PART 3 ZAIYLISSA AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE NA DULLAH MAKABILA MIEZI MIWILI NA WIKI MBILI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
  • Zaiylissah muigizaji anayefanya vizuri katika tamthilia ya Jua Kali kwa mara ya kwanza ameongea kila kitu kilichotoka katika Ndoa yake na Msanii Dullah Makabila mpaka kufikia kuvunjika!
    Tazama Part 3 hapa, Part 1 na 2 zipo hapa
    SUBSCRIBE, LIKE, SHARE

ความคิดเห็น • 59

  • @salmasudi8901
    @salmasudi8901 10 หลายเดือนก่อน +16

    Mungu akujalie upate ndoa nzuri mwanao apate Baba asiye badilika 😊as long as unajielewa say Alhamdullilah

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 10 หลายเดือนก่อน +3

    Pole sana Zay
    Mungu akujaalie upate mwenye kher na ww nakupenda sanaa unajielewa Sana Mungu akutunze mahii wanguuuuuuu ❤❤❤❤

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 9 หลายเดือนก่อน +2

    U will Never die because of Stress.. bse of ur Altitude ukiwa huna furaha.. EXPRESSION IS THE MEDICINE

  • @hadijagere
    @hadijagere 10 หลายเดือนก่อน +2

    Ma shaa Allah mungu atakupa wakukufaa unabusara sana

  • @MsAggie5
    @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน +5

    Pole sana lakini ningekushauri usikimbilie kuwa na uhusiano, take your time! Tafalali na upime na ujitathimi ni wapi unakosea au kwa nini mahusiano yamekuwa changamoto kwako. Ukikurupuka au ukitaka uonekane wewe ni mzuri huwezi kuwa single kwa muda mrefu utakuwa una date na kuolewa kila siku. Nakutakia kila la kheri

  • @farijala1
    @farijala1 8 หลายเดือนก่อน +1

    Changamoto Ni kwamba Ukijiona mzuri sana , Hasa Huwezi pita siku bila kutongozwa , ni sababu ya kuto kudumu kwa Ndoa

  • @VictorMumo-ng2hi
    @VictorMumo-ng2hi 10 หลายเดือนก่อน +7

    Lil ommy you're a good interviewer Shida yako ni consistency much love from Kenya though

    • @LilOmmyTV
      @LilOmmyTV  10 หลายเดือนก่อน +5

      Been cooking Some, usijali tutakua back to back saii! 🤙

  • @hildalekule241
    @hildalekule241 9 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa kanaongea vizuri

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 8 หลายเดือนก่อน

    MVP ww nijumba bovu sana kwenye intaviu broooo I love my bradha🙏🙏🙏🙏

  • @AgnatarAmad
    @AgnatarAmad 10 หลายเดือนก่อน +3

    Man to man kamaansha mtu na mtu au vpi waswahili wenzangu

  • @daytonantwale8175
    @daytonantwale8175 9 หลายเดือนก่อน

    Lil omy uko vizuri mdogo wangu BIG up bro

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 10 หลายเดือนก่อน +1

    Big up LilOmmy big interview

  • @AminaYassin-kf9gg
    @AminaYassin-kf9gg 10 หลายเดือนก่อน +1

    Nimejifunza kitu nakupenda mdogoangu

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 10 หลายเดือนก่อน +3

    MSHAJUA TUNAVIEW BASI MNATUWEKEA EPSOD KWENYE INTERVIEW ILIYOTAKIWA IONEKANE MARA 1.

  • @mwanashagladys4581
    @mwanashagladys4581 9 หลายเดือนก่อน

    dullah sio mwanaume mubaya nimu cute pia nivile hajakomaa.

  • @nahidwaalhaji8341
    @nahidwaalhaji8341 7 หลายเดือนก่อน

    Uzuri usikubabaisheni guys mke kutulia ngumu ukipta rizika mastaa Malaya tu

  • @cath-ef7wd
    @cath-ef7wd 8 หลายเดือนก่อน

    Mnaziniii weee mkioana hamna mwenye ham na mwenzake

  • @sarachawe8113
    @sarachawe8113 10 หลายเดือนก่อน +1

    Even...,😂😂😂 Kashindwa kuendelezea kingeeee🙌🙌🙌

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน +1

      Naona alitaka kutoa siri kuna mtu alikuwa nae hapo....

    • @alfredinafelix836
      @alfredinafelix836 7 หลายเดือนก่อน

      Hapana anaogopa kumchonganisha Ex wake anayewasiliana naye kwa mwanamke aliyemaye…akili kubwa huyu binti…atakuwa kajiuliza what if huyu mtu hajamwambia demu wake kama bado tunachat?

  • @mwanaidyibrahim1913
    @mwanaidyibrahim1913 10 หลายเดือนก่อน +1

    Man to man join 😊

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe ni mwingereza

  • @ibumajaamillah3195
    @ibumajaamillah3195 10 หลายเดือนก่อน +4

    Eti man to man 😂😂😂badala ya face to face 😂😂😂

    • @ashuraally5057
      @ashuraally5057 10 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน

      Jamani hii sio lugha si yetu tunaweka Kiswahili ndo tunakigeuza kizungu so ndo kama hivyo. Na hii ni Sisi wabongo Tu ndo tunapenda kurekebisha watu wazungu wenyewe hata hawafanyi hivyo.......

  • @user-uo6bo3ph6g
    @user-uo6bo3ph6g 10 หลายเดือนก่อน +1

    Jmn me sikusoma,hv man to man ndo nini sasa???😂😂😂😂😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa vile wewe ni mwingereza au

  • @veronicalufingo3513
    @veronicalufingo3513 10 หลายเดือนก่อน +1

    Man to man tena 😀😀😀😀

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 7 หลายเดือนก่อน

      Ujumbe umefika!! Wapo wanaokosea kiswahili, lakini tunawatia moyo..

  • @faidhacute
    @faidhacute 10 หลายเดือนก่อน

    Huyu anampenda sana dullah huyu nlichogundua 😂😂

  • @elibarikidavidlaizer8126
    @elibarikidavidlaizer8126 10 หลายเดือนก่อน +1

    tupe number tukupigie sasa tukudekeze

  • @mwanatumusalim1558
    @mwanatumusalim1558 10 หลายเดือนก่อน +1

    Man to man 😂😂😂

    • @guyndikumana4065
      @guyndikumana4065 8 หลายเดือนก่อน +1

      Man to man : maana yake ni uso kwa uso…. Sasa mnamcheka nini kipindi ameongea vizuri??

  • @jaharaoman6478
    @jaharaoman6478 10 หลายเดือนก่อน

    Pile Zai kiukweli wanaume sometimes wanamaudhi sana

  • @Official83640
    @Official83640 10 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye mahusiano marefu hujakosea mtu mnadumu kuzini lkn ndoa hazidumu Miaka 7 Dida na Kumbi la 🔥 ndoa miezi 2 na nusu😂😂😂

  • @poshsmith4268
    @poshsmith4268 10 หลายเดือนก่อน

    Hivi kwa nini Ommy hakummuuliza juu ya ile ishu ya kupigwa hadi mimba kuharibika

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 10 หลายเดือนก่อน

    Man to man ndio nn

  • @magrethgeorge1368
    @magrethgeorge1368 10 หลายเดือนก่อน

    Hahahahah man to man

  • @user-qh4mk6xw7o
    @user-qh4mk6xw7o 8 หลายเดือนก่อน

    Huyu dulla itakua alikua yuwakamilisha mashart ya kishetani

  • @gladnessmboya803
    @gladnessmboya803 10 หลายเดือนก่อน +1

    😂

  • @faridamohamed8322
    @faridamohamed8322 10 หลายเดือนก่อน +2

    Like man to man😂

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani wewe ni mwingereza?

  • @sarahmcharo1548
    @sarahmcharo1548 10 หลายเดือนก่อน

    huyo labda awe rafiki yako ni nani kati ya hao dada!!!?

  • @user-mz4gx2ek9y
    @user-mz4gx2ek9y 4 หลายเดือนก่อน

    Huyo Malaya TU inaonyesha hata ongea

  • @zenamwasekaga7460
    @zenamwasekaga7460 10 หลายเดือนก่อน +3

    Zai nae angeacha tu kiingeza kuongea "man to man" ndo nn Sasa kujidhalilisha tu😀

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 10 หลายเดือนก่อน +1

      nmejiulza pia😂😂😂nljua atasm face to face

    • @user-uo6bo3ph6g
      @user-uo6bo3ph6g 10 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂😂😂

    • @user-pp8qb3bb9r
      @user-pp8qb3bb9r 10 หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @razoindeed8228
      @razoindeed8228 10 หลายเดือนก่อน +1

      Wasanii wetu kutk kutunia luga za watu tukafanya maajb ndo hyo ss

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 10 หลายเดือนก่อน

      Kwani nyie ni waingereza au!

  • @user-pp7ug2bc1y
    @user-pp7ug2bc1y 10 หลายเดือนก่อน

    empty soul