Sasa mura unapeleka duniani Kwa akina nani mura ,mambo mengine yanatakiwa uchukue mahamuzi na hatua kubwa mura sawa hamna shida subilia matokeo kutoka njee
Hongera saaaaana. Kamanda mbowe. Na kamanda lisu. Lisu unakitu kikubwa Sana. Alichokupa mungu kwa ajiri ya watanzania. Ndio maana lisasi hazikukumaliza uhai wako. Ila! Huwa naumia saaana kukuona na ulemavu wa ukubwani. Acheni mungu aitwe! Mungu
Kamanda wangu hata mimi huwa naumia sana, ninapomwona kamanda Lissu akiwa mlemavu ukubwani, ila tumwache Mwenyezi Mungu aitwe Mungu, yawezekana ndivyo alivyopanga, I dream this man to be a president of this government...ila Malipo ni hapahapa duniani, aliyetaka kumtoa duniani, ametangulia mbele ya haki. Glory to God.
Tatizo usikivu serikali ingesikia kilio cha wa Tanzania maandamano yasingekuwepo sasa ukipigwa na baba ukakimbiria kwa mama naye akakupiga au akakaa kimya mtoto hukimbiria kwa Jirani huku analia na ndipo shida nyingi au kwa maneno mengine Aibu za ndani hutolewa watu wakajua siri zenu lakini mama angembembeleza mtoto na kumuahidi kitu chochote Aibu isingekuwepo siyo mtoto tuu ana tatizo bali hata wazazi huwa Tatizo hapo ndipo Busara itumike kuondoa hiyo AIBU
Kuna sababu Gani inasabisha vitu vipande bei tanzania? Au tamaa ya wafanya biashara wapate faida kubwa zaidi? Wafanya biasha wa mafuta ya vyombo vya moto ni matajiri wawajali watu wa chini maana ndio wateja wao wengi sio wananunua huko wanasikitika.haifai
Madai ya Chama kikuu cha,Upinzani nchini Tanzania ktk maandamano yao wamewakilisha sauti ya umma,wa Watanzania dhidi ya Wenye mamlaka. Selikali inapaswa kusikiliza na kutafsiri kimatendo haina haja ya kubaki kimya maana ukimya utafanya kila kona ya nchi siku moja kuandamana. Ikifikia hatua hiyo itakuwa ni sura isioweza kutafsirika kwa lugha nyepesi.
Analysis yako inaonyesha biasness yako kuhusu chadema. 1. Unasema turn out ilikuwa ndogo uko serious kweli? 2. Unasema hii ni vision ya rais. Umesoma ile miswada kweli? Samia hataki mabadiliko ila pressure from progressive people inamtaka alete reforms. 3. Uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na tamisemi na waziri ni mkwe wake? Are you serious kweli? Please stop this useless propaganda. It does no good to our country. Pathetic.
@@LaizerMlay sisi kwetu ni maandamano ya wanaichi si police ya Tanzania ni uigizaji wa video tu . Dangu nisaliwa hayo ndio maandano ya kwanza Tanzania . wengine wao pale walilipwa hele
We need to see bbc use two languages Swahili language and lntanationol langwege English for thouse don't understand Swahili use lntanationol langwege as BBC lntanationol midia then neburing country they don't don't hear Swahili they can use lntanationol langwege Swahili can be lntanationol langwege profit of our neburing country hear vary few people but on special neburing country how understand Swahili close boder with Tanzania but country hearing Swahili Kenya understand much better but Zambia Malawi Mozambique Congo do understand Swahili just boder that why we need two languages use to be duble standard lnfometion in lntanationol community hearing what is happening in the nation call Tanzania like ather Africa national use locel language and lntanationol langwege
Nimependa sana haya maandamano
Yalikua maandamano yakistaarabu safi sana.
Hongera sana BBC kwa kuandishi bora bila uchawa nyie ni kioo cha waandishi wote tz
Mandamano ya kwanza Tanzania chadema oyeeee🎉🎉🎉❤
Asante BBC kwakutupelekea ujumbe dunia zima wajue sisi watanzania maisha nimagumu ccm wanatutesa wananchi wao tunahitaji katiba mpya
Sasa mura unapeleka duniani Kwa akina nani mura ,mambo mengine yanatakiwa uchukue mahamuzi na hatua kubwa mura sawa hamna shida subilia matokeo kutoka njee
Umeteswaa lini😂😂😂
Hongera saaaaana. Kamanda mbowe. Na kamanda lisu. Lisu unakitu kikubwa Sana. Alichokupa mungu kwa ajiri ya watanzania. Ndio maana lisasi hazikukumaliza uhai wako. Ila! Huwa naumia saaana kukuona na ulemavu wa ukubwani. Acheni mungu aitwe! Mungu
Kamanda wangu hata mimi huwa naumia sana, ninapomwona kamanda Lissu akiwa mlemavu ukubwani, ila tumwache Mwenyezi Mungu aitwe Mungu, yawezekana ndivyo alivyopanga, I dream this man to be a president of this government...ila Malipo ni hapahapa duniani, aliyetaka kumtoa duniani, ametangulia mbele ya haki.
Glory to God.
Nimependszwa nà hii. Big up
Hakika nawakubali sana Asante kwa taarifa za ukweli bila kupindisha ukweli wala kushawishiwa kisiasa
Maandamano ya nimeyapenda
Hamjambo nyote Haki na ifuatwe kwa kila Taifa la Este Africa Thank you Mbarikiwe
Samia alisema kwa jirani kumechemka 😂😂😂😂 kumbe mumefwata wakenya 😮😮😮kiatu ni kilekile😂😂😂
Wapo sawa maisha ni mAgumu mno
Mungu ibariki tanzania hilal shekhan Tanzania
Peter mwangangi you're here my brother bbc
Asante sana chadema
Tusimamie haki✌️✌️💓🙏🌹
Mimi Nimpongeze Mama Samia ameonyesha Ukomavu. 🎉🎉🎉 Congratulations
Maandamano hayasaidii
New goverment and new consutition🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Viva Leizer Mlay, hoja yako makini sana,....New government, new Constitution,.
❤❤
Please TZ come to Kenya tuwafunze how to demonstrate until the whole world listens😅
mauaji nyie. machinja chinja. Wala watu
Kwa huyo ya wagema waachieni wagema wakayageme wenyewe.
Vema makamanda,hata mbuyu ulianzakama mchicha.huo ni mwanzo,wananchi sasa wataanza kuelewa.
Oyoyo katba mpya ni lazima
Nyie abari zenu zauongo sana 😢😢😢😢😢
Tunamuitaji YESU TANZANIA
Nothing is bad with maandamano it shows how democratic a country is😂😂😂😂😂
Chadema hoyeeeeeeeeeeeee
Hapo nimewakikishia MTANZANIA ni wa AMANI MUNGU Bariki TANZANIA
Kuna jamaa alisema lisu amekimbia maandamano kaenda kushabikia mpira, Afkon kumbe nakenyewe kameanza uongo?
Yule ni mpumba kwana hajielewi . Wala hajui mipaka yake sifa tu.
MUNGU ibariki Chadema, MUNGU Fanya agenda zote ziwezekano
Habali za vita gaza 4:05
Chadema ni chama cha amani hilal shekhan mcr oman
❤❤❤❤
Pongeza kwa Mheshmiwa Rais ❤❤❤❤❤ Tanzania inafunguka sasa
Tatizo usikivu serikali ingesikia kilio cha wa Tanzania maandamano yasingekuwepo sasa ukipigwa na baba ukakimbiria kwa mama naye akakupiga au akakaa kimya mtoto hukimbiria kwa Jirani huku analia na ndipo shida nyingi au kwa maneno mengine Aibu za ndani hutolewa watu wakajua siri zenu lakini mama angembembeleza mtoto na kumuahidi kitu chochote Aibu isingekuwepo siyo mtoto tuu ana tatizo bali hata wazazi huwa Tatizo hapo ndipo Busara itumike kuondoa hiyo AIBU
Bonge la tafakuri, sana kali imetumika
Sahihi
Chadema oyeeeee?
Sjaona sufuria kwa kichwa 😢
Saafi
Mungu mlinde docta samia suluhu hassani atuongoze bila upinzani kwa mwaka yake amen
CHADEMA TULINDIENI RASILIMALI ZETU ZISIENDE KUNUFAISHA MATAIFA MENGINE WAKATI WATANZANIA WANALALA NJAA NA HUDUMA MBOVU KWA WATU WAKE.
Hoja nzuri pastor
Tunahitaji katiba mpya na tume huru ya uchaguzi
Da kwel yan sukali impnda adi 4000 da😢
Pamoja sana kamanda mbowe tundu Lisu kamanda wa zamu!! Tuko pamoja sana
Wale machawa!! Wakujipenekeza vile vyamaccm mjitafakari!!!
Safisana
Wanatuua kisawanatuita masikini
Sio utashi we mwandishi katiba ndivyo inavyotaka 😊😊
Wamezidi ubepali
Polisi hawajaruhu maandamano, maandamano ni haki kikatiba muandishi usipotoshe
Kifupi samia hatukutaki
🤛
Mohammed Issa Hizb wa TIF, eti sheikh huyuuu...
Chama tawala wakijichanganya kwenye katiba mpya ndio bayi bayi kutoka madarakani
Mlitucheka Kenya tukiandamana sasa mnalamba lolo😂
BBC, ahsate
Wanaandamana au wanafurahia
Maadamano yaamani inakubarika na raila angekua akiongoza maadamano hivo ndo wasiende wakiharibu mali ya watu
Kuna sababu Gani inasabisha vitu vipande bei tanzania? Au tamaa ya wafanya biashara wapate faida kubwa zaidi? Wafanya biasha wa mafuta ya vyombo vya moto ni matajiri wawajali watu wa chini maana ndio wateja wao wengi sio wananunua huko wanasikitika.haifai
Nilidhani tz haina pinzani kumbe pia kwa kwatokota
Kongoe makamanda
TANZANIA TUNAVYAMA VIWILI TU, CCM NA CHADEMA, VINGINEVYOTE NI WAFUASI WA CCM WANAKUBALIANA NA KINACHO FANYWA NA CCM.
Zari anafanya biashara gani ?
Anafanya kazi za kurithi shule za marehemu ex husband wake na kazi zingine ni ujanja ujanja tu.
Madai ya Chama kikuu cha,Upinzani nchini Tanzania ktk maandamano yao wamewakilisha sauti ya umma,wa Watanzania dhidi ya Wenye mamlaka.
Selikali inapaswa kusikiliza na kutafsiri kimatendo haina haja ya kubaki kimya maana ukimya utafanya kila kona ya nchi siku moja kuandamana.
Ikifikia hatua hiyo itakuwa ni sura isioweza kutafsirika kwa lugha nyepesi.
BBC mmeshapoteza public trust. Hamuaminiki kabisa. Muda wa kufariki kwenu umefika
😮
Analysis yako inaonyesha biasness yako kuhusu chadema.
1. Unasema turn out ilikuwa ndogo uko serious kweli?
2. Unasema hii ni vision ya rais. Umesoma ile miswada kweli? Samia hataki mabadiliko ila pressure from progressive people inamtaka alete reforms.
3. Uchaguzi wa serikali za mitaa usimamiwe na tamisemi na waziri ni mkwe wake? Are you serious kweli? Please stop this useless propaganda. It does no good to our country. Pathetic.
Really Aloyce
😂😂😂😂mulisema wakenya ni wajinga hawana akili😂😂😂 kumbe tumewaambikiza😂🇰🇪🇰🇪🇰🇪💪💪💪💪 jikaze pia nyinyi
Sisi si njaaa ndugu ni ya amani tu hadi unaona mwenyewe hatuna masufuria kichwani😅
We Kenya 🇰🇪 ushawahi kuona mkuu wa police anaongoza MAANDAMANO....
Maandamano ya Tanzania polisi wanashiriki nyie Kenya vp polisi?
@@LaizerMlay sisi kwetu ni maandamano ya wanaichi si police ya Tanzania ni uigizaji wa video tu . Dangu nisaliwa hayo ndio maandano ya kwanza Tanzania . wengine wao pale walilipwa hele
@@LaizerMlay maana ya njaaa ni uchumi na maana uchumi ni njaaa
Sasa wewe Zari kwa nini umechanga kingereza na swahili?umejiamini kujua luga kushinda mpasha abari??mumependa sana luga za wageni
Zari ni mganda lijue hilo.
Basi aongee kingereza Sio kutuchanganyia, maana yeye Ni Muganda Sio mswahili.@@odilomwemeziernest646
@@odilomwemeziernest646 okay aksanti sana nilizani ni Mtanzania
Pumbvu tupu
BBC ndo wanapenda Tz tuharibikiwe watu wajihusishe kwenye maandamano bila kufanyakazi huku wakifurahia tukivutia wawekezaji tz muwe macho
Mimi naona kabisa kuandamana siyo sulution ningeomba tu watumue juhudi za kidemocrasia .pia wamuache mama afanye kazi
Imeshindikana, kwani wewe unaishi wapi
Sofa zimwendee raisi Kwa Jemima zake
We need to see bbc use two languages Swahili language and lntanationol langwege English for thouse don't understand Swahili use lntanationol langwege as BBC lntanationol midia then neburing country they don't don't hear Swahili they can use lntanationol langwege Swahili can be lntanationol langwege profit of our neburing country hear vary few people but on special neburing country how understand Swahili close boder with Tanzania but country hearing Swahili Kenya understand much better but Zambia Malawi Mozambique Congo do understand Swahili just boder that why we need two languages use to be duble standard lnfometion in lntanationol community hearing what is happening in the nation call Tanzania like ather Africa national use locel language and lntanationol langwege
Hua wako nayo, bbc english
Ni Bora kuliko kingereza Cha kichina tutaelewana tuu
❤❤
❤❤❤