Tafadhali ndaro nakaka stivu shikamoo natumai my salama alimini ni damage mweusi naomba kuungana nanyi katika comedy zenu tafadhali ndaro Nazi nzuri hiyo from Kenya
Yote tisa kumi hao wadada wakikosa kidawa na mwenzake tutapungua wengine..😂😂najua wako wengi tu hapa hawataki kufungua roho nishawasemea nipeni like zangu tafadhali
Naomba liké zangu minjo wakwanza kutoka Congo DRC 🇨🇩
Wakwanza mim from Rwanda🇬🇦🇬🇦 nipen like zangu, love you sana 💞💞💞
😂😂wapambanaji Steve na ndaro .. nipewe like zangu jamani
Uyo dada anaitwa nani?
Napenda hiyo combination ya Steve na Ndaro banaaaa 😂😂😂 humu Kenya hatuachi kucheka
Bana wehu😂
❤❤❤
Pia Kenya Hawa watu ni wasanii sana kucheka itaua
Nawapena xana
Ndaro iko ndii ukimukamua nimaziwa inamutoka😂😂😂
Tafadhali ndaro nakaka stivu shikamoo natumai my salama alimini ni damage mweusi naomba kuungana nanyi katika comedy zenu tafadhali ndaro Nazi nzuri hiyo from Kenya
Shikamooo ndaro na kaka steve
Wanaburudisha Steve na ndaro wakipiga pamoja kazi
wela bhagosha steve na ndaro ni mbwa kweli kweli from USA Marekani nawapata vyema sana 😂😂😂
Ila nyie watu munafuraish sanaaa can't stop watching
Mwenye maziwa kajichanganya sana,steve na ndalo hawana akili ya biashara😂😂
Hawana nyota...ya biashara😂😂😂
Steve Hamadi kijicho mbona hatumuoni😂😂
Matumizi mabaya ya kipara 😂😂😂🙌
Hahahaha 😂😂😂😂😂 ila Steve unaniflahisha sana ndaro mha mwenzako nakusalimua mwakeye ndaro
Nime penda sana werutwe kutoka Burundi.🇧🇮🇧🇮
Nimeshangaa waana we gitwe
Umetaka kazi zingine styve😂😂😂
Hahahahahaha kiekiekiekiekie hatari sana ndaro na Steve 😂😂😂😂😂 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 .
Wale watu twawapendaga Sana💃💃💃
😂😂😂😂 yaan ndaro na Steve ni kama vichaa waliokutana
😂😂😂Machachari watu wa nguvuu 😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Hapo ni kopo na mfuniko😅😅
Steven na Ndaro Mbwaa nyinyiiiiii😂😂
Stevi ❤ wegitwe,,,,
Ndaro mm nampenda sanaa ufanikiwe ww mbunifu
🤣🤣🤣🤣🤣 Nimecheka mpaka nimepaliwa Steve mweusi na Ndarooo 😂😂😂
Mko sawa mabroz wangu
Yote tisa kumi hao wadada wakikosa kidawa na mwenzake tutapungua wengine..😂😂najua wako wengi tu hapa hawataki kufungua roho nishawasemea nipeni like zangu tafadhali
Maziwa mazuri,mazito,original from Ng'ombe🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha
😃😃😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hawa watu ukiwa na stress wanamaliza kabsaaa 😂😂😂😂
Kazi nzuri
🤣🤣🤣Nawapenda Sn Ndaro & Steve Bg Up👍
Kali
From Kenya show imeweza sana
😅
😂😂😂😂😂😂😂nawapenda bure my friends ndaro na Steve mwafurahisha nyiee mbavu zangu zaimiaa jamanii
Nakukubali ndalo na steven😂😂😂😂😂😂😂
Wauza maziwa Safi sana❤❤❤
Hii shida yooote ni CHEBUKATI UMBWA YEYE
Steve na Ndaro 🤣🤣🤣🤣🤣mbavu zangu jaman😂😂😂😂😂 kotaka Rwanda 🇷🇼 we love you continue raising East African flag
😂😂😂😂 we gitwe😂😂😂😂 dadek Steve siku izi unajua kiha
Sema stivini fala sanaaa😂😂😂😂😂😂
Maziwa ya papa 😂😂
Fatuma kafanyaje tena sasa😂😂😂😂
Nc zuri San ❤❤❤❤
😂😂😂Steve kashindikana😂😂😂
Wew gitwee hahaha nmepanda Steve mpka kiha unajua
The best 🎉
From mozambique.naipenda sana waskaji wangu sabubu Awa ni mapuzi.sempre vou acompanhar a vossa paulada
Machizi kweli hawa
tuta kukamuwa maziwa kipara🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Et ahooo❤❤we jamaaa
Kenya ni TT Comedin hukonTZ twapma STV na Ndaro wakiwa pamoja
Tanzania ❤❤❤ good jobs wakubwa
Tuwape tu maua yenu kaka mnajua Hadi bac❤❤
Sichoki kuangalia clip zenu😂😂
Nawakubali
😁😁😁😁😁😁😁😁😁 watu wa dar wanaogooa sumuuuuu😁😁😁😁😁😁😁😁😁 jamaniiiii stiveee
Appreciate sana talented brothers
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ila nyie jamaaa mmeshindikana 🤣🤣🤣🤣
Mmeskia kenya kuna maandamano kweli
Sema madem wa hii gang ni piss za kwenda hatarii
Kazi zuri vijana kama unawakunbali weka like
Mumetisha saaaaana mwaaaaasmbaaaa ndarooo
Ndaro na steve muchape kazi
😅 wauzaji maziwa hawa😅
Nakubali sana😊😊😊
Hajira eti wamelala matanga
Maziwa tu😂
🤣🤣😀steve wee gitweee😀😀
Waziii Steve na ndaro kazi safii watu wangu, tunaifurahia Hulu kenya
Daah😂😂😂😂
Hayo ni maziwaa au ujii😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
hahahahahah ndaro usibadiriki kobedi yako nduri sana, yaani uko sliasi lakini kikomed. "watu wengine siyo waaminifu, unaonja hawanunui" stive nice broo
😂😂😂😂😂
Abwanaweeeeeeeeeee nyieee kibokoooooo
Ndaro to the world 🗺 🔥 🔥
The best
Hahaha Ila Steve du
Ndaro 😅
We gitwe mpaka kiha dar
Walete😅😅😅
Hahaa nyi watu kuna siku mtafanya nkufee ju ya kucheka mambo yenu hayo haha
😆😅😅😅😅😅😅😅 mjee nakwanguu mkaniuziee maziwaa
First viewer noma sanaa
Tutarajie shows wapi? Nanyinyi na steve
Jamman mtatuvunja 😂😂😂😂😂mbavuu
Fundi ndaro ❤
Usitake Kipara Kitumike Vibaya
Ila kwakweli mwachekesha.
Nawapenda sanaaa, ❤❤ Steve na ndaro
Love Ness yuko wapi jamani?
😜😜😜 ndaro na stiv
😂😂😂😂😂
ONE LOVE FROM KENYA 🇰🇪🤣🤣🤣
👍
Dah 😂😂😂😂
m uyu mwenye chunusi kidevuni daaa yani nimempenda daaaaa❤❤❤❤❤❤
Nimempenda hajraa alipo pewa maziwa mkono shoto akapokea mkono wa kulia mashallah ndo sifaa za waislam weny kujua din duuu mashallah nimependa sana
Aaah ww kapewa na mkono wa kulia yy kapokea na wa kushoto
Ok
Duuuh hatari sana
Hahaha hivi vichwa vinovu mno.🤣🤣🤣🤣
Jamani wakwanza mimi nipeni like zangu
Watching from London i like u guys
So fany🎉
fatuma wewe !!🤣🤣
huyu steve jamani!!
We master nimpeleka mwanangu hospital Kwa sababu ya kucheka
yaaani haya madishi kweli yaani😂😂😂😂