AHMED ALLY: AIBUKA NA HATMA YA CHAMA KIGAMBONI | WANASIMBA WAHOJI | "KAMA TUKITAKA ABAKI ATABAKI"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
  • Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
    Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv

ความคิดเห็น • 33

  • @raymanmwangosi5041
    @raymanmwangosi5041 3 หลายเดือนก่อน +1

    Eeeh sisi ndo fisi tunakula mpaka mifupa. Chama yuko serengeti anapiga picha za utambulisho yanga. maneno meengi😂😂😂😂😂

  • @suleimanchonya7736
    @suleimanchonya7736 3 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu dogo ana kazi sana ya kuwaridhisha na kuwadanganya mashabiki wa simba. Poleni sana.
    Mtu mwenyewe ashakula wino siku nyingiiii

  • @DhulkifliMkiji
    @DhulkifliMkiji 3 หลายเดือนก่อน

    MAKOLO kwani tumewauliza, mbona mnaanza kujamba jamba ovyo 😂😂😂😂😂

  • @EdibiliSalum
    @EdibiliSalum 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mbona jama hanyooshi maerezo kamili

  • @AceB4real
    @AceB4real 3 หลายเดือนก่อน +1

    Uongo ndo unaowaponza siku zote

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tumezoa maneno yenu,😅 mwaka Jana mulitudanganya manzoki ,#leo munaaza tena maneno ,,upande wa pili wanamuhitaji sana ,,tusije tukajuta

  • @husseinchalamila2624
    @husseinchalamila2624 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mbona cjaona umuhim huu nguvu yote hii ni yanini?

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 3 หลายเดือนก่อน +3

    Ila kweli duniani kuna watu mapoyoyo sasa wakati mnahangaika na usajiri wa Aziz Ki utadhani na nyie ni Yanga mkasahau kuwa Chama anamaliza mkataba😂

    • @charlesmashauri3704
      @charlesmashauri3704 3 หลายเดือนก่อน

      Nyau hatujashoboka na azizi sis

    • @msemakweli...
      @msemakweli... 3 หลายเดือนก่อน

      @@charlesmashauri3704 shida ya nyau poli aka mikia huwa hawaelewi haraka yaani ni mbumbumbu

  • @kudrakasimba5497
    @kudrakasimba5497 3 หลายเดือนก่อน

    Duuuuuuuuuu pole sanaaaaa semaji la kaf wanakupa wakati mgumu sanaaaaaaa viongz aya wee piga Kaz ila nimekuelew kifupi wamekukwaz alikua anatakiwa kubaki simba et au hivyo 😮😮😮😢😢😢😢

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 3 หลายเดือนก่อน

    CHAMA TUNAOMBA UBAKI SIMBA CHONDE UTATUUWA MASHABIKI

  • @NotiAlly
    @NotiAlly 3 หลายเดือนก่อน +1

    Yaani wanalalamika Yanga ,.. simba wanachelea Simba

  • @LetasKomba-br1xh
    @LetasKomba-br1xh 3 หลายเดือนก่อน +1

    Huo ni uongo mbona mmetuletea wachezaj ambao hatuwajui hata viwango vyao lakin mkawachukua lakin chama tunamjua kwann mnakua na mshaka nae?

  • @honesthenry901
    @honesthenry901 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ishu syo kumuacha, ishu ni kuleta mchezaj kama yeye au anafanania na yy

  • @manmanonline6394
    @manmanonline6394 3 หลายเดือนก่อน +1

    huyo mwandishi hapo ni Imanuel okwi au

  • @Faustine_Charles
    @Faustine_Charles 3 หลายเดือนก่อน +1

    Mara hatma anayo yeye mara hatma yake wanayo viongozi wa simba,
    Maamuzi ya kumbakiza chama yanaweza vp kukufanya ujute?
    Unawezaje kujuta kuwa na chama, acheni mbwembwe.

    • @igihamanuel1
      @igihamanuel1 3 หลายเดือนก่อน

      Tukutane Yanga App saa 6 usiku wa leo

  • @vaxminja9053
    @vaxminja9053 3 หลายเดือนก่อน

    Ahmed Ally ni muongo mkubwa, anajua kabisa Chama ameshaondoka zake. Simba mmeshaachwa muda mrefu 😂

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 3 หลายเดือนก่อน

    Tumekuelewa semaji la muungano kwamba kinachoangaliwa na viongozi wenu ni maslahi ya timu yaani mtambakisha Chama endapo mkiona atawasaidia na unasema ukiona mchezaji anaachwa ujue hakuwa kwenye mipango. Maswali yanakuja je kina kibu mliowaongezea mikataba watawasaidia zaidi kuliko Chama? unamaanisha mna mipango na kina kibu lakini sio Chama? yaani kwa akili zenu ni bora kumsajiri kibu kuliko Chama?😂😂😅

  • @MeksonyJoseph
    @MeksonyJoseph 3 หลายเดือนก่อน

    Tunae mtaka yupo sio chama pumbavu...nyie bado hamja sema

  • @wakilisharaw
    @wakilisharaw 3 หลายเดือนก่อน

    Inaitwa indirect speech,,, chama tiari yanga mbona anakwepa swali halisi,,,, Ahmed katumwa kutuliza myoyo ya wanachama na mashabiki,,

  • @igihamanuel1
    @igihamanuel1 3 หลายเดือนก่อน +1

    Tukutane katika Yanga App saa 6:00 usiku

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 3 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂WASHAJAMBA VITANI ADUI KAONA WALIPO KWISHA HABARI YENU ZIMEBAKI SAA 5 TU TENA USIKU 😅TABUREE LAA

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 3 หลายเดือนก่อน

      Taburere raaa hivi nikweli ndiyo hivi nikweli ndiyo

  • @raphaelnovatus7085
    @raphaelnovatus7085 3 หลายเดือนก่อน

    😂

  • @ameirzapy1318
    @ameirzapy1318 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona unazunguka sanaa😅

  • @msemakweli...
    @msemakweli... 3 หลายเดือนก่อน +1

    Waambie ukweli wenzio Chama keshawatema tangu mwezi uliopita😅

  • @mfaumerashidi6627
    @mfaumerashidi6627 3 หลายเดือนก่อน +2

    Hamna kazi hapo we wafariji tuu

  • @MosesSaid-hw4ge
    @MosesSaid-hw4ge 3 หลายเดือนก่อน

    Mbona anajieleza sana kwan kuna nini

    • @chillogeorge1383
      @chillogeorge1383 3 หลายเดือนก่อน

      Itakuwa wenye timu yao wanamuulizia sana. Wanamahaba mazito na chama wao 😅

  • @JoyceLukumbuzya
    @JoyceLukumbuzya 3 หลายเดือนก่อน

    Vp