Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭
Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke
Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge
balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen
Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.
Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari
Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu
Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani
Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki
Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini
Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako
Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole
Kwakweli huaga nashindwa kuelewa, hivi kuna uhusiano gani kati ya sanaa ya uimbaji uvaaji wa chains, kusuka, kuchora tattoos, kutoboa pua, kuvaa herini na upuuzi mwengine, kwani huwezi kuwa kawaida na ukawa msanii mzuri? mbona mambo ya kipuuzi kwa hawa waitwao eti vioo vya jamii umekuwa mkubwa hivi, kwani watu wanapenda machains, maherini au kazi zako? mbona hawa wapuuzi saiv wamekuwa ovyo hivi, hivi vizazi vyao vitakuwaje?
Pia mama kimbo hana adabu mutu mzima unamwambia mukwe hana adabu kweri barnaba mupole wallah
Utovu wa adabu hauhusiani na upole wa mtu, kwani Aslay si mpole mbona amesafisha mtaro, hao wapole ndio waogope na huyu Kimapunju ni mshenzi tu, dume zima micheni kama mama yake mpuuzi, kisha eti msanii kioo cha jamii hovyo kabisa😭😭😭😭
Barnaba mzuri ana heshima sana charming face always
Mama Yuko Sawa, Ile ni kazi kweli lakini si kwa kukaa uchi vile, hata utamaduni wetu unapinga mtu kukaa uchi hafharani, kwani angevaa vizuri Na kushikwa kiunoni bila kuonyesha chupi mziki usingepigwa. Lindeni heshima ya mwanamke
Sawa lakini huyu mama nae anawezaje kuliongelea hili mitandaoni aache kuongea hivyo kwanini wasingeongea nyumbani hata kama amekosea hii siyo sawa
Ile ni kazi lakini sio kiwanda Cha mikate au soda Ile ni muziki na muziki una hayo mambo so yule mama na yule make wote ni washamba ningekuwa Mimi ndio Barnabas naacha huyo make akaolewe na sheikh kenge
Kabisaa iyooo imeendaaaaaaaa😅😂😂😂
@@taseleli9181jamani mam mkwe nae anawivu piya duuh
Hata huyo mkeo anakaaga uchi
Barnaba anampenda mkewe namke yuko sahihi anatetea ndoa yake chamsingi wamalizetu tofauti zao mungu atasadia watakuwa pamoja ndoa yake
Muacheni aoe mwingine hiyo familia wanachonga sana bora hajapanda mbegu oa mwingine wanawake tunaokubali kazi zako tuoe khaa
😂😂😂 akuje tu
Hahahah
Mama mkwe hamtaki barnaba
Barnaba ameuwa kwa huu wimbo hapa hata hile ya mondi haifiki tue wakweli.
Barnaba utaumiya iyo family watakupelekesha paka utaingiza hakili mama mkwe hana shahuri nzuri kwa mwanaye bro utaumiya
Nikweli anavyo sema km mtu umempenda lazima wivu uumiye km mwanamke hakuulizi ukae wiki nje halafu hakuulizi hpo kuna namna
Sio kweli
Yani hapo mama mkwe na mke wote hawako sawa mambo gani ndoa ya mtu inaongelewa kwenye mitandao kama sijui kitu gani, mama anamuharibu mwanae
balnaba wewe acha utani jina la Muhammadi nikubwa saana mungu akupe subra ushinde mtihani huo kikubwa mtafute shekshe walidi akupe mawaidha yule Hana ubaguzi japo waimba mziki atakupokea mungu aku simamie uwe muisilamu mpaka mwisho wa uhai wako utamke shahada ameen
Mapenzi haywezi kumsuperseed Mungu
Achanae mkeo chula ana maajabuu adii mama mkwee utumboo
Mama kimbo kaa kwa utuo Mo kashaseme yy muislam mke wa pili sooooooooon aja
Kizaz sana
Mwanifurahisha wallahi mazugumzo yenu ❤😂
Wacha kuwa muoga kaka jiamini kazi yako ndio maisha yako ivyo Wala usijali akipenda kweli atarudi hila kaka hapo una mkwe mama mkwe amekuwa ndio sema wa ndoya yako anapenda san kunyenyekewa. Kuwa makini na mama kimbo watakuendesha.
Umejizalilisha sana bro barinaba daa nilikua nakuelewa sana
Ndio muziki Wa kisasa sasa aje kuimba na Dera
mama kasimamisha mishipa ya shingo kama vile barnaba ni mumewe 😮jamani
Mama wakwe wengine bana barnaba kayatimba😂😂😂
Ndio maana move zentu zinakuwa kama JoJo SKU kadhaa znaisha utamu Kwa sababu hazina uharisia
Pia haina haja ya kwenda kumuomba msamaha sjaona cha ajabu kabsa Ile ni kaz kama KAZI na ndio maana hatuend intonation na tukienda kwenye mashndano hatufuki mbari
Aje kwangu, mie nipo kwaajili ake
Kaowa na mm aliniletea kadi ya harusi nikaenda na barnada anapenda tu dini ya kiislam toka mwanzo ht mm nikivaa mabaibui hupenda mavazi yetu na ht dada yk mdogo wk wote wameslimu sio peke yk na sio kwaajili ya mapenzi ila watu hawajui tu
Hebu sema kweli mtoto amekugusa😂😂😂😂
Sameheaneni maisha yaendelee mi nitafurahi sana kuona mmerudiana kosa sio kosa kosa kurudia kosa
Kwalichokifanya sahii au
Ndoa za mitandaoni zinamambo na vijimambo cjui nilazima vitu vyao kuweka hadhalani haina maana kila Mara kudhalilishana hivo Mambo mengine niyakifamilia wanatakiwa kuyamaliza Kama familia kimyakimya mitandao sio lazima kujianika kwa kila kitu kinacho endelea kwenye familia jamani
Kaz ni Kaz mapenz kazin ni masihar bos watu wanawkeza mam
No comment!!
🔥🔥🔥barnaba
Barnaba ni mjinga sana
Looooooooh mama mkwe akutukane pole weeee
Daaaaaaaaah ndo huyo mm Sasa niwe barnaba, yaan ningemsindikiza na taraka moja kw moja na mama kimbo nae kama haeleweki na taraka pia nae Nampa kudaaaaadeki
Unite kitanzi kisa mwanamme ulizaliwanae acha uzi bwana
Akalazimishwa na kubadiri dini mama kimbo waache watoto wapendane
Unakuwa na wivu ni mume wako?umembadilisha mtoto wa watu dini haitoshi unamwingilia kwenye kazi.ana wazazi kweli huyo kijana
Halibadili kabla ya kuoa
Sawa unajua kaka mana ya mapenzi
Banaba.🎉🎉🎉.yupo.vizur
Adamu unasuluhisha au unachongea?
Mchomvu unaakili sana
Yaan mchonvu bwana unanifanya nafurahi sana interview zako kaka
Punguani mmoja ww anabadilisha dini jimwanaume zima ovyo..mwanamke ndo angebadili dini sio ww .ndo mana umekaliwa hadi na mama mkwe utanyoshwa hadi ulaumu kubadili dini
Ukikataa shika viuno maana una a a maxi jee pesa itakuja aje?
Sunaaaaaa! Mtumeeeee!!!!
Kwanza Barnaba kalogwa huyu, yaani kawekwa kwenye chupa
Barnaba kayakanyaga hapa ila aliyataka mwenyewe Bora ungebaki kwenye dini yako
Afute nini hiyo nikazi afute nini sasa
Wakikata owa mke mwengine
Ww una makosa bande zote kwa mkeo na kwa yami mkeo mwenyeo ana randa uchi na mbona humzui na uwache tabia ya kupiga picha za uchi ww una watoto wana kuangalia una fundisha nini kizazi chako
Ila kiukweli hatujapenda barnaba kubadili dili huo ni ukweli maana mwanamke anampelekesha kuliko hata 😢
Life ya Nandy na Bill itakuwa poa sana❤😊
Waongo nyoko hao wana promote wimbo na mama mkwe anamsaport
Usikute raya yupo kwakeanatuchora tu😂😂😂
Kiki 5tttuuu
Unaakili kama zangu
Wasikuzingue muddy unasautiii
Rudi kundini, Yesu anakuita.
Barnaba umenichekesha sana
Bora asingevaaa 😂😂😂🙌🙌🙌
Mume wamtu kazini? Nawewe mama mkwe vinakuhusu nini? Waachie wenyewe
Adam wewe mimi nakuamini sana mshauri dogo mo huyo mwanamke siyo sahihi kwake ni mtungi wa ges huwo
🤣 🤣 🤣 Mama kimbo😅😅😅
Ila Adam mchovu MTu na nusu😅😅😅😅
Kwanza unaendana Na yammy kwani nisiri😂😂😂😂😂😂
Ilaaa nyiee Barnabas nzuriii SNA tnaa akichekaa huuu
Yupo uchi kweli yammi hana adabu kawa malaya ile chupi tu tn km bigin
Mmmhh ndoa za wasanii ni kama maigizo tu" mama mkwe mwenyewe mmh" kwani kushika kiuno ndo kafanyeje!?
Sawa mamamkwe uchungu WA nini.
Kama umegundua Barnaba Ni Comedian sanaaa Nipe like Zangu😅
Ila adamu akili zake et bora hasingekuwa nayo nguo ya ndan😂😂😂😂
Huyu mama ni shangingi yaani kwanza m2 unajuwa ni msanii unakazi kuingilia ndoa ya mwanao nakukimbilia kwenye media huyu mama mke wa uswahilini
Kwa kweli huyu mama kazidi lopolopo
Unyama mwingi barnaba nakukubari brother
Unamkubalia nini hajui kuimba anaimba kama analia😁😁😁😁 saiv ndio kaona aje na kiki ya kushika nyonga na vichupi, hamna kitu muhuni tu wa mjini
Mama mkwe anazidisha ogovi raya hajakasirika kaona ni kazi why wewe nikupatanisha suo kugombanisha
Barnaba usiende kuomba msamah tafta mke mwingn weka ndani huyo mama kimbo akome
Yammi hashuo ss hv yy alipenda yammi alifirahi yammi cn
Mchomvu kamchamba kizungu
Kabisaaa kachambwa kizunguuu❤😅
Humu mnaongea wengi hat amuelewek
Banarba huyo mama keshapiga hodi kwako muonja chumvi haonji mara moja sasa subiria yajayo utasikia utamu wake 😂😂😂😂
Barnaba kayatimbaaa mama mkwe anabeba mpaka na wadogooo Zake na mwanaumeee duuuuh mama mkweeeee hatariiii uyu
Ni mjanja hataki binti aachwe wanatishia tu
Yaaani Mwambieni kakata tiketi ya tren halafu badala ya kuingia ndani ya akae kwenye sit akandandia kwenye kichwa Cha tren kitendo Cha kwenda kubadilisha jina na na kuitwa Mhamad du hapo tayari kaharibu kila kitu sababu mwanaume hakutoks kwenye ubavu wa mwanamke so yeye sasa analala ukutani mwa kitanda Yaani mama mkwe anspangia aimbe au achazaje du hapo anaenda kupata anguko. Atapiga mswaki bila dawa.Nampa pole
Kubadili dini sio tatizo unajuaje kama angebaki upande ule ule
haya yasingetokea.
Muonekano wake tu unatosha kudhihirisha kuwa ni muhuni sana, na wala hakuna kusilimu kitu hapo amefata PAPA tu na maslahi yake mengine
Ss mama yy kama nan mpk anaongea ivooo
We barnaba oa mke anaekuelwa huyo hamfiki mbali
Yamy ndo hajitambui hapo
Wachagga nao bwana? Mkaoe kwenu. Uswahili gani huuu ka!!
Mama Kimbo wala ana shida
😂😂😂aaah uyo mamkwe mnafki angekua yy angekubal acjishaue bureee yaaan km mie ndo Barnaba cmrejei uyo mwanamke 😂😂😂si kaondoka mwnyw kwake
Usifanye hivyo ni dhambi lkn mama kimbo yuwamuoneya
Kwakweli huaga nashindwa kuelewa, hivi kuna uhusiano gani kati ya sanaa ya uimbaji uvaaji wa chains, kusuka, kuchora tattoos, kutoboa pua, kuvaa herini na upuuzi mwengine, kwani huwezi kuwa kawaida na ukawa msanii mzuri? mbona mambo ya kipuuzi kwa hawa waitwao eti vioo vya jamii umekuwa mkubwa hivi, kwani watu wanapenda machains, maherini au kazi zako? mbona hawa wapuuzi saiv wamekuwa ovyo hivi, hivi vizazi vyao vitakuwaje?
Barnaba nadhani amelogwa kabisa Mimi ningemuachia binti yake nikaoa mwingine
Kwahiyo nandy aliiibiwa 😂😂😂😂😂😂
Barnaba ajifunze kwa Mr Blue maana sijawahi kumuona babylon busy anafanya ujinga wa aina hiyo maana na blue naye ameowa
Wana promoti wimbo
Hivi huyu kijana ana akili sasa anajiua kwa Sababu ya mwanamke 😂😂😂😂 duuh pole sana haya tangulia kaka
Doh kwel hii kiki nimegundua
Barnabas angemuoa tu na huyo mkwe wake tukajua 1
Barnaba kwani hukuwaona kina Jack
Ndoo shida ya watu maalufu hivi nyie wasanii hamuwezi kutafuta mtu tu wakawaida tu familia ya kawaida tu
Uyo yammy ndo uvaaaji wake achen povuuuu
Kwani hakujua kama anaolewa na msanii? Raya amempa sana nafasi mama yake, kama hawataki maskendo waelewe na walimu 😅😅
Achen ushamba mbn wa marekani wanafanya.wanamuzik.saa.cha ajabu.nn
Adamuu, mchokozi sanaaaaa!😅
Jmn Mchomvu unazngua yaani ma mkwe unaongea nae kama mhuni mwenzio
Wewe mtangazaji acha kulidhihaki jina Mohamed kama unataja nazi au mapapai sokoni. Acha hiyo mambo zako