😢wallah nmejikuta natokwa machoZ Allah akulipe kherii yanatutesa sana haya mambo inshaallah 🤲 tunafanyia kaz Allah atyongoze tuwe n wenye kunfuata yeye tu inshaallah
Asalam alaiku' warhmatulhah wabarakatuh leo nimeingiya kwenye mtari wako nikakufata shekh Allha akulipe yote umeongeya. Nimejikuta ndo magonjwa yangu nimeishi emo myaka sina wakunielewa wala kunisikia nilikuwa mfanya biashara ila nimefeli nimekuwa wanyimbani na hakuna ninaye mliliya anisaidiye pia na sukar inaniasir shekh
Kwakweli, kwa mafundisho haya tuna faidika sana, Allah akufanyie wepesi katika kila zito na akuhifadhi na akukubali wewe na sisi tuzidi kufaidika.
Mashaallah
😢wallah nmejikuta natokwa machoZ Allah akulipe kherii yanatutesa sana haya mambo inshaallah 🤲 tunafanyia kaz Allah atyongoze tuwe n wenye kunfuata yeye tu inshaallah
Allah akupe nguvu afya na umri
MashaAllah Shekh Allah akupe afya na umri mrefu shukran sana
Ahsante
Mungu mkuu akutiye nguvu shehe wetu
Shukran JazakaAllah kheira
Shukran sana shekhe
MBONA KWELI wallah SubhannaAllah
MashaAllah
shukran 𝚜𝚑𝚎𝚔𝚑e tunasoma ilaubaya upo
Jazaakallahul khair sheikh alla akulipe kheri
Asalaam alaikum shekh Mungu akubariki una mafundisho mazuri sana yameniponya
Asalaam Alykum warahmatullah wabarakatuh shukran Sheikh..Naomba No yako..
Asalam alaiku' warhmatulhah wabarakatuh leo nimeingiya kwenye mtari wako nikakufata shekh Allha akulipe yote umeongeya. Nimejikuta ndo magonjwa yangu nimeishi emo myaka sina wakunielewa wala kunisikia nilikuwa mfanya biashara ila nimefeli nimekuwa wanyimbani na hakuna ninaye mliliya anisaidiye pia na sukar inaniasir shekh
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu.. mazbut wallah,,,napata faida wallah. Allah akulipe fiidunya wal aakhera
Shehe naomba namba yako
Mm nakuunga mkono kwasasabab unayoyasema nayaelewa anaepuuza anahasara
Shehe Nina shida ila nikipiga namba zako hupatikani
Assalam alaykum warahmatullah, shekh mm mguu waniuma sehem ilio karib na vifundo vya mguu nifanyeje
Nipigie nikupe maelekezo
Assalamualaikum ya shekhe tunaomba ujitahidi kuwakaribu na vinasa sauti usikivu wako unakuwaga mbaali sana husikiki inavotakiwa sauti ikombaali ktk video zako shekhe wetu
Wa alaykum ssalaam warahmatullahi wabarakatuhu sawa shukran jaziira kwa ushauri nitajitahidi in shaa Allah
Ndio kabisa eeh