HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIJAKUPELEKA POLISI MIMI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- KWA MARA YA KWANZA HAJI MANARA AMJIBU DULLAH MAKABILA / NAKUONYA ACHANA NA ZAIYLISSA / SIWEZI KUKUPELEKA POLISI MIMI TAZAMA FULL INTERVIEW HAPA
#manaratv #hajimanara #zaiylissa #diamondplatnumz #dullamakabila
Namkubali sana huyu jamaa ❤❤
HONGERA MANARA KWA MAJIBU YAKO MAZURIYY SAANAA❤❤❤❤❤❤❤
Manara sema kweli kwa Rushayna uliongea sana na kurusha vijembe sana. Hadi sasa bado hujamove on kubali tu.
Kweli haji anampenda sana rushaina
Kweli manara nae asiongope alisema alimuoa Rushayna ili amuache bi mkubwa lakini akuwa na mapenzi nae
@@theophiljoseph6824kwani rushayna ameolewa hajj akanza kulialia kama anavofanya dulla?
Kwel manara nakubali sanaa
Nakubali
🌹❤️💙kwa Manara
Manaraaa❤❤❤❤❤
Nakupenda bure kaka mkubwa❤❤
❤❤❤Mashaa Allah kaka Haji Manara ni mtu poa na mpole saana hana na heshma kubwa kwa mkubwa na mdogo wote anawaheshimu❤❤❤
Mstaarabu kweli kabisaaaaa
❤❤❤Kaka Haji Manara anaheshima kwa kila mtu kwa mkubwa na mdogo wote kwake sawa na anawaheshimu saaaana watu wote❤❤❤
Masha a Allah anaongea maneno ya kiakili,, kikubwa na kiheshima na kiutaratibu na kiistaraabu❤❤❤
Haji ❤Muoe zaillissa East Africa Royal Marriage.Mombasa,Nairobi ,Kisumu and halafu .
Mwisho Full party tumalizea Dar salaam.
Zai tupe duka LA Anna Collections Na Mobetto styles Nairobi❤❤🇰🇪
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ilove it
Nakubali Sana mku Haji manara point tupu
HONGERA SANA BABA KWA HEKMA KUBWA ULIO NAYO ENDELEA KUKAAKIMYA HIVYOHIVYO
napenda manara amuoe zai dulla alishampa mwanamke talaka sasa mbona yote hayaa
Ata mimi nime penda
Mwanamuke gani?Rub or Rushaynah
Manara hoyeeee.... Kudadadeki😂😂😂😂😂
Kama unamkubali Bugatti gonga like hapa
Bugatti oyeeeee
Umesikiliza furahi?
Safi sana Manara mwanangu ushamshinda huyo anatapa tapa. Mfamaji huyo hajui kuogelea mwache atape tape. Wazi anajuta huyo
Big up bughatt wanyooshe 🤣🤣🤣
Awa nyoosheeee kweli😂😂😂😂 Bugatti kama Bugatti
Duh kumbe chawa doto yupo😂
At least leo HAJI KAONGEA POINTS... dula Ampuuze tuu... Aaachane nae... Wanawake wehu kuna siku atakuzushia jambo la chumbani kwenu ulie bro..... Biga kazi na wewe tafuta hela... Au tafu WAPO Mungu Amewaumba wazuri zaidi kila wanaokuja....
Hapa kwetu kumbe mizungu ya unga bado ipo!😂😂😂 ivi ile interviews ya wasafi na clouds kasema ruby mbea ulipigaje vileee🤣🤣🤣 usijisahaulishe😅
ila doto magari una mbwembwe sjui ata kwnn ulikaa nyuma ya camera🤣🤣🤣🤣🤣
Fact baba.....wakati wako huu Dullah anataka kutrend achana naye
Hongera Sana Kaka Mungu akulinde
Bugati huna baya hishi 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤ more blessings to you
Kwa hili manara umetisha kiongozi kweli we mkongwe
NAMPENDA Sana kaka haji😂😂❤❤ POKEA MAUA YKO. MKE TUNAE NA TUNATAMBA NAE. VIJANA TAFUTENI PESA
Manara kaji changanya kweli kula mzigo na watoto
Hongera manara tamba baba mke uko nae ❤
Huduma ndio muhimu mwenziwe aliambiwa laki 8 kwake dau laweza kupanda likafika 1million
Manara ikiwa huja muowa usimuowe nakupa ushauri wangu na kupenda kama brother tafuta binti alie leleka kwa maadili ya kiislam na anae juwa dini na swala zake tano wa allahi utasterehe
manara jameni upewe maua yako ndugu yangu, umeonge kweri❤❤❤❤
Wallah❤❤❤ wewe uko vizuri❤❤ ilo neno
Safi sana Manara
Bro manara huja pata mke kumbe ni wakugombaniwa pole sana usije ukauza ulivyo vichuma kwa jasho lako
Tafuteni pesa, mkekeshachukua ,vijembe vyanini 😂😂
El Bugatti 🔥🔥🔥🔥
Nakukubali hapo tu manara ukiachwa achika na ukisha achika usitazame tena nyuma utapata kuliko uliemuacha
Iko nini
Mtangazaji anamuhoji boss wake huku akiwa anamuogopa 😂
Hongera kaka
Lakini hata wewe ulimtishia maisha kwa kumtumia dm Sasa na yeye Ana haki ya kushtaki
acheni matusi muwe na heshima hongera manara😄
Manara umeongea fact mwanamke akikuta kubali matokeo kabisa 😂😂😂😂
Zey and hajji❤❤
Manara muungwana sana aisee Kaka daaah
Manara saluti saaaana mwamba heshima nakupa Eti chumaaaaaa
Bongo vichekesho sana especially hizi generation simple kwa yyte mwanamke akikukataa au demu kukukataa funga buti songa mbele cuz hakutaki ndio maana akachimba hii karne sio bongo karibu dunia nzima wanawake ni wemgi sana kuliko wanaume utapata other one maisha yataendelea ila kukataa kuachika mnadhalilisha wanaume kuacha au kuachwa mbona ni vitu vya kawaida kama ugali maharage
ukiachwa achikaaa😂😅😅
Mungu mkubwa atakusaharishia In shaa Allah
Bugati 👍👍👍👍🔥🔥
MTANGAZAJI ANAMUOGOPA BOSS WAKE 😂😂 ANARUSHA TU MIKONO
Kwaio umemshindwa mze umeamua kukimbilia polisi pole mze huyo kashindwa Na kijana atakueza wewe 😂😂pole Manara unazeeka vibaya
Ukizeeka vizuri wewe inatosha
Anayezeeka vibaya ni yule asiye na pesa ivi mnamtetea dolla kwan mke si alimpa talaka 3 au mlitaka akiachwa na dulla apate mcheza vigoma sio kwa hiyo kumpata mtu wa kumuweka kivulin roho zinawatoka achen roho mbaya binadam kila mtu anapenda raha
Manara is right
Manara tunakukubali unaweza
Manaea ana mbwbwe napendaga sana
WANAWAKE TUISHINAO KWA AKILI SIYO WATU WA KUWAAMINIA JAMENI HAWA VIUMBE"
Halafu manara Sasa Tulia umepata mtoto mzuri Sasa,huyo muache alie lie zay Lisa hawezi hawezi kaa na yule ilawewe kaa naye mfanye awe queen wako
😂😂😂😂huitaji kuoavmpishi mpe vidonge vyake kuku mwenye kujichubua mpk meno,sisi tumeoa mke upishi mwache Rushyna akupikie😂😂😂😂
Dotto katokea wapi!?🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂❤
❤❤
Lakini Dotto🤣🤣🤣🙌🏾🙌🏾🙌🏾
Doto alikua anateketea hatoi neno hadi kamalizia😂😂😂😂
Wewe Manala choko kweli umejipendekeza kwa dulla kumbeunamtaka mewake
Walikuwa wameachana
Dulla kubali matokeyo ume achwa bhana manara Bugatti ringa bana chumaaaaa insha Allah mzikanee ya Allah
Aaaaaaamin
Doto bana😂😂😂😂😂
Eti DULLAH anajichubua mpka meno. KIJANA ABDALLAH TAFUTA PESA MWENYEWE UZUNGU UNAUTAKA AFU MKE USHAMUACHA KULIKONI. DULAH LANA ZA RAHMA izo😢 MKEO WA KWAZA.. CHUMA NINACHO MIE NIMEPENTAAAAAA bugatiiiii mtoto WA kariakoooo❤❤
Eti kuku wew
Albino Albino tulia😅😅😅😂
Svt nawe mdhihaki Mungu hautabaki salama! Kumbuka hata wewe ulivyo hujajiumba! Chefuuu!
Hamna uustadhi tena hapo berthday za kutosha kila mwaka aiiii
Wanaume akiacha mwanamke anaempenda anapenda kumuona mwanamke anateseka akimuona anapendeza anaaza kashifa uyo dulla mshamba alizoea kuogwa na rahma kamkimbia kwa tabia zake😂😂 za ovyo6
Unyama sana manara
Mtangazaji anakaza kwa boss
manara unaniuwa nimecheka kwamba mda na zaylisa na kitafuta hela asante baba
Hongera sana Bugatti mwanangu mke ndiyo yule achana na kuacha sasa.
WEWE SHOGA UNAFURAHIA MAKOMBO YA SINGELI UNGEPATA BIKRA INGEKUAJE ??
nawapenda zaylisa na manara dulla shobo nyingi
mi naamin hata wew atakuacha tu
Haji manara dume.manshallah
Anapenda tusi la kuku😂😂😂😂😂ila manara jmn
😂😂😂😂 saaaana
Acha ushamba haji
😅😅😅 mpuuz sana Hajiii😅😅😅😂😂😂et nina Mda na Zay na kutafuta pesa
Kabisa, makabila ndoa imemshinda 😂😂
Sku ukiachwa utalia😂😂😂😂
Mfanya kaz amfanyia Interview boss wake😅😅😅😅
😂😂😂😂 kwaiyo apo kila kitu kimeandaliwa ata maswali ya kumuuliza yameandaliwa pia 😂😂😂😂😂😂
Lazma uulize maswali kwa heshima 😂😂😂
Vita imekushinda ukakimbiliya polisi 😅😅😅😅😅😅eti polisi wamepiga sim polisi wanamjua zai kwa kweli?achaaaa bwana shita zoote ziko tz waone ya zai😅😅 nimecheka
Dulla makabila ndoa imemshinda, ukiachwa achika 😂😂😂
Mapenzi yakifa yazike na usiweke maua juu ya kaburi
BROO BIRTHDAY YA MWAKANI MUALIKE MWANANGU YUPO ZANZIBAR AJE KUINJOI NA KUJIFUNZA MAISHA AMEZALIWA TAREHE KAMA YAKWAKO JANUARY
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
safi sana manara
Katika huu mchezo wote naona anayetoka mnufaika namba moja ni bi Zay maana brand yake sasa inazidi kupanda pa kubwa as hata ambao hawakumfahamu sasa wanamfahamu ametumia fursa vizuri kuoana na Manara
😂😂😂😂albino utauzwa na huyo mwanamke
Achana na Muhuni mcheza Chakacha yeye mwenyewe Uzungu anautaka ndo maana anajichubua 😅 😂 Dula Maisha yanamchanganya
Lakini,swali langu cjui nani atanijibu...hvi makabila hana mke ama familia....🤔
Anayo
Jitu zima hovyo mzungu umechemka jinai zipo kibao🎉 polisi watafute ya kwenu tuuuu bila nyinyi kukubali, wewe umemtukana Moo,Babra, Kitenge, Kazumar, juzi juzi tu umemtuka Ahmed ally eti alibaka, izo zoote sio jinai polisi waliwahi kukupigia simu uende kituoni ?
Acha nyege ww akitukanwa ananin kkako
Hakuna cha kumalizia kwani mimi nilikuwa nataka kuoa MPISHI??? KUKU WEWE....😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa dula si mshamba tu 😂😂😂
Ila Kuna watu Wana comment bila kusikiliza shida ni silent chawa 😂😂😂 af awatak kula bando zao
Doto kama translator 😅
Mzungu
Ladies...ladies.......
Manara usimsifu sana msichana wa mjini wanawake zako walotangulia uliwasifu hivyo hivyo na walikuwacha wanawake zako wote ni wenye tamaa ya pesa zako tu!
Ayo muachie mungu 😂😂😂
@@uwimana6533 utampaje mungu kazi sio yake wakati kishakuambia tafuta mke au mume kwa sifa ambazo kazitaja
Hahahaaah,Manara bhana
Mwamba anauliza kwa kuogopa 😂😂
Boss wake uyo unafanya masiala
mwambie Aachen utoto kesha zeeka tayari
Kila siku nasema manara mimi shabiki wako bigup
Manara Bugatti nakupenda Eti ukiachwa achika daaah niatar
Kila la kheri manara
Mshamba wa mapenz
Ukiwa mjanja wewe inatosha
Dula umeharibu talaka tatu umekosea sana kumbe bado unampenda kwa nini usifanye subra
Doto anacheka kinafki sana😊😊😊😊