MAPOKEZI YA MGOMBEA URAIS CCM KASULU KIGOMA BALAA, JPM AFURAHI AAHIDI MAKUBWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 137

  • @geofreynoah9458
    @geofreynoah9458 4 ปีที่แล้ว +12

    Kigoma mmenifurahisha mnooooooo! Hongereni sana. MUNGU akubariki JPM kwa kuikumbuka kigoma katika team yako ya kikosi kazi. Kura zote ni kwako.

    • @amiryhamza1984
      @amiryhamza1984 4 ปีที่แล้ว

      rais wetu kweli mtetezi wawanyonge watu wanakupenda sana safisana mzarendo wakweli

    • @shadrackmpama2947
      @shadrackmpama2947 4 ปีที่แล้ว

      Sisi wakigoma tunakupenda sanaa mheshimiwa toka uhuru kigoma haijawahi kupata mawaziri watatu Asante sana baba Mungu akubariki sana kwakweli huna mpinzani ni wewe tyuuuuu ulikumtima wachu

  • @aminaabdallah7702
    @aminaabdallah7702 4 ปีที่แล้ว +3

    Baba unafurahisha sana.ubarikiwe MH rais PJM mungu yakupe nguvu ishallah

  • @johnsonlaizer8690
    @johnsonlaizer8690 4 ปีที่แล้ว +6

    Mungu akupe maisha marefu rais wetu jpm pia inuka safari hii yakuhusu wewe👆👆🇹🇿

  • @edithamsacky6193
    @edithamsacky6193 4 ปีที่แล้ว +16

    MUNGU AKUTANGULIE KWENYE KAMPENII ZAKO KARIBU ARUSHA.

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 4 ปีที่แล้ว +4

    Wao wanakusanya mamia wewe unakusanya mamia,maelfu, Malaki na mamilioni hongeraa babaa

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว +13

    Huyu alishashinda siku nyingi, wengine wanamsindikiza tuu, na vile wanavyoongea upuuzi ndio wanazidi kujichimbia kaburi

  • @benezethkapongwa3111
    @benezethkapongwa3111 4 ปีที่แล้ว +15

    Ngoja niwaambie tu...ukifuatilia vizuri huyu mzee nishagundua anajaza watu karibu kila mkutano ila sasa wale wenzetu wa upande wa pili wakijaza kaeneo kamoja baaasi wanakesha kusema. Mwanza walijaza ila Magu alijaza zaidi...sasa wasubiri na huko kwingine walikopita wanakozani wamejaza ndio wajue nani anajaza na nani anajaza zaidi!!!

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว +3

      Hilo hawaoni wajinga wale. Yaani mpaka jpm anakutana na wasanii katikati kashafanya kampeni karibu 10 peke yake bila msanii na watu wanajaa hatari wasubiri octoba ndo watajua kelele zao

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      ​@@onesmojustice2348 Umeona eeh? Ila usihangaike kutukana; nao ni Watanzania wenzetu. Pili siyo uzalendo kufanya hivyo. Halafu unaweza kujidhalilisha mwenyewe. Tusi kubwa unaloweza kuwavumburishia wapinzani kama hao ni paleee Oktoba 28 kumpatia JPM kura yako, kumchagulia Mbunge na Diwani---Mafiga 3!!! Wakati wa ufunguzi Dodoma JPM alisema lazima katika uchaguzi huu tuwanyooshe hayoo jamaa. Namwombe Anko Bulldozer kura yako. Magufuli fireeeeee!!!!

    • @mako331
      @mako331 4 ปีที่แล้ว

      Jamaa wanafanya mikutano kwenye vieneo vidogo ndio watu wajae, ili waseme angalia umati huu, hakuna kitu, waende kwa stadium kama uncle magu tuone hao watu watajaa?

    • @reginatemu9189
      @reginatemu9189 4 ปีที่แล้ว

      Natamani wachangamke zaidi ya apo,wakiambiwa nyoosha mikono wanyooshe kwa nguvu zote,sio wanajikusanya tu halafu hawana bashasha za kushangilia,wananiangusha

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@reginatemu9189 Wanasikitika kwa nini JPM ahangaike kiasi hicho wakti ni mzalendo anayepaswa kuchukua nchi hii hata miaks buku??

  • @salamaneno6108
    @salamaneno6108 4 ปีที่แล้ว +4

    Asante baba tumeona maendeleo kwa mkoa wangu asanteee sana mungu akulinde baba utapita bira kupinga kabsa 100% karibu kigoma tutakupenda milele wewe ndio chaguo la mungu kwa watanzania

  • @bodyaman
    @bodyaman 4 ปีที่แล้ว +9

    Kila la kheri Mh.Raisi J.Pombe Magufuri

  • @everydayniewsnangale3636
    @everydayniewsnangale3636 4 ปีที่แล้ว +5

    Daah nakukubali kinyama aisee..Ila mzee kapungua Sana mungu akutie nguvu ishallah yatakuwa sawa

    • @ahmednoor1412
      @ahmednoor1412 4 ปีที่แล้ว +1

      Kuzunguka nchi tena kwa magari sio mchezo ukizingatia umri 60+ anajitahidi sana

    • @shamimushittindi1418
      @shamimushittindi1418 4 ปีที่แล้ว +1

      Yes kampeni c mchezo

    • @julianamasunga700
      @julianamasunga700 4 ปีที่แล้ว +1

      Hata kipindi cha jk alipungua sana sana....alafu anafanya mikutano mingi sana kwa siku....

  • @makurusamwel1342
    @makurusamwel1342 4 ปีที่แล้ว +9

    Hahaha dah kiukweli ushindi nje nje

  • @silvamsophe4392
    @silvamsophe4392 4 ปีที่แล้ว +6

    Safi raisi wetu ushindi lazma mungu mkubwa

  • @lowassasaitoti7303
    @lowassasaitoti7303 4 ปีที่แล้ว +14

    Kwely hapa mzee amewakusanya alafu wale washamba wajekusema wamekuja kuangalia show ya wasanii

    • @josiaskay7939
      @josiaskay7939 4 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว +5

      Wale ni wajinga wanaumia wanapoona wasanii wote wako na jpm

    • @florabaruti8032
      @florabaruti8032 4 ปีที่แล้ว +4

      Rais wetu tunampenda sana

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว +1

      @@onesmojustice2348 Unajua Waswahili wanasema nyoka aliyebananishwa ndani ya nyumba anadhani kile welekeo ni njia ya kutokea. JPM kawamaliza hawa jamaa ndio maana wao kila kitu wanaoona kama ni hoja. Hatushangai hata kidogo! Kama umeishiwa chakula, yaani kila kitu kwako ni msosi, hata pumba. ahahahahaha. Viva JPM!!!!

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว

      @@onesmojustice2348 Usiwatukane, walie tu taimu ileeee Oktoba 28. Upo hapo?

  • @matildamkombachepa4320
    @matildamkombachepa4320 4 ปีที่แล้ว +2

    Una haki ya kucheza Rais wetu kwa maaana uliyoyafanya yanaonekana Baba, kwa sasa ni Kumshukuru Mungu tuu mana Mungu anazungumza nasi kupitia Rais wetu

  • @rwandaafrika6173
    @rwandaafrika6173 3 ปีที่แล้ว

    Baba lao RAIS J.P.Magufuli tumekuchanguwa Sisi watanzania wenyewe kwa hiyari Yetu Ameen

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 4 ปีที่แล้ว +8

    Rais wetu Magufuli hadi mwaka 2025.

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 4 ปีที่แล้ว +1

    Asnt Mzee bb kumbe unaziwezea. Aya aya aya. Wachawe.

  • @denismassawe9255
    @denismassawe9255 4 ปีที่แล้ว

    Zito Kabwela anaona hayaaa !!!??? Magugufi anatisha hizi ni salam kwako Zito Kabwela stiki zinakutembelea hadi kwako duuuuh!!!! Hatari sana. Hongeraa zako mzeee wetu Magu ni kweli hauna mpinzani.

  • @ausonjustinian5494
    @ausonjustinian5494 4 ปีที่แล้ว +1

    Waoo nyomi la.kufa m2 Mlakoze chane. Karb Bkb kwetu.

    • @jamilajamila4572
      @jamilajamila4572 4 ปีที่แล้ว

      Allah akujaalie Rais wetu akupe maisha marefu mno💕

  • @jrsingham
    @jrsingham 4 ปีที่แล้ว +1

    Jaman hiyo DAR ES salaam sijui itakuwaje maana sio pouw ili nyomi

  • @evasaimon2101
    @evasaimon2101 4 ปีที่แล้ว +2

    Wewe ni rais Tanzania 😁😁😁💯

  • @stevemwakisimba5986
    @stevemwakisimba5986 4 ปีที่แล้ว

    Kazi na dawa safi rais wetu

  • @danielimikaeli1408
    @danielimikaeli1408 3 ปีที่แล้ว

    RlP JPM

  • @saidsultan3681
    @saidsultan3681 4 ปีที่แล้ว

    Magufuli oyeeeè

  • @michaelndilima6210
    @michaelndilima6210 4 ปีที่แล้ว

    Safi sana

  • @sarvaharuna9943
    @sarvaharuna9943 4 ปีที่แล้ว

    Kasulu ndalichako hana mpinzan pia anko umetishaaa

  • @yusuphalinani5432
    @yusuphalinani5432 5 หลายเดือนก่อน

    Ameni

  • @jackngaku7449
    @jackngaku7449 4 ปีที่แล้ว

    Anajua kucheza

  • @mako331
    @mako331 4 ปีที่แล้ว

    Na hapa ni kwa Zitto kweli upinzani kwisha

  • @Pelegrinoemanuel
    @Pelegrinoemanuel 4 ปีที่แล้ว

    Jpm ni noma

  • @shaugentwaha356
    @shaugentwaha356 2 ปีที่แล้ว

    Kwa kifo chake huyu mwambaaa tulipigwaaa hakika

  • @mathayowasulo569
    @mathayowasulo569 4 ปีที่แล้ว +3

    Tuliho tulakusasiye

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 4 ปีที่แล้ว +1

    Halafu anajivunia utanzania wake na anauwezo wa kuwasiliana na kila aina ya watanzania kwa unyenyekevu na kutumia lugha wanayoifahamu zaidi, badala ya kule maneno ya hasira kama "so what?" ambayo wengine wanayatumia ati wakifikiri hivyo ndio kuendelea.

    • @missangela6720
      @missangela6720 4 ปีที่แล้ว +1

      Umeona eeeh? Kiswahili unaambiwa JPM kaipaishwa hadi SADC wameikubali

  • @bizobusiness663
    @bizobusiness663 2 ปีที่แล้ว

    Tunaongalia 2022 tujuane ap

  • @masoudkipara5053
    @masoudkipara5053 4 ปีที่แล้ว

    Lisu ameona ayo mafuriko original mana ye akiwa na watu 10 tu anajigamba eti nawaza watu

  • @mwitangarama8069
    @mwitangarama8069 4 ปีที่แล้ว

    Ila jamani wawe wana angalia wametoka malaisi wangapi na wamefanya nn angaoieni jamani ujue laisi nikama nimungu wapili kwelii kuendesha watu so mchezo kila kitu kina muqngalia yeye jaman hata hyo akipata ndoivyivyo hapo anaongea kwakuwa hajaingia akiingia atakiona chamoto kuendesha watazania tusio nashukulani nimempenda magufuli eti katoka ubiligiji na bajaji hhhhh

  • @noelisaac3913
    @noelisaac3913 4 ปีที่แล้ว

    Wakoloni weusi

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 ปีที่แล้ว

    Siku zote nimekua kasulu ipo kagera kwa wa haya

  • @wazirmlogi7532
    @wazirmlogi7532 4 ปีที่แล้ว

    We mzee umeanza lini uhuni huo wa kucheza ki bongo fleva😂😂

  • @mavuzijiwe6805
    @mavuzijiwe6805 4 ปีที่แล้ว

    JPM jembe Beba Nchi hata mara 700

  • @sepetukamaisala2040
    @sepetukamaisala2040 4 ปีที่แล้ว

    Mmmh kazi IPO nyomii

    • @floramolel4283
      @floramolel4283 4 ปีที่แล้ว

      Karibu Arusha jmn mbona unatutenga mweshimiwa

  • @stanleychisaluni1503
    @stanleychisaluni1503 4 ปีที่แล้ว

    Duuuuuuh,,,,,

  • @simbalion2871
    @simbalion2871 4 ปีที่แล้ว

    Watoto wazurii

  • @venancephilbert9397
    @venancephilbert9397 4 ปีที่แล้ว +3

    Hiyo wilaya 1 tu kasulu toa kibondo kakonko uvinza kigoma vjijini

  • @theprogrammer3351
    @theprogrammer3351 4 ปีที่แล้ว +1

    Magufuri for life.... Yajayo yanafuraisha

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong3917 4 ปีที่แล้ว

    Ndugu zangu Mimi ni kijana mwenzenu mpambanaji naomba support yako kutazama video yangu ya pineapple kwa kugusa picha yangu hapo juu nakuomba pia u subscribe I hope utaenjoy Ahsanteni Sana🙏🙏🙏

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 3 หลายเดือนก่อน

    RIP

  • @hktztv6519
    @hktztv6519 4 ปีที่แล้ว

    Show Kali ya Harmonize kigoma atikisa Ni balaa 🤙🤙 🤙
    👇👇👇👇👇
    th-cam.com/video/USOORQ4W2GA/w-d-xo.html

  • @radiIbrahimnuhu
    @radiIbrahimnuhu 4 ปีที่แล้ว

    Mfahamu Raisi aliyepata kura nyingi kuzidi idadi ya wapiga kura...bofya hapa th-cam.com/video/SjaPenqZ1QY/w-d-xo.html

  • @maandaziimakavuu3790
    @maandaziimakavuu3790 4 ปีที่แล้ว +3

    Raisi wetu wa milele usiyekuwa na mpinzani utashinda kwa 85% Mungu akujalie mausha marefu ameni

    • @khamissnassor1462
      @khamissnassor1462 4 ปีที่แล้ว +1

      vice versa is true

    • @ombenishirima6444
      @ombenishirima6444 4 ปีที่แล้ว

      Nina mashaka na IQ ya huyu ndugu ,,,,nadhani ni zaidi ya average ya kawaida ....huwa namtafakarigi nashinda kupata majibu ,,,siku nikionana nae nitamuuliza wastani wa IQ yake ni ngapi????

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว +1

      Umekosea atashinda kwa 95% njia ni nyeupe haijawahi tokes

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว +2

      Asilimia 1000% anashindaa wenye wivu naomba like zenu basi ata kwa shingo upande.

    • @mahiryally4224
      @mahiryally4224 4 ปีที่แล้ว

      @@onesmojustice2348 10009000000090

  • @ezzy_e2450
    @ezzy_e2450 4 ปีที่แล้ว

    Hapo wengi tulikuwa kwa fiesta ya Mond na kiba bx amna wapiga kura hapo

    • @martinemaganga2546
      @martinemaganga2546 4 ปีที่แล้ว

      Hapo ni njiani ,sasa hawo wasanii unaowasema wako wapi? Haujitambui

    • @ezzy_e2450
      @ezzy_e2450 4 ปีที่แล้ว

      @gladness thomas mbona mnahangaikaa na hi comment nyie mamrukii

    • @sundaysindole1978
      @sundaysindole1978 4 ปีที่แล้ว

      We jidanganye tu!

  • @amanmohd9435
    @amanmohd9435 4 ปีที่แล้ว

    Kigoma ni mkoa wenye watu wengi zaidi kwa Tanzania hali zao duni sana lakini bado WANAJAZANA kumshangilia JIWE ...lakini pia inawezekana mijitu imekusanyika kumuona huyo MAGUFULI NI NANI.

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว

      Kajinyonge na chama chenu masikini. Umasikini wenu mnafikiri watanzania wote kwendraaaaa

    • @raymondkipipi516
      @raymondkipipi516 4 ปีที่แล้ว

      Hapo kaka Aman umechemka , Kigoma Mungu kaijalia tokea kuumbwa kwake haijawahi kukumbwa na njaa wala ukame, ndo mkoa pekee wenye watu waliojaliwa na Mungu kwa akili nyingi, na Tanzania nzima HAkuna mkoa ambao hauna wafanyabiashara matajiri kutoka Kigoma

    • @mahiryally4224
      @mahiryally4224 4 ปีที่แล้ว

      Chumaaaa cha pua!

    • @simoncords1173
      @simoncords1173 4 ปีที่แล้ว

      Kama watu wanavyokusanyika kumuona yule kiwete aliponaje

  • @clemenceclemence7926
    @clemenceclemence7926 4 ปีที่แล้ว

    Hivi hao niwatoto.au watuwazima mbona wanasukumana kama wanafunzi

  • @jonathanvalentine9188
    @jonathanvalentine9188 4 ปีที่แล้ว +2

    Magufuli atakuwa rais wa kwanza kutawala miaka mitano tu tangu tupate uhuru

    • @canibalgazaboy8325
      @canibalgazaboy8325 4 ปีที่แล้ว +1

      Unaota ukimaliza kuota Kanye ulale ujiandae kwenda kuolewa na raisi wako Lisu ubelgiji 😂😂 😂😂 😂

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 4 ปีที่แล้ว +1

      Una mtindio wa ubongo wewe eti eee?

    • @jonathanvalentine9188
      @jonathanvalentine9188 4 ปีที่แล้ว

      Magufuli Ana cha kuwashawishi watu kaharibu kila kitu siyo wakulima, siyo wafanyabiashra, siyowaajiliwa wa serikali yaani kila sehemu.
      Watakaompigia kura magufuli ni walevi wa ccm tu, siyo watu wenye akil zao kwasababu kila MTU kamuumiza kwa sehemu yake

    • @isaachayes9783
      @isaachayes9783 4 ปีที่แล้ว

      Umevuta bangi aina ganii?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 ปีที่แล้ว

      @@jonathanvalentine9188 sijui nikujibu nini maana utalia siku hiyo na huyo kichaa wenu pimbi.

  • @mrwhite24lyrics32
    @mrwhite24lyrics32 4 ปีที่แล้ว +1

    th-cam.com/video/3Ja3F4qSzF0/w-d-xo.html.
    Na hii ilikuwa hatareee

  • @Njau_kings
    @Njau_kings 4 ปีที่แล้ว

    Ukitazama video hata watu hawana munkari na jiwe yaani anajitahidi wamsapoti ila hakuna kituu ....
    Tumekuchoka baba

    • @MK_AFRICAN_VLOG
      @MK_AFRICAN_VLOG 4 ปีที่แล้ว +2

      Sema umemchoka wewe..

    • @makurusamwel1342
      @makurusamwel1342 4 ปีที่แล้ว +3

      We boya fala wew kma hawan munkari nae wamefat nn

    • @MK_AFRICAN_VLOG
      @MK_AFRICAN_VLOG 4 ปีที่แล้ว +2

      @@makurusamwel1342 c ndio hapo sasa😀

    • @josiaskay7939
      @josiaskay7939 4 ปีที่แล้ว +2

      Umesha pata jibu. Tena wewe ni jipu

    • @makurusamwel1342
      @makurusamwel1342 4 ปีที่แล้ว +2

      Af utakuta anashoboka tuu af hat kujiandikisha hajajiandikisha maan naon km vle hajielewi

  • @shaffihsiraji3141
    @shaffihsiraji3141 3 หลายเดือนก่อน

    RIP