Mambo ya dunia ya kupita tu heri hiyo hela wangepewa maskini ambao hawana hata nyumba wengine wananyeshewa na mvua wengine hata dawa Hakuna wengine wanasumbuliwa na hata mafao yao
Ranani haijalishi nyumba ni nyumba tunakoishi Mungu anajua hizo zinajengwa na NSSF kumiliki mpk miaka 15, hazinaga kodi kubwa!! Kama National housing tu!! Wataamua wakae wapi
Yan kweri tz ariokuwa nazo ndio pesa ndio anaenderea kuzipata,hariokuwa hana ndio hanakosa kabsaa hii ndio tz mifumo mibovu
Mnakwama nyie kwann mmempatia huyo hizo pesa mbona wapo wengine wanachama wasiona pesa
Ok walikuja juz kazin sikuelewa wamekuja kufanyaje
Watu tunakufa njaa nyie mnachezea Ela dah 😭😭
Pongezi kwao, wenye mijengo tupo wachache mjini 😂😂 Nakushukuru tu Allah 🙏
Kweli ndugu yangu alhamdulillah
@@mohamedaden5881 mnawezaj jmn😅😅🤦
Mjengo ni wa Nandi ndoa j mosi mara wameshajenga na mabaunsa wa nan
Raman za kizaman
Zipo sehemu gani?
Mambo ya dunia ya kupita tu heri hiyo hela wangepewa maskini ambao hawana hata nyumba wengine wananyeshewa na mvua wengine hata dawa Hakuna wengine wanasumbuliwa na hata mafao yao
Watu na wivu wao. Hongereni
Kabisa kama kambini
hujaingia ndani upaone wewe ndo maana unaongea ivoo pazuri saana mm nafanya kaz humo
Baada mlipe watu hela zao matoazawad
Mafala kweli hawa
@@miriamcheya3136hawajapewa wamenunua
Ranani haijalishi nyumba ni nyumba tunakoishi Mungu anajua hizo zinajengwa na NSSF kumiliki mpk miaka 15, hazinaga kodi kubwa!! Kama National housing tu!!
Wataamua wakae wapi
Wanajichanganya Hawa. Binnasi alikopa kabla hahaha. Hajapewa bure.
Kabla hajaoa alikopa.
Congratulation
Nyumba za
Wanajenga nyumba yao
Sija fahamu jaman mie nme sikia kodi laki 5 kwa mwezi alaf apo kwenye umiliki baada ya miaka 15 ina kuwaje maelezo nisaidieni mlio elewa 🙇♂️🙇♂️
🤣🤣🤣🤣🤣
Nyumba zima analipa laki tano
Mbona wame sema baada ya miaka 15 jengo lina kuwa la kwako
@@rashidyahya6904 unalipa asilimia kumi halafu pesa iliyobaki unalipa ndani ya miaka 15 ukimaliza mjengo unakuwa wako.
@@adamsonizoka9967 owk iyo asilimia 15 ni ngapi na kila mwezi ni ngapi