JINSI YA KUPATA CHOCHOTE UTAKACHO MAISHANI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 11 ก.ย. 2024
- JINSI YA KUPATA CHOCHOTE UTAKACHO MAISHANI
Kuna mengi sana kama wanadamu tunakuwa tunayatamani katika maisha yetu, lakini kutokana na aina ya malezi maisha tuliyopitia kuna baadhi ya tabia tuko nazo zinaweza kuwa zinatuzuia sisi wenyewe kufkia malengo hayo au kupata yale tunayoyatamani maishani.
Katika somo hili tutaweza kujifunza njia kadhaa za namna gani unaweza kupata chohote maishani. Fuatiia kwa makini na uniachie mawazo yako kwenye comments.
Usiache ku SUBSCRIBE na kuniachia mawazo yako kwenye COMMENTS, LIKE na SHARE PIA kwa wengine.
.
NIFUATE MITANDAONI
INSTAGRAM: / ezdenjumanne
TWITTER: / ezdenjumanne
FACEBOOK: / ezdenjumanne
LINKEDIN: / ezdenjumanne
.
For Business please send me an email
ezdenjumanne@gmail.com
#Patachochoteutakacho #SuccessPath #EzdenJumanne
Guys kama mnamkubali uyu kaka ka mimi gonga like 10 twende saw
Hizo like ww zitakusaidia nini au unataka ujulikane 😏😏 toa maoni kuhusu somo au shukuru siyo gonga like acheni ujinga
Aaaaaaaaaaah weee minakujuwa ww mnywa gongo akili km izo uzitoleee wap
Asante nimepata vitu vingi na mejifunza mengi sana ubarikiweee
Uunatisha broo
Mi namkubali sana uyu jamaa more than a teacher
Nakushukuru sana bwana ezden J4 kwa kutupa elimu ya maarifa tofauti ya maisha yetu ya duniani na akhera,naamini hii ni swadaqa-tul-jaaria,thawabu zake hazitosimama mpaka pale tu itakopo simama saa ya yaumulqiyama na Allah s.w ndie anayeweza kukilipa thawabu zako inshaallah amin.
Asante My Role model.
SIKU moja takutana nawe macho kwa macho
Naaminii
Bila shaka...tuombe uzima
Unaifanya kazi ya Mungu vyema kaka! my role model linapokuja suala ya kusoma vitabu. Mungu akubariki
Nakukubali sana bro wangu
Ezden nashukukuru sana kwa content zako zinanipa funzo sana na imani mafanikio yapo mbelee
Huu ndo Upako Halisi wa Mafanikio, Thanks Brother Ezdeez, Each one Teach one.
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
Mimi ninaitwa Mohamed niko msumbiji kaka asante sana kwa ushariwako nimijifuza kitu mungu akubariki
Mimi najivunia kwa kutumia video zako uwepo wakoo
Aisee uwezi amini juzi nilishinda mabishano kwa kukaa kimya na kuitikia kila kinacho ongelewa so alie jipanga kushindana nami uwezi amini kaka alijikuta akishindana na akibishana mwenyewee
Hahahahaaa umeona sasa nguvu ya ukimya ilivyo? Hongera sana kwa kujifunza sababu thamani ya elimu sio katika kusoma, ila kutumia baada ya kuipata/kuisoma.
P
Asalaamg'alayk warahmatullwah
Sina budi kusema alhamdulillah kwa mola wetu kiukweli nimekufatilia mara nyingi sana na nakuelewa sana sana pia ahsante kwa masomo yote unayotoa mola akubarik sana ezden jumanne
Àsante kaka nimekuelewa mungu akupe umri mrefu
Naomba namba yako whatsapp
Asalam Alaykum warahmatullah wabarakatuh Alhamdulillah Allaah akujalie kheri daiiiima kwa hikima zako
Very, educative let try ma best
Ezden nisemetu nakutakiya ufanisi zaidi katika mamboyako hasa yakielimu. Videos zako zinanisaidiya saana.
Brother keep it up.make sure Allah first..
Shukran sana brother mungu akubariki sana uendelee kutufundiza mambo mengi coz tunafaidika sana
Much blessings be upon you I really appreciate you I like your coutes success is something you attract by the person you be come
Let's keep learning from you Brother
May Almighty God keep you safe always
Kaka ahsante kwa elimu unayo tupatia by Erick Ndibalema Edward
Asante Sana, kwa video hii imenifungua akili yangu. Barikiwa mno.
Kaka mimi nakuewa sana mungu akutunze akupe umli mlefu wenye afya njema kuna vitu vingi vizuri ndani yako vya kutuvusha
Bigapu Sana bradha kazinzuri
Upo sahihi kaka ezden ndomn mm nakukubali sanaa
Thanks!!! Nmejifunza vitu vpya Mr, more blessed 🙏🙏
Thanks bro God bless you all the time
wowo somo zur sana na nimepata kitu kutoka katka maelezo yote uliyokuwa ukiyaeleza .
Ezden jumanne hongera sana hakika umenifunza vingi
Big up Sana kaka nakukubali sana kwa mafunzo yako hujawahi kosea ubarikiwe sana,
Watanzania atuangaliagi mambo ha msingi tunaangalia ujinga wa mitandaoni ya wasanii but vitu vya msingi kama hii kutoka kea bro Ezdeni ....keep going our idol I subscribe for more lessons. na vijana tubadirike tuangalie ya msingi.
African teacher
Asalam alykum mashallah watuelimisha vizuri nitazidi kukufatilia Allah akulipe kheri AMiin
Aamiin
Shukran
This channel is so inspiring Mashaaalah.
Uko sawa sasa kabisa muali ezden juma4
Nakuelewa vzr
Shukran brother toka nianze kusikiliz vipind vyako nimegundua naelekea sehem sahih may God bless you
Habari Kaka Ezden. Daaah nilimic kipindi chako kwa muda kweli kwasababu nlikua busy kidogo lakin sasa nimerudi na nimefuraika sn nakujifunza mengi asante sana
Masha Allah 👏 👏 shukraan sana brother Allah bless you 🙏 🙏
Nashukuru sana ndugu yangu. Comment yako inanipa nguvu kuendelea kufanya kazi nzuri zaidi. Usisite ku-share LINK ya content nzuri utakazoona zinafaa kuwapa wengine ili wajifunze zaidi. - Each One Teach One!
@@successpathnetwork oooookey my brother shukraan tupo p1 🤝
Kaka napenda sana maudhui yako Je,ni sahihi kumwambia MTU/watu kujua ndotto zako
Napenda Sana videos zako my life my purpose mungu akubarik Sana!
Ndugu hakika ninapata elimu ya kutosha kupitia kipindi chako ubarikiwe sana
Brother Hongera sana unafundisha vizuri ubalikiwe
Barikiwa bro 💪✌️ nmejifunza mengi🇰🇪
I like your videos, the way you stipulate and explain things is so much encouraging and influential🙏💪
Mashaallh kaka
Wewe Ni Bora katika maishayangu,nimekuwa MTU mpya kifikra
Very effective video thanks for sharing .
safi sana nafanyia kazi haya
Naamini hiyo ni siri kubwa na ya mwanzo katika kufanikiwa asante sana kaka ezden kwa msaada wako
Vraiment merci
Ninakukibali. Wewe no kifaa. Nakitakia Kila la kheri. Ahsantee sana
Asante sana Yahya Abdallah kwa kufuatilia. Pamoja!
Always nakupenda my brother
Thanks so much bro,hapo kwa kubishana huwa mimi sitaki kushindwa,duu!,umeniguza sana
Kwel Brother. Thanks Mungu akujaalie Kila la kheli hakika umenifngua akili yngu
Asantee sana Kaka nimependa mafunzo yako
Shukran Sana kwenye ratiba nimefeli asilimia 90% ili lazima nilipinge kwa kweli limenitawala Sana
Napenda kufanya kama Wewe brother...
Thanks my broo from another mother
Thanks very much Brother, i real get a wonderful knowledge, Be blessed.
Masha allah tabarakallah
Assalam Aleykum brother Ezden naomba Njia za kupata mtaji wa biashara kwa sisi ambao tumemaliza tu 4m 4 hatujafanikiwa kwenda collage na tunaitaji kujoin kundi la wana Biashara
Ongera Sana umenifundisha kitu,
Karibu sana
I really appreciate the job you are doing brother
Shukran sana
Upo vizuri broo
Umenisaidia sana bro
Shukran sheikh
Thanks much brother Ezden
I do appreciate the lesson
Tuko pamoja kaka,
Nakukubali sana kaka
Najifunza mengi asante bro
asante sana kaka M7ngu akutie Nguvu
Hongera kwa kazi, Natafutaa wawekezaji
So nice
Well said brother tasha from Kenya
Karibu sana Tasha
Asante sana brother mungu akujaliee
Aaamiin
Kiukweli umenigusa sana , hbr ya kujihurumia ,kwa maisha nilopitia mimi mungu mwenyewe ndoo anajuwa,lkn sikati tamaa ,na ninaamini ipo ck nitafikia malengo yangu
Da bima
Mm pia nazidi kukuombea uapate ujuzi zaidi kwa kutuelimisha Amiin
Nashukuru
Asante kwa haya maarifa.
Thanxs for opening our mind
Shukrani sana
Thanks very much bro may God bless you
MashaAllah ❤️ shkran sanaaa bro may Allah bless you and success path nime ziandika📝 inshaAllah nitazifanyi kazi🙏
exactly
Shukran kaka Ezden
Asante sana bro unanifungua faham zangu sana
Thank you so much
Be blessed my brother
Najifunza Sanaa
Naitwa bahati sasi soronyo napatikana dodoma tanzania kaka napenda sana elimu unayo itoa ubalikiwe sana
nashukuru sana ndugu yangu. endelea kuwepo
Good
Namba zenu za simu nazihitaji
soma description tafadhali. Karibu sana
Allah akujalie 🙏
Shukran ❤❤
Hey
Ww mwalim Ila naomba ktk maongezi yako unoongea ungelikuwa na tafsiri ya lugha ya English unatamka kiswahili huku chini lugha iyo inakuja nasi tutapata kujifunza hiyo lugha Shukran Mwalim
Ahsante boss wangusaana
nakubaliii
Nimeelewa sasaa.
Safi
Be blessed
Ushauri mzuri Sana kaka tuko p1
Shukran kk jumanne
Ahsante
Lovely...
Thank you so much brother
Nakuelew San bro..well done kw darasa huru
Minitazidi kukuombea utufungue kilasiku