PART 3 ZAIYLISSA AFUNGUKA KUVUNJIKA KWA NDOA YAKE NA DULLAH MAKABILA MIEZI MIWILI NA WIKI MBILI
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 8 ก.ย. 2024
- Zaiylissah muigizaji anayefanya vizuri katika tamthilia ya Jua Kali kwa mara ya kwanza ameongea kila kitu kilichotoka katika Ndoa yake na Msanii Dullah Makabila mpaka kufikia kuvunjika!
Tazama Part 3 hapa, Part 1 na 2 zipo hapa
SUBSCRIBE, LIKE, SHARE
Mungu akujalie upate ndoa nzuri mwanao apate Baba asiye badilika 😊as long as unajielewa say Alhamdullilah
Pole sana Zay
Mungu akujaalie upate mwenye kher na ww nakupenda sanaa unajielewa Sana Mungu akutunze mahii wanguuuuuuu ❤❤❤❤
U will Never die because of Stress.. bse of ur Altitude ukiwa huna furaha.. EXPRESSION IS THE MEDICINE
Ma shaa Allah mungu atakupa wakukufaa unabusara sana
Pole sana lakini ningekushauri usikimbilie kuwa na uhusiano, take your time! Tafalali na upime na ujitathimi ni wapi unakosea au kwa nini mahusiano yamekuwa changamoto kwako. Ukikurupuka au ukitaka uonekane wewe ni mzuri huwezi kuwa single kwa muda mrefu utakuwa una date na kuolewa kila siku. Nakutakia kila la kheri
Changamoto Ni kwamba Ukijiona mzuri sana , Hasa Huwezi pita siku bila kutongozwa , ni sababu ya kuto kudumu kwa Ndoa
Lil ommy you're a good interviewer Shida yako ni consistency much love from Kenya though
Been cooking Some, usijali tutakua back to back saii! 🤙
Nimependa kanaongea vizuri
MVP ww nijumba bovu sana kwenye intaviu broooo I love my bradha🙏🙏🙏🙏
Man to man kamaansha mtu na mtu au vpi waswahili wenzangu
Tulia 😂😂😂😅
Lil omy uko vizuri mdogo wangu BIG up bro
Big up LilOmmy big interview
Nimejifunza kitu nakupenda mdogoangu
MSHAJUA TUNAVIEW BASI MNATUWEKEA EPSOD KWENYE INTERVIEW ILIYOTAKIWA IONEKANE MARA 1.
dullah sio mwanaume mubaya nimu cute pia nivile hajakomaa.
Uzuri usikubabaisheni guys mke kutulia ngumu ukipta rizika mastaa Malaya tu
Mnaziniii weee mkioana hamna mwenye ham na mwenzake
Even...,😂😂😂 Kashindwa kuendelezea kingeeee🙌🙌🙌
Naona alitaka kutoa siri kuna mtu alikuwa nae hapo....
Hapana anaogopa kumchonganisha Ex wake anayewasiliana naye kwa mwanamke aliyemaye…akili kubwa huyu binti…atakuwa kajiuliza what if huyu mtu hajamwambia demu wake kama bado tunachat?
Man to man join 😊
Kwani wewe ni mwingereza
Eti man to man 😂😂😂badala ya face to face 😂😂😂
😂😂😂😂
Jamani hii sio lugha si yetu tunaweka Kiswahili ndo tunakigeuza kizungu so ndo kama hivyo. Na hii ni Sisi wabongo Tu ndo tunapenda kurekebisha watu wazungu wenyewe hata hawafanyi hivyo.......
Jmn me sikusoma,hv man to man ndo nini sasa???😂😂😂😂😂
Kwa vile wewe ni mwingereza au
Man to man tena 😀😀😀😀
Ujumbe umefika!! Wapo wanaokosea kiswahili, lakini tunawatia moyo..
Huyu anampenda sana dullah huyu nlichogundua 😂😂
tupe number tukupigie sasa tukudekeze
Man to man 😂😂😂
Man to man : maana yake ni uso kwa uso…. Sasa mnamcheka nini kipindi ameongea vizuri??
Pile Zai kiukweli wanaume sometimes wanamaudhi sana
Hapo kwenye mahusiano marefu hujakosea mtu mnadumu kuzini lkn ndoa hazidumu Miaka 7 Dida na Kumbi la 🔥 ndoa miezi 2 na nusu😂😂😂
Hivi kwa nini Ommy hakummuuliza juu ya ile ishu ya kupigwa hadi mimba kuharibika
Man to man ndio nn
Hahahahah man to man
Huyu dulla itakua alikua yuwakamilisha mashart ya kishetani
😂
Like man to man😂
Kwani wewe ni mwingereza?
huyo labda awe rafiki yako ni nani kati ya hao dada!!!?
Huyo Malaya TU inaonyesha hata ongea
Zai nae angeacha tu kiingeza kuongea "man to man" ndo nn Sasa kujidhalilisha tu😀
nmejiulza pia😂😂😂nljua atasm face to face
😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂
Wasanii wetu kutk kutunia luga za watu tukafanya maajb ndo hyo ss
Kwani nyie ni waingereza au!
empty soul