Pole sana Vicky, wanawake hawana kwao, ndo maana tumeamua kutafuta wenyewe. Mungu akulinde mdogo wangu. Ninadhani una misingi ya kutosha. Usipiganie sana mali za urithi.
Asante sana mwanasheria Isaac naomba tu unifahamishe juu ya "Ninani anayepaswa kukipeleka hicho cheti cha ndoa kwa msajiri wa ndoa? Je ni mfungishaji wa ndoa au wanandoa wenyewe?"
baadhi ya wanawake ni hatari sana kwenye suala la mali ndio mana unakuta wanapo olewa wakajua mume alikua na mke au ana mke wa kwanza wpo tayari wazae mpaka viuno vikatike ili warisi mali😅😅😅😅😅
Sns asanteni sana nimejifunza kitu kuhusu cheti cha ndoa nilikuwa sijui,nilijua ukifunga ndoa kanisani ndio imeisha palepale kumbe mbaka upeleke rita❤mahakama hongereni👏👏👏👏
Inategemea na kanisa au nyumba yoyote ya kuabudia na dhehebu mara nyingi ndoa za voda fasta za makinisa fulani.hawaoji au kuchunguza au kukataa kitu matokeo yake ndio hayo kuna jambo hapo!
Uja muelewa uyu ana mahanisha kama ulifunga ndoa na mtu ambae amesha funga ndoa apo mwanzo na bado mke wake bado ajafariki au mume wake ajafariki au umefunga ndoa na mtu ambae tayari ana ndoa lakin aja toa taraka kwa alie muacha ilo ndio tatizo
Lakini mbona kanisani wanapewa vyeti viwili kimoja cha,serikali na kingine cha kanisa , pia ukiolewa na mtu kutoka taifa lingine bora ufunge ndoa kwa DC baada ya hapo cheti chako unaenda sajili Wizara ya Mambo ya Nje ndio kinatambulika huko mbele hivi vitu vipo ila watu huwa hawavitilii maanani hata waweza enda Tangaza ndoa yako.Rita kabla ya kufunga kama Makanisa yanavyo fanya
1)ndoa za kikristo ni tata( mahakama ya dunia inajadili ndoa ya kiimani kuliko kitabu/biblia) 2)Mali ni changamoto za familia. 3)Wasia ni muhimu sana ukiwa hai mwenye afya na akili timam. 4)Usomi wa madegree unaweza kuwa na mapungufu kama binadamu so kuna haja ya kukumbushana. 5) Sasa kuna haja ya watu kutathmini ndoa zao na wenza wao. 6) Siku moja tutakufa
Kama ilivyo uislam kula kitimoto...kwahyo ndoa ya imani ya Kikristo...mke mmoja...ndoa ya kiislam ni mpaka wake 4...na ndoa ya kitamaduni ni wake wengi uwezavyo......kwahyo ni kuheshimu imani ya mwingine
HIZO NI SHIDA WALIZOFUNGWA KWENYE NIRA ZAO SABABAU HIKO KITABU CHAO KINATOA MUONGOZO WA TORATI KWENYE MASUALA YA NDOA,,,,,MKIPENDANA NA KUOANA NDOA ITADUMU TU,,ILA UKIWA UNAKANDAMIZA MWEZANKO LAZIMA AKIMBIE TUKO KWENYE DUNIA YA DIGITAL SIO TORATI @@emmadora7848
Nakubariana na wewe watu hatufuati dini inavyotaka, ukiifuatilia Uislamu MWENYEZI MUNGU KATIKA UISLAMU HAPENDEZWI NA TALAKA YAANI UNAPOTAJA HILO NENO MBINGU NA ARDHI HUTIKISIKA, IKIMAANISHA KUTOA TALAKA NI SWALA LISILOMPENDEZA, DINI ZIKO SAWA ILA SIE WAJA NDIO TUNAONA SAWA@@emmadora7848
@@mukhsintwaha5909 kudandia si kwa ubaya huyo mzee.mkewe alikifa au walitengana na sio yy aliyewatenganisha , ss unapoingua ktk maisha hayo ujiandae, kwa ufupi maisha tuliyonayo kwa sasa hata huko zamani uakuna wa peke yako , si kwa wanaume wala wanawake kwani ukiachwa utokua na mwingine, au.kafa inakuaje ss ispokua utakapo ingia ktk maisha km hayo ujipange mapema, kiukweli.kabisa jamaa alimuoa na haikua siri ss sikui tatizo nini
shida wanawake wa kitanzania wanapenda sana hela za wanaume,wakiona mwanaume wanona hela sio mpenzi.Ni mke wake kabisa,ila shida anapenda sana mali za wanaume,ni tatizo kubwa sana Tanzania.Asinge dai mali,tmaa ndo shida zingegawiwa kifamilia asaidie simamia watoto wa marehemu.
Sio hivyo huyo mke wa kwanza wakishaachana zamani na inasemekqna alikuwa ameolewa na mtu mwingine shida ni kuwa ndoa ya kwanza haikuvunjwa kiutaratibu ndio maana watoto wamepata nguvu kwakuwa ndoa ya Vicky imeonekana ni batili
Shida ya yote haya ni watu hawana hofu ya mungu,elimu dunia imekuwa muhim kuliko mungu,,yan mtu ajua kabisa kama mali haimhusu lakin analazimisha iwe yake kisa anajua sheria
Mahakama ukweli mmetenda haki asanteni kwa hili watoto wamepata haki yao huyu dada awe na huruma nawatoto kwanini aweke pingamizi asanteni mahakamani 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤
😂chanuimu ukisikia mume ana mke wame achana ndugu anza kujua sheria nanujue haki zako usingie kwa kuangalia leo angalia na nabadae na ufikrie je alie toka aka acha izo mali yupo au
@@judithkatabaro3294Sasa huyu ni mke alikuja juu anataka kumiliki Mali alizokuta kwa mume ambae mkewe alaifari ki na watoto wao wapo,unaweza kushikwa uchawi usiologa
Kuna siku aliwajibu watoto wa marehem mkitaka haki nendeni mahakaman Tena kifedhuli Leo watoto wamepata Haki Yao anajitilisha huruma huko mitandaoni huyu mwanamke ni ibilis zambi ya dhulma haiwezi kumuacha Salama
Duh amepishana na pesa,pole zake,ladies always make your future is secured ,tusikae tu bila kufuatilia mambo waume zetu bado wakiwa hai ju wakifa bila muafaka wetu tutajuta😮
Yani huyu mama ni tapeli wa kutupwa tunamshukuru mungu kwa kuiongoza vyema mahakama hongera zake ziende kwa hakimu ametenda haki sijui lingepewa mali hilo lijanamke watoto wangekuwa na hali gani kimaisha ASANTE MUNGU.
jamani hivi mwaka 1 unaweza kuchuma vitu vyote hivyo,?? halafu huyu Vick inaonekana kabisa yeye ndo alivunja ndoa ya watu sasa wanawake mnaopenda Waume za watu ndo mjifunze
Uyo vicki kamata ni bonge la tapeli conkodi kbx ila apo amechemka asee ww mtu kaowa tangu 60 kweusi uko ww kimada cha 2020 unataka mali za wa2. Kirahisi tu tapeli waheedi uyo shubamiti
Acheni tamaa! Mali ni xa mke wa kwanxa na watoto wake,kwani huyo mume hakuwa amejenga?vicky wacha yacje yakakukuta km yule mama wa Mwanxa alochinjwa na mimbajuu,alichinjwa na mtoto wa marehemu.
Hivi niwe na billion 4, halafu kuna mtu anakufa kwa kukosa million 3 na msaada anaomba kwenye mitandao, na nina billion 4 wala sijigusi,, aaah hii dunia bwana haina usawa, ni kweli tutafute hela lkn pia tusaidie maskini,, sijui huyu mzee pengine alikuwa anasaidia Mungu amuweke pema
Unakuwaje na mali za bilion 4 na cash isiojulikana alafu unajiamini unaweza kulala na kesho ukaamka watu tusiwe na mali nyingi km ivi tuwawezeshe wengine watu wanashida sana hapa mjini wagonjwa nk wanaangaika
ziende kwa watoto siamini mwanamke hivyo huyo mzee likwelile hana hasara pesa zime enda kwa watoto ambao ni damu yake WANAWAKE SKUIZI NI MATAPELI KUHARIBU NDOA ZA WATU SHENZI SANA 😡😡mali zime chumwa na ndoa ya kwanza tangu 1964 yeye kaolewa miaka 5 tuu aseme ana mali ame chuma pumbavu
Mwanasheria yuko vizuri mno,uwe unamtumia👏👏👏
Asante sana wanasheria kwa kazi zenu nzuri mliyoseomea
Daah! Asante mwanasheria, umetufungua🙏🙏
This is an excellent explanation from the LEARNED ADVOCATE.
Pole sana Vicky, wanawake hawana kwao, ndo maana tumeamua kutafuta wenyewe. Mungu akulinde mdogo wangu. Ninadhani una misingi ya kutosha. Usipiganie sana mali za urithi.
Very interesting story..... We need more of these type of storys
Yes
P😮000
Ungeandika kwa kiswahili...'storys' au 'stories'
SNS Asanten Kwa habari zenu nzuri na zenye mafunzo
Asante sana mwanasheria Isaac naomba tu unifahamishe juu ya
"Ninani anayepaswa kukipeleka hicho cheti cha ndoa kwa msajiri wa ndoa?
Je ni mfungishaji wa ndoa au wanandoa wenyewe?"
Dah nimejifunza sanaaaa yaani leo . Ubarikiwe sana SNS.
WAPENDA DEZO KAENI MBALI NA NDOA ZA WATU.JAJI APEWE MAUA YAKE
Salamu ziwafikie vimada wote waliopo Tanzania.
Vimada wajinga ,ila siyo wenye akili unadhani huyu Vicky anavyo hivyo tuuu anavyo vingi zaidi, nyie wanaume ndiyo muwe makini.
Kama Anavyo vingi si aache hivyo vichache!
@@fridageorge2809ebu sikiliza hiyo habari vizuri kwanza!!!
baadhi ya wanawake ni hatari sana kwenye suala la mali ndio mana unakuta wanapo olewa wakajua mume alikua na mke au ana mke wa kwanza wpo tayari wazae mpaka viuno vikatike ili warisi mali😅😅😅😅😅
Hata wanaume nao wawe waelewa kwenye haya maswala mbona marehemu alikuwa msomi mzuri kwanini asiandike wosia akauficha hata kwa watu wa kanisA kue
Sns asanteni sana nimejifunza kitu kuhusu cheti cha ndoa nilikuwa sijui,nilijua ukifunga ndoa kanisani ndio imeisha palepale kumbe mbaka upeleke rita❤mahakama hongereni👏👏👏👏
Inategemea na kanisa au nyumba yoyote ya kuabudia na dhehebu mara nyingi ndoa za voda fasta za makinisa fulani.hawaoji au kuchunguza au kukataa kitu matokeo yake ndio hayo kuna jambo hapo!
Mm pia ndo nimejua leo
Uja muelewa uyu ana mahanisha kama ulifunga ndoa na mtu ambae amesha funga ndoa apo mwanzo na bado mke wake bado ajafariki au mume wake ajafariki au umefunga ndoa na mtu ambae tayari ana ndoa lakin aja toa taraka kwa alie muacha ilo ndio tatizo
@@syliviakente9460 Nilivyo muelewa atakama ndio umenza nae kufunga ndoa unatakiwa uwende,kwasababu akija kufunga na mwengine alafu yeye akaenda wewe ulie anza kufunga ndoa unakosa haki yako
Lakini mbona kanisani wanapewa vyeti viwili kimoja cha,serikali na kingine cha kanisa , pia ukiolewa na mtu kutoka taifa lingine bora ufunge ndoa kwa DC baada ya hapo cheti chako unaenda sajili Wizara ya Mambo ya Nje ndio kinatambulika huko mbele hivi vitu vipo ila watu huwa hawavitilii maanani hata waweza enda Tangaza ndoa yako.Rita kabla ya kufunga kama Makanisa yanavyo fanya
Safi sana mungu huwaumbua hawa wajanja wa town tafuteni pesa
Nimejifunza kitu thank you rita
Asanteni sana MAHAKAMA
Mungu yupo kwa ajili ya wenye hakika wote🙏💪
Hivi You Tube huwezi kumtag mtu ee😂😂
Unyama ni mwingi na unamwagika 🙌🏾🙌🏾
Nielekezeni LITA fastaa nipo na rigazeti langu apa 😅😅
Makaman shikamooo 🤗🤗🤗🤗🤗
Safi sana Lerned Advocate umechambua kwa kina sana na maswala ya LITA
Nimejifunza kitu kikubwa sana hapa...hongera SNS
1)ndoa za kikristo ni tata( mahakama ya dunia inajadili ndoa ya kiimani kuliko kitabu/biblia)
2)Mali ni changamoto za familia.
3)Wasia ni muhimu sana ukiwa hai mwenye afya na akili timam.
4)Usomi wa madegree unaweza kuwa na mapungufu kama binadamu so kuna haja ya kukumbushana.
5) Sasa kuna haja ya watu kutathmini ndoa zao na wenza wao.
6) Siku moja tutakufa
Kama ilivyo uislam kula kitimoto...kwahyo ndoa ya imani ya Kikristo...mke mmoja...ndoa ya kiislam ni mpaka wake 4...na ndoa ya kitamaduni ni wake wengi uwezavyo......kwahyo ni kuheshimu imani ya mwingine
Mahakamani Kuna kesi zimejaaa tele za waislamu ,wameahindwa huko kuamuana Kwa dini .So shida sio dini ila watu wenyewe wanaofuata hizo dini
HIZO NI SHIDA WALIZOFUNGWA KWENYE NIRA ZAO SABABAU HIKO KITABU CHAO KINATOA MUONGOZO WA TORATI KWENYE MASUALA YA NDOA,,,,,MKIPENDANA NA KUOANA NDOA ITADUMU TU,,ILA UKIWA UNAKANDAMIZA MWEZANKO LAZIMA AKIMBIE TUKO KWENYE DUNIA YA DIGITAL SIO TORATI
@@emmadora7848
Tatizo ukikimbia shule
Nakubariana na wewe watu hatufuati dini inavyotaka, ukiifuatilia Uislamu MWENYEZI MUNGU KATIKA UISLAMU HAPENDEZWI NA TALAKA YAANI UNAPOTAJA HILO NENO MBINGU NA ARDHI HUTIKISIKA, IKIMAANISHA KUTOA TALAKA NI SWALA LISILOMPENDEZA, DINI ZIKO SAWA ILA SIE WAJA NDIO TUNAONA SAWA@@emmadora7848
Yaan hawa wadada huwa wanataka mali zote ziwe zao bila kujali mzee kaacha familia, wadada kuweni na huruma aisee😮😢
Imekula kwake basi hapati ngo
Asante rita
Elimu kubwa sana nimepata leo kubwa mnooo nimefumbuliwa macho hongereni sana SNS
wa.mama wa dada mje hapa kuna jambo la kujifunza hapa, tunapodandia waume za watu tuwe makini, km jamaa yupo vizuri bora chako akupe mapema, mtihani
Umeona eee!!!
Kwanini udandie waume za watu
@@mukhsintwaha5909 kudandia si kwa ubaya huyo mzee.mkewe alikifa au walitengana na sio yy aliyewatenganisha , ss unapoingua ktk maisha hayo ujiandae, kwa ufupi maisha tuliyonayo kwa sasa hata huko zamani uakuna wa peke yako , si kwa wanaume wala wanawake kwani ukiachwa utokua na mwingine, au.kafa inakuaje ss ispokua utakapo ingia ktk maisha km hayo ujipange mapema, kiukweli.kabisa jamaa alimuoa na haikua siri ss sikui tatizo nini
Jamani wanawake tunachakujifunza hapa asante sana sns kwa somo hili kunanilichojifunza kupitia da vicki
shida wanawake wa kitanzania wanapenda sana hela za wanaume,wakiona mwanaume wanona hela sio mpenzi.Ni mke wake kabisa,ila shida anapenda sana mali za wanaume,ni tatizo kubwa sana Tanzania.Asinge dai mali,tmaa ndo shida zingegawiwa kifamilia asaidie simamia watoto wa marehemu.
Jamani barikiwa sana hilo la cheti umetuzindua sasa.
safi sana umetuelewesha vizuri
Sheria za bongo noma sana
Nikama huyu mume alichuma mali na mke wa kwanza alafu huyu mke wa pili akaja akadandia Mungu ni nani sai anazi enjy mali kiulauniii..Mashallah ❤...
Ndivyo ilivyo.
Alafu huyu dd si ndo amezaa na mbowe, yaani ni mchepuko wa mbowe.
@@maryamtan682 mmmmh unauhakika?
Ndio
Sio hivyo huyo mke wa kwanza wakishaachana zamani na inasemekqna alikuwa ameolewa na mtu mwingine shida ni kuwa ndoa ya kwanza haikuvunjwa kiutaratibu ndio maana watoto wamepata nguvu kwakuwa ndoa ya Vicky imeonekana ni batili
Shida ya yote haya ni watu hawana hofu ya mungu,elimu dunia imekuwa muhim kuliko mungu,,yan mtu ajua kabisa kama mali haimhusu lakin analazimisha iwe yake kisa anajua sheria
😢😢😢 daaaah,hivi huyu dada ndo yule aliyeimba ule wimbo wa "WANAWAKE NA MAENDELEO""
Ndio yeye
Ni funzo kwa wanawake wajanja wajanja amekosa vyote pamoja na kidogo alichochangia. Pole sana
Namshukuru Mungu kwa sababu nilielewa mapema kumbe ni Sheria ahsante Mungu kwa kunipa akili
Jamani na sisi familia zetuu ziko kwenye hili janga tuzidi kuombeanaa🙏
Tamaa mbaya Sana.. Vimada mnazingua Sana sometimes heshimuni ndoa za wanawake wenzenu.. It's very satanic spirit
Kweli
Aiseee,kimada ni kimada na mke atabaki kua mke hii sentensi nzito sana
Sanaaaaaaa
Mahakama ukweli mmetenda haki asanteni kwa hili watoto wamepata haki yao huyu dada awe na huruma nawatoto kwanini aweke pingamizi asanteni mahakamani 🙏🙏🙏❤❤❤❤❤
Uzuri wa Mahakama Kuu
@@syliviakente9460sana🙏
Wakwanza kucomment leo nipewe likes zangu
Hakim alikiwa sahihi sana
Habari kamili kwa vimada kuingilia wanaume wenye watoto wao
😂
Jaman sheria nyingi tufundishwe mashulen toka awali 😢ili tujitambue sio mpka usomee sabb mambo meng yanatuzunguka hapa duniani 😢
😂chanuimu ukisikia mume ana mke wame achana ndugu anza kujua sheria nanujue haki zako usingie kwa kuangalia leo angalia na nabadae na ufikrie je alie toka aka acha izo mali yupo au
Vitabu vidogo vidogo vya sheria mbali.mbali vipo, vinauzwa
@@judithkatabaro3294Sasa huyu ni mke alikuja juu anataka kumiliki Mali alizokuta kwa mume ambae mkewe alaifari ki na watoto wao wapo,unaweza kushikwa uchawi usiologa
@@hadijamandanje6189 🤣🤣🤣
kabisa zifundishwee.... Maana km Cheti kupita Rita watu hawajui kabisa
sky woka uko vzr braz
Vick nae alikuwa na tamaa kuchukua vitu vyote wkt watoto halali wapo😢😢😢😢
Umeona eeeh
Na ubunge wote ule dah sio poa
Eti jamani! anataka majumba yote, viwanja, si angechukua chache..
Jambazi mkubwa!
Nyie nyie mwisho wa siku na cheti chake kawa kimada uuuwwiii haki marehemu aliupiga mwingi 😂😂😂😂🙌🏻🙌🏻
Kimada ni kimada
Kuna siku aliwajibu watoto wa marehem mkitaka haki nendeni mahakaman Tena kifedhuli Leo watoto wamepata Haki Yao anajitilisha huruma huko mitandaoni huyu mwanamke ni ibilis zambi ya dhulma haiwezi kumuacha Salama
Ulikuwepo maku wewe
@@faiththawe4371 mbona umeumia na unatoa matusi au na wewe ni mnufaika kwa kupitia Vicky😀😀😀
@@faiththawe4371Sasa kinachofanya utoe matusi nini? Ujinga mtupu 🚮
@@jacklinezebedayo2923 no
Heeeh hapo kwenye vyeti jamani tunashukuru wengine tulitoka kanisani tukaviweka ndanj
Mange kamkomesha sio mchezo 😅😅😅😅😅
Duh amepishana na pesa,pole zake,ladies always make your future is secured ,tusikae tu bila kufuatilia mambo waume zetu bado wakiwa hai ju wakifa bila muafaka wetu tutajuta😮
Ukitangulia ww
Yani huyu mama ni tapeli wa kutupwa tunamshukuru mungu kwa kuiongoza vyema mahakama hongera zake ziende kwa hakimu ametenda haki sijui lingepewa mali hilo lijanamke watoto wangekuwa na hali gani kimaisha ASANTE MUNGU.
Tapeli sana
Tamaa tu mungu ujibu tu
Hana ki2 hapo 😂😂ndiyo mukome kuvamia vamia kwenye family za wa2
Hahaaaaaa😅
Wa Mrema sijui kaishia wapi?
Duh hapo kwenye vimada 😅😅😅 wanawake kueni makini msije poteza time time kama uyu dada
Hi
Haya mambo ni mtihani sana kwa ndoa zetu
Watu wanahela aiseee
Sheria iyo iyo cndo inasema mkiishi zaid miaka mi 3 ....!!!
Habari yenu imejitoshereza saana
😂she is goldeger
Nimecheka pale aliposema nimejenga swimming pool 😂😂huyu mama nyie khaaa
Sis kanisan kwetu hao wasajili wa ndoa wanakuwepo siku ya harusi kw hyo anaondoka na taatf kamili
Huyu mzee hakumpa mke wa awali talaka ivyo bado inaleta tu shida
jamani hivi mwaka 1 unaweza kuchuma vitu vyote hivyo,?? halafu huyu Vick inaonekana kabisa yeye ndo alivunja ndoa ya watu sasa wanawake mnaopenda Waume za watu ndo mjifunze
😂
Uyo vicki kamata ni bonge la tapeli conkodi kbx ila apo amechemka asee ww mtu kaowa tangu 60 kweusi uko ww kimada cha 2020 unataka mali za wa2. Kirahisi tu tapeli waheedi uyo shubamiti
🤣🤣🤣 Vick mwenzio kachum Juan wew unatk kivulin tena sio nusu zote hahaha asnte MAHAKAMA
Salamu kwa nyumba ndogo Zote ndoa ya kikristo balaa
Acheni tamaa! Mali ni xa mke wa kwanxa na watoto wake,kwani huyo mume hakuwa amejenga?vicky wacha yacje yakakukuta km yule mama wa Mwanxa alochinjwa na mimbajuu,alichinjwa na mtoto wa marehemu.
😂
Ina maana huyu Vick alimkuta jamaa hana hata kitanda?
@@AdrusHassan vitanda kaachiwa
@@AdrusHassanndo hapo sasa huyo mwanaume ameoa ndoa ya kwanza tokea 1964 iweje huyu vivky wa 2020 eti anasema ame zalisha mali😂😂kwenye ndoa
Rita ongezen viti vya wangen hapo nnje 😂😂😂
Waa kuna walidhania wamepata kumbe wamepatikana yani uishi na mtu 5years tu na uende na majumba yakeel
Jaji kasimamia sheria
Dah huyu mama anainekana anatamaa 😂😂😂sema tumejifunza
Wanawake wakome kuvamia Mali ambazo sio zao
Tuanze safari ya kwenda rita kusajili vyeti tulovieka kabatini 🏃♀️🏃♀️
Kuna taasisi za kufungisha ndoa zinatoa cheti cha ndoa cha rita na cha dini
😮😮😮nilikuwa sijui kuhusu chetiiiiii kumbeeeee kazimaa kisajiliweeee!😮
Wanaume wenzangu mpo ndoazetu tuwe tuna enda kwa ramani sahihi, vick chaliii 😅😅 wadada tafuteni malizenu acheni kudandiadandia mtu humpendi unaingiakwenye ndoa kisa anamali
Hizo mali zenu mtazikwa nazo? Mmeumbwa mtutafutie bwana.
Shida ni cheti akikusajiliwa
Kimada ndiyo mchepuko😅😅
Hatare
Waa
Urithi wenye sheria za wanaadamu ni mtihani sana
A story of my family 😢
Nichekee mieee😂😂.
Marehemu Likwelile was a bright man,alijua ambayo yangetokea ndomana hakumpa talaka mke wake halali.hii itumike kama funzo kwa wote.
aa
Marehemu kafa 2021 vicky kaolewa 2020 kwahyo mwaka mmoja wamechuma mabilion manne jamaan
WANAWAKE NA MAENDELEO MFANYE KAZI MSONGE MBELE , 😃😃😃😃😃 TAFUTA PESA YAKO 😆😆😆
😂😂😂
Yeleeeeyeleeee kina mama🤣🤣🤣🤣
Yolololo😂😂
😂😂😂😂jmn
😂
Tatizo la vimada wanaloga mno. Sasa weupe wote huo ulikosa mume wako kweli hadi unakuja kuning'inia mume wa mtu kiasi hicho!
Hivi niwe na billion 4, halafu kuna mtu anakufa kwa kukosa million 3 na msaada anaomba kwenye mitandao, na nina billion 4 wala sijigusi,, aaah hii dunia bwana haina usawa, ni kweli tutafute hela lkn pia tusaidie maskini,, sijui huyu mzee pengine alikuwa anasaidia Mungu amuweke pema
Jamani mbona watu mnakuwa na tamaa sana na hizo mali ukifa unazikwa nazo!
Na huyo viki anazo si ashukuru mungu ndio maan akaungana na zamard kumbe wote wqhanga
Kma kutakuwa na uhalali wa kuzifuatilia Mali za ndugu yake sio mbaya .😅
Msimuonee Huyu mama maana amekuwepo katika msidha ya Huyu marehemu
Je alikuwa na watoto Huyu Vicky Kamata?
Wanawake hao! Wanaume tuwe makini
Mungu analipa hapahapa
Duh hapa wanawake tujifunze mengi kupitia hii
Unakuwaje na mali za bilion 4 na cash isiojulikana alafu unajiamini unaweza kulala na kesho ukaamka watu tusiwe na mali nyingi km ivi tuwawezeshe wengine watu wanashida sana hapa mjini wagonjwa nk wanaangaika
Nimependa point yako
Dunia haiplay hivyo mzee ....🤣
Acha makasiriko mzee, tafuta Mali za kwako 😊
😃
@@kiliansupernova7074 sio makasiriko brother ujui watu wanashida gani hapa nenda hospital ukajifunze watu wanaoza kufanya opalesheni lak 2 mtu awezi
ziende kwa watoto siamini mwanamke hivyo huyo mzee likwelile hana hasara pesa zime enda kwa watoto ambao ni damu yake WANAWAKE SKUIZI NI MATAPELI KUHARIBU NDOA ZA WATU SHENZI SANA 😡😡mali zime chumwa na ndoa ya kwanza tangu 1964 yeye kaolewa miaka 5 tuu aseme ana mali ame chuma pumbavu
Nimeudhulia ndoa nyingi sijawahi kusikia padre,shekhe,mchungaji au pastor akiwapatia vveti maharusi anawaambia wakasajili vveti vyao RITA.!!!!
😮😮 vimada wakome
Dah hii kali cheti kilikuwa hakijasajiliwa ndio nimepata somo hapa sasa nitajuaje kama hiki chet hakijasajiliwa ?
Du hizi Mali nyingi Sana duh ,,,,,,,,but haznunui uhauiuiii
Unafikili cash aliacha ngapi .