DUA HII NI TIBA YA MTOTO ANAE SHITUKA NA KULIA USIKU (IMAMU MOHAMED MALINA)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 4 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 23

  • @CocoTanzania
    @CocoTanzania หลายเดือนก่อน

    Masha.allah Allah akuhifadhi Imani wetu

  • @dulasele-ud8cw
    @dulasele-ud8cw 7 หลายเดือนก่อน +1

    Allah akupe umri wenye heri

  • @ElizabethNdalahwa
    @ElizabethNdalahwa 5 หลายเดือนก่อน

    Asante baba namimi naona mwanangu anashuka usiku wa saa7 tu akapiga kelele kama katishwa na kitu mara naota kadondoka kutoka juu ya mtu akapasuka kichwa huu inanitiisha sana shekh.

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน

    Waaleykum salaam warahmatullah wabarakatuh shukran

  • @nabiljumbe
    @nabiljumbe 9 หลายเดือนก่อน +1

    mashaallah

  • @ahmadashaan3314
    @ahmadashaan3314 3 หลายเดือนก่อน

    Shukran

  • @salmasalum7735
    @salmasalum7735 5 หลายเดือนก่อน

    Shukrn sn

  • @zainamohammed7109
    @zainamohammed7109 9 หลายเดือนก่อน

    Shukran Allah akulipe kheri

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน +2

    9:51

  • @khamissalum-kt4tl
    @khamissalum-kt4tl 9 หลายเดือนก่อน

    Shekh hapati muda wa kujibu arafa.subiri akisoma ataleta kitu kizito inshaallah

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน

    Asalaam alaykum kwa mtoto anaetafuna umesema andalusia ya majini huyu tunamsaidiaje sheikh nahisi mimi ni muhanga wa hili tatizo

  • @RashidAthumani-kt5pf
    @RashidAthumani-kt5pf 9 หลายเดือนก่อน +1

    Assalam aleykum warahmatullah wabarakatuh.......hivi kama mtoto amechukuliwa msukule unaweza kujua na je unaweza kufanya lolote kama umeshamzika??

  • @FatimaAbdulla-s4i
    @FatimaAbdulla-s4i 2 วันที่ผ่านมา

    Mtu mzima kushtuka dua yake ni ipi

  • @BintiAli-b8g
    @BintiAli-b8g 9 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum shekhe mm leo nimeota mtoto wangu wa miezi minne ameng,oka meno ya mbele na kiuhalisia hana meno ni wakiume nn maana yake

  • @RahimaSadiq-h2m
    @RahimaSadiq-h2m 9 หลายเดือนก่อน

    Ustadh msichana wwngu anatafuna meno usingizini

    • @shamzone388
      @shamzone388 8 หลายเดือนก่อน

      Samahani nakujibu kwa ninavyojua mimi kamnunulie dawa za wadudu wa tumbo umpe yatamalizika matatizo hayo

  • @UmyAbriya-wt4vb
    @UmyAbriya-wt4vb 4 หลายเดือนก่อน

    Mm na uliza.imamu.mtoto.kutafuna meno usingizi.nitatizo.la nn

  • @BintiAli-b8g
    @BintiAli-b8g 9 หลายเดือนก่อน

    Asalam aleykum shekhe mm mbona naota mume wangu ananipigia magoti ananihagi na kiuhalisia hatuko pamoja yy yuko inchi jirani naota hivo kama mara tatu nini maana yake

    • @imamumohamedmalina6995
      @imamumohamedmalina6995  9 หลายเดือนก่อน

      Uwe makini anaweza kuwa jinn tu anataka kukuchonganisha na ndoa yako na kama unaota unaingiliwa basi huyo ni jini mzinifu

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน +1

    9:51

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน +1

    9:51

  • @MwashamKhery
    @MwashamKhery 9 หลายเดือนก่อน +1

    9:51