Mashabiki wahoji ni yupi mama MZAZI wa ESMA PLATNUMZ? ni baada ya MAMA DANGOTE kuandika haya

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.พ. 2025
  • Tufuate kwenye Ukurasa wetu wa Facebook kwa kubonyeza link hii - / simulizinasauti
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 72

  • @joharifarahani2739
    @joharifarahani2739 6 วันที่ผ่านมา +18

    Jamani mbona vitu vya kawaida sana hivi...mm mama yngu dada yke hakujaliwa kupata mtoto mpka leo mtu mzima mama alimpa mm nikiwa mdogo nikaishi nae watu wote wakawa wanajua yy ndio mama yngu akawa anaitwa jina lngu mama Fulani mpka leo mama na yeye anamuhita dada yke kupitia jina lngu anapata faraja sana akisikii unyonge ....ukoo mzima wanamuhit mm joha ila watu wapembeni awajui kama yy hakubatika kupata mtoto wanajua ana mtoto mmoja ambae ndio mm na mm nampenda sana tena sa zaidi...wazee wetu walikuwa wanafanya hivyo kumpa mtoto ndugu yke ambae ajajaliwa kipata mtoto...esma ni mtoto wa mama dangote ..

    • @sulleymernmannarah7930
      @sulleymernmannarah7930 6 วันที่ผ่านมา

      Kwhy yke mama n mamak mdgo au mkubwa 😂

    • @shifaaal-baity4503
      @shifaaal-baity4503 6 วันที่ผ่านมา

      🎉❤

    • @joharifarahani2739
      @joharifarahani2739 6 วันที่ผ่านมา +1

      @@sulleymernmannarah7930 ndio umeandika nini mbona aueleweki

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 5 วันที่ผ่านมา

      Achana nae hajielewi huyo chenye umeeleza wewe chaeleweka​@@joharifarahani2739

  • @sarastephano3409
    @sarastephano3409 6 วันที่ผ่านมา +20

    Huyu mama anajichanganya Sana ukute hata diamond ni mtoto wa mzee Abdul haeleweki huyu baba

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 6 วันที่ผ่านมา +3

      Nyie wabongo ndio mnaongeza mambo

    • @vincej9275
      @vincej9275 6 วันที่ผ่านมา

      Kweli, that's possible

    • @romamtalambuga7
      @romamtalambuga7 5 วันที่ผ่านมา +1

      We ndo amna kitu! Anamwita dada yake ma esma maana esma alikulia mikononi mwa dada yake kwaio ukisikia anamwita ma esma ni kama faraja tu kwa dada kwa kumlea esma kipindi icho wanajitafuta

  • @CristinahKimaro
    @CristinahKimaro 6 วันที่ผ่านมา +19

    Wambea wape habari tofauti,,,wachanganyikiwe😂😂😂😂

    • @carchameme
      @carchameme 6 วันที่ผ่านมา

      😂😂😂

  • @JutheHammed
    @JutheHammed 4 วันที่ผ่านมา +1

    😂😂😂😂 wanazingua sana ao

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 6 วันที่ผ่านมา +9

    Wabongo mnapenda maneno ya nyongeza aisee

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 6 วันที่ผ่านมา

      Huenda dadake pia ana mtoto anayeitwa Esma!

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 6 วันที่ผ่านมา

      @joycekisamo4896 huyo dadaake hana mtoto na ndie alie mlea esma ndio mana wanamuita mama esma na familia nyingi hufanya ivyo sema tu kwa sababu familia ya diamond imekua familia maarufu kwa sasa ndio mana ukaona jambo dogo hugeuzwa kua kubwa.

  • @joycekisamo4896
    @joycekisamo4896 6 วันที่ผ่านมา +3

    Huenda dadake pia ana mtoto anayeitwa Esma!

  • @bintmrisho3526
    @bintmrisho3526 5 วันที่ผ่านมา +1

    Pengine na dada yake ana mtoto anaitwa esma uwez kujua😂

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 6 วันที่ผ่านมา +13

    Ukishaskia ni #Esko ujue kbs hamn cha maana hapo,
    Hanaga issue serious huyu.

  • @MariamIbrahim-h7p
    @MariamIbrahim-h7p 5 วันที่ผ่านมา +1

    Nyiyeee naoooe mnatakae Tuu viens

  • @isunga1964
    @isunga1964 6 วันที่ผ่านมา +5

    😂😂😂😂si walisema Esma alizaa na mwarabu ndoo akafuata Dai

  • @HalimaHaroun
    @HalimaHaroun 6 วันที่ผ่านมา +45

    Mama dangote ana dada ake wakuzaliwa kabisa anaitwa bi Mwajuma huyo bi Mwajuma akujaliea kupata mtoto so mama Dangote alivyomzaa Esma huyo bi Mwajuma akawa anamlea Esma kama mwanae wakumzaa na ukizingatia bi Mwajuma yeye hajajaliwa kupata mtoto hivyo toka zaman wanamuita bi Mwajuma mama Esma kama kumfariji dada yao huyo. Esma mama ake wakumzaa ni mama Dangote

    • @amyboyfighter7281
      @amyboyfighter7281 6 วันที่ผ่านมา +13

      Apo umeelewaka inaonekana unafaham vizuri ii situation miaka kazaa nyuma ayamambo nikawaida wazazi wetu walikua wakifanya ivyo nazani watu wataelewa kama watasoma iyo comant yko

    • @happynesbaemuhappynes8813
      @happynesbaemuhappynes8813 6 วันที่ผ่านมา

      ​@@amyboyfighter7281mimi sioni ajabu mimi nina mdogo wng tumezaliwa tumbo 1 lkn kuna baadhi ya watu wanajua yule nimwanangu

    • @Maya-bm9bu
      @Maya-bm9bu 5 วันที่ผ่านมา

      Ni ukweli kabisa hata yule baba wa daimond alisemaga kitu icho icho! Na alisema kabisa sema ni mtoto wa kwanza wa bi sandra

    • @yasminoluoch169
      @yasminoluoch169 5 วันที่ผ่านมา +1

      Umeelezea vizuri sana thanx

    • @princegerard4704
      @princegerard4704 5 วันที่ผ่านมา

      Vipi baba ake Esma ni Nani inamanisha mama Diamond alikuwa ni miyeyusho sana 😂

  • @SamwelikazimbayaKitahenga
    @SamwelikazimbayaKitahenga 6 วันที่ผ่านมา +6

    Kwani akisema kwa niaba ya Dada ake kuna shida gani hapo

  • @labunaabouna6122
    @labunaabouna6122 5 วันที่ผ่านมา +1

    Kaulize mzeeAbdull mtu alotoa msaada kuoleka Sandra kujifungua Diamond pingine barka zake na dua zake hio siku kazaa msanii mkubwa halafu wamemgeuka Asma pia muandish kaulize

  • @tomsijohni
    @tomsijohni 6 วันที่ผ่านมา +1

    Basi sio mtoto wake

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 วันที่ผ่านมา +1

    😅😅watanzania wananyongeza sana

  • @chemstry409
    @chemstry409 6 วันที่ผ่านมา +2

    TULE NI MTORI NYAMA ZIKO CHINI.....😂😂😂😂😂

  • @janerouhassanjanerou7933
    @janerouhassanjanerou7933 6 วันที่ผ่านมา +1

    Huo mwaka unao usema aliulizwa mzee abduli kipindi kilekile akasema ni mtoto wake yeye mama dángote

  • @RosalinaMakenzi
    @RosalinaMakenzi 6 วันที่ผ่านมา +3

    Ila bongo😂

  • @dullahabdallah-nu1py
    @dullahabdallah-nu1py 5 วันที่ผ่านมา

    Jaribuni kuwa watashi,esma huwenda Hilo jina Lina maana sana kwao na ndio sababu ya kuwaita watoto wao hivyo.unata kiniambia kila anitwa Nassibu Junior ni mtoto wa diamond platinum,acheni hizo

  • @lisawilliam2491
    @lisawilliam2491 6 วันที่ผ่านมา +17

    sasa iyo ndo habar mmeishiwa habar nn

    • @Majdescobar
      @Majdescobar 6 วันที่ผ่านมา +1

      Wanazingua

    • @lakasid3860
      @lakasid3860 6 วันที่ผ่านมา +1

      Et wameanza kuwa wajinga hawa hata sijaelewa iyo habari

  • @ruu6592
    @ruu6592 5 วันที่ผ่านมา

    Ukiwa muongo uwe na kumbu kumbu ata mzee nasibu basi ndio babake diamond

  • @Anoniem123-u5m
    @Anoniem123-u5m 6 วันที่ผ่านมา

    Iyi familie ina mambo duuuh 🤣

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 6 วันที่ผ่านมา

    Kawaida ukimpa nduguyo mtoto hutakiwi kusema ni mwanao kabisa😊

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 6 วันที่ผ่านมา

      Huenda dadake pia ana mtoto anayeitwa Esma!

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 6 วันที่ผ่านมา

    Tafuteni Hela hii familia Wana cheza na mtandao,Wabongo tunavyopenda wanatupeleka ukouko

    • @janerouhassanjanerou7933
      @janerouhassanjanerou7933 6 วันที่ผ่านมา

      Hii ata sio ya kucheza na mitandao wabongo tu wanapenda kuongeza mambo

  • @SalumObed
    @SalumObed 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel ...esko....hunazo yaaann hujaelewa nini hapo au unataka comment kama hiv

  • @happybryce1269
    @happybryce1269 6 วันที่ผ่านมา +4

    Kwel sns mmeishiwa habar

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 6 วันที่ผ่านมา

      Habari ni habari

  • @sofitanzanian955
    @sofitanzanian955 6 วันที่ผ่านมา

    ❤tanzania haina dogo

  • @katapa_A
    @katapa_A 6 วันที่ผ่านมา +4

    Asa wewe usichoelewa apo kitu gani mtto wa dadake si niwake tu mmeishiwa habari au🤣

  • @farhannahkulishwaburekunam5360
    @farhannahkulishwaburekunam5360 6 วันที่ผ่านมา +1

    Uwongo ukisema ukumbuke na kurecod sasa inaona unavyojisonga mwenye mara mtoto wa dada angu mara wangu

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 6 วันที่ผ่านมา

      Ni maisha yao jamani mwisho wa siku tuwaachie wenyewe

  • @Stellastella-yi5vu
    @Stellastella-yi5vu 6 วันที่ผ่านมา +1

    Kwel mmekosa vya kufatilia

  • @vincej9275
    @vincej9275 6 วันที่ผ่านมา

    Hata Nyange kua baba Nasibu (Diamond) ni wongo tuu !

    • @chibandamwende3676
      @chibandamwende3676 6 วันที่ผ่านมา

      Hapo kuna ukweli mwangalie Ricardo Momo anavyofanana na Diamond ata Sauti

  • @rukiyyarukiyya6317
    @rukiyyarukiyya6317 6 วันที่ผ่านมา

    Hawatunzagi kumbukumbu 😄😄

  • @FelisterMichael-r8t
    @FelisterMichael-r8t 6 วันที่ผ่านมา

    Mbona hakusema esma kuwa nini mtoto wa dada yake bali alisema alikuwa anapitia kwa mama esma ambaye ni dada yake kwani esma ni huyo pekee?

  • @RamadhanAthuman-d4c
    @RamadhanAthuman-d4c 6 วันที่ผ่านมา +1

    Du watu wanakumbukumbu balaa

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mtoto wa dada yake ni wake 2

  • @innocentbalahoza1491
    @innocentbalahoza1491 6 วันที่ผ่านมา

    Watu n washamba na wamezoea kubaguana, kwan kama alizaliwa kwa dada yake na yy bado alikuwa hajazaa Kuna shida gani kumuita kifungua mimba?

    • @chemstry409
      @chemstry409 6 วันที่ผ่านมา

      Hivi wewe una akili timamu au UNAJISHAUA TU......

  • @ChireGriffin
    @ChireGriffin 6 วันที่ผ่านมา

    Sasa kama esma wako wawili

  • @neemamayco1051
    @neemamayco1051 3 วันที่ผ่านมา

    Mtoto wa dadake bhn huwaga wambea nyie 😅😅

  • @RandB_Channel
    @RandB_Channel 6 วันที่ผ่านมา +1

    Mama Dangote sio mama yake mzazi kabisa Esma ni mtoto wa dada yake alibisema zamani sana tunajuwa yakwamba Esma sio mtoto wakutoka tumboni mwake

  • @Nuru9568
    @Nuru9568 6 วันที่ผ่านมา +1

    Ata kama ni mtt wa dada ake atabaki kua mama ake wambea wanapenda kufatilia maisha ya watu jmn😂

    • @humbleshoal
      @humbleshoal 6 วันที่ผ่านมา

      Ndio sababu zari kawasema

  • @dianajohnson7268
    @dianajohnson7268 6 วันที่ผ่านมา

    Wewe ndio muongo

  • @PamelaGawaza
    @PamelaGawaza 6 วันที่ผ่านมา

    KAMDOMO

  • @LettyLussi
    @LettyLussi 6 วันที่ผ่านมา

    Ni mtt wake na nyie achenii ufala mxwiiii...akitoka asma anakuja mond

  • @shadiwaigwa9230
    @shadiwaigwa9230 6 วันที่ผ่านมา

    Hapo Kuna something inafichwa, mmmmmm?