Tazama Walichokifanya Roma na Stamina (ROSTAM) kwenye Jukwaa la Tigo Fiesta Kahama (HD)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 29 ส.ค. 2024
  • Perfomance ya Roma na Stamina Tigo Fiesta Kahama 17 Sept 2018
    #Tumekusomaa

ความคิดเห็น • 113

  • @alexmerck2568
    @alexmerck2568 5 ปีที่แล้ว +6

    awa majama kama unawakubari embu gonga like apa tendwe sawa

  • @ketsonempire
    @ketsonempire 4 ปีที่แล้ว +2

    Wasanii wangu hawa show za huwa zimeshika kweli ... Naaamini ipo siku tutapangisha show mje mtetemeshe huku 254 #stamina #Roma #rostam

  • @tinajohn5260
    @tinajohn5260 7 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana

  • @mosamossile9113
    @mosamossile9113 4 ปีที่แล้ว +1

    2020 south Africa Cape town

  • @soipei3359
    @soipei3359 7 ปีที่แล้ว +10

    Wasanii Wangu wa all the time
    #ROMA
    #STAMINA
    #MR_BLUE
    hakuna Kama hawa jamaa kwenye show

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 ปีที่แล้ว +2

    This is braki aidiaa mmetishaaa

  • @allybububu9757
    @allybububu9757 7 ปีที่แล้ว +2

    rostam mmetishaaaa

  • @pascarmwatosya5855
    @pascarmwatosya5855 6 ปีที่แล้ว +2

    Safi sana naaaminia hip hop ROM tishaaa mbaya.

  • @dullahmmbai9357
    @dullahmmbai9357 7 ปีที่แล้ว +1

    hatareee sana

  • @naomimajura7640
    @naomimajura7640 7 ปีที่แล้ว +1

    Duuuuu show Kali adi raha

  • @jongosudi8611
    @jongosudi8611 6 หลายเดือนก่อน

    Rostam ndio settup ambayo ina kila kitu kama mtu anapenda mziki
    Wana wanamorali smart hawalazimish audience ku acept ni automatic vibe ina sense kwa mind set za audince yenyewee
    Itachukua muda kuipata settup ya hivi kwa aina ya wasanii waliopo tz kwa sasa ambao wana uchu na pesa kuliko kujiimarisha kwanza ili pesa iendelee ku flow kwao
    My all time artist mpka nakufa ni hawa mabwana hta mnijie na bastola hapa mniue tu Roma plus Stamina hawa jamaa ni incredible 🎉kila siku kila saa ntawaskiza hata nikiwa naumwa nikiwaskiza napoma fasta 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🙌🙌🙌👍🇹🇿

  • @abdalathuman5037
    @abdalathuman5037 6 ปีที่แล้ว +1

    Hatar sana

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 ปีที่แล้ว +5

    romaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa tisha sanaaa

  • @jacksonmgitaabwiro7681
    @jacksonmgitaabwiro7681 7 ปีที่แล้ว +1

    Rostam...Nyie hatarii sana

  • @jacksonninja4380
    @jacksonninja4380 7 ปีที่แล้ว +3

    mwakubal xnaaaa💪💪💪💪

  • @jaystar1004
    @jaystar1004 7 ปีที่แล้ว +1

    #Rostam🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @johnjumatatu127
    @johnjumatatu127 7 ปีที่แล้ว +1

    WAKALI wa tanzania forever

  • @teddykrekamoo1051
    @teddykrekamoo1051 7 ปีที่แล้ว +1

    Aiseee show ilibamba ile mbaya 🙌

  • @hamismisana9300
    @hamismisana9300 7 ปีที่แล้ว +1

    moto kama fire🔥🔥🔥🔥🔥🔥👈👈

  • @malulujr
    @malulujr 7 ปีที่แล้ว +1

    show Kali kinyama

  • @lovenessmpuya7198
    @lovenessmpuya7198 6 ปีที่แล้ว +1

    Nice

  • @mursilmursal
    @mursilmursal 6 ปีที่แล้ว +1

    Hizi ndio ngoma

  • @jacklineoscar5049
    @jacklineoscar5049 6 ปีที่แล้ว +1

    Noma can

  • @kendothemusic8367
    @kendothemusic8367 7 ปีที่แล้ว +1

    Tammmm iyoooooooo

  • @dalizotz9802
    @dalizotz9802 7 ปีที่แล้ว +1

    Tishaaaaaaaaaaaa

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 7 ปีที่แล้ว +7

    Wanajua ku organize Sana show Hawa jamaa

  • @promramson80
    @promramson80 7 ปีที่แล้ว +1

    wametisha

  • @chidikenadeking8578
    @chidikenadeking8578 6 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda stamina n Roma pia Mr.blue

  • @alexchilendu5958
    @alexchilendu5958 3 ปีที่แล้ว +1

    Saf sana %%

  • @ibndaxe11
    @ibndaxe11 7 ปีที่แล้ว +2

    Perfect combo

  • @kayumbasosthenes3596
    @kayumbasosthenes3596 7 ปีที่แล้ว +4

    Roma kaka mlijuaje we na stamina mnaendana kupiga kaz, ni sheedah

  • @swidatyomary1380
    @swidatyomary1380 6 ปีที่แล้ว +1

    Njoon bukoba jamn

  • @saskowell4061
    @saskowell4061 4 ปีที่แล้ว

    Rostam
    Ni
    Hatari
    Sana

  • @joachimjohn1188
    @joachimjohn1188 7 ปีที่แล้ว +1

    dah siku zote vibe la hiphop ni kwere

  • @TRAVELANDTASTETANZANIA
    @TRAVELANDTASTETANZANIA 7 ปีที่แล้ว +2

    me napita naenda zangu Ivi ni Zimbabwe au wapii nimeshasahau hata...

  • @buye5436
    @buye5436 7 ปีที่แล้ว +1

    Rock. 🌟✨

  • @juvenalymnyama735
    @juvenalymnyama735 7 ปีที่แล้ว +1

    Rostam ni sheeedah viva hip hop

  • @georgepoka7446
    @georgepoka7446 7 ปีที่แล้ว +2

    Fiesta bila rostam .....ainogi

  • @hansclever334
    @hansclever334 7 ปีที่แล้ว +2

    Hip hop ndio mziki show Kali na ya kibabe

  • @anthonyluganje8367
    @anthonyluganje8367 3 ปีที่แล้ว

    Roma mkali namkubali Sana Rostam

  • @kekiklion5247
    @kekiklion5247 7 ปีที่แล้ว +1

    Daaah.... Nilianza kwa mzuka nimemaliza kwa KULIA

  • @danielnyambu2862
    @danielnyambu2862 4 ปีที่แล้ว

    Huku ama kule
    Roma 💪
    Stamina 👊

  • @abrahammnyavanu4444
    @abrahammnyavanu4444 6 ปีที่แล้ว +1

    romaaaa mzukaa eeeeeeeh

  • @hawaomarabdishakuru4689
    @hawaomarabdishakuru4689 5 ปีที่แล้ว

    Tisha kinomaaaaaaaaa🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @yusuphkirungi373
    @yusuphkirungi373 7 ปีที่แล้ว +1

    Roma ni nouma ktk jukwaaa

  • @jaybchaponda6886
    @jaybchaponda6886 7 ปีที่แล้ว +1

    Nawapenda je mie

  • @ernestkiluti5986
    @ernestkiluti5986 5 ปีที่แล้ว +2

    ndo najua kua roma shda

  • @maxmilliangeofrey3957
    @maxmilliangeofrey3957 7 ปีที่แล้ว +1

    roma ni hatari sana kwenye huu mziki

  • @saviongaila3546
    @saviongaila3546 6 ปีที่แล้ว +1

    100%

  • @victorsomba867
    @victorsomba867 7 ปีที่แล้ว

    September 2018 ???? Mwandishi nimekuogopa ghafla tu

  • @djb2kzer0
    @djb2kzer0 7 ปีที่แล้ว +4

    Yaani tz bila hao hip hop zero in tz

  • @kasaloojunior5939
    @kasaloojunior5939 7 ปีที่แล้ว +1

    Kiukweli Kwa Upande Wangu Nafikiri ROMA Hii Apa ALIIPANIA Sana KAMA Anashout Hivi Sio Kwa UBAYA Mi Naona Hivi..

  • @MarickyTv
    @MarickyTv 7 ปีที่แล้ว +1

    2018?

  • @gervaspaul2018
    @gervaspaul2018 7 ปีที่แล้ว +1

    Stamina sjampatia picha

  • @samwelmbeye3390
    @samwelmbeye3390 6 ปีที่แล้ว

    DAT we call real hiphop

  • @hamisiseleman5426
    @hamisiseleman5426 7 ปีที่แล้ว

    Dunia khatar

  • @henrymasunga8992
    @henrymasunga8992 7 ปีที่แล้ว

    ,,,#rostam mmetishaaaaaaaaaa

  • @senzojackson3899
    @senzojackson3899 7 ปีที่แล้ว +4

    kama roma yupo na stamina lazima nitinge mwanza

  • @official_ya13
    @official_ya13 6 ปีที่แล้ว +3

    Stamina cku nyingine mlete killer msodoki maan mkiw wa3 itakuw hatar saaaaana

  • @fdkdonard8489
    @fdkdonard8489 7 ปีที่แล้ว +3

    hakuna fanani bila ya hadhira #rostam mmeua

  • @sabrasaid6842
    @sabrasaid6842 7 ปีที่แล้ว

    Moro iweza moro mororoo hip pop on fireeee

  • @georgerubeni3605
    @georgerubeni3605 7 ปีที่แล้ว

    rostam big up san

  • @annacarlos7925
    @annacarlos7925 7 ปีที่แล้ว

    Mmetisha kweli simba na yanga

  • @Aidansimwanza
    @Aidansimwanza 7 ปีที่แล้ว

    DJ unamzuka mpaka mzuka Mara paaaaaaa tunaisubiri Swanga aka swax city Sumbawanga

  • @husseingwanone7887
    @husseingwanone7887 7 ปีที่แล้ว +1

    Roma muacheni

  • @jeremiahmasunzu3437
    @jeremiahmasunzu3437 4 ปีที่แล้ว

    Ingekuwaje kama angekuwa Roma + Darassa=RoDa

  • @Mbugokilonda
    @Mbugokilonda 7 ปีที่แล้ว +14

    Kumbe Shetani anamashabiki Weng, sana

    • @mango.jayzo.
      @mango.jayzo. 7 ปีที่แล้ว

      hta wew ni muongoni

    • @mtoroonetv9621
      @mtoroonetv9621 7 ปีที่แล้ว

      Mbugo Kilonda Una maana gani ndugu

    • @mwebraniaonline7001
      @mwebraniaonline7001 7 ปีที่แล้ว

      wemwenyewe nishabiki ndomana umeangalia.!!!!!!!!!!!!!!!

    • @mwinyihamisidee5813
      @mwinyihamisidee5813 7 ปีที่แล้ว

      Mbugo Kilonda wewe wafanyaje

    • @Mbugokilonda
      @Mbugokilonda 7 ปีที่แล้ว

      +Masangu John Dee
      Mimi niko na mungu muda wote, swala 5:
      Ujinga Kama huu Siwezi kuusaport hata kidogo

  • @dicksonmarwa3245
    @dicksonmarwa3245 7 ปีที่แล้ว

    Romaaaàa

  • @kodipukupuku5340
    @kodipukupuku5340 7 ปีที่แล้ว +1

    mkopoa wazee

  • @livionemwangemile4950
    @livionemwangemile4950 6 ปีที่แล้ว +1

    roma wewe atali unatisha

  • @pascalnguruka9984
    @pascalnguruka9984 7 ปีที่แล้ว

    Kwenye jukwaa wanaojua kulishambulia vilivyooo ni
    Mr blue
    Roma
    Stamina

  • @allystandardtz8017
    @allystandardtz8017 5 ปีที่แล้ว

    Wcb chuma chaleli

  • @kodipukupuku5340
    @kodipukupuku5340 6 ปีที่แล้ว +1

    wala kijani

  • @castormpunga528
    @castormpunga528 7 ปีที่แล้ว

    performanc nzur kinoum

  • @shaibumahanda6501
    @shaibumahanda6501 7 ปีที่แล้ว +5

    rostam inaua makund yote ya hiphop tz hamna weus wala weupe hapa n rostam2

    • @missagatha1756
      @missagatha1756 7 ปีที่แล้ว

      Shaibu Mahanda Hahahaaa umeona eee wala wekundu hakunaa

  • @alexkilolo5032
    @alexkilolo5032 7 ปีที่แล้ว

    hatari sanaaaaaaa hawa raia

  • @missagatha1756
    @missagatha1756 7 ปีที่แล้ว

    Hahahaaa eti wanajidai marasta halafu wanakula hadi nyama ya chura nomaaa sanaaa

  • @saulmwakyusa1001
    @saulmwakyusa1001 7 ปีที่แล้ว +1

    wanatisha hapa nje ila mbona hawatoki nje ya nchi ? wakapige show

  • @qaraiserq6532
    @qaraiserq6532 7 ปีที่แล้ว +3

    Hawa ndo wasanii wa kulipwa pesa nyingi

  • @newsconnect1763
    @newsconnect1763 6 ปีที่แล้ว +1

    Hakika CLOUDS FM imekuwa Media kubwa kulingana na uongozi wake wandani na nje nawapongeza kwakweli kwakuleta mabadiliko makubwa katika Tasnia ya Habari mbali mbali#Mimi naitwa Meshack mitimali Makazi yangu naishi Mbeya jijiniNi muandaaji wa Hadithi zinazoishi za kale,za sasa na wakati mwingine naandika hadith za kufikilika sana Katika kazi yangu hiii nimeifanya miaka 8 sijapata mafanikio yoyoteSiku wakati naandaa Hadith yangu mpya Nikapata pia wazo ambalo ndilo hili naomba waungwana wangu mnisaidieNimeandika Story ambayo itaitangaza Tanzania kwenye uwanda wa film TanzaniaKaka zangu na Dada zangu naomba msikilize kilio changu Nina hadithi/cinema nzuri ambayo nahitaji kuifanya Msaada wenu naomba jamani Meshackmitimali@gmail.com0712888981

  • @enockaugustino9367
    @enockaugustino9367 7 ปีที่แล้ว +1

    sema nn.. hawajamaa wananipa fumbo moja hivi.. vip youngkiller & youngdee wakipanda jukwaani itatokea nn

  • @promramson80
    @promramson80 7 ปีที่แล้ว

    shoo ndowanaibeba hawa

  • @cholokanji7139
    @cholokanji7139 7 ปีที่แล้ว

    simba inawashabiki wengi tz

  • @JonathanChuwa
    @JonathanChuwa 7 ปีที่แล้ว +1

    Mi ukinikata damu yang ni Lowassa mtupu..... Shangwe la hapa duh

  • @hemedytz3013
    @hemedytz3013 6 ปีที่แล้ว +1

    jaman sapot zenu tunaimba lakin 0655177067

  • @denismakweba3870
    @denismakweba3870 7 ปีที่แล้ว

    yan nkubali show ya Roma+ Stamina nibalaaaaaaaaaah
    Regret ukikosa show zaoooooooh

  • @mswahilidsm9213
    @mswahilidsm9213 6 ปีที่แล้ว

    claus tuleteen ivo viumbe DOM CITY N SHEEEDAH NAZEE

  • @tripple_jonline5741
    @tripple_jonline5741 7 ปีที่แล้ว +1

    Mafundiiiiiiiiiiiiiii

  • @baddynapenya7815
    @baddynapenya7815 7 ปีที่แล้ว

    Najitaidi kunusia munamopita hadi kiyeleweke

  • @michaelmchodo4887
    @michaelmchodo4887 7 ปีที่แล้ว

    stamina mzuka unakuzidi kiasi flani mpaka mashabiki wanakua hawakuelewi

  • @Kingvictorentertainment2023
    @Kingvictorentertainment2023 6 ปีที่แล้ว

    mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz

  • @alhajisalehe5126
    @alhajisalehe5126 7 ปีที่แล้ว +5

    Hilo shangwe baada yakutajwa Lowassa ndo imenichosha tu

  • @didamugya6039
    @didamugya6039 7 ปีที่แล้ว

    leta difenda,... leta wajeda

  • @abdalathuman5037
    @abdalathuman5037 6 ปีที่แล้ว

    Munaelew mnacho kifanya

  • @barnabasdavid848
    @barnabasdavid848 7 ปีที่แล้ว +1

    m.th-cam.com/video/Y4SvnGDNKXs/w-d-xo.html kama shabiki wa ROSTAM bonyeza link hii ujionee balaa

  • @barikiarastus8770
    @barikiarastus8770 7 ปีที่แล้ว

    Hakuna cha difenda watimba na Noah ukasanda broo

  • @mtoroonetv9621
    @mtoroonetv9621 7 ปีที่แล้ว +1

    Noma sana

  • @Kingvictorentertainment2023
    @Kingvictorentertainment2023 6 ปีที่แล้ว

    mnashuka noa and diamond anapanda sababu kuna watu wengi walikuja kwenu mpaka awakalia kama chid na q chila ile sku huwa naiangalia sana they new nyie ndo watu wakuwasaidia bt hamkuweka maanani npo korea mda mref bt kuna watu ambao watu wa east africa wakikaa wanawaongelea sana ni chid huyo jamaa bana ana jua kiukweli na mnajua plz muwekeni sawa anaweza na ata mkshndwa tutajitolea kusaidia tanzania hatujawai kupata mtu wa hiphop kama uyo plz mkitaka kuwa trnd kuwa na mashabik najua sa hi mnaushindani plz chid benz coz mmefanya mahojianomeng na huwa naona bt ile siku ya qchila na chid ilikuwa hot plz msaidien msela na msiwatupe wananii plz clouds tunaipenda ata kama kuna wengine bt mlkuwepo tangia so plz do sme thng i knw he wll be oky coz nawasliana nae hajawahi kuniona labda pic bt i gve hime wat i have coz i knw he is the best of the bst so plz gve him a scnd chnce plz

  • @joohcloudy738
    @joohcloudy738 7 ปีที่แล้ว

    apo mbn kwenye lowassa na simba shangwe jingi....ila me yanga na simwelew john kimambi