Mimi huyu mzee sjamwelewa sasa usiende uwanjani tim ikifungwa itakua aibu ya nani jiamasisheni wenyewe sisi lazima tujaze uwanja ww baki nyumbani msilete hasila zenu kwenye timu yetu
Kauli za mashabiki hawa sio sahihi kupata na kukosa kwa watu wengi hasa bureee sio kung'ang'ania na sio sahihi maana walioenda na wasioenda ni simba sc nguvu moja
Nawe unasema nini walishambiwa mabehewa 4 tu Sasa wewe ulitaka waende watu wote wakati tiketi ziko hapo huku hakuna Bure kama Kule utopoloni.Hao wapiga kelele achana nao kama wana haja kweli si wajilipie hakuna bureee bureee hapa
Kwani Kuna mashabiki Bora kuliko wengine yaani watu tuwahi alafu wanakuja kuchukuliwa watu kwa kuangalia sura hapo mmetukosea kwanza muda ni mali Ahmedy ....,.......
😂😂😂😂😂Awooooooo woooooo na bado. mmesha anza mapeeema timbwili na huu ndio mfumo mtao enda nao msimu huu ni mwendo wa manung'uniko, malalamiko a.k.a matashtitiii😂😂😂😂
Uyo mzee magoma yote kayataka tena mfateni kama kamati ina watu mia chukueni wote waende kwa nini mubakishwe iyo si haki watafute matreni muende wasibague
Msemaji wetu alilijua hili kua hatuwezi kwenda wote, alisema mapema mabehewa yapo 4 yakijaa kuna watu watabaki kwahio wasilalamike alisema mapema. Pia alisema kama itakua mabehewa yamejaa na unataka kwenda basi jilipie.
Hawajitambui tu, kwa akili zao walitegemea behewa tatu zitoshe umati mzima.... Ningewaona wa maana kama wangelipia 13k kwenda kwa gharama zao, wao wanataka dezo
Jamani poleni, isingekuwa rahisi watu wote kwenda. Tuweke haya pembeni Sisi ni Simba SC Nguvu moja 💪💪🦁🦁❤️❤️
Pole mzee wa Simba nguvu moja ndo tumeanza tu tunahitaji uvumilivuuuuu
Acheni kulalamika treni imejaa. Hongereni kwa kuja
Mnajazwa upepo na mwandishi,behewa 3 mwengeenda wangapi?muwe na subra walio enda wametuwakikisha,Simba Nguvu Moja
Nawacheka kizungu yanga oyeeeeee
Tulieni ❤❤❤wana Simba hata sisi tumeachwa na tutabaki kuwa Simba tuuuuu
Mambo yameanza kuchangamka Ubaya Ubwera😂😂😂😂
SASA NYIE MTU ALISHA WAMBIA TREN IKIJAA TUSILAUMIANE
Hamna.viongozi.nyinyi.ubaya.ubwela.hameni?.tangu.lini.shughuli.yawatoto.ikafana?
Mimi huyu mzee sjamwelewa sasa usiende uwanjani tim ikifungwa itakua aibu ya nani jiamasisheni wenyewe sisi lazima tujaze uwanja ww baki nyumbani msilete hasila zenu kwenye timu yetu
Kauli za mashabiki hawa sio sahihi kupata na kukosa kwa watu wengi hasa bureee sio kung'ang'ania na sio sahihi maana walioenda na wasioenda ni simba sc nguvu moja
Mzee msemaji alisema mabehewa yapo manne ila yakijaa basi tunaweza kuchangia selikari kwakununua tiketi hapo kosa likoapi naje aliegawa tiketi sio msemaji ko msemaji kosalake likoapi
Nyie nao mlishaambiwa mpo wengi mtakaokosa mjilipie sasa mtawalaumu wangapi?
Mucipede chabure sana
Jamani tulieni wanasimba hamwezi kwenda wote poleni subilini simba day
Huyu mshua bhna😂😂😂 najua kwanini wanaitwa makolo umesema we hupendi vya bure kama yanga basi changieni gari muende eti sitoi hela😂😂😂😂😂
Ingekuwa ya ela amge sema Ivo coz niya Bure ndo mmasema Ivo kweli 🥹🥹
Sasa kama yabure wewe unaumia ninni?mbona unawivu wakijjinga?
Hiyo ndiyo tofauti ya Yanga na Simba. Waende wakalaleee, Ahamed Ally rudi nyumbani, wajibika kwa hilo.
Ila watu jmbodogo mnalikuzaaa mim simba hataiweje kamakweli nyinyi ni simba bac simba day mtaenda uwanjani SIMBA NGUVU MOJA
Kuweni na subila acheni hayo maneno hayajengi Tim yetu kwani treni ilikua na nafasi au nafasi ziliisha
Mmesema Yanga ndiyo wapenda bure lipeni hela muende morogoro
Bora mmekosa yeelekea mlivyo mngependa kutuharibia siri za treni yetu.
Wanasimba treni aiwezi kubeba mashabiki kama uwanja unajaa na watu wanabaki nje nawaomba tuache walio pata nafasi basi tuache ipite
Tatizo uelewa mdogo ivi mlitaka waTanzania wote mlitaka twende mbona wengi tumebaki jamani
Semini ubwaya ubwera. Treni hilooo linaondoka ubwaya ubwera
MLIAMBIWA TREN IKIJAA TUSILAUMIANE. ASANTENI KWA MUITIKIO TUKUTANE TAIFA
Sawa mzee moto dereva wa classic
Kumbe Nyie Wote Niwatu MO. Mara Oooh Hatupendi Bure. Oooh Mimi Silipi. Hawaeleki
Jamani wana simba wenzangu mnge kata tiketi kwa pesa yako. Kama tkt zimeisha mlitaka smeji letu afanyaje? Poleni kwa kukosa tiketi.
Nyie wote washamba mnataka mpande wote kwa behewa 3 mbona washamba hivyo haya na wale waliopanda wangekuwa wamekosa na ww ndio umepata wangesemaje
Kwanz kasema nb atakaechelewa ataachwa,, sasa kumi na mbili tren inaenda sasa umechelewa unalaumu nn
Wanazingua ao
Msèmaji wenu comedy kawa danganya
Mlitangaziwa muda WA kuondoka mkakala na wake zenu .msiichafue Simba acheni ufara
SIMBA WANGE CHUKUWA MABEHEWA YOTE HALAFU IKAENDA BILI 2 SIMBA UWEZO TUNAO SIO WALE MATOPOLO NJAA
Si mngetangulia siku 1 kabla mkasubiria huko huko kama shida sio tkt ya bure
Timu yenu haina viongozi weledi mmeshindwa kuongoza mshabik wachache tu hao kuelekea moro.
Mbona munamtaja bingwa Yanga ndie aliwaambia muende mikumii Huo ndio Ubaya Ubwelaa
Makolo yanaliliA tiketi ayoooookk😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂yanaliaaaaaaasaaa
Hao vichaa kama vichaa wengine kwani ni lazima kila mtu aende morogoro
Hii ndio tofauti ya yanga na simba,wananga tujipongeze kwa kuwa wanayanga 💚💚💚💚
Vikoojozi
Mm nipo na kibu nambao wamewacha 😅😅😅😅ubaya umenwela kwamda wake💛💚💛💚💛💚
@@MariaMnthax SIYE TUKO NA MZEE MAGOMA 😂😂😂😂😂 UBAYA UBWELA
NYIE WANASIMBA WA MCHONGO MNAO LALAMIKA KUMANYOKO ZENU NYOTE NYIE.. MSITULETEE NUKSI KUMANYOKO ZENU.. NA WEWE UNAEMTISHIA AMANI SEMAJI LETU UJUWE AKIDHURIKA HATUTAKUACHA SALAMA..
Dodo unapenda kitonga utaolewa Fanya Kaz tafta naur
Sasa kams nyinyi muna era kwann mnapenda za bure acheni marsramiko ebo Simba nguvu moja
Hapo ndipo utaelewa kiwango cha uelewa kwa watanzania wengi. Tukubali au tukatae akili za watanzania wengi ni ndogo sana ila kuongea ni jade yao
Simba tuwe na nidhamu jamani hili sio suala la mitandaoni
Msije tutaenda tunayoipenda Simba ,,kateni nauli Moro SI mbali acheni kupiga kelele
Si mnaipenda simba ifuateni ata kwa miguu mpaka moro.
Tunakwambieni kilasiku Ahamed ally afai mnamtetea tu kwanza hanaukweli mbeleyenu Ila iposiku mtakubali manenoya
Nawe unasema nini walishambiwa mabehewa 4 tu Sasa wewe ulitaka waende watu wote wakati tiketi ziko hapo huku hakuna Bure kama Kule utopoloni.Hao wapiga kelele achana nao kama wana haja kweli si wajilipie hakuna bureee bureee hapa
Simba hii ya tia maji tia maji
Jamani wana simba mbona mnatia aibu kwani kama nafas umekosa bdo mjinadi hivyo
Kwani Kuna mashabiki Bora kuliko wengine yaani watu tuwahi alafu wanakuja kuchukuliwa watu kwa kuangalia sura hapo mmetukosea kwanza muda ni mali Ahmedy ....,.......
Vya buleeee vinauma ukikosa
Na bado mtayamba
Ni trend nyingine mpya, kwa magoma na Ahamed Ally! Baba analilia treni
katafteni kitanda mkalale huko ,muda mlitangaziwa mmechelewa wenyewe alaf mnaleta shobo....
Yaaani wee badala ulale na mke wako....unakimbilia cha bure....umeona sasa faida ya bure.... hiyooo sadakalawe mwenye kupata.......abate.....!
Nyie wapumbavu alisema watu ni wengi watakaokosa watulie mabehewa machache,sasa mnalalamika nini,ovyooo
Acheni lawama jamani mbn semaji alisema
Jamani asinge weza kugawa tkt kwa wana simba wote ha dar❤
Wangetoa namba ya tickets fulani kwa wanachama kwenye matawi!
Makolooooo
Moo hana uwezo wa kuwapa ofa yoyote pesa hana
Yanga hao mbwa tu mlitaka afanyaje??
Bwana hawo n yanga wasituhagaishe bure iyo n mipango ya yanga tu hawajatushitua musije na tutajaa
Ndo akili zenu mtu akiongea ukweli yanga UBAYA UBWELA 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂Awooooooo woooooo na bado. mmesha anza mapeeema timbwili na huu ndio mfumo mtao enda nao msimu huu ni mwendo wa manung'uniko, malalamiko a.k.a matashtitiii😂😂😂😂
Hamna akili nyinyi mlitaka waende wangapi
Jambo dogo ilo mkubwa
Simba watu wengi
Kwakweli simba tuwavumirivu
WAPUUUUZZZZIIII HAO NI YAAAANGGAAAAA
Yani makolo bhana mnaulizwa maswala yenu mnaitaja yanga duh eti ss sio yanga wanaoingizwa bule
HAWA VIONGOZI WANATUONA WAPUUZI TUSUSIE SIMBA DAY ILI AKILI ZIWAKAE SAWA.
😀😀😀😀😀 sasa nyie mntaka mpande nchi nzima treni Haitoshi acheni hizo
Wasenge nyny na tarehe.8 mnakura kumi
Fanyeni uungwana msamehe
Atuji tena
Sasa treni imejaa wafanyeje mngekaa wapi
Waliovunja vitii uwanja wa Taifa ninanii kma Si ubaya Ubwelaa
Km ww nishabiki kweli mngekod gar lenu vyabule mnavipenda sn
Akili ninywele Sasa huyu mzee anakipala hamna kitu hapo
Msemaji wenu choko😂😂😂
Sasa treni imejaa wanalalamika nini!!!!! Swala dogo tuu walioenda wakiwakilishwa.
Uyo mzee magoma yote kayataka tena mfateni kama kamati ina watu mia chukueni wote waende kwa nini mubakishwe iyo si haki watafute matreni muende wasibague
Tusingeenea wote,maana wengine tuko huku mikoani tungekuja pasingetosha,walioenda watawakilisha wengine
poaw usiingie uwanjani tutaingia wenye hela wew si unataka za bure😂😂
Sasa yanga inaingiaje hapo nindeni kwenu tren ndo ishawaacha tena
Akili kidogo sana mtaenda wangapi
Acheni paniki sasa mlitaka mpande wapi? Watu ni wengi kwahy tren hy inabeba dunia? Kuweni waelewa ahmed anahusika wapi?
Mbona mapema lawama zimeanza hata msimu hatuja anza
😂😂 si mrudi nyumbani jamani, mnalia nini!, sasa ubaya ubwela mapeeeeeeerma kwao wenyewe!
Ubaya ubwela, ushakuwa ubwabwa maharagwee tena😂😂😂😂😂😂
Yohh mungu ibariki Young Africans Mungu ibariki Tanzania 😂😂
Mliambiwa ukikuta treni imejaa jilipie mwenyewe sasa nyie mlikuwa wapi hii kauli inavotoka
Musiumie kawaida hamuwezikwendawote
Acheni njaa nyie
Mgetoa ushauri mkachangia kununua tiketi mnavunja vioo mnamkomoa nani ?.
Tulieni shinda hamunauelewa munalopoka TU wakati alisema
Jaman kulipia kitu arafu awambie mashabiki watumie au kuingia bure mambo haya tuwachie mambo haya tuwahachie mambosi wa yanga tu aifai kuiga
Tatizo pesa TU hapo.....
Acheni unafiki behewa nne hazitoshi mliishaambiwa mjilipie wapenda bure nyieeee uwanjani simba day tutafika tu
Mbn alisema kabsa sio wote watakoaenda ukikosaa basiii ...
🤣🤣🤣 Tatizo mipango...BURE GHALI......wenzenu washafika huko na mademu zao wanapiga selfie tu...na msije mkanya kwenye siti tu
Ata ukiacha acha
Wangeambiwa watalipa nauli yasingetokea hyo
Hahahaaaaaa..... kwahiyo wee ulilala kituo kwa ajili ya safari ya bure....mmmhhhmmmmm mnatia aibu jmn.....nendeni mkalale.....!
Msemaji wetu alilijua hili kua hatuwezi kwenda wote, alisema mapema mabehewa yapo 4 yakijaa kuna watu watabaki kwahio wasilalamike alisema mapema. Pia alisema kama itakua mabehewa yamejaa na unataka kwenda basi jilipie.
HIVI KWANI YEYE MULITAKA AFANYEJE WATU WAMEJAA AFANYEJE LAWAMA ZINGINE PUNGUZENI
Mashabiki wengine bana😂Sasa mlitak mjazwe wote kwenye treni?kwani lazima kwenda wote huko
Akili hawana wanapenda vya bure
Hawajitambui tu, kwa akili zao walitegemea behewa tatu zitoshe umati mzima.... Ningewaona wa maana kama wangelipia 13k kwenda kwa gharama zao, wao wanataka dezo
MSISEME WANAPENDA BURE MSEMAJI KASEMA TICKET JEZI YAKO KASEMA WATU WAFIKE SA 11 WATU WAMEFIKA SA 9 MIPANGILIO NDIO MIBAYA HAINA HAJA YA KUKASIRIKIANA
TangU lini simba wameanza mchezo wa KULIPIA BURE BURE