AHMED ALLY: AIBUKA NA HATMA YA CHAMA KIGAMBONI | WANASIMBA WAHOJI | "KAMA TUKITAKA ABAKI ATABAKI"
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 30 ก.ย. 2024
- Hakikisha Umesubscribe Chaneli yetu ya #AyomaMedia kwa habari za uhakika
Na pia tufuatilie Katika Mitandao ya Kijamii kama Instagram & Facebook na Twitter kama @Ayoma_tv
Eeeh sisi ndo fisi tunakula mpaka mifupa. Chama yuko serengeti anapiga picha za utambulisho yanga. maneno meengi😂😂😂😂😂
Huyu dogo ana kazi sana ya kuwaridhisha na kuwadanganya mashabiki wa simba. Poleni sana.
Mtu mwenyewe ashakula wino siku nyingiiii
MAKOLO kwani tumewauliza, mbona mnaanza kujamba jamba ovyo 😂😂😂😂😂
Mbona jama hanyooshi maerezo kamili
Uongo ndo unaowaponza siku zote
Tumezoa maneno yenu,😅 mwaka Jana mulitudanganya manzoki ,#leo munaaza tena maneno ,,upande wa pili wanamuhitaji sana ,,tusije tukajuta
Mbona cjaona umuhim huu nguvu yote hii ni yanini?
Ila kweli duniani kuna watu mapoyoyo sasa wakati mnahangaika na usajiri wa Aziz Ki utadhani na nyie ni Yanga mkasahau kuwa Chama anamaliza mkataba😂
Nyau hatujashoboka na azizi sis
@@charlesmashauri3704 shida ya nyau poli aka mikia huwa hawaelewi haraka yaani ni mbumbumbu
Duuuuuuuuuu pole sanaaaaa semaji la kaf wanakupa wakati mgumu sanaaaaaaa viongz aya wee piga Kaz ila nimekuelew kifupi wamekukwaz alikua anatakiwa kubaki simba et au hivyo 😮😮😮😢😢😢😢
CHAMA TUNAOMBA UBAKI SIMBA CHONDE UTATUUWA MASHABIKI
Yaani wanalalamika Yanga ,.. simba wanachelea Simba
Huo ni uongo mbona mmetuletea wachezaj ambao hatuwajui hata viwango vyao lakin mkawachukua lakin chama tunamjua kwann mnakua na mshaka nae?
Ishu syo kumuacha, ishu ni kuleta mchezaj kama yeye au anafanania na yy
huyo mwandishi hapo ni Imanuel okwi au
Mara hatma anayo yeye mara hatma yake wanayo viongozi wa simba,
Maamuzi ya kumbakiza chama yanaweza vp kukufanya ujute?
Unawezaje kujuta kuwa na chama, acheni mbwembwe.
Tukutane Yanga App saa 6 usiku wa leo
Ahmed Ally ni muongo mkubwa, anajua kabisa Chama ameshaondoka zake. Simba mmeshaachwa muda mrefu 😂
Tumekuelewa semaji la muungano kwamba kinachoangaliwa na viongozi wenu ni maslahi ya timu yaani mtambakisha Chama endapo mkiona atawasaidia na unasema ukiona mchezaji anaachwa ujue hakuwa kwenye mipango. Maswali yanakuja je kina kibu mliowaongezea mikataba watawasaidia zaidi kuliko Chama? unamaanisha mna mipango na kina kibu lakini sio Chama? yaani kwa akili zenu ni bora kumsajiri kibu kuliko Chama?😂😂😅
Tunae mtaka yupo sio chama pumbavu...nyie bado hamja sema
Inaitwa indirect speech,,, chama tiari yanga mbona anakwepa swali halisi,,,, Ahmed katumwa kutuliza myoyo ya wanachama na mashabiki,,
Tukutane katika Yanga App saa 6:00 usiku
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂WASHAJAMBA VITANI ADUI KAONA WALIPO KWISHA HABARI YENU ZIMEBAKI SAA 5 TU TENA USIKU 😅TABUREE LAA
Taburere raaa hivi nikweli ndiyo hivi nikweli ndiyo
😂
Mbona unazunguka sanaa😅
Waambie ukweli wenzio Chama keshawatema tangu mwezi uliopita😅
Hamna kazi hapo we wafariji tuu
Mbona anajieleza sana kwan kuna nini
Itakuwa wenye timu yao wanamuulizia sana. Wanamahaba mazito na chama wao 😅
Vp