮🚮

  • @SaidAkida92
    @SaidAkida92 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hivi hao waliopo hapo kwa mwingi huo nikweli wote hawautambui ukweli wa mtumishi wao inasikitisha sana kweli na amini wajinga ni wengi kuliko wanao jitambua

  • @KELVINHENRY-i6h
    @KELVINHENRY-i6h 8 วันที่ผ่านมา +1

    Kweli nyakati za mwisho

  • @mustafamsati9599
    @mustafamsati9599 8 วันที่ผ่านมา +1

    Hana hata ukuu hawez gusa ukuu wa sureimani bin daud huyo kaziyake ni kuwaibia wachaga tu et sadaka 200000 kilamuumini kumbe wachaga munakaza dar tu hahaha

  • @ramahkesh9360
    @ramahkesh9360 8 วันที่ผ่านมา

    KILA NAFSI ITAONJA UMAUTI NA HAKUNA AMALI ILIYO BORA MBELE YA MWENYEZI MUNGU KAMA MATENDO MEMA, PESA, MAGARI NA MAJUMA, NA STAREHE ZOTE ZA DUNIA NI ZA KUPITA TU

  • @IsmailChremenzy
    @IsmailChremenzy 7 วันที่ผ่านมา

    Samahanii wanamlindaa hivii kwamba watamuuwa au mimi ndioo sielewii

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 7 วันที่ผ่านมา

    Nabii mkuu duh, izi PESA bhana izi

  • @godfreymlau2525
    @godfreymlau2525 9 วันที่ผ่านมา

    Bwana yesu hakuwa tajiri.

    • @hemedmbondejr
      @hemedmbondejr 9 วันที่ผ่านมา

      Sasa yeye yesu??

    • @alexlusaka1315
      @alexlusaka1315 8 วันที่ผ่านมา

      Alikua masikini ili sisis tuwe matajiri

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 8 วันที่ผ่านมา +2

      Tena hata banda la kulala hakua nalo, aliishi akilala hapa na pale, hata akasema mbweha ana pango na ndege wana viota ila yeye Mwana Adam hana hata pa kulaza kichwa.
      Jamaa sasa hivi wanauza pombe na guest house ili tu mtu awe tajiri

  • @chumizola1847
    @chumizola1847 9 วันที่ผ่านมา +4

    Mmm jengo la kanisa mbona silielewi?

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 8 วันที่ผ่านมา

    Yy tajiri ,nyie masikini mpka kufa , namuamini sana mwandambo

    • @BITOCHENGUX
      @BITOCHENGUX 8 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂 Oya unamjua Mwandambo?!!....comment yako imenichekesha sana....kila siku lazima nipite kwenye account yake tiktok...huwa nacheka sana 😂

  • @angeldarlingtz2938
    @angeldarlingtz2938 9 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂wajinga ndo waliwao kwahiyo hapo police wa nn watu wenyewe wako wachache hivi visichana kama viudumu vya bar😂

    • @SamwelMollel-br9md
      @SamwelMollel-br9md 8 วันที่ผ่านมา

      Hakuna mjinga mwenye pesa kaa ujuwehilo sawa

  • @eliuskamwelwe1018
    @eliuskamwelwe1018 7 วันที่ผ่านมา

    Watu wanamzawadia Hera za mafuta😅😅 Hawa manabii ndo wanaharibu ukristo

  • @godfreymushi6966
    @godfreymushi6966 9 วันที่ผ่านมา +1

    Umaskini wa akili ni njanga kubwa ka nchi za Afrika kwa kweli so sad

  • @SirAmani-y5n
    @SirAmani-y5n 9 วันที่ผ่านมา +3

    Nyie mmeona hao wadada wanaomwaga mauwa hizo sket zao zilivyofupi guy guy

    • @RobsonLugomi
      @RobsonLugomi 9 วันที่ผ่านมา

      Acha umbea fanya mambo yako😂😂😂

    • @ahuriladaniel9849
      @ahuriladaniel9849 9 วันที่ผ่านมา +1

      Malaya tu hao hakuna kanisa hapo

  • @mamashado1338
    @mamashado1338 8 วันที่ผ่านมา

    2:36

  • @SuzanNassary-lt1xs
    @SuzanNassary-lt1xs 8 วันที่ผ่านมา +2

    Nimesoma comment za pipo nimeamin watu wana makamasi kichwani...Tafuten hela acheni kelele na nyie hamjakatazwa kuwa matajir,, achen kamdomo ,,hzo nguvu elkezen kwnye kaz na nyie mjipate..

  • @MariamMwalongo-x3q
    @MariamMwalongo-x3q 8 วันที่ผ่านมา

    Sadaka za waumini maskini zimaenda kununua magari ya kifahari eeeeh mungu tusaidie sikuizi dini ni biashara kama zilivyobiashara nyingine

    • @davidfrank1644
      @davidfrank1644 7 วันที่ผ่านมา

      Hapan wala sio sadak ,hakun ela inatosh kunnua izo ndinga kwa idad ya washirika wa hapo hao niwatumish wa shetan ndo anae walipa wala sio mungu

  • @BrianWilliam-m5v
    @BrianWilliam-m5v 4 วันที่ผ่านมา

    Ona huo msafara wa magari alafu waumin wake kuna mtu hana hata baskel, Hv akil za watu zmekuwaj

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 8 วันที่ผ่านมา

    Mungu fundi yaan yote hayo ila anapanda moja tu😅

  • @amaniamosi2603
    @amaniamosi2603 8 วันที่ผ่านมา

    Torati 8:18

  • @MussaKulanga
    @MussaKulanga 8 วันที่ผ่านมา

    Mafuta ya gari hizo na manunuzi yoote ni sadaka za waumini sawa hatukatai ila hichi ndio chanzo cha uibukaji wa makanisa uchwara

  • @christopherchacha7944
    @christopherchacha7944 6 วันที่ผ่านมา

    Alijichanganya kumbe angefaidi vingi😅😅😅

  • @troybolton6686
    @troybolton6686 9 วันที่ผ่านมา

    Jamani watanzania mnaibiwa hela na hawa wachungaji sijui eti manabii kweli watu waelimishwe vipi huo ni ujambazi wa hali ya juu

    • @PraiiseHisname
      @PraiiseHisname 9 วันที่ผ่านมา

      Wewe unahela ya kuchangia gari zote hizo?kwa sadaka za bukubuku unafikiri mtu anaweza kumiliki gari zote izo? huo ni ufinyu wa akili!

    • @salmamlokela1987
      @salmamlokela1987 9 วันที่ผ่านมา

      ​@@PraiiseHisnamewewe ndo huna akili 😅😅😅

  • @LUKIUSJOSEPHATI
    @LUKIUSJOSEPHATI 7 วันที่ผ่านมา

    Kumbe akina mwamposa niwengiii aiseee

  • @YasserSuleiman-s5y
    @YasserSuleiman-s5y 8 วันที่ผ่านมา +1

    Ni dini au ufahari wa magari?!

  • @chichasam9032
    @chichasam9032 8 วันที่ผ่านมา +1

    Nonsense