XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ค. 2024
  • XXL WAMPIGIA LIVE MKWE WA BARNABA {MAMA KIMBO}, MSAMAHA, KIUNO CHA YAMMY NDIO KOSA, MKE ARUDI KWAO

ความคิดเห็น • 191

  • @user-qs7lj7kj1k
    @user-qs7lj7kj1k 25 วันที่ผ่านมา +8

    Pia mama kimbo hana adabu mutu mzima unamwambia mukwe hana adabu kweri barnaba mupole wallah

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 22 วันที่ผ่านมา

      Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭

  • @FatmaMohammad-tm9cd
    @FatmaMohammad-tm9cd 19 วันที่ผ่านมา +1

    Barnaba mzuri ana heshima sana charming face always

  • @halimahussein6792
    @halimahussein6792 26 วันที่ผ่านมา +10

    Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 25 วันที่ผ่านมา +1

      Sawa lakini huyu mama nae anawezaje kuliongelea hili mitandaoni aache kuongea hivyo kwanini wasingeongea nyumbani hata kama amekosea hii siyo sawa

    • @mancholotrasco8350
      @mancholotrasco8350 25 วันที่ผ่านมา +2

      Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge

    • @NasraMudi
      @NasraMudi 25 วันที่ผ่านมา

      Kabisaa iyooo imeendaaaaaaaa😅😂😂😂

    • @NasraMudi
      @NasraMudi 25 วันที่ผ่านมา

      ​@@taseleli9181jamani mam mkwe nae anawivu piya duuh

    • @paschaliapesambili
      @paschaliapesambili 24 วันที่ผ่านมา

      Hata huyo mkeo anakaaga uchi

  • @SakinaWanjemu
    @SakinaWanjemu 13 วันที่ผ่านมา

    Barnaba anampenda mkewe namke yuko sahihi anatetea ndoa yake chamsingi wamalizetu tofauti zao mungu atasadia watakuwa pamoja ndoa yake

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 25 วันที่ผ่านมา +8

    Muacheni aoe mwingine hiyo familia wanachonga sana bora hajapanda mbegu oa mwingine wanawake tunaokubali kazi zako tuoe khaa

  • @barineokech1196
    @barineokech1196 26 วันที่ผ่านมา +12

    Barnaba ameuwa kwa huu wimbo hapa hata hile ya mondi haifiki tue wakweli.

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 25 วันที่ผ่านมา +2

    Barnaba utaumiya iyo family watakupelekesha paka utaingiza hakili mama mkwe hana shahuri nzuri kwa mwanaye bro utaumiya

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 25 วันที่ผ่านมา +7

    Nikweli anavyo sema km mtu umempenda lazima wivu uumiye km mwanamke hakuulizi ukae wiki nje halafu hakuulizi hpo kuna namna

  • @despinadamian8693
    @despinadamian8693 24 วันที่ผ่านมา +2

    Yani hapo mama mkwe na mke wote hawako sawa mambo gani ndoa ya mtu inaongelewa kwenye mitandao kama sijui kitu gani, mama anamuharibu mwanae

  • @user-op3lx5ls4k
    @user-op3lx5ls4k 26 วันที่ผ่านมา +4

    balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen

    • @happymushi4493
      @happymushi4493 25 วันที่ผ่านมา +1

      Mapenzi haywezi kumsuperseed Mungu

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi 25 วันที่ผ่านมา +3

    Achanae mkeo chula ana maajabuu adii mama mkwee utumboo

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mama kimbo kaa kwa utuo Mo kashaseme yy muislam mke wa pili sooooooooon aja

  • @Vokali02
    @Vokali02 26 วันที่ผ่านมา +5

    Kizaz sana

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 15 วันที่ผ่านมา

    Mwanifurahisha wallahi mazugumzo yenu ❤😂

  • @salmaebrahim2058
    @salmaebrahim2058 24 วันที่ผ่านมา +1

    Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.

  • @veredianavitalisi5785
    @veredianavitalisi5785 20 วันที่ผ่านมา

    Umejizalilisha sana bro barinaba daa nilikua nakuelewa sana

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 16 วันที่ผ่านมา

    Ndio muziki Wa kisasa sasa aje kuimba na Dera

  • @user-me1zh9us2u
    @user-me1zh9us2u 24 วันที่ผ่านมา +1

    mama kasimamisha mishipa ya shingo kama vile barnaba ni mumewe 😮jamani

  • @shery-bf8xh
    @shery-bf8xh 26 วันที่ผ่านมา +5

    Mama wakwe wengine bana barnaba kayatimba😂😂😂

  • @saidshaban8110
    @saidshaban8110 23 วันที่ผ่านมา +2

    Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia
    Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari

  • @irenemalunda1804
    @irenemalunda1804 25 วันที่ผ่านมา

    Aje kwangu, mie nipo kwaajili ake

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 25 วันที่ผ่านมา +1

    Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu

  • @user-xq7eo3eb4p
    @user-xq7eo3eb4p 15 วันที่ผ่านมา

    Hebu sema kweli mtoto amekugusa😂😂😂😂

  • @SaraKimati
    @SaraKimati 24 วันที่ผ่านมา

    Sameheaneni maisha yaendelee mi nitafurahi sana kuona mmerudiana kosa sio kosa kosa kurudia kosa

  • @FaizahAbdallah
    @FaizahAbdallah 8 วันที่ผ่านมา

    Kwalichokifanya sahii au

  • @ChristinaKayela
    @ChristinaKayela 18 วันที่ผ่านมา

    Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani

  • @user-vf9sk3ij8s
    @user-vf9sk3ij8s 23 วันที่ผ่านมา

    Kaz ni Kaz mapenz kazin ni masihar bos watu wanawkeza mam

  • @zuleikhaahmed7220
    @zuleikhaahmed7220 25 วันที่ผ่านมา

    No comment!!

  • @user-zk3pn1yg2y
    @user-zk3pn1yg2y 26 วันที่ผ่านมา

    🔥🔥🔥barnaba

  • @user-ij2lp1om6i
    @user-ij2lp1om6i 25 วันที่ผ่านมา +1

    Barnaba ni mjinga sana

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 25 วันที่ผ่านมา

    Looooooooh mama mkwe akutukane pole weeee

  • @saidadam6731
    @saidadam6731 25 วันที่ผ่านมา

    Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki

  • @user-co6lt8fq7t
    @user-co6lt8fq7t 13 วันที่ผ่านมา

    Unite kitanzi kisa mwanamme ulizaliwanae acha uzi bwana

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 25 วันที่ผ่านมา +1

    Akalazimishwa na kubadiri dini mama kimbo waache watoto wapendane

  • @user-pr5mz5cq9t
    @user-pr5mz5cq9t 26 วันที่ผ่านมา +4

    Unakuwa na wivu ni mume wako?umembadilisha mtoto wa watu dini haitoshi unamwingilia kwenye kazi.ana wazazi kweli huyo kijana

  • @EagerOrangeJuice-uu2ne
    @EagerOrangeJuice-uu2ne 26 วันที่ผ่านมา

    Sawa unajua kaka mana ya mapenzi

  • @user-by7jo6dk6r
    @user-by7jo6dk6r 24 วันที่ผ่านมา

    Banaba.🎉🎉🎉.yupo.vizur

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 26 วันที่ผ่านมา

    Adamu unasuluhisha au unachongea?

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mchomvu unaakili sana

  • @levinatharwekenya5202
    @levinatharwekenya5202 25 วันที่ผ่านมา +2

    Yaan mchonvu bwana unanifanya nafurahi sana interview zako kaka

  • @PendoSilayo-ri4wg
    @PendoSilayo-ri4wg 19 วันที่ผ่านมา

    Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini

  • @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh
    @JoaoVarlerioconstatino-kf4eh 25 วันที่ผ่านมา

    Ukikataa shika viuno maana una a a maxi jee pesa itakuja aje?

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 26 วันที่ผ่านมา

    Sunaaaaaa! Mtumeeeee!!!!

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 26 วันที่ผ่านมา +3

    Kwanza Barnaba kalogwa huyu, yaani kawekwa kwenye chupa

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 24 วันที่ผ่านมา

    Barnaba kayakanyaga hapa ila aliyataka mwenyewe Bora ungebaki kwenye dini yako

  • @sweet16honey75
    @sweet16honey75 16 วันที่ผ่านมา

    Afute nini hiyo nikazi afute nini sasa

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wakikata owa mke mwengine

  • @user-yt5ki8dk6b
    @user-yt5ki8dk6b 13 วันที่ผ่านมา

    Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako

  • @PrincessHellen-pg1oy
    @PrincessHellen-pg1oy 23 วันที่ผ่านมา

    Ila kiukweli hatujapenda barnaba kubadili dili huo ni ukweli maana mwanamke anampelekesha kuliko hata 😢

  • @happymushi4493
    @happymushi4493 25 วันที่ผ่านมา

    Life ya Nandy na Bill itakuwa poa sana❤😊

  • @Lulucut
    @Lulucut 26 วันที่ผ่านมา +4

    Waongo nyoko hao wana promote wimbo na mama mkwe anamsaport

    • @user-hy9pp5rp9i
      @user-hy9pp5rp9i 25 วันที่ผ่านมา

      Usikute raya yupo kwakeanatuchora tu😂😂😂

    • @husnathabiti4114
      @husnathabiti4114 25 วันที่ผ่านมา

      Kiki 5tttuuu

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 24 วันที่ผ่านมา

      Unaakili kama zangu

  • @user-sp1up1jt3r
    @user-sp1up1jt3r 23 วันที่ผ่านมา

    Wasikuzingue muddy unasautiii

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 24 วันที่ผ่านมา +1

    Rudi kundini, Yesu anakuita.

  • @Nicelovetz
    @Nicelovetz 24 วันที่ผ่านมา

    Barnaba umenichekesha sana

  • @aryanchuumu362
    @aryanchuumu362 25 วันที่ผ่านมา

    Bora asingevaaa 😂😂😂🙌🙌🙌

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 26 วันที่ผ่านมา +2

    Mume wamtu kazini? Nawewe mama mkwe vinakuhusu nini? Waachie wenyewe

  • @kamalibakari4263
    @kamalibakari4263 23 วันที่ผ่านมา

    Adam wewe mimi nakuamini sana mshauri dogo mo huyo mwanamke siyo sahihi kwake ni mtungi wa ges huwo

  • @shakilasharifa9
    @shakilasharifa9 18 วันที่ผ่านมา

    🤣 🤣 🤣 Mama kimbo😅😅😅

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 26 วันที่ผ่านมา +1

    Ila Adam mchovu MTu na nusu😅😅😅😅

  • @user-yv9wi2du3l
    @user-yv9wi2du3l 21 วันที่ผ่านมา

    Kwanza unaendana Na yammy kwani nisiri😂😂😂😂😂😂

  • @JuliethMwanga-ut8lc
    @JuliethMwanga-ut8lc 25 วันที่ผ่านมา

    Ilaaa nyiee Barnabas nzuriii SNA tnaa akichekaa huuu

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 25 วันที่ผ่านมา

    Yupo uchi kweli yammi hana adabu kawa malaya ile chupi tu tn km bigin

  • @khadijayusuph2634
    @khadijayusuph2634 24 วันที่ผ่านมา

    Mmmhh ndoa za wasanii ni kama maigizo tu" mama mkwe mwenyewe mmh" kwani kushika kiuno ndo kafanyeje!?

  • @fatimaabdullahmohd2347
    @fatimaabdullahmohd2347 24 วันที่ผ่านมา

    Sawa mamamkwe uchungu WA nini.

  • @vanjizzle122
    @vanjizzle122 25 วันที่ผ่านมา +5

    Kama umegundua Barnaba Ni Comedian sanaaa Nipe like Zangu😅

  • @reveliancyprzacharia6967
    @reveliancyprzacharia6967 24 วันที่ผ่านมา

    Ila adamu akili zake et bora hasingekuwa nayo nguo ya ndan😂😂😂😂

  • @jamespetro3014
    @jamespetro3014 26 วันที่ผ่านมา +1

    Huyu mama ni shangingi yaani kwanza m2 unajuwa ni msanii unakazi kuingilia ndoa ya mwanao nakukimbilia kwenye media huyu mama mke wa uswahilini

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 25 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli huyu mama kazidi lopolopo

  • @OweniEdward
    @OweniEdward 24 วันที่ผ่านมา

    Unyama mwingi barnaba nakukubari brother

    • @pwanihabari
      @pwanihabari 22 วันที่ผ่านมา

      Unamkubalia nini hajui kuimba anaimba kama analia😁😁😁😁 saiv ndio kaona aje na kiki ya kushika nyonga na vichupi, hamna kitu muhuni tu wa mjini

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 25 วันที่ผ่านมา

    Mama mkwe anazidisha ogovi raya hajakasirika kaona ni kazi why wewe nikupatanisha suo kugombanisha

  • @sylvanjosam3402
    @sylvanjosam3402 25 วันที่ผ่านมา

    Barnaba usiende kuomba msamah tafta mke mwingn weka ndani huyo mama kimbo akome

  • @user-yb6wh1bk9d
    @user-yb6wh1bk9d 25 วันที่ผ่านมา

    Yammi hashuo ss hv yy alipenda yammi alifirahi yammi cn

  • @RizyAbel
    @RizyAbel 23 วันที่ผ่านมา +1

    Mchomvu kamchamba kizungu

    • @winfridakombe7366
      @winfridakombe7366 23 วันที่ผ่านมา

      Kabisaaa kachambwa kizunguuu❤😅

  • @user-wl4uy7qv7u
    @user-wl4uy7qv7u 9 วันที่ผ่านมา

    Humu mnaongea wengi hat amuelewek

  • @nurumohammed1310
    @nurumohammed1310 25 วันที่ผ่านมา

    Banarba huyo mama keshapiga hodi kwako muonja chumvi haonji mara moja sasa subiria yajayo utasikia utamu wake 😂😂😂😂

  • @AggyMusoma-wb2kn
    @AggyMusoma-wb2kn 25 วันที่ผ่านมา

    Barnaba kayatimbaaa mama mkwe anabeba mpaka na wadogooo Zake na mwanaumeee duuuuh mama mkweeeee hatariiii uyu

    • @vannie-gggg
      @vannie-gggg 19 วันที่ผ่านมา

      Ni mjanja hataki binti aachwe wanatishia tu

  • @user-ew7zb3jx7t
    @user-ew7zb3jx7t 26 วันที่ผ่านมา

    Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole

    • @taseleli9181
      @taseleli9181 25 วันที่ผ่านมา

      Kubadili dini sio tatizo unajuaje kama angebaki upande ule ule
      haya yasingetokea.

  • @giningionlineTv
    @giningionlineTv 22 วันที่ผ่านมา

    Muonekano wake tu unatosha kudhihirisha kuwa ni muhuni sana, na wala hakuna kusilimu kitu hapo amefata PAPA tu na maslahi yake mengine

  • @iam_sami
    @iam_sami 25 วันที่ผ่านมา

    Ss mama yy kama nan mpk anaongea ivooo

  • @magidalenarauya4286
    @magidalenarauya4286 26 วันที่ผ่านมา +1

    We barnaba oa mke anaekuelwa huyo hamfiki mbali

  • @LeilaAbdull-jg6ho
    @LeilaAbdull-jg6ho 24 วันที่ผ่านมา

    Yamy ndo hajitambui hapo

  • @minaelnathanael1846
    @minaelnathanael1846 26 วันที่ผ่านมา

    Wachagga nao bwana? Mkaoe kwenu. Uswahili gani huuu ka!!

  • @user-yu6zj3bw1y
    @user-yu6zj3bw1y 25 วันที่ผ่านมา

    Mama Kimbo wala ana shida

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 26 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂aaah uyo mamkwe mnafki angekua yy angekubal acjishaue bureee yaaan km mie ndo Barnaba cmrejei uyo mwanamke 😂😂😂si kaondoka mwnyw kwake

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 26 วันที่ผ่านมา

    Usifanye hivyo ni dhambi lkn mama kimbo yuwamuoneya

  • @giningionlineTv
    @giningionlineTv 22 วันที่ผ่านมา

    Kwakweli huaga nashindwa kuelewa, hivi kuna uhusiano gani kati ya sanaa ya uimbaji uvaaji wa chains, kusuka, kuchora tattoos, kutoboa pua, kuvaa herini na upuuzi mwengine, kwani huwezi kuwa kawaida na ukawa msanii mzuri? mbona mambo ya kipuuzi kwa hawa waitwao eti vioo vya jamii umekuwa mkubwa hivi, kwani watu wanapenda machains, maherini au kazi zako? mbona hawa wapuuzi saiv wamekuwa ovyo hivi, hivi vizazi vyao vitakuwaje?

  • @NiyogushimaOscar-rd6ur
    @NiyogushimaOscar-rd6ur 24 วันที่ผ่านมา

    Barnaba nadhani amelogwa kabisa Mimi ningemuachia binti yake nikaoa mwingine

  • @Mlilapi
    @Mlilapi 26 วันที่ผ่านมา

    Kwahiyo nandy aliiibiwa 😂😂😂😂😂😂

  • @Mlilapi
    @Mlilapi 26 วันที่ผ่านมา

    Barnaba ajifunze kwa Mr Blue maana sijawahi kumuona babylon busy anafanya ujinga wa aina hiyo maana na blue naye ameowa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 25 วันที่ผ่านมา

    Wana promoti wimbo

  • @matildamati9222
    @matildamati9222 26 วันที่ผ่านมา

    Hivi huyu kijana ana akili sasa anajiua kwa Sababu ya mwanamke 😂😂😂😂 duuh pole sana haya tangulia kaka

  • @HIDAYASAID-ue1df
    @HIDAYASAID-ue1df 25 วันที่ผ่านมา

    Doh kwel hii kiki nimegundua

  • @khadijayusuph9316
    @khadijayusuph9316 25 วันที่ผ่านมา

    Barnabas angemuoa tu na huyo mkwe wake tukajua 1

  • @milkaaloyce197
    @milkaaloyce197 25 วันที่ผ่านมา

    Barnaba kwani hukuwaona kina Jack

  • @MiliamMbonani
    @MiliamMbonani 19 วันที่ผ่านมา

    Ndoo shida ya watu maalufu hivi nyie wasanii hamuwezi kutafuta mtu tu wakawaida tu familia ya kawaida tu

  • @mwajumsleman9070
    @mwajumsleman9070 26 วันที่ผ่านมา

    Uyo yammy ndo uvaaaji wake achen povuuuu

  • @mwanjaaseif5229
    @mwanjaaseif5229 24 วันที่ผ่านมา

    Kwani hakujua kama anaolewa na msanii? Raya amempa sana nafasi mama yake, kama hawataki maskendo waelewe na walimu 😅😅

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 25 วันที่ผ่านมา

    Achen ushamba mbn wa marekani wanafanya.wanamuzik.saa.cha ajabu.nn

  • @solomondanny-1507
    @solomondanny-1507 26 วันที่ผ่านมา

    Adamuu, mchokozi sanaaaaa!😅

  • @NdekejaKamuli-sh5pe
    @NdekejaKamuli-sh5pe 25 วันที่ผ่านมา

    Jmn Mchomvu unazngua yaani ma mkwe unaongea nae kama mhuni mwenzio

  • @antarsangali4456
    @antarsangali4456 26 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe mtangazaji acha kulidhihaki jina Mohamed kama unataja nazi au mapapai sokoni. Acha hiyo mambo zako