Nairobi si ngumu survival for the fittest dio kusonga ukifinish kumalo😅na watu wa comments muache kusema kiswahili ni chenyu ati wakenya awalikuja kueba let's me tell you maina kiswahili ilipita kenya but because sisi language zenye ziko kenya zilikua strong so kiswahili ikusimama kenya that why kiswahili ilisimama Tanzania because mulikua wathaifu na language yenyu if you don't believe enda kwa msema ukweli Google hapo dio utajua kiswahili ilitoka wapi na si Tanzania wala kenya😅😂😂
Ukiona inch yeyote dunian imeluhusu lugha ya colon lake kuongeleka wakaacha lugha zao siku zote izo inch zinakuwa na maish magumu san kwasababu mkolon anatk ushinde njaa hili hakutawale milele kenya mzungu anawachezea sana na bado hawajaamka
Acha nikwabie kakaangu kiswahili ilitoka kenya Mombasa lakini wakenya walikua wakiongea language yao so kiswahili ikusimama Mombasa wala ilikuja kushika in Tanzania ju nyinyi mulikua wathaifu kwa kilungh chenyu dio maana kiswahili ilishinka Tanzania so my dear enda GOOGLE dio utajua kwenye kiswahili ilitoka pia watazania ni wenzi wa kiswahili dio maana maisha nigumu huko pia😂😂what are you telling dud😂😂😂😂
Huzijui siasa za Kenya wewe! Pamoja na kutambua sana haki zao, msukumo wa Raila na Kenyatta ni mkubwa kwa waandamanaji. Fuatilia maneno Yao kwenye media. Siku chache nyuma, Hawa wanasiasa tajwa walikuwa mstari wa mbele kabisa kwenye maandamano
Pongezi kwenu wa Tanzania , ukweli ni kwamba watu hapa nchini wamevumilia vya kutosha.....enough it's enough. We cannot be highly taxed to repay back loans on behalf of the corrupt government 🙄😒😕🤔😑
nye bhana mnajielewa sana..you can not push around a Kenyan- no not them..sie tukotuko tuu thats why Mungu Anatuhuruma na kkutupa amani.but other than that KONGOLE KENYA!!!
@@naomiii9788 mnaiingiza nchi yenu kwenye hali ngumu alafu una sema mna democracy which democracy. Kuvunja maduka ya Watu? Wizi au kitu Gani Kama sio Bangi na Mirungi Inawaendesha.
In 1964 Kenya Airforce Daniel Owino plotted a mutiny against President Jomo Kenyatta from Lanet Barracks Nakuru Kenya . In 1964 Ugandan Luo-Langi John Gideon Okello led a revolution in Zanzibar against the Omani Arabs led by Sultan Jamshid Bin Abdullah who fled to exile in the UK . 17000 Arabs died freeing the black Bantu population from 500 years of Omani Arab subjugation . Tanganyika and Zanzibar United to become Tanzania .
In 1969 Kenya Nationalist Tom Mboya-was-assassinated. Tom Mboya was close friends with Dr Martin Luther King was responsible for sending Obama father to University of Hawaii and later HARVARD .
In 1969 Argwings Kodhek of Kenya, first Black lawyer/Attorney in East Africa and graduate of Makerere University in Uganda and University of South Wales UK died in a mysterious road accident in 1969 the same year that Nationalist Tom Mboya was assassinated in Kenya .
In 1971 Kenya Airforce Fighter Pilot Frederick Collins Omondi Oyoo(The best trained fighter pilot in post-independence Kenya graduating top of his class in Israel and UK) together with Airforce Joseph Daniel Owino(died in exile in London in 2012)Japheth Oyangi, Silvanus Oduor, Juvenalis Aoko, Ahmed Aden,Kenya Army Major-Gen Joseph Ndolo and Kenya Intellectuals including Makerere University Prof Ouma Muga Plotted a coup against President Jomo Kenyatta .
Dedan Gichuru who had graduated second last place in the same UK and Israel Airforce class as Frederick Collins Omondi Oyoo was rapidly promoted by Jomo Kenyatta later becoming the first Black Airforce Commander in post independence Kenya .
Hakuna kundi linaloweza kuzuka tu bila kuwa na kiongozi au viongozi. Hicho kitu hakipo. Sema wale wamewazidi akili mpaka imeshindwa kujulikana ni nani anawaongoza. Ukiangalia maandamano yao yanapangwa kwa ratiba, na wanapanga wakiwa kwenye maandamano wafanye nini na nini wasifanye. Hayo tu hayawezi kupangwa bila kuwa na kiongozi. Pia nasikia jambo lolote likipangwa serikalini au vyombo vya ulinzi na usalama, wao wanalijua chap kabla hata ya kufanyika na wanachukua hatua chap, kama ni kujilinda au kwenda kumu - attack yule aliyepanga kitu hicho. hayo yote hayawezi kufanyika kama hakuna kiongozi
@@hassanamani2131demokrasia ipo ila kuna wanaotumia nafasi zao uwongozini vibaya na ndio tunapambana nao wajirekebishe. Usidharaulishe wabongo ni watu wa akili.
Much Love to Tanzanians..Artificial boda ndio yatugawa...one Love one people.
Kumbe Tanzania maisha ni rahisi... Naona nikihamia uko😅
wakenya wanajielewa...sie watanzania nikujifichia kwenye media kisha kutwanga matusi na hali ziko pale2😂😂
Nairobi si ngumu survival for the fittest dio kusonga ukifinish kumalo😅na watu wa comments muache kusema kiswahili ni chenyu ati wakenya awalikuja kueba let's me tell you maina kiswahili ilipita kenya but because sisi language zenye ziko kenya zilikua strong so kiswahili ikusimama kenya that why kiswahili ilisimama Tanzania because mulikua wathaifu na language yenyu if you don't believe enda kwa msema ukweli Google hapo dio utajua kiswahili ilitoka wapi na si Tanzania wala kenya😅😂😂
Ukiona inch yeyote dunian imeluhusu lugha ya colon lake kuongeleka wakaacha lugha zao siku zote izo inch zinakuwa na maish magumu san kwasababu mkolon anatk ushinde njaa hili hakutawale milele kenya mzungu anawachezea sana na bado hawajaamka
Acha nikwabie kakaangu kiswahili ilitoka kenya Mombasa lakini wakenya walikua wakiongea language yao so kiswahili ikusimama Mombasa wala ilikuja kushika in Tanzania ju nyinyi mulikua wathaifu kwa kilungh chenyu dio maana kiswahili ilishinka Tanzania so my dear enda GOOGLE dio utajua kwenye kiswahili ilitoka pia watazania ni wenzi wa kiswahili dio maana maisha nigumu huko pia😂😂what are you telling dud😂😂😂😂
Kenya tunaanza kusoma katiba tukiwa darasa la 5 so tunajua haki zetu na tunajielewa
Kwahiyo viongozi wenu hawasomi katiba, iweje wanawapiga risasi?
@@hassanamani2131 ngoja waondoke madarakani utayaona
@@hassanamani2131viongozi tz hawasomi sheria inayokataza wizi? Mbona bado wanaiba? Nauliza tu😏
nakubaliana na wewe kabisa jirani
Gen Z
Nchi zilizoendelea Maisha yanakuwa magumu
Uzuri wetu Kila mtu anafahamu vizuri katiba na haki zetu.
haswaaa penda Kenya sana...tuombeeni nasi Tanzani jmni
Huzijui siasa za Kenya wewe! Pamoja na kutambua sana haki zao, msukumo wa Raila na Kenyatta ni mkubwa kwa waandamanaji. Fuatilia maneno Yao kwenye media.
Siku chache nyuma, Hawa wanasiasa tajwa walikuwa mstari wa mbele kabisa kwenye maandamano
❤❤❤❤
Kenya maisha magumu sana.
😂😂,Nairobi si ngumu.....survival for the fittest ndio mwenendo
Really
Pongezi kwenu wa Tanzania , ukweli ni kwamba watu hapa nchini wamevumilia vya kutosha.....enough it's enough. We cannot be highly taxed to repay back loans on behalf of the corrupt government 🙄😒😕🤔😑
nye bhana mnajielewa sana..you can not push around a Kenyan- no not them..sie tukotuko tuu thats why Mungu Anatuhuruma na kkutupa amani.but other than that KONGOLE KENYA!!!
Mfumo waujamaa ndio unatuangusha ndio maana cag taalifa yake tunaipuuzia halafu tunawaluhusu viongozi walafi wanatajilika nawakati uongozi niwito.
Watanzania sie bdo sanaa
dah kaka yangu Mungu Atukumbuke ndugu yangu...
Wanajua haki zao wahuni tu Akili hawana Bangi na Mirungi washenzi Sana sio binadamu
Wana akili kuwazidi wabongo
We umbwa
Sisi tuna democracy! Nyie wanyonge Pia ila sauti hamna! Endeleeni kulala twache sisi
@@naomiii9788 mnaiingiza nchi yenu kwenye hali ngumu alafu una sema mna democracy which democracy. Kuvunja maduka ya Watu? Wizi au kitu Gani Kama sio Bangi na Mirungi Inawaendesha.
Mshenzi ww
Palipo wazuri na wabaya pia hawakosekani. Wabongo endeleeni kuimba nyimbo za mapenzi. Tukimaliza huku tunakuja kuwasalimia huko.😂😅
In 1964 Kenya Airforce Daniel Owino plotted a mutiny against President Jomo Kenyatta from Lanet Barracks Nakuru Kenya .
In 1964 Ugandan Luo-Langi John Gideon Okello led a revolution in Zanzibar against the Omani Arabs led by Sultan Jamshid Bin Abdullah who fled to exile in the UK .
17000 Arabs died freeing the black Bantu population from 500 years of Omani Arab subjugation . Tanganyika and Zanzibar United to become Tanzania .
In 1969 Kenya Nationalist Tom Mboya-was-assassinated. Tom Mboya was close friends with Dr Martin Luther King was responsible for sending Obama father to University of Hawaii and later HARVARD .
In 1969 Argwings Kodhek of Kenya, first Black lawyer/Attorney in East Africa and graduate of Makerere University in Uganda and University of South Wales UK died in a mysterious road accident in 1969 the same year that Nationalist Tom Mboya was assassinated in Kenya .
In 1971 Kenya Airforce Fighter Pilot Frederick Collins Omondi Oyoo(The best trained fighter pilot in post-independence Kenya graduating top of his class in Israel and UK) together with Airforce Joseph Daniel Owino(died in exile in London in 2012)Japheth Oyangi, Silvanus Oduor, Juvenalis Aoko, Ahmed Aden,Kenya Army Major-Gen Joseph Ndolo and Kenya Intellectuals including Makerere University Prof Ouma Muga Plotted a coup against President Jomo Kenyatta .
Dedan Gichuru who had graduated second last place in the same UK and Israel Airforce class as Frederick Collins Omondi Oyoo was rapidly promoted by Jomo Kenyatta later becoming the first Black Airforce Commander in post independence Kenya .
In 1971 VP Oginga Odinga was placed under house arrest by Jomo Kenyatta .
GEN Zs
Hakuna kundi linaloweza kuzuka tu bila kuwa na kiongozi au viongozi. Hicho kitu hakipo. Sema wale wamewazidi akili mpaka imeshindwa kujulikana ni nani anawaongoza.
Ukiangalia maandamano yao yanapangwa kwa ratiba, na wanapanga wakiwa kwenye maandamano wafanye nini na nini wasifanye. Hayo tu hayawezi kupangwa bila kuwa na kiongozi.
Pia nasikia jambo lolote likipangwa serikalini au vyombo vya ulinzi na usalama, wao wanalijua chap kabla hata ya kufanyika na wanachukua hatua chap, kama ni kujilinda au kwenda kumu - attack yule aliyepanga kitu hicho. hayo yote hayawezi kufanyika kama hakuna kiongozi
oOooo
Mm Kenya nitawasifu tu,pale ambapo vyombo vyenyemamlaka vitakapochukua hatua kali
Katiba inamkinga mwana nchi kudhulumiwa na serikali. Badilisheni katiba kwanza, itawafaa.
Kenya tuko mbele.....kidemokrasia ufisadi ndio challenge. Women are tough here nahujituma sana kiuchumi
Demokrasia gani wakati serikali yenu inawachapa risasi?, kungekuwa na demokrasia mngeachwa muandamane bila kutekwa na kupigwa risasi
@@hassanamani2131 we know our space we fight for it ...
@@hassanamani2131 hao polisi hujikuta mashakani wakinaswa na kanda za video
@@hassanamani2131demokrasia ipo ila kuna wanaotumia nafasi zao uwongozini vibaya na ndio tunapambana nao wajirekebishe. Usidharaulishe wabongo ni watu wa akili.
i cant agree more...sie Tanzania bado sana kiongozi
Tatizo nyee swatu nimait munatembea