TAREIKH YETU MSIMU WA KWANZA (SILSILA 4): Sultan wa Zanzibar aliyetawala kwa siku tatu tu - Part 2

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 พ.ค. 2020
  • Alitawala siku tatu tu, lakini akalazimika kuishi uhamishoni kwa miaka 30, yaani kwa kila siku yake moja madarakani ilikuwa sawa na miaka 10 uhamishoni nje ya nchi yake. Ni Sayyid Khalid bin Barghash, shujaa wa Zanzibar wa mwishoni mwa karne ya 19.

ความคิดเห็น • 142

  • @sleyumomar3637
    @sleyumomar3637 3 ปีที่แล้ว +5

    Asante sana,,nimefurahi sana,, ndugu yngu mohammed Khelef,,, mm Omar mdogo wke na Saad,, pandani mchangani,, kila lakher

  • @ammarruwehy
    @ammarruwehy 4 ปีที่แล้ว +6

    Hakika najifunza mengi sana kupitia channel hii. Shukran sana MG Online

  • @saeedqaseem7423
    @saeedqaseem7423 3 ปีที่แล้ว +1

    Mohammed asante sana kwa kazi bora unayoifanya kutupa historia ya kweli ya Zanzibar isiyokuwa na makandokando....
    Ushauri wangu ni bora utafute muda wa kutosha kumhoji uyu sheikh aongelee mada moja mpaka amalize ata ikichuku kabsaa mana mpaka anakiri mwenyewe kuwa muda tu hautoshi anakatakata na mengine anayaacha.... kwasababu anaonekana ana madini ya kutosha katika historia yetu ila muda mfupi.....
    Bora kumuongelea mtu mmoja ata kwa masaa 3 ila tupate madini ya kutosha sisi kusikiliza simulizi za kweli km hizi hatuchoki kake........hiii ni dhahabu tuitumie vizuri na muda ni huuuu....
    Hiiii sadaka unayoitoa Allah atakulipa ...amiin

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 ปีที่แล้ว +4

    Asanteni sana ninawapata safi sana ni history nzuri sana Allah akupeni kila kheri

  • @mummymumu9692
    @mummymumu9692 3 ปีที่แล้ว +3

    Wonderful mazungumzo ya baraza kweli tumefaidika inshaa Allah next time

  • @ahmedbinkhalif6535
    @ahmedbinkhalif6535 3 ปีที่แล้ว +2

    Shukran sana kwa kuelimisha umma

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 2 ปีที่แล้ว +2

    Tunashukru Mohamed Ghazali kutupa historia ya Zanzibar

  • @ally1702
    @ally1702 3 ปีที่แล้ว +1

    Baba yangu Mimi kazaliwa mwaka 1945 nimemuuliza mara Nyingi Sana maisha kabla ya 1964 yalikuaje ananambia kawaida tu lakini baada ya 1964 ndo watu walishika adabu zao watoto wadogo jumbi walifikwa kutiwa moto ndani ya tanuri la mbata inasemekana walikuwa watano Hakuna alotoka njaa pia waliijua nafkiri mwaka 1974 Kama sikosei kuja kuchukuliwa ndani ya nyumba yako ukapotea mazingira ya kutatanisha ilikuwa ni kawaida tu khofu ilitanda yaani Hakuna tafauti na saiv ila yote kwa yote tuombe Allah atuepushe na mabalaa lakini kimimi asilimia nyingi nahisi mzungu anatutesa bado mara kaleta ukimwi mara korona Mara kashavamia apa kapiga mabomu mara katuletea wanaume kwa wanaume waoane ata ili janga la vyama vingi ni yeye na baada ya watanzania kupiga kura wakalikataa alitishia kusitisha misaada ikabidi mwalimu Nyerere apeleke mswada bungeni mpaka Leo linatutesa dua jamani la muhimu tumuombe mungu asitufishe isipokuwa awe ameturidhia na atuepushe na mitihani mizito itayotikisa nyoyo zetu

  • @sabriabdallah8887
    @sabriabdallah8887 3 ปีที่แล้ว +2

    I LOVE YOU MY ZANZIBAR❤❤❤

  • @zengandoto7088
    @zengandoto7088 3 ปีที่แล้ว +1

    Sultan wa Oman wanapenda kujisifu na historia ya Zanaibar. Hawa walikuwa wauzaji watumwa. Mbona hamtowi historia za waswahili wanaotoka ngambu. Wete, paje, makunduchi. Chake. Wanasifiwa hawa tu.kabla ya Sultan Zanzibar aliishi nani. Hawataji hawa Wazaramu,wamakonde.wahehe,Wakojani.

    • @H-moneybags
      @H-moneybags 2 ปีที่แล้ว

      Hao jamaa ni wa Persian wali wadhulumu sana maskini watu weusi hata Ukiangali 1956 alipokuja yule malkia wa uingereza watu weusi wanaonekana watumwa maskini nchini kwao

  • @ammarruwehy
    @ammarruwehy 4 ปีที่แล้ว +6

    MG Online, sivyema mukakatisha na kuifanya Historia hii kua fupi, acha kuwe na Part 1, 2, 3 hta 4 ilimradi tupate full information, maana hii video itadumu kwa muda mrefu na watanufaika nayo wengi.

    • @GumzolaGhassani
      @GumzolaGhassani  4 ปีที่แล้ว +1

      Shukrani kwa ushauri akhuy. Tutaufanyia kazi

    • @saidjuma2673
      @saidjuma2673 3 ปีที่แล้ว

      Kwa kweli hii historia ni mzuri Sana inahitaji kuenziwa

    • @saeedqaseem7423
      @saeedqaseem7423 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa bora tukae mwezi mzima kusikiliza historia ya mtu mmoja tu....mana mzee ana madini ya kutosha..
      Namkumbuka sana marhum Mzee ameir wa donge Allah amrehemu....

  • @sabrialharthy7090
    @sabrialharthy7090 4 ปีที่แล้ว +4

    Mashaallah ,Nafatilia kwa vizuri tu , ila nnamaoni yangu, kwanini musiandae kipindi kirefu au kitabu kinachoelezea historia yetu kwa kiswahili ,ili tukaelimika tukazidi kuujuwa ukweli. Wa nchi yetu na Wafalme wetu ?

  • @dlasky
    @dlasky 3 ปีที่แล้ว +1

    Je, sehemu ya kwanza ya hii video iko wapi? Ni nzuri sana lakini sitaki kuendelea kabla ya kuitazama semehu ya kwanza.

  • @imraniqbal00765
    @imraniqbal00765 4 ปีที่แล้ว +3

    Hii familia yake vipi imeishia wapi je wapo japo wajukuu na pale Mombasa amezikwa sehemu gani ? Ili tukipata fursa tuende tukadhuru kaburi lake

  • @ysm200
    @ysm200 3 ปีที่แล้ว

    ❤❤❤👌👌👌

  • @mwatumsaidi5104
    @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashallah tumalizieni tuujue maana skuli hatukufundishwa zaidi ya fitna zilizojazwa na makafiri

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 3 ปีที่แล้ว

      Nani a wafundishe na Maalim Seif alilifuta somo la historia

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      great mie nimesoma historiya skuli tena vizuri tu na ulikuwa utawala wa maalim ushapita kitambo inovoonesha wewe zanzibar mgeni umekuja kwa boti za mikutano

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 3 ปีที่แล้ว

      @@mwatumsaidi5104 hiyo shida yako wewe kuitafuta kwetu mimi wewe ulikuwa zanzibar kwa uzi wa bui au ulishuhwa kama mvua na wewe sio m zanzibar pia na kama ni mzanzibar basi wa kitambulisho tu si mzaliwa na hujui lolote katika historia ya zanzibar

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      gregreat kiasi ujitetee kwani mnavoletwa ndio mnapewa vitambulisho kwa kulazimisha uzanzibari lakini mwankula huu wazanzibari tunajuwana hata muitawale miaka mia iko siku mtaitema tu

    • @godisgreat1845
      @godisgreat1845 3 ปีที่แล้ว

      @@mwatumsaidi5104 imekuchoma kumtaka Mtume wako seif sharif hamadi lakini safari hii kila moja atajua kwao na sisi tu nataka kuninafasi sio mnaikimbia kwenu kukimbilia mijini kwa watu halafu mnataka haki

  • @mohammedhamad9392
    @mohammedhamad9392 3 ปีที่แล้ว

    Shukria

    • @mohamedabdi3741
      @mohamedabdi3741 3 ปีที่แล้ว

      Shuran wajina historia yetu imefichwa sana jitahidi kuteletea makala kama hizi ili tuweze kujua zaid historia ya zanzibar wengne ni wavivu kusoma vitabu

    • @musasaidimweta1914
      @musasaidimweta1914 3 ปีที่แล้ว

      Zanzibar as whole, like hong Kong, taiwanii in China, are not self standing land with safety following,,, so whom whever love Zanzibar must love revolutionary work done by Afrikaans in 1964 in Zanzibar ,, that leads to withdraw of sultanate leadership and install the afrikana leadership,,, Afrikaans is ours is not linked to any Arab country ,, the pass we experienced is just history and will remain history ever nothing can happen no matter how ghassan present and wrote about union insulting and praising your Lords Oman's and refuges with Arabic blood, who in Africa no matter his colour or hair is our brother , sister and brethren to us. No matter what will happen to your propagandas.

  • @bahariahd6299
    @bahariahd6299 3 ปีที่แล้ว +1

    Fact never get lost.

  • @FakiSuleiman-sv4ee
    @FakiSuleiman-sv4ee 2 หลายเดือนก่อน

    Asalam Alaykum nataka kujuwa mfumo wa alokuwa watatumia waengereza unaitwaje

  • @suleimanpandu8955
    @suleimanpandu8955 3 ปีที่แล้ว +5

    Waingereza ndio watu wabaya sana lakini historia tunayosomeshwa skuli ni chuki dhidi ya waarabu lakini shukrani profesa Mohammed kwa historia ya kweli

    • @fahadfaraj1822
      @fahadfaraj1822 3 ปีที่แล้ว +5

      Waarabu nao walikua si wema vile vile zanzibar si kwao mi nnadamu ya kiarabu nmekaa arabuni zaidi ya miaka 10 na daima naona wanawadharau waafrika yaani weusi au wenye damu ya kiafrika

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 ปีที่แล้ว +3

      waarabu pamoja na kwamba wametuletea dini ya Haki lakn waliwafanya vibaya sana mababu zetu, pamoja na kwamba wazungu pia hawakuwa wema sana kwetu

    • @kingzerock1504
      @kingzerock1504 3 ปีที่แล้ว +2

      @@fahadfaraj1822 haki uyasemayo
      Wametupotezea haki san hadi leo
      Tunanyanya sika hadi leo

    • @kingzerock1504
      @kingzerock1504 3 ปีที่แล้ว +3

      @@bennymochiwa4800 siyo wao mambo yote hayo yamefanywa na nyerere na siyo warabu

    • @bennymochiwa4800
      @bennymochiwa4800 3 ปีที่แล้ว +1

      @@kingzerock1504 Nyerere amehuska vip!!?? wakt yy alianza mahusiano na karume wakt utawala wa kiarabu umeshapita!!!

  • @zx_li209
    @zx_li209 3 ปีที่แล้ว

    How sad no transulation to arabic

  • @khamisjuma5046
    @khamisjuma5046 3 ปีที่แล้ว +1

    Mabibi zetu.walipata tabusana mpakahapa tulipo.2020 himinyorerere utumwa wawa tu weusi🤯

    • @suadbarwani4117
      @suadbarwani4117 3 ปีที่แล้ว +4

      Waarabu hawajawatesa Mabibi zenu bali wamewapa uhuru wao na wengi wameolewa na Wa Arabu

  • @sultansaidi405
    @sultansaidi405 3 ปีที่แล้ว

    Nipo sultan wa mwaisho !!!!

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 2 ปีที่แล้ว

    Kumbe zanzibar haijaaza kutawaliwa kwa nguvu na mjeruman ilianzia mbali makoloni yalipokezana kuitawala.

  • @Yussuf.57
    @Yussuf.57 4 ปีที่แล้ว +5

    Na historia ya mreno na magofu ya kule tumbatu naomba utuletee

  • @abbotazimio3870
    @abbotazimio3870 3 ปีที่แล้ว

    Ukishindwa vita unalipa ghalama za vita,hii ndio ndita ya mataifa ya magharibi!!!

  • @fatmasaid5864
    @fatmasaid5864 4 ปีที่แล้ว

    Hatukusikia mwisho kasemaje

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 3 ปีที่แล้ว +1

    Hahaha! Eti leo sultan anaitwa shujaa!!? Maskin wazanzibar wanadhalilishwa

  • @NOORMOHAMED-sg9lo
    @NOORMOHAMED-sg9lo 9 หลายเดือนก่อน

    Nashangaa siku hizi wa oman wamekuwa na uhuru wa kuongea kana kwamba wana usahihi mwema
    Na ajabu zaidi inaonekana Africa kama mnawasifu.
    Hivi Mnajidhulumu wapi Kaatika uhuru wa NCHI ZENU HURU

  • @shaibujape4446
    @shaibujape4446 2 ปีที่แล้ว

    Kabla ya waarabu ilikuwaje utawala

  • @rashidomar2771
    @rashidomar2771 3 ปีที่แล้ว

    Zanzibar tokea kua mtawala ulimwenguni,,,hadi kutawaliwa na ukoloni kutoka bara ,,mtihan wallah

    • @alialamoudi9729
      @alialamoudi9729 3 ปีที่แล้ว

      Kusema kweli yaliotokea mwaka stini na ine inasikitsh sana kwanza waliuliwa kinyama ilfu ishirini walikufa wakawazika pamoja katika mashimo makuubwa wtoto wadogo NA wazee NA wanawake NA wanaume wakawapanga fuleni NA wote walipigwa raisi sasa waarbu si wabaya NA wote hao wmezaliwa zanzibari wala sio wageni ni ndugu zetu kwa uslamu hawana ubaguzi mtume mohamed ametukataza hio ule nafsi za watu waliuliwa mungu atawauliza hao sio wazungu wangereza wala sio myahudi wala sio wafaransa wala mbona bara imepata uhuru bila ya kumwags damu kwa hio laana hiyo ni athabu kwa mungu sasa nyerere alikasirika sana NA akavamia NA majeshi ya tanganika NA kuiteka nchi kijeshi wazanzibari wamefaidika nini NA hi ni vita kwa kupiga uslaam wa oman ni watu wawema sana sana wewe ukingia Google youtu.be utaona maajabu

  • @iddyramathan4507
    @iddyramathan4507 2 ปีที่แล้ว

    Mwingereza mbaya sana ndio aliokataa palestina ipewe uhuru wake mpaka leo

  • @makamemufadhil627
    @makamemufadhil627 3 ปีที่แล้ว +1

    Musidanganyane waarabu wanazarau mpaka leo boraata walipoondoka

  • @suadbarwani4117
    @suadbarwani4117 3 ปีที่แล้ว

    Hakuna isipokuwa uhasid

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu 3 ปีที่แล้ว

    Hivi kwanini Masultani hawakuipa kipaumbele Pemba?

    • @sirajimakame1972
      @sirajimakame1972 3 ปีที่แล้ว +1

      Sasa hawakuwepo kipindi hicho wapemba Zanzibar zima ilija wazaramu wanya mwezi wama konde ikabi wachukue wanyamwezi tabora wakalime pemba wanya mwezi waka wana wabaka ndo wakazaliwa wapemba

    • @MrKhatibu
      @MrKhatibu 3 ปีที่แล้ว

      @@sirajimakame1972 inamaana wapemba waeusi ni uzawa wa Wanyamwezi? Ngoja nifanye tafiti , maana inaeezekana wazo lako lina uzito kidogo.

  • @mussayusuph6568
    @mussayusuph6568 3 ปีที่แล้ว +2

    Tumuamini yupi waarab wametutesea wazazi wetu sana Zanzibar tulisoma nilienda ile palace ya maruhubi na nahisi ndo aliyoishi huyo barghash tumeelezewa alvyokuwa akiwatiatoa usichana watt wa kike na ukipata mimba anawauwa hayo pia muyaseme

    • @zhmzzz9061
      @zhmzzz9061 3 ปีที่แล้ว

      Hao walosema hayo wana hakika nayo au ndo kupandikizwa chuki tuu na nyinyi mmezikubali

    • @hafidhharoub4322
      @hafidhharoub4322 3 ปีที่แล้ว

      mnabambikizwa chuki tu niuongo muarab hakumtesa mtu

    • @saeedqaseem7423
      @saeedqaseem7423 3 ปีที่แล้ว

      Umeliashwa sumu mbaya Mungu akusamehe.....
      Tafuta simulizi za marehemu mzee Ameir wa donge utapata ukweli ..... tatizo la historia yetu imechafuliwa kwa makusudi na waingereza wakisaidiana na watanganyika ndio mnaa ukiskia ukweli km huu lazma ukae mdomo wazi.....

    • @cookit_funwarda8549
      @cookit_funwarda8549 3 ปีที่แล้ว

      Sio kweli , mm nimeuliza nikaambiwa Zanzibar iliishi kwaa maani tu walivokuepo wao

  • @dadasim2749
    @dadasim2749 3 ปีที่แล้ว +2

    MOH'D KHELEF Hakika wewe ni FAKHARI yetu

  • @alikhalfan9551
    @alikhalfan9551 3 ปีที่แล้ว

    Sasa anakuja mfalme Hussein mwinyi ambae ametoka ktk utawala wa mwinyi wa mwinyi

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      Kweli kabisa

    • @abdallahal-khaify
      @abdallahal-khaify 3 ปีที่แล้ว

      Allah atawalinda Wazanzibari na shari za wakoloni weusi na shari za wakoloni wa kiyahudi pia, Amiin.

  • @ladislausngoyinde4384
    @ladislausngoyinde4384 3 ปีที่แล้ว +2

    Ongelea na biashara ya utumwa iliyokomeshwa na mwingereza

    • @zainabumwagiroabdallamwagi97
      @zainabumwagiroabdallamwagi97 3 ปีที่แล้ว +1

      Muingereza hakukomesha biashara ya watumwa ,Berlin conference ndo ilikua na agreement ya kukomesha biashara ya watumwa afrika .lkn duniani kote ilikomeshwa na ujio wa mtume Muhammad.

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 3 ปีที่แล้ว

      @@zainabumwagiroabdallamwagi97 usiingize dini kutetea uovu waliofanyiwa wazee wetu na hao watu, mpumbav ww

    • @ramadhanngwilili6261
      @ramadhanngwilili6261 3 ปีที่แล้ว

      Wewe kichwa mwako mna historia ya Uongo

    • @mwatumsaidi5104
      @mwatumsaidi5104 3 ปีที่แล้ว

      Mbona watumwa wakiuzwa kanisani na sio mskitini hapo akili kichwani mwako bali tambuwa mzungu maisha ni mnafik

    • @ladislausngoyinde4384
      @ladislausngoyinde4384 3 ปีที่แล้ว +1

      @@mwatumsaidi5104 nyie pamoja na wazungu wote ni sawasawa, hatutaki hata kuwaskia kabisa

  • @deusmauka9626
    @deusmauka9626 3 ปีที่แล้ว

    Kwa hiyo wanatamani kurudi tena kutawala au? tena wasithubutu, kwanza hatuwataki wakae huko huko, ardhi haiwahusu tena, majumba yao yametwaliwa na wanamapinduzi.