Ewe mola wangu mbingu na Ardhi mjuzi wa Kila kitu unayejuwa tusioyajuwa.yarabi mola wamalaika wote na mola wa Arshi tukufu.Tunanakuomba YA Allahu natunakuomba Ya Latif Ya Halim Ya Kabir tutakabaliye Dua zetu.utupe nguvyu zinazotoka kwako.Amin Tunakuomba msamaha Ya Rabbi Tunakupenda Mola Wetu Mola Mlezi waulimwengu Alhadulilahi waswalla llahu ala saidi Na Muhammad S.A.W.A Nakupenda Mola wangu Mlezi
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
Ya Allah nifanyie wepes kwenye utafutaji wangu kwako Allah akuna kubwa yote mtihani nayopitia na matatizo nilionayo wewe ndo mkombozi wangu Allah nakuomba uniondolee uzito ulio mbele yangu unifungulie milango ya ridhiki mimi mjawako kwa kupitia dua ili Allah unipe mume mwema kwangu mcha mungu Allah nakuomba nitatulie matatizo wangu unifungulie milango yangu ya ridhiki Allah, nipe mwisho mwema 😢😢 inshaallah 🙏🏻
Ya Allah nifanyie wepes kwa kila Jambo langu niondoshehee dhiki na maradhi mimi na family yangu penye uzito unifanyie wepes nipe. furahaa kwenye maisha yangu YA ALLAH
Yani kwa miaka kadhaa nikisikia duwa yoyote nakuwa kawaida ila nilipata mtihani kila ninaposikia duwa huwa inaniingia nakujikuta nikitoka machozi huku nikitamani kulia sana sana kwa mola wangu
Ya Allah kupitia duwa hii niepushe na kila shali za majini na wanadam za za hili na sihili univuwe na kila ubaya nnukis anifanyie wepes kila ninalolifanya Amiiiiiin yaratwif
Ya Allah kupitia dua hii ninayosikiliza naomba unifanyie wepesi nipate ajira pia uniepushe na mitihani unifungulie njia na umpe rizk zaidi mume wangu wajaalie na uwape umri mrefu walionilea kipindi sina wazazi.
Ya Allah nifanyie wepes kwa Kila jambo langu, Ya Allah niondolee matatizo yote yanayotukabili mm na familia yangu😭😭, tupndolee nuksi na mabala yote, Ya Allah tupe mwisho mwema mm na familia yangu ww ndio kimbilio langu hakuna mwingine ila ni wewe Allah 🤲
Ya Allah naomba utu jalie mm na familiar yang yangu iliyo mbali Allah ww ndiye unae juwa kesho naomba uni jalie ni pate passport yang ni were kurdish nyumbani ni kiwa mzima na króna na familia yang yote tukiwa wazima utupe shift na uwa wazazi wants umri na Marshall marefu
Ewe mola wangu mbingu na Ardhi mjuzi wa Kila kitu unayejuwa tusioyajuwa.yarabi mola wamalaika wote na mola wa Arshi tukufu.Tunanakuomba YA Allahu natunakuomba Ya Latif Ya Halim Ya Kabir tutakabaliye Dua zetu.utupe nguvyu zinazotoka kwako.Amin Tunakuomba msamaha Ya Rabbi Tunakupenda Mola Wetu Mola Mlezi waulimwengu Alhadulilahi waswalla llahu ala saidi Na Muhammad S.A.W.A Nakupenda Mola wangu Mlezi
Mola wangu nijalie mume alie sahihi katika maisha pia mpe uhai na maisha marefu mama yangu na baba yngu wape afya njema watt wngu
Ya Allah nifanyie wepesi kwa Kila jambo langu,niondeshee dhiki na maradhi nipe furaha kwenye maisha yangu
Kupitia dua hii uniondolee fikra mbovu mbovu yaraby niongeze kwa Kila jambo hapa Duniani
Amiin YAH ALLAH
Mungu naomba nijaalie ndoa na mume mwenye iman lakin pia mjaalie mama angu maisha marefu na afya njema nipatie kipato cha alali iliniweze kumsaidia mama na familia yangu mtoto wangu fakhim akawe mtoto mwema na kuyapenda masomo yake ya dini na ya shule amin inshaallh🤲🙏
Yaa allah naomba unifanyie wepesi katika masomo yangu niweze kufaulu😭 nakutegemea ww tu yaa allah na kuomba🙏🙏
Ameen Ameen Ameen 🙏🏻 inshaallah yote kwako Ya Allah mepesi Akuna zito nakuomba mola wangu mlezi nipe faraja kwenye moyo wangu kwa dua hii inshaallah
Ya Allah nifanyie wepes kwenye utafutaji wangu kwako Allah akuna kubwa yote mtihani nayopitia na matatizo nilionayo wewe ndo mkombozi wangu Allah nakuomba uniondolee uzito ulio mbele yangu unifungulie milango ya ridhiki mimi mjawako kwa kupitia dua ili Allah unipe mume mwema kwangu mcha mungu Allah nakuomba nitatulie matatizo wangu unifungulie milango yangu ya ridhiki Allah, nipe mwisho mwema 😢😢 inshaallah 🙏🏻
Yaa Allah tufanyie wepesi katika makazi yetu yaarabi Amiin yaarabi nawale ambao hawakazi wajalie nawao wawe namakazi yao yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
Ya Allah nifanyie wepes kwa kila Jambo langu niondoshehee dhiki na maradhi mimi na family yangu penye uzito unifanyie wepes nipe. furahaa kwenye maisha yangu YA ALLAH
Yani kwa miaka kadhaa nikisikia duwa yoyote nakuwa kawaida ila nilipata mtihani kila ninaposikia duwa huwa inaniingia nakujikuta nikitoka machozi huku nikitamani kulia sana sana kwa mola wangu
Rama
pole sn
Ya allha naomba unijalie afya njema na uniondolee matatizo utupe wepesi na mama angu umuondolee matatizo inshallha ❤❤
Yaaallah nakuomba ktk Dua hi niponye marazi yangu na unipe rizki ya mke mwema popote pala alipo inshaallah
Ya Allah naomba unijalie nimlize madeni yangu nipate Aman ya moyo wangu Amina
Yaa allah naomba uniepushe na husda na hasad za walimwengu uniepushe me na familia yangu kwa mitihan yote mibaya.
Ya Allah kupitia duwa hii niepushe na kila shali za majini na wanadam za za hili na sihili univuwe na kila ubaya nnukis anifanyie wepes kila ninalolifanya Amiiiiiin yaratwif
Ya Allah kupitia dua hii ninayosikiliza naomba unifanyie wepesi nipate ajira pia uniepushe na mitihani unifungulie njia na umpe rizk zaidi mume wangu wajaalie na uwape umri mrefu walionilea kipindi sina wazazi.
Yaa Allah nijalie mke mwema katika maisha yangu
Yarabbi nifanye wepesi kwa kila jambo langu niondoshe ndoto mbaya kila siku matatizo mm na familya yangu yarabbi niondoshe insha allah ❤😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Yaaah Allah nijaalie kheri na baraka niondoshee Kila aina ya matatizo na unipe mwisho mwema inshaallah 🙏
Allah nifanyie wepesi katika biashara zangu nitakazo azisha mungu wangu nifanyie wepesi katika mangaiko yangu mungu wangu
Yarab tupe afya njema mm na mme Wang mama agu na wadogo zagu tulinde zidi ya vitu vibaya Amin
Eeh Mwenyezi Mungu naomba umponye Baba yangu mzazi apone haraka tumbo 🤲
Ya Allah nijalie afya niondole mitihan yot nijalie afya njem ya rab nisameh dhambi zang zote nilizozifany nikiw najitambua na nisizo zijua
Ya Allah nifanyie wepes kwa Kila jambo langu, Ya Allah niondolee matatizo yote yanayotukabili mm na familia yangu😭😭, tupndolee nuksi na mabala yote, Ya Allah tupe mwisho mwema mm na familia yangu ww ndio kimbilio langu hakuna mwingine ila ni wewe Allah 🤲
Yarabi nakuomba unisamehe makosa ninayoyajua na nisiyoyajua niliowakosea wanisemehe niondelee maradhi nifariji kwa yoote wasamehe wazazi wangu na ndugu waliotangulia wajalie watoto wangu rizki ya halali ndoa zenye kher
Yarabi nashkuru kwa kila jambo Alhamdulilah naomba nipunguzie maumivu niliyonayo kupitia hii duwaa
Ya raabii kupitia Dua hii nijalie nipate mumebora aje anioe Amiin
ya allah nijaalie afya njema niepushe na matatizo makubwa na madogo na waisilam wenzangu wot inshallah,
Ya Allah naomba nijalie Kila lenye kheri mbele yngu niondolee mabalaa na nuksi Amina inshallah 🙏🙏🙏
Ya Allah nakuomba uniafu na. Haya maradhi makubwa ya TUMBO
Ya Allah unifanyie wepesi kweny utafutaji wangu niondolee nuksi namabalaa nipendwe nakla mtu nijaalie maisha yngu mahusiano yngu nipate mwnye heri namm alokua mbaya muondoe abaki mzuri eeh baba ww nimueza wakila ktu naekutegemea
Yaarbi nifanyie wepesi katika shida ninazo pitia yarab tupemwisho mwema
Yaarab naomba umfanyie wepesi baba apone haraka na umuwekee ulinzi dhidi ya adui na hasad 🤲
Yarab kupitia Dua hii nakuomba Mola wangu Niweze Kulipa Madeni yangu yote Ninayo Daiwa Kwani Yananiumiza Sqna Nakuomba Ewe Mola wangu na Siku ya leo
Ewe allaah tujalie dunian na kesho akher shukran my
Ya Allah nifanyie wepesi kwenye mambo yangu na biashara zangu niondolee mikosi, nuksi uniletee neema na riziki.
Ya Allah ya Allah ya Allah Leo nipo mbele yako naomba nsaidie ya Allah 😭😭 nipe Kila lenye kheri mbele yngu 🙏🙏🙏🙏
Mola wangu naskiliza dua hii niondolee kila wasiwas na mattz ndani ya moyo na mwili ww pekee ndo unjua tatz Lang Ya Allah (s.w)
Yarraby niondoshee maradh nilonayo na uniepushe na kila shary za walimwengu mimi na wanangu kupitia dua hii ikawe dawa inshaAllah
Ya Allah naomba unifanyie wepesi kwenye hii mitihani ninayopitia yarab
Ya Allah nakuomba mja wako uilinde familia yangu Kwa kila mitihan inayotufika 😢
Yarb niondolee kila Aina ya shida yarab nifanikiwe kila ninachofanya na unipe mwisho mwema yarab
Yaa Allah mjalie mama angu mpunfuzie mitihani ya dunian
Yaarabi tufungulie milango Yabaraka yaarabi Amiin yaarabi ❤❤❤
Yaa Allah naomba nistiri jambo langu liwe jepesi inshallah
Ee mola wangu tujalie mwisho mwema
Ya allah nifanyie wepesi kwa kila zito ninalo pitia kwa kipindi hki kigumu kwangu
Alhamdullilah Alhamdullilahi alhadullilahAlhadullilah Allah atusitara naafya atutakabaliye kila tunalomuomba Ameeen najamii Muslima
Mungu naomba unihonganishe mama mkwe wangu name wangu naomba Aya matatizo yapote kama upepo
Yarabiiy nakuomba uniepushe nashari za ulimweng unijaalie baraka
YAlAbi,niondoshe,matatuzo,nilionayo,Allah,wewe,ndio,unayajua,
Ya Allah niondoshee mikosi
Ya Allah naomba utu jalie mm na familiar yang yangu iliyo mbali Allah ww ndiye unae juwa kesho naomba uni jalie ni pate passport yang ni were kurdish nyumbani ni kiwa mzima na króna na familia yang yote tukiwa wazima utupe shift na uwa wazazi wants umri na Marshall marefu
Ehe mwenyewe Mungu niondolee baraha zote mbaya
Ya Allah nifanyie wepesi ktk hili ninalopitia Yarrab🙏
ya Allah nakuomba nifanyiie tahafifu katika mazito ulonipa
ALLAH AKBAR ❤❤❤❤
Ameen
mashallahmashallah mashallah
Ya Allah nipunguzie mtihan ya duniani
Ewe moraha wang kupitia hii duwa naomba niponye magonjwa yangu yote nijaliye na neema mola wang
Yaa Allah atupe subrah kwa kila zito atuondolee mabalaa yaliopo mbele yetu🙏atupe furaha daima idumu😂😂
Mola wangu dua hii Uniondolee mitiani ninayo pitia
Yaarab tufanyie wepes kwenye mtihan tulioonao
Jazakallaah🙏🙏
nisalishiie yarab maumivu ninao pitiia
❤
Yarab nakuomba niondolee maradhi yangu
❤❤
Molawangu nasikiliza duahii uniondolee magonjwa uni fungulie ridhki unipe Mwisho mwema
Maisha Allah
Allahumma amiin
Amin
Amiin
Yarabi tufanye wepesi waja wako kila penye uzito
MashaAllah
Allahuma Amin🤲
Amina
Alaah atujalie Kila tuombalo.lifanikiwa
jazakallah
AMEN
Maashaallah🤲❤
Yaarb nifanyie wepes Katak matatiz ninayo pitia
Mashaalah
Mashaallaah
Mashallah
Mashallah 🙏😘
Y
yarab Allah niondoleshe maradhi nilio Naya amin
Mashaallah
Ramadhani
Mashaallah
Kilalaheri
Eee mola wetu kupitia dua hii utuondolee matatizo yote yarab
Ameen thuma Ameen
Amin
Allah qadiru
🙏🙏🙏
Ya Rahman nakuomba mponye mdogowangu anaumwa muda mrefu
Yaallanaombaumfanyiewepesibabaangukwakilajamboinshaala
❤❤❤