MAZINGE IZO DINI ZENGINE ZINATOWA WATU KAFARA.. BALI UISLAM NI NJIA YA MWENYEZI MUNGU..DAAWAH 87.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 160

  • @iddyally7228
    @iddyally7228 3 ปีที่แล้ว +8

    Allah awajalie mashekh wetu kwa kazi nzuri sana mnafanya na awaepushe na madui wa uislam

  • @user-nh5hi7wr4g
    @user-nh5hi7wr4g 3 ปีที่แล้ว +4

    Natamani ue rafiki yangu ustadh mazinge na mungu ajalie tuonane inshaallah. Niko swiss

  • @kutailadifi2854
    @kutailadifi2854 3 ปีที่แล้ว +5

    Masheikh fanyeni Kaz ya Allah, Allah atakulipen in sha Allah

  • @kimoyochemokos6908
    @kimoyochemokos6908 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakika uisilamu ndio dini ya haki mbele ya Allah. Majadiliano hayo, yanatuhekimisha zaidi ya ile tuliyokuwa tunajua! Baraka ya Allah iwe nanyi aamin

  • @happyarooun6037
    @happyarooun6037 3 ปีที่แล้ว +1

    Allah awahifadhi ndugu zetu

  • @jasminmohamed6145
    @jasminmohamed6145 3 ปีที่แล้ว

    MashaAllah
    Shukran Jazakallahu kheir

  • @islamicnewschannel2551
    @islamicnewschannel2551 3 ปีที่แล้ว

    Assalam Aleikum Akhui, Masha Allah Suleiman Mazinge mawaidha yake ni mazuri sana nimeipenda na inawaelisha watu wasiojua duniani unaendelea nini,mm ningependa Suleiman Mazinge, Uthman Mazinge na mashekhe wakubwa wenye elimu east Africa wamualike Dr Zakir Naik katika muhadhara iwe mkubwa na iwe uwanja mkubwa iwe Kenya au Tanzania, please ndugu yangu.

  • @abuusufian6506
    @abuusufian6506 3 ปีที่แล้ว +8

    Mazinge jr wa Kenya 🇰🇪 karib tena Tanzania 🇹🇿

  • @ahmednoor9546
    @ahmednoor9546 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashaallah mola awalipe kheri na wape ujasiri kwa kazi mnayofanya

  • @aishamusa941
    @aishamusa941 3 ปีที่แล้ว +1

    Ma sha Allah mwenyezi mungu awalipe kheri kwa kazi zenu in sha Allah na awajaalie Jannah

  • @hafsaali7976
    @hafsaali7976 3 ปีที่แล้ว +2

    ""Mashaallah mashekh wetu,Hao washaanza kufundishwa uislamu umo makanisani mwao.. tangu lini wakristo waka sujudu.

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  3 ปีที่แล้ว

      Hakika

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      Sisi hatusujudu hiyo yenu ya kupiga kipaji cha uso kwenye ardhi

    • @hafsaali7976
      @hafsaali7976 3 ปีที่แล้ว

      @@ritanget9174 ndio ilio fanywa na yesu yakupiga kipaji chini na moses..sasa twawashanga nyinyi iyo ibada yenu yaklelele na kuva miniskati mbele ya mchungaji.

  • @abdiazizmohammed6505
    @abdiazizmohammed6505 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah
    Ustad Suleiman mazinge

  • @gharibislam1586
    @gharibislam1586 3 ปีที่แล้ว +2

    Mashallah

  • @UMMYYFATMA
    @UMMYYFATMA ปีที่แล้ว

    MASHAALLAH 🙏

  • @lioncoin
    @lioncoin 3 ปีที่แล้ว +1

    Shetani ( IBILISI ) ama MUOVU atahukumu wafuasi WAKE na BIBLIA NA sio QUORAHAN wakati wa hukumu mbele ya mwenyenzi mungu "Yahweh" "Jehovah" (( I AM THAT I AM )) ili tuingie ufalme wa mwenzi mungu , tutubu thambi zetu na tumkumbali yesu kristo na mwisho TUBATIZWE NA MAJI MENGI KAMA YESU KRISTO,, mbila hii hakuna kuingia ufalme wa mwenyenzi mungu Yahweh

  • @musitemusite4316
    @musitemusite4316 3 ปีที่แล้ว

    Maashaallah

  • @musanike3079
    @musanike3079 2 ปีที่แล้ว

    Hongera

  • @jumahyusuf5524
    @jumahyusuf5524 3 ปีที่แล้ว

    MaAshllh....

  • @mifungaanyesi3547
    @mifungaanyesi3547 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah masheilh

  • @ramazecha2877
    @ramazecha2877 2 ปีที่แล้ว

    Uislamu ndio dini ya haki mbele ya mungu

  • @rahmitermohaz9804
    @rahmitermohaz9804 3 ปีที่แล้ว

    Besides May Allah reward what you're doing for spreading Islam all over the entire county in Kenya... Amiin

  • @hassanambarakmbarak8759
    @hassanambarakmbarak8759 3 ปีที่แล้ว

    Safisana mazinge hatukuoni banaaa

  • @alhajjaliomar2759
    @alhajjaliomar2759 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @jangombeboys4536
    @jangombeboys4536 3 ปีที่แล้ว

    MR

  • @jamilaomariomari8328
    @jamilaomariomari8328 3 ปีที่แล้ว

    Allahu Akbar..mashaAllah my name sake 😃👏.karibu katika wislamu.

  • @maherzain615
    @maherzain615 3 ปีที่แล้ว

    Hahaha MashaAllah huyu hata amemshinda mazinge mzee huyu kichwa kibaya makanisa yote ulimwenguni yako kichwani na waloyaanzisha na mwaka yaloanzishwa

  • @mwanamwinyibmwakinalo4094
    @mwanamwinyibmwakinalo4094 3 ปีที่แล้ว

    Allah awape umri na awalipe kila la kheri masheikh wetu , nawapenda buree

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 ปีที่แล้ว

    "ALLAHU AKBARU"...ALLAH ATUWEZESHE SOOTE KWAAJILI YA KUFANYA KAZI YAKE,INSHAALLAH"

  • @yoryskills4993
    @yoryskills4993 3 ปีที่แล้ว +1

    Keep it up shekh mazinge

  • @myoutubecom-gg7sb
    @myoutubecom-gg7sb 3 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah

  • @adambakari3797
    @adambakari3797 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah kazi nzuri mashekh wetu, yani wakijua kiswahili vizuri wataweza kuelewa bibilia, na vizuri munawafunza kiswahili pia

  • @mwanaishamlima2047
    @mwanaishamlima2047 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah Mungu kazi nzuri

  • @zaby-n-mamashasha6671
    @zaby-n-mamashasha6671 3 ปีที่แล้ว

    Mungu awajaliy kheri kwa rehma zake ,yn tunawapend kwa ajili ya Allah

  • @rahmitermohaz9804
    @rahmitermohaz9804 3 ปีที่แล้ว

    I would like to see in Nairobi Eastleigh again Inshaa Allah

  • @stylestheentertainer3388
    @stylestheentertainer3388 3 ปีที่แล้ว

    Good job Sheik Mazinge

  • @ahlanwasahlan373
    @ahlanwasahlan373 3 ปีที่แล้ว

    Maa Sha Allah

  • @mwaitaali6816
    @mwaitaali6816 3 ปีที่แล้ว

    Masha Allah Mey God bless you all

  • @mangeraalbert7982
    @mangeraalbert7982 3 ปีที่แล้ว

    Bismillahi,

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 ปีที่แล้ว

    Mashehe kazinzuli m /mungu atawalipa kwakuwaelimisha madhehebu mengine

  • @thebibleandthebibleonly8602
    @thebibleandthebibleonly8602 3 ปีที่แล้ว

    Uongo wenu utajulikana tu ndangaya wenye hawajui lakini kiama kinakuja tuambie vile miti inasijundu kama huu sio unafiki na uongo

  • @prettyaysha7892
    @prettyaysha7892 3 ปีที่แล้ว +2

    Sheikh pia Hawa waarabu wanaswali faradh, sunna zote na dhuha lakini wengi hawana mark na Hua wanasema mm nna mark ju siko mweupe

  • @athumankitsanze8512
    @athumankitsanze8512 3 ปีที่แล้ว

    Allah atuongoze sote inshallah,

  • @ernestdaud2206
    @ernestdaud2206 3 ปีที่แล้ว +1

    Yani nyinyi waongo wakubwa eti ufunuo wa Yohana 9 aya ya 1 eti mwenye anasujudu anapata alama kwenye paji ya uso,uongo mtupu fundisheni ukweli acha uongo.

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      Wachana na hawa waislamu hawajui lolote ukifwata mafundisho yao utapotea bibilia yataka uisome ukiwa uko na akili tena uwe na Roho wa mungu hao wamejaa jazba

    • @thebibleandthebibleonly8602
      @thebibleandthebibleonly8602 3 ปีที่แล้ว

      Hakika umenena waongo tena wanafiki

    • @rudathekaka699
      @rudathekaka699 3 ปีที่แล้ว +1

      Asalam alaykum, napenda kuwakumbusha ndugu zangu usomeni vizuri uislam na sio kutukana pa si na elimu ya maarifa. Kwa hakika dini ya haki mbele ya Allah ni uislam

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 3 ปีที่แล้ว

      Siume pewa andiko acha chuki ww soma utoporo wako wa biblia kafili ww

    • @ramadhanjuma610
      @ramadhanjuma610 3 ปีที่แล้ว

      Acha uchizi pumbavu ww ukisujudu lazima utoke alama kama athali yaku sujudu kafili ww nenda zako uko tusha chukua mfuasi wenu waki sheytwani sasa amisha kua mwisilamu ana mtumikia mungu inshaallah allah amu ongoze ww baki na ukafili wako waku mwabudu mwanadamu alo kunya kama ww

  • @zaby-n-mamashasha6671
    @zaby-n-mamashasha6671 3 ปีที่แล้ว

    Hhhhh nishida kweli ayo makemeyoo nikutwanga😅😅Astaghfirullahi laadhwim

  • @Kazubassyathyvry89
    @Kazubassyathyvry89 3 ปีที่แล้ว

    Allah awalipe kila la kheli

    • @kenyadawahtv90
      @kenyadawahtv90  3 ปีที่แล้ว +1

      Allahuma Amin

    • @nasserm.nasser5087
      @nasserm.nasser5087 3 ปีที่แล้ว

      Subhanallah
      Mitume (amani ziwe juu yao) wanatajwa wakisumsujudia mola wao ktk biblia. Masjid maana yake ni sehemu ya kusujudu na ndio waislamu wanaenda huko kusujudu
      Mwanadamu anakuwa karibu sana na mola wake ktk kusujudu. Njema iliyoje waislamu kujaaliwa kumsujudia mola wao zaidi ya mara 17 kwa siku

  • @alhaddajmohammed4768
    @alhaddajmohammed4768 3 ปีที่แล้ว

    Wamisionary (Wa mpango mkakati/Wafuasi wa Shetani) wametumia/wanatumia ujanja kuwapoteza ndugu zetu wa damu (Wakristo) wamewatungia na kuwaletea madhehebu tele kwa kivuli cha aukrusto.

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      Waislamu pia wako mathehebu mengi ama wafikiri hatujui na wala thehebu halikupeleki mbinguni ujue hivyo

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 ปีที่แล้ว

      @@ritanget9174 UISILAMU Uko 1 tu, hakuna tofaut

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

    Yesu hakupiga magoti usidanganye Yesu alilala kifudifudi kulala na tumbo lakini hakupiga magoti

    • @abdur-rahmanmuhammad2898
      @abdur-rahmanmuhammad2898 3 ปีที่แล้ว +2

      😀😁😁😁
      Rudi shule ukasome kiswahili vizuri

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 3 ปีที่แล้ว +1

      Aya haisemi alilala bali alianguka kufudifudi hata nchi akasujudu.

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      @@abdur-rahmanmuhammad2898 wewe ukitaka rudi mimi sio mswahili wa Swahili nyie tukiongea broken nyinyi rekebisheni

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      @@muslihmohd9420 kwa hivyo mshaelewa Yesu hakupiga magoti kama nyinyi waislamu

    • @muslihmohd9420
      @muslihmohd9420 3 ปีที่แล้ว +1

      We vp nani alisema kusujudu ni kulala na tumbo,mswahili wa wapi wewe

  • @ritanget9174
    @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

    Hiyo ni alama ya shetani hiyo iko kwa kipaji cha uso

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 ปีที่แล้ว

      Ulimshuudia shetani akiziweka hizo alama ktk vipaji vya waislam?? WW Mungu anakuona

    • @masala8099
      @masala8099 3 ปีที่แล้ว

      Rita elimu huna matako ww

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      @@masala8099 nyinyi mlizaliwa kwenye matusi sisi wakristo huwa hatutukani tukana kabisa lakini ujue kwa mungu hufika kama hauko kwa Yesu Muhammad ni motoni utaenda pole sana

    • @ritanget9174
      @ritanget9174 3 ปีที่แล้ว

      @@kutailadifi2854 wewe njoo kwa Yesu anakupenda utoke huko kwa shetani na Muhammad wake

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 ปีที่แล้ว

      @@ritanget9174 kwa yesu ni wapi? WW unajua aliko kwa Ss huyo YESU , somaga bibilia yenu ujue yesu ninani hasa na anamahusiano gani na kipenzi chetu cha Allah MTUME Muhammad , soma bibilia utajua shetani makao yake yako wapi,😆😆😆kanisaniiiiii Ndiko kunakiti chaenz cha shetani ,🤔🤔🤔mnano

  • @muliamadi859
    @muliamadi859 3 ปีที่แล้ว

    Jamani Ismail gitahu apatikani?

  • @myself4128
    @myself4128 3 ปีที่แล้ว

    Nyinyi Endeleeni kuwaongopea watu Kwa Mungu wenu Wa kiarabu lakini siku inakuja ambayo mtajutia nafsi mlizozipoteza,Mbinguni wataingia wacha Mungu tu sio watu walioshika dini Bali watu walioishi kwa kumpendeza Mungu,
    Dini ya kweli ni kuacha maovu na Guarentee ya uzima wa milele ni Kristo tu hakuna Isa wala mohammad wala mussa,

    • @alexkijomoko7135
      @alexkijomoko7135 3 ปีที่แล้ว

      Ngoja siku ya kiama utajua Yesu ni nani

    • @abdur-rahmanmuhammad2898
      @abdur-rahmanmuhammad2898 3 ปีที่แล้ว

      Yesu Kristo alikuwa Dini gani

    • @najmamakame9881
      @najmamakame9881 3 ปีที่แล้ว +2

      Hahaha ila wewe yesu sio muafrica ujue...alikuwa myahud nakushangaa sana unachukia warabu 😂😂😂we ni mwehu kabisaa....namuomba Allah akuongoze la sivyo tutakutana siku ya hukum in sha Allah ukilia na kusaga meno

    • @ahmednoor9546
      @ahmednoor9546 3 ปีที่แล้ว +1

      Wacha wivu hakuna mungu wa waarabu wala wa afrika aliekuumba ndie aliumba warabu.tafuta ukweli ukowapi

    • @kutailadifi2854
      @kutailadifi2854 3 ปีที่แล้ว

      Msikie na huyu kafir anae Sema sie tumamfata Mungu wetu mwarabu hv ninyi Paulo aliwaachia laana Eee, Ss haijawah kudhibitisha Mungu Ni kabila gani, au ukoo gan msipende kutoa kashfa Kama hiz Jmn

  • @zenakadiara8535
    @zenakadiara8535 3 ปีที่แล้ว

    Mashallah

  • @mdmalik8484
    @mdmalik8484 3 ปีที่แล้ว

    Mashaallah

  • @shenjamamzingi7950
    @shenjamamzingi7950 3 ปีที่แล้ว

    "ALLAHU AKBARU"...ALLAH ATUWEZESHE SOOTE KWAAJILI YA KUFANYA KAZI YAKE,INSHAALLAH"

  • @husnaodhiambo6848
    @husnaodhiambo6848 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah