Fred Msungu - Mamlaka ( Nguvu ) iliopo ndani yako
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2019
- Ndani ya mwanadamu kuna mamlaka kubwa sana , ambayo Mungu alioweka ndani yake ambayo kupitia Yesu kristo inafanyika halisi zaidi na kua na nguvu ya kuzalisha mambo kua ( KUUMBA )
Kupitia somo hili utajifunza mamlaka hiyo ...Uwezo wake, mipaka yake na namna ilivyonauwezo wa kuhamisha mambo toka kwenye ulimwengu wa Roho ( Usioonekana) kuja kwenye ulimwengu wa mwili ( unaoonekana) - บันเทิง
HALELLUJAH UBARIKIWE
Nipe macho ya roho Bwana 🙏🙏
Amen be blessed my Baba
Be blessed man of God
Amen❤
Huyu anafanya huduma takatifu na bible ndo inatumika vizuri siyo wale
Powerful
Nabarikiwa sana kaka....hasa interview yako ya juzi CCC ilinifundisha mengi sana juu ya imani mtumishi...Mungu akubariki mkuu
Barikiwa baba
Ubarikiwe babas
Waoooh be blessed brother Mungu anisaidie mim
Servant of God!nakuelewa kwa uwezo was Roho mtakatifu God bless you sana
Yah I need to have personal revelation of who Christ is in my life then I can command exploits,God bless you sana
Hallelujah 🙌 🙌 🙌