Kwanini Mahakama imekataa Vicky Kamata kumiliki mali za BIL4 na kudai hakuwa mke halali wa Likwelile

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 19 ก.ย. 2023
  • Tembelea www.sns.co.tz kwa habari nyingi zaidi
    Follow kurasa zetu za mitandao ya kijamii:
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti
    / simulizinasauti

ความคิดเห็น • 466

  • @Boaz22
    @Boaz22 9 หลายเดือนก่อน +18

    Mwanasheria yuko vizuri mno,uwe unamtumia👏👏👏

  • @user-sj7fn1wt6d
    @user-sj7fn1wt6d 9 หลายเดือนก่อน +19

    WAPENDA DEZO KAENI MBALI NA NDOA ZA WATU.JAJI APEWE MAUA YAKE

  • @chiccynaturaldamnhot877
    @chiccynaturaldamnhot877 9 หลายเดือนก่อน +6

    Kongole mwanasheria tumeelewa vizuri sana Kongole kwa mahakama pia 👏👏👏

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 9 หลายเดือนก่อน +71

    Salamu ziwafikie vimada wote waliopo Tanzania.

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 9 หลายเดือนก่อน

      Vimada wajinga ,ila siyo wenye akili unadhani huyu Vicky anavyo hivyo tuuu anavyo vingi zaidi, nyie wanaume ndiyo muwe makini.

    • @fridageorge2809
      @fridageorge2809 9 หลายเดือนก่อน +9

      Kama Anavyo vingi si aache hivyo vichache!

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@fridageorge2809ebu sikiliza hiyo habari vizuri kwanza!!!

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 9 หลายเดือนก่อน +3

      baadhi ya wanawake ni hatari sana kwenye suala la mali ndio mana unakuta wanapo olewa wakajua mume alikua na mke au ana mke wa kwanza wpo tayari wazae mpaka viuno vikatike ili warisi mali😅😅😅😅😅

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 9 หลายเดือนก่อน +2

      Hata wanaume nao wawe waelewa kwenye haya maswala mbona marehemu alikuwa msomi mzuri kwanini asiandike wosia akauficha hata kwa watu wa kanisA kue

  • @brunoh_bx
    @brunoh_bx 9 หลายเดือนก่อน +19

    Yaan hawa wadada huwa wanataka mali zote ziwe zao bila kujali mzee kaacha familia, wadada kuweni na huruma aisee😮😢

    • @rerisamba
      @rerisamba 9 หลายเดือนก่อน +1

      Imekula kwake basi hapati ngo

  • @ashangonyani7989
    @ashangonyani7989 9 หลายเดือนก่อน +5

    Daah! Asante mwanasheria, umetufungua🙏🙏

  • @jacquelinelukambuzi5085
    @jacquelinelukambuzi5085 9 หลายเดือนก่อน +11

    Mungu yupo kwa ajili ya wenye hakika wote🙏💪

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 9 หลายเดือนก่อน +21

    Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa...hongera SNS

    • @stanslauschatata3483
      @stanslauschatata3483 9 หลายเดือนก่อน +1

      mkasajili vyeti vyenu sasa, sio kukaa na makaratasi ndani😂😂😂

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 9 หลายเดือนก่อน

      @@stanslauschatata3483 🤣🤣🤣🤣

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 9 หลายเดือนก่อน +23

    1)ndoa za kikristo ni tata( mahakama ya dunia inajadili ndoa ya kiimani kuliko kitabu/biblia)
    2)Mali ni changamoto za familia.
    3)Wasia ni muhimu sana ukiwa hai mwenye afya na akili timam.
    4)Usomi wa madegree unaweza kuwa na mapungufu kama binadamu so kuna haja ya kukumbushana.
    5) Sasa kuna haja ya watu kutathmini ndoa zao na wenza wao.
    6) Siku moja tutakufa

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kama ilivyo uislam kula kitimoto...kwahyo ndoa ya imani ya Kikristo...mke mmoja...ndoa ya kiislam ni mpaka wake 4...na ndoa ya kitamaduni ni wake wengi uwezavyo......kwahyo ni kuheshimu imani ya mwingine

    • @emmadora7848
      @emmadora7848 9 หลายเดือนก่อน +5

      Mahakamani Kuna kesi zimejaaa tele za waislamu ,wameahindwa huko kuamuana Kwa dini .So shida sio dini ila watu wenyewe wanaofuata hizo dini

    • @ambokileasheengai1140
      @ambokileasheengai1140 9 หลายเดือนก่อน

      HIZO NI SHIDA WALIZOFUNGWA KWENYE NIRA ZAO SABABAU HIKO KITABU CHAO KINATOA MUONGOZO WA TORATI KWENYE MASUALA YA NDOA,,,,,MKIPENDANA NA KUOANA NDOA ITADUMU TU,,ILA UKIWA UNAKANDAMIZA MWEZANKO LAZIMA AKIMBIE TUKO KWENYE DUNIA YA DIGITAL SIO TORATI
      @@emmadora7848

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 9 หลายเดือนก่อน

      Tatizo ukikimbia shule

    • @doryndismas3942
      @doryndismas3942 9 หลายเดือนก่อน +1

      Nakubariana na wewe watu hatufuati dini inavyotaka, ukiifuatilia Uislamu MWENYEZI MUNGU KATIKA UISLAMU HAPENDEZWI NA TALAKA YAANI UNAPOTAJA HILO NENO MBINGU NA ARDHI HUTIKISIKA, IKIMAANISHA KUTOA TALAKA NI SWALA LISILOMPENDEZA, DINI ZIKO SAWA ILA SIE WAJA NDIO TUNAONA SAWA@@emmadora7848

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 9 หลายเดือนก่อน +24

    Kuna siku aliwajibu watoto wa marehem mkitaka haki nendeni mahakaman Tena kifedhuli Leo watoto wamepata Haki Yao anajitilisha huruma huko mitandaoni huyu mwanamke ni ibilis zambi ya dhulma haiwezi kumuacha Salama

    • @faiththawe4371
      @faiththawe4371 9 หลายเดือนก่อน

      Ulikuwepo maku wewe

    • @issaisandeko6217
      @issaisandeko6217 9 หลายเดือนก่อน +4

      @@faiththawe4371 mbona umeumia na unatoa matusi au na wewe ni mnufaika kwa kupitia Vicky😀😀😀

    • @tumlakimwaitumule
      @tumlakimwaitumule 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@faiththawe4371Sasa kinachofanya utoe matusi nini? Ujinga mtupu 🚮

    • @agnesndotela6644
      @agnesndotela6644 9 หลายเดือนก่อน

      @@jacklinezebedayo2923 no

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 9 หลายเดือนก่อน +27

    Sns asanteni sana nimejifunza kitu kuhusu cheti cha ndoa nilikuwa sijui,nilijua ukifunga ndoa kanisani ndio imeisha palepale kumbe mbaka upeleke rita❤mahakama hongereni👏👏👏👏

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน

      Inategemea na kanisa au nyumba yoyote ya kuabudia na dhehebu mara nyingi ndoa za voda fasta za makinisa fulani.hawaoji au kuchunguza au kukataa kitu matokeo yake ndio hayo kuna jambo hapo!

    • @blackcolour8183
      @blackcolour8183 9 หลายเดือนก่อน

      Mm pia ndo nimejua leo

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 9 หลายเดือนก่อน +4

      Uja muelewa uyu ana mahanisha kama ulifunga ndoa na mtu ambae amesha funga ndoa apo mwanzo na bado mke wake bado ajafariki au mume wake ajafariki au umefunga ndoa na mtu ambae tayari ana ndoa lakin aja toa taraka kwa alie muacha ilo ndio tatizo

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 9 หลายเดือนก่อน +2

      @@syliviakente9460 Nilivyo muelewa atakama ndio umenza nae kufunga ndoa unatakiwa uwende,kwasababu akija kufunga na mwengine alafu yeye akaenda wewe ulie anza kufunga ndoa unakosa haki yako

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน +1

      Lakini mbona kanisani wanapewa vyeti viwili kimoja cha,serikali na kingine cha kanisa , pia ukiolewa na mtu kutoka taifa lingine bora ufunge ndoa kwa DC baada ya hapo cheti chako unaenda sajili Wizara ya Mambo ya Nje ndio kinatambulika huko mbele hivi vitu vipo ila watu huwa hawavitilii maanani hata waweza enda Tangaza ndoa yako.Rita kabla ya kufunga kama Makanisa yanavyo fanya

  • @jumakatanje955
    @jumakatanje955 9 หลายเดือนก่อน +9

    Shida ya yote haya ni watu hawana hofu ya mungu,elimu dunia imekuwa muhim kuliko mungu,,yan mtu ajua kabisa kama mali haimhusu lakin analazimisha iwe yake kisa anajua sheria

  • @felisianathadei5403
    @felisianathadei5403 9 หลายเดือนก่อน +2

    Asante sana wanasheria kwa kazi zenu nzuri mliyoseomea

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 9 หลายเดือนก่อน +7

    wa.mama wa dada mje hapa kuna jambo la kujifunza hapa, tunapodandia waume za watu tuwe makini, km jamaa yupo vizuri bora chako akupe mapema, mtihani

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 9 หลายเดือนก่อน

      Umeona eee!!!

    • @mukhsintwaha5909
      @mukhsintwaha5909 9 หลายเดือนก่อน

      Kwanini udandie waume za watu

    • @sheryphamwenevalley6124
      @sheryphamwenevalley6124 9 หลายเดือนก่อน

      @@mukhsintwaha5909 kudandia si kwa ubaya huyo mzee.mkewe alikifa au walitengana na sio yy aliyewatenganisha , ss unapoingua ktk maisha hayo ujiandae, kwa ufupi maisha tuliyonayo kwa sasa hata huko zamani uakuna wa peke yako , si kwa wanaume wala wanawake kwani ukiachwa utokua na mwingine, au.kafa inakuaje ss ispokua utakapo ingia ktk maisha km hayo ujipange mapema, kiukweli.kabisa jamaa alimuoa na haikua siri ss sikui tatizo nini

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 9 หลายเดือนก่อน +29

    Vick nae alikuwa na tamaa kuchukua vitu vyote wkt watoto halali wapo😢😢😢😢

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 9 หลายเดือนก่อน

      Umeona eeeh

    • @Clex-f5s
      @Clex-f5s 9 หลายเดือนก่อน

      Na ubunge wote ule dah sio poa

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 9 หลายเดือนก่อน +1

      Eti jamani! anataka majumba yote, viwanja, si angechukua chache..

    • @beaugosseadam6831
      @beaugosseadam6831 9 หลายเดือนก่อน

      Jambazi mkubwa!

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dah nimejifunza sanaaaa yaani leo . Ubarikiwe sana SNS.

  • @michaelthobias9967
    @michaelthobias9967 9 หลายเดือนก่อน +7

    Safi sana mungu huwaumbua hawa wajanja wa town tafuteni pesa

  • @elizabethkamala9176
    @elizabethkamala9176 9 หลายเดือนก่อน +2

    SNS Asanten Kwa habari zenu nzuri na zenye mafunzo

  • @mr.yahzadochuno7914
    @mr.yahzadochuno7914 9 หลายเดือนก่อน +7

    Nimejifunza kitu thank you rita

  • @deborahjustinerwambogo8490
    @deborahjustinerwambogo8490 9 หลายเดือนก่อน +9

    😢😢😢 daaaah,hivi huyu dada ndo yule aliyeimba ule wimbo wa "WANAWAKE NA MAENDELEO""

  • @JohnPrine-ut2ni
    @JohnPrine-ut2ni 9 หลายเดือนก่อน +7

    Elimu kubwa sana nimepata leo kubwa mnooo nimefumbuliwa macho hongereni sana SNS

  • @ezekielmahalu4224
    @ezekielmahalu4224 9 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana mwanasheria Isaac naomba tu unifahamishe juu ya
    "Ninani anayepaswa kukipeleka hicho cheti cha ndoa kwa msajiri wa ndoa?
    Je ni mfungishaji wa ndoa au wanandoa wenyewe?"

  • @vipmedia-gi7md
    @vipmedia-gi7md 9 หลายเดือนก่อน +9

    Mungu fundi sana

  • @yasminoluoch169
    @yasminoluoch169 9 หลายเดือนก่อน +13

    Nikama huyu mume alichuma mali na mke wa kwanza alafu huyu mke wa pili akaja akadandia Mungu ni nani sai anazi enjy mali kiulauniii..Mashallah ❤...

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 9 หลายเดือนก่อน

      Ndivyo ilivyo.

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 9 หลายเดือนก่อน

      Alafu huyu dd si ndo amezaa na mbowe, yaani ni mchepuko wa mbowe.

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@maryamtan682 mmmmh unauhakika?

    • @marthageorge5043
      @marthageorge5043 9 หลายเดือนก่อน

      Ndio

    • @virendavictoria5174
      @virendavictoria5174 9 หลายเดือนก่อน

      Sio hivyo huyo mke wa kwanza wakishaachana zamani na inasemekqna alikuwa ameolewa na mtu mwingine shida ni kuwa ndoa ya kwanza haikuvunjwa kiutaratibu ndio maana watoto wamepata nguvu kwakuwa ndoa ya Vicky imeonekana ni batili

  • @gracelema2374
    @gracelema2374 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi You Tube huwezi kumtag mtu ee😂😂
    Unyama ni mwingi na unamwagika 🙌🏾🙌🏾

  • @neemajohn6142
    @neemajohn6142 9 หลายเดือนก่อน +15

    Jaman sheria nyingi tufundishwe mashulen toka awali 😢ili tujitambue sio mpka usomee sabb mambo meng yanatuzunguka hapa duniani 😢

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 9 หลายเดือนก่อน +1

      😂chanuimu ukisikia mume ana mke wame achana ndugu anza kujua sheria nanujue haki zako usingie kwa kuangalia leo angalia na nabadae na ufikrie je alie toka aka acha izo mali yupo au

    • @kaisarimbisso5011
      @kaisarimbisso5011 9 หลายเดือนก่อน

      Vitabu vidogo vidogo vya sheria mbali.mbali vipo, vinauzwa

    • @hadijamandanje6189
      @hadijamandanje6189 9 หลายเดือนก่อน +1

      ​@@judithkatabaro3294Sasa huyu ni mke alikuja juu anataka kumiliki Mali alizokuta kwa mume ambae mkewe alaifari ki na watoto wao wapo,unaweza kushikwa uchawi usiologa

    • @judithkatabaro3294
      @judithkatabaro3294 9 หลายเดือนก่อน

      @@hadijamandanje6189 🤣🤣🤣

    • @jacklinezebedayo2923
      @jacklinezebedayo2923 9 หลายเดือนก่อน

      kabisa zifundishwee.... Maana km Cheti kupita Rita watu hawajui kabisa

  • @Iloveyou-ed7ih
    @Iloveyou-ed7ih 9 หลายเดือนก่อน +5

    Yani huyu mama ni tapeli wa kutupwa tunamshukuru mungu kwa kuiongoza vyema mahakama hongera zake ziende kwa hakimu ametenda haki sijui lingepewa mali hilo lijanamke watoto wangekuwa na hali gani kimaisha ASANTE MUNGU.

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 9 หลายเดือนก่อน +12

    Acheni tamaa! Mali ni xa mke wa kwanxa na watoto wake,kwani huyo mume hakuwa amejenga?vicky wacha yacje yakakukuta km yule mama wa Mwanxa alochinjwa na mimbajuu,alichinjwa na mtoto wa marehemu.

    • @munirahassan5969
      @munirahassan5969 9 หลายเดือนก่อน

      😂

    • @user-rm4ox3yf3c
      @user-rm4ox3yf3c 9 หลายเดือนก่อน

      Ina maana huyu Vick alimkuta jamaa hana hata kitanda?

    • @QueenSophie-rj7hu
      @QueenSophie-rj7hu 9 หลายเดือนก่อน

      @@user-rm4ox3yf3c vitanda kaachiwa

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@user-rm4ox3yf3cndo hapo sasa huyo mwanaume ameoa ndoa ya kwanza tokea 1964 iweje huyu vivky wa 2020 eti anasema ame zalisha mali😂😂kwenye ndoa

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 9 หลายเดือนก่อน +2

    Safi sana Lerned Advocate umechambua kwa kina sana na maswala ya LITA

  • @mwanakheri169
    @mwanakheri169 9 หลายเดือนก่อน +8

    Wakwanza kucomment leo nipewe likes zangu

  • @rosemkude4804
    @rosemkude4804 9 หลายเดือนก่อน +6

    Asanteni sana MAHAKAMA

  • @sadakimwaki9791
    @sadakimwaki9791 9 หลายเดือนก่อน +11

    Tuanze safari ya kwenda rita kusajili vyeti tulovieka kabatini 🏃‍♀️🏃‍♀️

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน +1

      Kuna taasisi za kufungisha ndoa zinatoa cheti cha ndoa cha rita na cha dini

  • @mohammedsheikh3748
    @mohammedsheikh3748 9 หลายเดือนก่อน +15

    Very interesting story..... We need more of these type of storys

  • @ashurajengela3926
    @ashurajengela3926 9 หลายเดือนก่อน +6

    Nyie nyie mwisho wa siku na cheti chake kawa kimada uuuwwiii haki marehemu aliupiga mwingi 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻

  • @haroungwiyamabuzohera-jk3vl
    @haroungwiyamabuzohera-jk3vl 9 หลายเดือนก่อน +2

    This is an excellent explanation from the LEARNED ADVOCATE.

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 9 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wanawake tunachakujifunza hapa asante sana sns kwa somo hili kunanilichojifunza kupitia da vicki

  • @wozanawewoz979
    @wozanawewoz979 9 หลายเดือนก่อน +7

    Jamani na sisi familia zetuu ziko kwenye hili janga tuzidi kuombeanaa🙏

  • @rashdiyange7758
    @rashdiyange7758 9 หลายเดือนก่อน +6

    Makaman shikamooo 🤗🤗🤗🤗🤗

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 9 หลายเดือนก่อน +4

    jamani hivi mwaka 1 unaweza kuchuma vitu vyote hivyo,?? halafu huyu Vick inaonekana kabisa yeye ndo alivunja ndoa ya watu sasa wanawake mnaopenda Waume za watu ndo mjifunze

  • @user-jz6pz4de6v
    @user-jz6pz4de6v 8 หลายเดือนก่อน

    Pole sana Vicky, wanawake hawana kwao, ndo maana tumeamua kutafuta wenyewe. Mungu akulinde mdogo wangu. Ninadhani una misingi ya kutosha. Usipiganie sana mali za urithi.

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv 9 หลายเดือนก่อน +4

    Kunakitu nimejifunza hapa Allah awalipeni mema Vick hakusahau kupeleka cheti, bali nimaombi yamke mkubwa ndio yalimfanya asipeleke cheti

  • @chawahirelmymashlalltaabar4949
    @chawahirelmymashlalltaabar4949 9 หลายเดือนก่อน +5

    Habari kamili kwa vimada kuingilia wanaume wenye watoto wao

  • @malila4582
    @malila4582 9 หลายเดือนก่อน +5

    Hana ki2 hapo 😂😂ndiyo mukome kuvamia vamia kwenye family za wa2

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 9 หลายเดือนก่อน +4

    Tatizo la vimada wanaloga mno. Sasa weupe wote huo ulikosa mume wako kweli hadi unakuja kuning'inia mume wa mtu kiasi hicho!

  • @marymwaya9685
    @marymwaya9685 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni funzo kwa wanawake wajanja wajanja amekosa vyote pamoja na kidogo alichochangia. Pole sana

  • @libetztanzania-kiswahilina2845
    @libetztanzania-kiswahilina2845 9 หลายเดือนก่อน +14

    WANAWAKE NA MAENDELEO MFANYE KAZI MSONGE MBELE , 😃😃😃😃😃 TAFUTA PESA YAKO 😆😆😆

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @habibahussein22
      @habibahussein22 9 หลายเดือนก่อน

      Yeleeeeyeleeee kina mama🤣🤣🤣🤣

    • @samwelnaal7952
      @samwelnaal7952 9 หลายเดือนก่อน

      Yolololo😂😂

    • @DeboraNgura
      @DeboraNgura 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂jmn

    • @marthakingu4756
      @marthakingu4756 9 หลายเดือนก่อน

      😂

  • @hajjiomary2383
    @hajjiomary2383 9 หลายเดือนก่อน +7

    Unakuwaje na mali za bilion 4 na cash isiojulikana alafu unajiamini unaweza kulala na kesho ukaamka watu tusiwe na mali nyingi km ivi tuwawezeshe wengine watu wanashida sana hapa mjini wagonjwa nk wanaangaika

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 9 หลายเดือนก่อน +1

      Nimependa point yako

    • @Secondborn_
      @Secondborn_ 9 หลายเดือนก่อน +1

      Dunia haiplay hivyo mzee ....🤣

    • @kiliansupernova7074
      @kiliansupernova7074 9 หลายเดือนก่อน

      Acha makasiriko mzee, tafuta Mali za kwako 😊

    • @franciscogosbert9603
      @franciscogosbert9603 9 หลายเดือนก่อน +1

      😃

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 9 หลายเดือนก่อน

      @@kiliansupernova7074 sio makasiriko brother ujui watu wanashida gani hapa nenda hospital ukajifunze watu wanaoza kufanya opalesheni lak 2 mtu awezi

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 9 หลายเดือนก่อน +3

    Nimecheka pale aliposema nimejenga swimming pool 😂😂huyu mama nyie khaaa

  • @marymuna5810
    @marymuna5810 9 หลายเดือนก่อน +6

    Wanawake wakome kuvamia Mali ambazo sio zao

  • @francisrobert9652
    @francisrobert9652 9 หลายเดือนก่อน +1

    safi sana umetuelewesha vizuri

  • @shuhudiamtasiwa6646
    @shuhudiamtasiwa6646 9 หลายเดือนก่อน +1

    Namshukuru Mungu kwa sababu nilielewa mapema kumbe ni Sheria ahsante Mungu kwa kunipa akili

  • @mariej6962
    @mariej6962 9 หลายเดือนก่อน +5

    Hapo litatokeq jitu la rushwa kwenye mahakama ya rufaa livuruge this fair and just ruling kwa manufaa binafsi. Mungu wetu simama na hawa watoto hasi mwisho. Maana kaindicate atakata rufaa.

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน

      Ukifungua mirathi Mahakama Kuu hakuna longo.longo ndugu yangu.mali yake iko.more than billions mahakama ya mwanzo , wilaya haihusiki kisheria, Mahakama Kuu mtu akifariki bila Wosia Or Will wana Mamlaka ya kuchagua Admistrator wa hizo.mali yaani huwa haina logolongo

  • @bujashidaniel5537
    @bujashidaniel5537 9 หลายเดือนก่อน +5

    Vita vya mirathi huwa n kubwa sana asee
    Navyo muona huyu mwanamke ana tamaa ya mali

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 9 หลายเดือนก่อน +4

    Tukiolewa tukimbie kusajili vyeti na ni bora mtu utafute mali zako mambo ya kutamani mali za watu heeee .

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hivi niwe na billion 4, halafu kuna mtu anakufa kwa kukosa million 3 na msaada anaomba kwenye mitandao, na nina billion 4 wala sijigusi,, aaah hii dunia bwana haina usawa, ni kweli tutafute hela lkn pia tusaidie maskini,, sijui huyu mzee pengine alikuwa anasaidia Mungu amuweke pema

  • @user-rm4ox3yf3c
    @user-rm4ox3yf3c 9 หลายเดือนก่อน +1

    Haya mambo ni mtihani sana kwa ndoa zetu

  • @herbertygeofrey2724
    @herbertygeofrey2724 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sheria za bongo noma sana

  • @DM_15
    @DM_15 9 หลายเดือนก่อน +4

    Wanaume wenzangu mpo ndoazetu tuwe tuna enda kwa ramani sahihi, vick chaliii 😅😅 wadada tafuteni malizenu acheni kudandiadandia mtu humpendi unaingiakwenye ndoa kisa anamali

    • @fatmafaki6163
      @fatmafaki6163 9 หลายเดือนก่อน +1

      Hizo mali zenu mtazikwa nazo? Mmeumbwa mtutafutie bwana.

    • @rithadonatus8110
      @rithadonatus8110 9 หลายเดือนก่อน

      Shida ni cheti akikusajiliwa

  • @nixonkimaro5454
    @nixonkimaro5454 9 หลายเดือนก่อน +2

    Habari yenu imejitoshereza saana

  • @Rodgers_01
    @Rodgers_01 9 หลายเดือนก่อน +3

    Marehemu Likwelile was a bright man,alijua ambayo yangetokea ndomana hakumpa talaka mke wake halali.hii itumike kama funzo kwa wote.

  • @africano98.
    @africano98. 9 หลายเดือนก่อน +1

    Uyo vicki kamata ni bonge la tapeli conkodi kbx ila apo amechemka asee ww mtu kaowa tangu 60 kweusi uko ww kimada cha 2020 unataka mali za wa2. Kirahisi tu tapeli waheedi uyo shubamiti

  • @Tiffany340
    @Tiffany340 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nielekezeni LITA fastaa nipo na rigazeti langu apa 😅😅

  • @rukiauwonde7062
    @rukiauwonde7062 9 หลายเดือนก่อน +1

    Dah huyu mama anainekana anatamaa 😂😂😂sema tumejifunza

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 9 หลายเดือนก่อน +1

    Sheria iyo iyo cndo inasema mkiishi zaid miaka mi 3 ....!!!

  • @eugenejr.8844
    @eugenejr.8844 9 หลายเดือนก่อน +5

    Duuuh WANAWAKE!!! Mtoto wa Marehemu haaamini, haeleweki tena!!! Women’s this is Wrong Target /Route.

    • @libetztanzania-kiswahilina2845
      @libetztanzania-kiswahilina2845 9 หลายเดือนก่อน

      KWENYE VITABU VYETU TUNAITA ASHAKUM SI MATUS “ MWANAHARAMU” IGNOTO KWA KILATINI

  • @attunelson8828
    @attunelson8828 9 หลายเดือนก่อน +5

    Jaji kasimamia sheria

  • @lujuomjanja2866
    @lujuomjanja2866 9 หลายเดือนก่อน +7

    Jamani mbona watu mnakuwa na tamaa sana na hizo mali ukifa unazikwa nazo!

    • @ashurahatibu5069
      @ashurahatibu5069 9 หลายเดือนก่อน

      Na huyo viki anazo si ashukuru mungu ndio maan akaungana na zamard kumbe wote wqhanga

    • @leecode6135
      @leecode6135 9 หลายเดือนก่อน

      Kma kutakuwa na uhalali wa kuzifuatilia Mali za ndugu yake sio mbaya .😅

  • @user-dk3ss9ts7n
    @user-dk3ss9ts7n 9 หลายเดือนก่อน

    Asante rita

  • @sarahmero4561
    @sarahmero4561 9 หลายเดือนก่อน +2

    Aiseee,kimada ni kimada na mke atabaki kua mke hii sentensi nzito sana

  • @jeanmusamba8448
    @jeanmusamba8448 3 หลายเดือนก่อน

    shida wanawake wa kitanzania wanapenda sana hela za wanaume,wakiona mwanaume wanona hela sio mpenzi.Ni mke wake kabisa,ila shida anapenda sana mali za wanaume,ni tatizo kubwa sana Tanzania.Asinge dai mali,tmaa ndo shida zingegawiwa kifamilia asaidie simamia watoto wa marehemu.

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly 9 หลายเดือนก่อน

    Duh amepishana na pesa,pole zake,ladies always make your future is secured ,tusikae tu bila kufuatilia mambo waume zetu bado wakiwa hai ju wakifa bila muafaka wetu tutajuta😮

  • @jeremiahcharles6027
    @jeremiahcharles6027 9 หลายเดือนก่อน +5

    Du hizi Mali nyingi Sana duh ,,,,,,,,but haznunui uhauiuiii

    • @hajjiomary2383
      @hajjiomary2383 9 หลายเดือนก่อน +1

      Unafikili cash aliacha ngapi .

  • @malkiawavijiji4652
    @malkiawavijiji4652 9 หลายเดือนก่อน +1

    Rita ongezen viti vya wangen hapo nnje 😂😂😂

  • @selemanimasatu2421
    @selemanimasatu2421 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimecheka mpaka nimejamba kwamba siyo mke na hajawahi kuwa mke, ila na yeye angekuwa mpole ujuaji ndo huo unakosa hadi mia sasa.

  • @joycelaizer4600
    @joycelaizer4600 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna mke na kimada. So Vicky ni kimada according to Mahakama. Nimejifunza kitu siku nikiolewa lazima niende Rita kuhakikisha. Nikinunuliwa gari naenda TRA kuhakikisha. Hapana chezea

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 9 หลายเดือนก่อน

    Mahakama ukweli mmetenda haki asanteni kwa hili watoto wamepata haki yao huyu dada awe na huruma nawatoto kwanini aweke pingamizi asanteni mahakamani 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน

      Uzuri wa Mahakama Kuu

    • @hadijauledi6995
      @hadijauledi6995 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@syliviakente9460sana🙏

  • @fatmakitundu9454
    @fatmakitundu9454 9 หลายเดือนก่อน +4

    Wanawake tuwe na imani tunasabisha wanawake wenzetu kuteseka na watoto kwa tamaa zetu za mali. Na haya ndio malipo ya DHULMA na kuacha UADILIFU.

    • @ReginaMasolwa-gs4ft
      @ReginaMasolwa-gs4ft 9 หลายเดือนก่อน

      kbs nmeelewa coment yk mm mwnyw michepuko inanitesa nmetelekezwa na mwanangu kaaaaa jmn naumia sana jmn mungu atawalipa kwa njia km hiii

    • @fatmakitundu9454
      @fatmakitundu9454 9 หลายเดือนก่อน

      @@ReginaMasolwa-gs4ft Usichoke kumuomba Mungu BAADA YA DHIKI FARAJA

    • @ReginaMasolwa-gs4ft
      @ReginaMasolwa-gs4ft 9 หลายเดือนก่อน

      @@fatmakitundu9454 asante mwaya kwa faraja yako 👏

  • @annamussa185
    @annamussa185 9 หลายเดือนก่อน +4

    Mwanasheria mwenyewe Muhaya hahaha 😂 Vick hapo sahau mahi wetu😃

    • @Ellyvan10
      @Ellyvan10 9 หลายเดือนก่อน

      😂😂

  • @janethngowi1058
    @janethngowi1058 9 หลายเดือนก่อน +1

    Heeeh hapo kwenye vyeti jamani tunashukuru wengine tulitoka kanisani tukaviweka ndanj

  • @zamdayusuph858
    @zamdayusuph858 9 หลายเดือนก่อน +3

    Watu wanahela aiseee

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 9 หลายเดือนก่อน +3

    Machozi ya mke halali wa ndoa yanakutapisha.

  • @atomphoton5000
    @atomphoton5000 9 หลายเดือนก่อน +2

    Nilichojifunza hapa ni kwamba pisi ikianza kuleta kelele nyingi kuhusu ndoa anoa tu ila kusajii chati RITA itakabi kuwa shuguli atasubiria sana

  • @johnmwasilu7087
    @johnmwasilu7087 9 หลายเดือนก่อน +8

    Vicky Kamata kwisha habari yake! Watu tunapaswa kuwa makini na mambo ya kisheria maana hapa sasa Vicky anaweza kupoteza hata baadhi ya mali alizochuma kama yeye mwenyewe kwa nguvu zake

    • @barnabasmafuru6735
      @barnabasmafuru6735 9 หลายเดือนก่อน +3

      Kachuma nini , mwizi tuu na bado hajasemaa😂 mwanamke mwenzie kahangaika mwanzo yeye miaka sita ya kuishii na Dr eti kachuma 😂😂😂

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@barnabasmafuru6735tamaa zinawaponza wa Dada.

    • @queenmollel6739
      @queenmollel6739 9 หลายเดือนก่อน

      Mwanamke mpambanaji atavipata tuuu

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 9 หลายเดือนก่อน

      ​@@barnabasmafuru6735Kakuta kila kitu ready made huyo msaani hana jipya , kabla ya kuolewa huyu aliachwa kwenye mataa sinza hamkumbuki story yake

    • @ilakozasembumende1975
      @ilakozasembumende1975 9 หลายเดือนก่อน +2

      Kuna jamaa wa tigo alitaka kumuoa 2015 akaingia mitini sikutatu kabla ya harusi. So huyo ndo alichuma nae mali. Naona baada ya ile harusi yake kushindikana akampata Dr jamani😭😭😭😭😭😭

  • @patriciacarlo7236
    @patriciacarlo7236 9 หลายเดือนก่อน +4

    A story of my family 😢

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 9 หลายเดือนก่อน

    🤣🤣🤣 Vick mwenzio kachum Juan wew unatk kivulin tena sio nusu zote hahaha asnte MAHAKAMA

  • @miriamkakwezi7309
    @miriamkakwezi7309 9 หลายเดือนก่อน +1

    Mange kamkomesha sio mchezo 😅😅😅😅😅

  • @ngasikajoel9576
    @ngasikajoel9576 9 หลายเดือนก่อน +1

    Tamaa mbaya Sana.. Vimada mnazingua Sana sometimes heshimuni ndoa za wanawake wenzenu.. It's very satanic spirit

  • @user-fc8uo3oy9x
    @user-fc8uo3oy9x 9 หลายเดือนก่อน +2

    Huyu mwanasheria sns mrudisheni atupe elimu vizur jinsi ya kusajili vyeti vya ndoa rita

    • @laprincessatokyo2188
      @laprincessatokyo2188 9 หลายเดือนก่อน

      Nenda chukua cheti chako cha ndoa alfu utaenda bakwata kama ni kikristo taasisi inayofanana na bakwata pale utapewa fomu ingine utajaza itapigwa muhuri alafu utapeleka rita ikiwa na huo muhuri wa taasisi husika.
      Baadae watakupa cheti chako cha ndoa

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 9 หลายเดือนก่อน +3

    Kimada ndiyo mchepuko😅😅

  • @shamsahaji6202
    @shamsahaji6202 9 หลายเดือนก่อน +1

    Urithi wenye sheria za wanaadamu ni mtihani sana

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt 9 หลายเดือนก่อน +2

    Sasa dada umeolewa 2o2o na 2o21bwana amefariki umemkuta na Mali zake mtihani sana

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 9 หลายเดือนก่อน +1

    Duh hapa wanawake tujifunze mengi kupitia hii

  • @maxmedia8506
    @maxmedia8506 9 หลายเดือนก่อน

    Nimeudhulia ndoa nyingi sijawahi kusikia padre,shekhe,mchungaji au pastor akiwapatia vveti maharusi anawaambia wakasajili vveti vyao RITA.!!!!

  • @alexanderkapinga700
    @alexanderkapinga700 9 หลายเดือนก่อน

    Hakim alikiwa sahihi sana

  • @magrethmbangama1199
    @magrethmbangama1199 9 หลายเดือนก่อน +8

    Na nyie baba zetu umri ukienda mtulieee hizi habari xa kuoa watoto wenu na wajukuu wenu mnawapa shida watoto wenu,we ushakuwa babu mtoto mdogo huyo mapenzi ya kweli yanatoka wapi hapoo wanafataga mali,na baba zetu ni tamaa tu ya mwili.

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 9 หลายเดือนก่อน

      Kuoa siyo tatizo maaana kwa mwanaume no ngumu kukaa peke yake sema alijisahau kuandika wosia na hata huyo Dada nae alijisahau angemwandalia vya kwake mapema asinge sumbuka na wstoto wa marehemu

    • @arafaomari1832
      @arafaomari1832 9 หลายเดือนก่อน

      Kweli jaman wanaume hawa shida

    • @magrethmbangama1199
      @magrethmbangama1199 9 หลายเดือนก่อน

      @@edsonnelson4464 atafute mzee mwenzie bc sio hawa watoto wadogo

  • @happynesnyanda8208
    @happynesnyanda8208 9 หลายเดือนก่อน +4

    Sis kanisan kwetu hao wasajili wa ndoa wanakuwepo siku ya harusi kw hyo anaondoka na taatf kamili

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 9 หลายเดือนก่อน

      Huyu mzee hakumpa mke wa awali talaka ivyo bado inaleta tu shida

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 9 หลายเดือนก่อน +2

    Kwani amezaa naye huyo vick kamata mtoto naye ana haki

  • @Josh_1194
    @Josh_1194 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hii shule kubwa kwa dada żętu na mama zetu

  • @gracelyimo6256
    @gracelyimo6256 9 หลายเดือนก่อน +2

    Hii ya kwenda rita ni mpya!!
    So vile vyeti bila rita ni ubatili!?
    Mrudshe jamaa atujuze zaid
    Ila yote kwa yote yule aonae ad sirini mwetu (Mungu)ndo hakimu wa kweli!!
    Ndoa ziheshimiwe jamani

    • @georgemark1470
      @georgemark1470 9 หลายเดือนก่อน

      Dada Grace naomba nikujibu, kwakua nauzoefu na huko na nimwanasheria pia. Wachungaji na mashehe utuma maombi ya kupata kibali kufungisha ndoa. Vibali hivi hutolewa na RITA. Wakisha pata vibali. Ushauriwa waende ofisi za RITA ambazo ziko ofisi za wakuu wa wilaya kote nchini kuweza kupewa vyeti vya ndoa, ili waumini wao wanapofunga ndoa huko misikitini au kanisani basi wapewe vyeti vya Serikali ambavyo utolewa na RITA.
      Hivi ndiyo vinavyotambulika nduniani kote utakakokwenda. Shida moja wachungaji wengi na mashekhe wanakuwa pengine na mambo mengi wanasahau kwenda kuchukua vyeti.
      Lakini pia baadhi ya wachungaji na mashekhe wanaofungisha ndoa hawana vibali vya kufungisha ndoa kutoka RITA. Wanakua wanaofia kwenda kuchua vyeti. Uwa wanasisitizwa sana lakini wamekuwa wagumu kuchukua vyeti vya ndoa wakidhani hivyo vya dini vinatosha, kumbe lah!
      Labda tu niseme, kama ndoa itakuwa imefungwa na mchungaji au shekhe ambae hana kibali basi hiyo ndoa yenu itakuwa batili hata kama mnacheti cha kanisa au msikiti. Itabidi ndoa ifungwe upya na RITA ili muweze kupewe cheti cha serikali. Si kila mchungaji au shekhe anaweza kufungisha ndoa, hapana. Mpaka awe amethibitishwa na kupewa kibali na RITA:
      Duniani kote mamlaka ya kufungisha ndoa utolewa na serikali. Na kuna vyeti vinavoonesha nembo ya serikali ambavyo vinatambulika kokote duniani. Hivyo vya kidini havitambuliki.

    • @beatricepeter7950
      @beatricepeter7950 9 หลายเดือนก่อน

      Nenda na Cheti chako Rita, kaseme unataka kusajili Ndoa yenu wanasajili na Kukupa Cheti kutoka Rita sasa.

  • @AdamManda-wl2yd
    @AdamManda-wl2yd 9 หลายเดือนก่อน

    sky woka uko vzr braz