SubuhanaAllah 😭😭😭yarabi dunia mm naiogopa nikisikia mambo kma haya eti mtoto anapondwa kma mahindi😭😭😭emungu wangu ole wangu mm binadamu😭😭😭 nijalie mwisho mwema Mungu wangu
Mie Ndo maana huwa sipendi kusikiliza usiku yaani Naogopa sana hawa wachawi moto wao ni mwingi sana imagine mnabanika na kutangwa binadamu mwenzako du ni hatari
Jamani ivi Kweli mwenyezi mungu yupo Kweli na kama yupo anashuhudia yote yanoyofanyika na yanayo fanywa na hawa mafiraunii ila inauma sana maana Mimi mwenyewe dada yangu wakwanza alifariki akiwa mdogo 😭😭 inauma Sanaa
Duh duniani kuna mambo kitenge tu unataka kumuua mwanao ila ndo hvyo kijijin kwetu mama mdgo alimuua Mtoto wa dadake alikuwa dokita muhimbili ndo alikuwa kaajiliwa kisa kitenge cha zawadi eti kawa wa Mwisho kwenye mgao wa zawadi
Jamani mbona huyo bibi anarohoo ngumu hivyo kuambiwa sina pesa yakukununulia kitenge ndouuemtu wakati ushamuulia watoto wake nane??huyo mtoto alijua mama yake sio mtu mxuri akaamua kutomununulia aisee watoto nane hivyo nimisukule
Wachawi wana laana sana just imajine mtoto mdogo mateso hayo atakua amekosa nini?hapa silaha iliyobaki ni maombi tu MUNGU atupe nguvu maana kuna mapambano makali tunaosema ni wazuri kwetu kumbe wanatuzubaisha tu hili watumalize kisiri eeh MUNGU tuokoe na haya.
Copy & paste from Promoter TV, Umekosa contents umeamua kuiba shuhuda za kweli za watu na kuziedit then umetafuta hao jamaa zako ukawamezesha script then uibie watu upuuzi mtupu
SubuhanaAllah 😭😭😭yarabi dunia mm naiogopa nikisikia mambo kma haya eti mtoto anapondwa kma mahindi😭😭😭emungu wangu ole wangu mm binadamu😭😭😭 nijalie mwisho mwema Mungu wangu
🤗🤗😥😥😥
Poleee
@@credo7837 haya
@@maryamumapenzi1257 pamoja
Mmmmmh jamani duniani kunamijitu inaloho za chuma😭mi adi naogopa ivyo😭😭😭😭😭😭
😭😭😭😭😭
Mie Ndo maana huwa sipendi kusikiliza usiku yaani Naogopa sana hawa wachawi moto wao ni mwingi sana imagine mnabanika na kutangwa binadamu mwenzako du ni hatari
@@rebeccapmashauli2648 Yani we achaa alafu watu wenyewe tunalala pekee etu😭😭😭😁😁😁
Subhana Allah eemungu naomba nife kihalali sio adhabu hii
Huyu jamaa bhn..eti "kwa sababu story inaendelea basi utajua mbeleni"😂😂😂😂😂😂
Kumekucha uku hii story Ni 🔥🔥
Daaaaaah tunamtwanga duuuuh to much hii sayari aki ya mungu kuna watu peponi watapasikia kwenye bomba...!!!
Leo umechelewa sana mzee baba
Thanks again big brother ❤️
Oraaaa Oraaaa funika mbaya nomera uno
Chapa nembo Davistar Nakubal
Karibu tena kaka
Nakukubalisana kaka davista mata ukovizulisana
Mpaka munatwanga watoto wa watu mungu piga kibiliti wachawi siku ya ukumu🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nilipo ambiwa kua uyaone nilizani magorofa 🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️🤦♀️dunia mzitoooo hiii..
Duuu wachawi mungu wateketeze kwa moto
Hivyo vyote Ila faida hakuna..Mungu atulinde kwa kweli..
kaka Davi,maswali mwisho wa kila hatua,nakili chini kaka
Mmmmmh jamani Dunia hiiiii eemamaaaaaaaa Kuna Tisha hadi naogopa🤦♀️
😀😀😀pili umeniwahi
Kabisaa
😂😂😂😂😂😂
@@pilimusa7770 😀😀😀😀😀😂😂takuroga
Davister kichwa panzi 😂😂😂 maswali hayakuishi unarudia rudia maswali hovyo hovyo 😅😅😅
Boujour
Merci merci davistar mata
@@nahishakiyeassuman5541 Bonsoir!
Jamani ivi Kweli mwenyezi mungu yupo Kweli na kama yupo anashuhudia yote yanoyofanyika na yanayo fanywa na hawa mafiraunii ila inauma sana maana Mimi mwenyewe dada yangu wakwanza alifariki akiwa mdogo 😭😭 inauma Sanaa
Yupo ndio maana kuna moto Siku ya malipo
Pole sana
😭😭😭😭😭😭
mungu yupo sana anangojea watu watubu
Aysha. Jirani. Blessed. Khulood. Somoe. Nguwalo. Hamad. Aiyam. Bady. Kevarist. Sapna. Fatma. Kawthar. Najma. Griezmann. Zabiya. Amina. Njooni. Davistar uwajani🎈🎊🎉🎈🎈🎈🎈🎈🎊🎉🎉🎉🎊🎊🎈
I’m here darling,,,vipi hichi kibaridi kwenu kipo maaa huku kwetu ni hatari
@@somoeawadh7774 sie lipo hatari.
@@somoeawadh7774 karibu kipenzi
@@pilimusa7770 Asante
@@somoeawadh7774 pamoja
Sasa,uko poa,mimi niko Kenya, Unaweza aje toa mtu kwa gambosh(msukule)please ...please nisaidie
Naogopa jamani hasa usiku hata chooni naogopa kwenda mimi
Mungu anawaona jibu tosha hosipitalini watoto kufaa wachangaa nyinyi ndomwauwa
Hii kitu ya moto sana daaah
Hapo sasa vizuri, angalau leo tunaona mbili afadhali.
Wapili tena
Nimewahi hii story ipo vzr na msimuliaji ana jitahidi.
Kumbee aliwahifadhi watoto wakijana wake🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️🤦🏽♂️msukulee jamani mwazika mgombaa
Wa kwanzaa🎊🎊🎊🎈🎈🎈🎈🎉🎉🎉🎈🎈🎈🎈🎈🎈🎈
Na mimi je☹️☹️☹️☹️☹️
Mtoto wa musa ulilala TH-cam
@@shaby988 alipigiwa sm
@@shaby988 😂😂😂😂😂😂 nilikuwa nasikiliza episode iliyopita. Ndiyo nikaibamba na hiii😂😂😂😂😂
@@najmasaidi1412 karibu kipenzi😍😍😍😍
Jamaniii looh
Umeiba uko wanalalamika p tv
Hadithi inafanana na yule msukure Cosmas.wa jactan Msafiri.dah
Unaroho Sana kusikiliz mazito haya
🤗🤗🤗🤗🤗
Simulizi au mahojiano??
Wachawi, waganga, na wakala w giza wasipotubu hukumu ya mungu unawangoja gehanamu
Nimekereka Kuona story nzuri kama ihi imeisha
Dahhh nimechelewa jamani kwa ajili ya gangaa
Dunia hii jmn duh
Maajabu
Umefanana na ushahidi wa Kosma
Nani amemuona masai akichezea mti
May God have mercy
Good story
Dunia ina mambo 🤔
Kitenge tu bibi kaamua kumua mwanae Mungu atusaiďie jamani
Duh duniani kuna mambo kitenge tu unataka kumuua mwanao ila ndo hvyo kijijin kwetu mama mdgo alimuua Mtoto wa dadake alikuwa dokita muhimbili ndo alikuwa kaajiliwa kisa kitenge cha zawadi eti kawa wa Mwisho kwenye mgao wa zawadi
Ila bana Davistar umeibania sana muda aisee!!!
Jamani nimemkumbuka Zabron
Thanks brother, God bless your work 🙏
Amen 🙏🏼
@@salimsalim-lj9uz 💙
🤗🤗🤗🤗😍😍😍
@@sweetie6934 😂
🤔🤔🤔🤔
Veeepeeeee😂😂😂
@@pilimusa7770 hatari sana
Ohoo wanakataa ulimi kwachini ndohutaongeaa
Astghafiruh ,,, davsta unayo kumsikilz live mie mbn namuogopa ss dah hii dunia n yaajabu
Dini cku hizi haisahidii maana ata wao viongozi ni hao haoo
Kaua watu 8 ,Duuuuuuuuu
Duh makubwa
Jamani mbona huyo bibi anarohoo ngumu hivyo kuambiwa sina pesa yakukununulia kitenge ndouuemtu wakati ushamuulia watoto wake nane??huyo mtoto alijua mama yake sio mtu mxuri akaamua kutomununulia aisee watoto nane hivyo nimisukule
Dunia Ina Mambo mengi Sana jmn
Weka ingine mze davi
🇰🇪👏👏
Mmh ,mmmh 🙆♀️🙆♀️
Hii simulizi sijui nishaisikiaga wapi aisee
Kuna jamaa msukuma aliisimulia kwenye page ya jacktan msafiri huyu jamaa kakopi tu si muhusika
@@tuzakavera534 au sio kweli bana umenikumbusha nilikuwa navuta picha haiji kabisa wakati hii story nishawahi isikia kabxa
Alhamdulillah w mwisho nmepata mxba😭😭🇪🇭🇪🇭🇪🇭🇪🇭
Pole kesho basi wai
@@fatmaalrshdii7615 Asante kipenzi😍😍😍🤗🤗
Innaa Lillaahi Wainnaa Ilayhi Rajiuun,pole sana habiibatiy!
@@suleimanmustapha101 Asante kipeni😭😭
@@suleimanmustapha101 😍😍🤝🤝
💪💪💪💪💪
Mtu makini katika ubora wako pamoja sana kaka angu waukweli ulipo Nipo
Leo nimejitaidi kuwai japo nipo 34
Tunasubiri 4 tafadhali kila mara nachungulia tu sionii🤦♀️
Nawapata viema
Wachawi wana laana sana just imajine mtoto mdogo mateso hayo atakua amekosa nini?hapa silaha iliyobaki ni maombi tu MUNGU atupe nguvu maana kuna mapambano makali tunaosema ni wazuri kwetu kumbe wanatuzubaisha tu hili watumalize kisiri eeh MUNGU tuokoe na haya.
santa davi
hii story kama niliwai hisiki hapa hapa kwa David star
Uko sahihi hii stori huyu jamaa kakopi mahali kwa jacktan msafiri
Mr..fact mtu makini...tunatoa bandama na moyo
Njoo ingawa, usk mnaogopa
🤝🤝🤝🤝🤝
Gamboshi ya Kenya iko wapi?
Likoni
Digo
Copy & paste from Promoter TV, Umekosa contents umeamua kuiba shuhuda za kweli za watu na kuziedit then umetafuta hao jamaa zako ukawamezesha script then uibie watu upuuzi mtupu
Kumbe gambush waliniulia mwanangu 😭😭😭
Yan wetumuachie mungu
Pole sana dadangu
Pole sana
😭😭😭😭😭😭😭
Yani mtu unauwaa watuu 8 bila hurumaa
Hatari sana.
☹☹
Dunia kweli si mchezo
Copy and paste
Duuh had bandama
😂😂😂😂😂😂
Mungu anawaona jibu tosha hosipitalini watoto kufaa wachangaa nyinyi ndomwauwa