Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa upendo Fred nimebarikiwa watoto wawili wakwanza anaitwa Lucas's na wapili anaitwa mikaeli naomba utuombee mwanangu wapili Ana umwa umwa tuombee mtumishi wa mungu tuombee tunaomba
Unadhani ni yeye basi roho chafu aliopandikizwa na uyo aliemfundisha uchawi na hao sio kama wanachukuliwa wanajielewa wakiwa usingizini taratibu badae anabadilika sasa yaan hao wakuuwa wote wanaowafosi kuwaingiza watoto kwenye kazi ya hovyo
Ushauri wangu hicho kingereza kingekuwa kinaandikwa chini hapo wakati mtu anashuhudia
Mungu wetu anatenda jaman.Mungu akutunze kuhani wa Yesu
Amina mtumishi wa Mungu nakupada nikiwa Lebanon lakini nyumbani ni Kenya, ninahitaji maombi yako sana na msiti kuparikiwa 🙏🙏
Powerful testmony helping
English sound is so loud 🔊🔊🔊🔊 than testimony why
Karibu sana Ngomeni kimara Temboni kwa Kuhan na mwl Musa Richard Mwacha
Ashura Mrisho naomba ufichue family yangu na ndoa yangu mji wangu piya
Saut ya kingeleza Kiko juu sana
Amen baba ubarikiwe
Waah nilikuwa sijawai watch hii Mungu saidie watoto wetu nasi pia barikiwa mtumishi wa Mungu
Amina mtumishi wa Mungu.Mungu wa uruma akuzidishiye upako.mimi ni kevin.naishi Malawi🇲🇼
Mkalimani jmn bora akae kimya tunatoka uweponi 😭😭
Hiyo sauti ya translation to English sometimes no need
Kabisaaa not need
Kabisa
That’s true 😀😀😀
Hii ni kwa watu wa nje ambao hawajui swahili inawasaidia
Bwana yesu asifiwe kwajina naitwa upendo Fred nimebarikiwa watoto wawili wakwanza anaitwa Lucas's na wapili anaitwa mikaeli naomba utuombee mwanangu wapili Ana umwa umwa tuombee mtumishi wa mungu tuombee tunaomba
Baba lao nikupendeje au nikushukulu vp maana mungu kakuleta wakati sahihi mungu akupe miaka milioni na saidi🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Mungu atusaidie tuweze kuwatambua🇰🇪🇰🇪.
Amina🙏
Yesu wa ngomeni Aishi milele🙏🙏🙏
Mungu. Mungu. Yajamani bariki
Nabii
Musl
Lichard
Mwacha.
Baba Mungu akutunze tunapokea uponyaji ktk jina la Yesu
Ubatikiwe sana Kuhani wa Mungu. Asante
Huyo mkali man apunguze sauti.Mungu awabarik sana
Amen
Amina
Amina .Yesu ni Muweza
Mungu Baba tusaidie tuombe bila kukoma kwa msaada wetu uko kwako daima
Naomba baba uniombee naota ndoto za ajabu ajabu
Unaetafsri acha mala moja unatualibia
Yesu kristo wa mbinguni tusaidie hivi vizazi vyetu
🙆🙆Mungu wangu tukinge na yote ya dunia
Ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ameeeeeen ❤❤❤❤❤ ameeeeeen barikiwa sana
Mungu wetu. ni mwema sana na Damu ya Yesu Kristo ni ya aajabu
Amen Baba !
Yesu wa kuhani Musa namimi ndani ya wanangu nisaidiye icho chama watoke ndani nisaidiyi
Unayetafisiri English mwachie mda wa kiswahili afu tafisiri sawa,baba mungu akuongezee
Jaman nimewapendaaa
aminaaa baba 🔥🔥
Kingereza kiondolewe hatuelewi sauti IPO juu sana
Mungu azidikuku Linda mtoto
Huyo mzungu jamani mnyamazisheniiiiii....anatupigia fujo aiseeh.
Huyo wa kiingereza Bora anyamaze anaondoa watu katika uwepo
Amina balikiwa
Baba
Shetani shinda kwajina layesu amen amen 🙏
AISHI MILEEEEEEEEEEEEEEEEEEE BWANA YESU WA NOMENI. ASANTE YESUU
Mwenye kutafisili anazuia kusikia vizuri
Nasisi wakazi wa Burundi usitusahawu
Yesu wa ngomeni ni waajabu
Mmmm Mtoto unaogopesha
Akishaongea ndio utafsiri we hatukusikii na huyo binti hatumsikii😱
Amen amen
Asante baba kwa neno
That's translation to be secere inabore coz sometimes no need...
Yesu wagomeni aishi milele
Amenenepa vizuri! Uchawi hauna maana kwelii
Kwa Jina ka Yesu Ameshindwa shetani.
Amen 🙏🙏
Tunabarikiwa sana but huyo anayeongea ki ingereza anatuchanganya🙏
Amen 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Yesu nimwema
Mungu azitetee familia zetu Kwa jina la yesu
Mungu wa ngomeni na mimi nitasa unikumbuke na mimi nipate kuzaha
Pray for me please 🙏
Amina🙏🇰🇪👏
Àminaaaah
Jamani wamama msiwashawishi watoto kuingia kwenye uchawi muogopeni mungu.
Dah mtoto una roho ngumu sana dah baba ako alokulea miaka yote na kukusomesha umuue kisa cheo tuzudi kuomba kwa imani sana😢😢😢😢😢
Unadhani ni yeye basi roho chafu aliopandikizwa na uyo aliemfundisha uchawi na hao sio kama wanachukuliwa wanajielewa wakiwa usingizini taratibu badae anabadilika sasa yaan hao wakuuwa wote wanaowafosi kuwaingiza watoto kwenye kazi ya hovyo
Aisee duniani kuna mambo
Jamani sis wanene utuombee Mtumishi w MUNGU duh ila WEWEKUHANI unasaidia sana
The translator is not necessary
Just interfering
Mungu simamia uzazi wetu🙏🙏🙏
Yesu wa ngomeni aisi milele
Nisaidie mwanangu taus atoke kwenye mateso hayo us ukichaa
huyo mkalimani ni useless kabisa kaharibu upako kabisaa, msimrudishe tena
YESU wa NGOMENI AISHI MILELE ANATISHA
🤗🤗🤗🤗❤️
Nimeituma sadaka yangu Kwa ajili ya kujifungamsnisha na wewe ili unitoe kwenye mateso na wanangu
Aidi milele
Huyu mtumishi yupo tz au Kenya?
Hakika yesu anaweza.
Mtumishi naomba msaada wa maombi ysko
hakika baba una weza
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏tuombee mtumishi
Ameeeeeeeeeeen
Ameena
Tuombee mwanangu amekuwa anasumbuliwa na marazi naomba maombi yako mtumishi wa yesu naomba ningekuwa wakulia kila Mara mwanangu anasumbuliwa naomaoma
Hahahahaa Yesu tusaidie jomon
amina
Mkalimani tulia unapoteza upako
Wakufe kabisa ata wa kwangu
Jamani naombeni namba zenu za wasapu
Amen 🙏
Sauti ya mkaliman iko juu sana
Mungu mwema
freshng
YESU ni BWANA
Napataje namba zahuyu kuhani naombeni msaada
Huyu mtoto alisema hanaga dada yeye ni wa mwisho na ni wa kike peke yake😀too much maigizo mmeamua kumseti hamjui mmesahau
Kwani dada lazima mzaliwe tumbo moja? Mtoto wa baba au mama mdogo au mkubwa siyo dada yako?
Wewe unatafsiri sauti ya juu mno,unatuchanganya
Najiungamanisha
Mtumishi napataje connection npo mwanza
Kuhani Musa mtumishi waMUNGU naomba maombi ndowayangu ikombolelewe mumewangu amjue mung baba yangu
Naomba usome meseji jaman nakutuombeya mchungaji
Jamani Jamani Dunia ina mambo mungu nisaidie
Jamani Mimi Niko mbali nilikua ninaitaji maombi yenu sana
Translator