Ndo ulaji wao bila huo mradi hawana ukoloni huku Africa wakuupola mali zao, Wanajitegemea nakulidhika nawalicho pewa na mungu mora awazidishie, sio kama hawa mabepari wamagharibi
Inabidi iwe hivyo kwasababu ni njiya ya kujilinda, kwa kuwa yeye yupo kwenye Orodha ya walio pangwa kuangamizwa, na Muamerika na Washirika wake. Iran 🇮🇷 imekusa hata amani ya kujichanuwa kimaendeleo...
Nyie mnapoteza muda unabii unaonesha , Izrael hawezi kupigwa tena tangu ameridi na kua taifa , atakuja kupigwa wakati wa ziku kuu , ndomana ikaitwa taabu ya yakobo au izrael, ila kwa sasa ata aje urusi hawezi kumpiga izrael
Kadafi aliwekeza kwenye maendeleo nini kilimkuta, Dunia ya sasa kama huna nguvu kijeshi, Ata uwe na uchumi wa Dunia nzima ni Bure tuu, wahuni watakupiga na Mali zote watakuibia wataenda nazo, kadafi Mali zake zote walienda nazo, Sadam Mali zake zote walienda nazo, congo wanauwa watu Mali zote wanasepa nazo.
Inabidi iwe hivyo kwasababu ni njiya ya kujilinda, kwa kuwa yeye yupo kwenye Orodha ya walio pangwa kuangamizwa, na Muamerika na Washirika wake. Iran 🇮🇷 imekusa hata amani ya kujichanuwa kimaendeleo...
MJOMBA MASUBI MASHAKA YAKO WAPI SASA..
MBONA HAO WESTERN KILA SIKU WANATENGENEZA...
AU WAO NDO WALINZI WA DUNIA...
Kwa Iran nae yupo ndio unapewa taarifa ulikuwa hujui ulizowea kusikia magaribi tu
Iran chapa kazi Baba
Acha watengeneze2 mana hata Marekani anatengeneza
Shoga unateseka
Waendelee kujitanua kwa ajili kujilinda
Ndo ulaji wao bila huo mradi hawana ukoloni huku Africa wakuupola mali zao, Wanajitegemea nakulidhika nawalicho pewa na mungu mora awazidishie, sio kama hawa mabepari wamagharibi
Daah noma sana
Mungu awasaidie
Hawana habari na mtu wao wana jiweka sawaa2❤
Hongera iran
ALLY MASUBI WW MCHAMBUZI MZURI SANA ILA NIKUKUMBUSHE IRANI AU UTURUKI SIO MATAUFA YA KIARABU NO
Wanasema hvyo sababu yapo urabuni Ili watu waelewe
Nikikuuliza Iran ni kina nani utasema Persian sasa Persia c jina la nchi Yao kabla haijaitwa Iran
hizi setilate zimekuwa za kikuda Sana ingkuwa amri Yang wangetengeneza kwenye mahandaki2
Wanatengeza huko ingawa kunawakati adui anajua kupitia mionzi
Magharibi wakati wao wa ubabe kwa kila taifa kwishna
Israel itadeal na Iran kwa hivyo hamna cha kuhofia hapo... hata watengeneze ngapi wakianza vita Israel bado atamtandika tu
Inabidi iwe hivyo kwasababu ni njiya ya kujilinda, kwa kuwa yeye yupo kwenye Orodha ya walio pangwa kuangamizwa, na Muamerika na Washirika wake. Iran 🇮🇷 imekusa hata amani ya kujichanuwa kimaendeleo...
setelite zimekuwa za wakuda sana watengeneze chini ya handski tuone watapigsj hiz pch
Si wanajilinda kama marekani ?
🙌✊🙌
Iran amalizie nyuklia zake ili USA akae mbali kabisa
😅
Wampe picha n Korea za USA
Kwani wanaogopa nini
Nyie mnapoteza muda unabii unaonesha , Izrael hawezi kupigwa tena tangu ameridi na kua taifa , atakuja kupigwa wakati wa ziku kuu , ndomana ikaitwa taabu ya yakobo au izrael, ila kwa sasa ata aje urusi hawezi kumpiga izrael
We chizi upo
😂😂😂😂
Duuh ujinga mtupu wenzio wanajikita kimaendeleo nyie mnawaza vita
nenda BBC, CNN huku hapakufai
@@nizarrama225 wanatumua magari ya tangu mwaka 1800 wako nyuma kila idala si ujinga uo
Maendeleo bila Ulinzi umeskia wap....
Km huwez kulinda Jamii yko, Wataalam na Unachokizalisha utaendlea kweli
Kadafi aliwekeza kwenye maendeleo nini kilimkuta, Dunia ya sasa kama huna nguvu kijeshi, Ata uwe na uchumi wa Dunia nzima ni Bure tuu, wahuni watakupiga na Mali zote watakuibia wataenda nazo, kadafi Mali zake zote walienda nazo, Sadam Mali zake zote walienda nazo, congo wanauwa watu Mali zote wanasepa nazo.
we filauni kweli mmbwa
Inabidi iwe hivyo kwasababu ni njiya ya kujilinda, kwa kuwa yeye yupo kwenye Orodha ya walio pangwa kuangamizwa, na Muamerika na Washirika wake. Iran 🇮🇷 imekusa hata amani ya kujichanuwa kimaendeleo...