MZEE YUSUPH asitisha INTERVIEW baada ya Mkewe kuulizwa SWALI la Uke WENZA ''Mke sio kama NAZI''

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 37

  • @AzaAzamhmod
    @AzaAzamhmod 5 หลายเดือนก่อน +2

    Leyla Ana dam ya nguo mashalah anachovaa👌♥️♥️♥️♥️

  • @RitbayRitbay
    @RitbayRitbay 5 หลายเดือนก่อน +8

    Wanawake wamekosa hya na kujishusha thamani subhanallah Allah awaongoze.

  • @sadikjuma5519
    @sadikjuma5519 5 หลายเดือนก่อน +3

    Much love from 254🇰🇪❤️✨... Ila mwaka wa 2004 hadi sasa ni miaka 20 not 24.

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 5 หลายเดือนก่อน +8

    Kavumilia mengi sana huyu dada Acha tu..wazeeke kwa neema

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ 5 หลายเดือนก่อน +6

    Ibilis akitaka kuangamiza mji au familia hupitia kwa Mwanamke, waeza kataza jambo kwa Mkeo lakini akawa analirudia kila mara masikioni mwako mwisho unamkubalia, huwezi acha kuimba taarafu alafu Mkeo bado mwimbaji ngumu

  • @Aziz-p6s
    @Aziz-p6s 5 หลายเดือนก่อน +7

    Nampenda sana raila hana mambo mengi maashaallah

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 5 หลายเดือนก่อน

      Raila tena ??ilo jina la mwanasiasa kenya

    • @salimsoyo8118
      @salimsoyo8118 5 หลายเดือนก่อน

      Ni leila

    • @Fondo0
      @Fondo0 5 หลายเดือนก่อน

      Raila ni mtu wetu wa maana uku Kenya

    • @AllyhHassani
      @AllyhHassani 5 หลายเดือนก่อน

      Mmechoka sana hamna jipya tena bora muurudie muumba wenu tu

    • @HabibaHassan-t2u
      @HabibaHassan-t2u 5 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂​@@salimsoyo8118

  • @RajabuHayyan
    @RajabuHayyan 5 หลายเดือนก่อน +3

    Reila mvumilivu ndio.maan uwez kumuacha 😅😅😅wanakuja wanamuacha 😅😅hongera madam reila 😅😅pambana

  • @ROZITHOMAS-y4q
    @ROZITHOMAS-y4q 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mie huyu mwimbaji yusuph kaniudhi kumkataa mtoto wake ambaye anafanana naye. Sitaki hata kumwona

  • @Muhamed_mo
    @Muhamed_mo 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mhhh mzee yusuf hata kucha umechonga bado nn kwako ushanga na kipini tu

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂❤❤❤ asant dazai nakuona kijiwenongwa

  • @paulmushi2428
    @paulmushi2428 5 หลายเดือนก่อน

    Hawa wote Wanawake wa Kiislamu, Masheikh hapo kimyaa!

    • @mussamgonola3983
      @mussamgonola3983 5 หลายเดือนก่อน

      Masheikh unawaonea hawana pepo ya kumpa wala Moto hivo hayo ni maisha yao , mwenyezi Mungu mwenyewe ndo anaehukumu ! Dunia tamu ndugu yangu we Acha Tu hasa ukiifuata sema tuombe mwisho mwema

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 5 หลายเดือนก่อน

      Wakati wa ule mwezi wa Ramadan panakuwa kimya,bar zimetulia,kumbi za starehe kama makanisa..hata kitimoto haina wateja

  • @ZainaFatma
    @ZainaFatma 5 หลายเดือนก่อน

    Mmesaulika sana bora mungee kaa kimyaa tu watu wazima hovyo😂😂😂

  • @GreysonMdee-wm8tn
    @GreysonMdee-wm8tn 5 หลายเดือนก่อน

    Yaani ndo wamekuja kuangalia hiki nilichokiona mwisho wa interview au, kesho utasikia wanawake wanalia hawathaminiwi

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk 5 หลายเดือนก่อน +1

    Mapete ya nn mwnamme

    • @muhammadjuma8457
      @muhammadjuma8457 5 หลายเดือนก่อน

      Mwanamme kuvaa pete sio kosa ila kwa ayo mengine siyaungi mkono

  • @wemaMichael-fr4th
    @wemaMichael-fr4th 5 หลายเดือนก่อน

    huyu nae kuhoji hajui

  • @shabaniramadhani8026
    @shabaniramadhani8026 5 หลายเดือนก่อน

    Muendelee kulaaniwa. Wa Zanzibar mpaka uchi hovyoo{o

  • @FatmaHassan-t4q
    @FatmaHassan-t4q 5 หลายเดือนก่อน

    Eeh !wee mzee ayo mapete mapaka madole gumba..umejua km C muislam !? Duh!?

  • @marselinarweyemamu4034
    @marselinarweyemamu4034 5 หลายเดือนก่อน

    Mbona umemkimbiza mwandishi jamni swali zr tu

    • @muhammadjuma8457
      @muhammadjuma8457 5 หลายเดือนก่อน

      MZEE KAMPA CHATI ZAIDI MKEWE NDO AKAKATISHA MAHOJIANO

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 5 หลายเดือนก่อน +1

    Inaonekana mzee Yusuphu anapenda nazi sana 😂😂😂😂 kila kitu nazi

    • @zehrahaji1566
      @zehrahaji1566 5 หลายเดือนก่อน

      😁😁😁😁😁

  • @babajay3445
    @babajay3445 5 หลายเดือนก่อน

    Karudi mjini

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 5 หลายเดือนก่อน

    😂😂😂😂❤🎉

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu 5 หลายเดือนก่อน

    Layla mbona uliposema mafanikio ya sauti Yako NIKWASABABU hutumii vitu vikali ,umechakaaaaaaaa mhhhhhh 😂😂😂😂

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 5 หลายเดือนก่อน

      Kwani yeye chuma hazeeeki?

    • @zehrahaji1566
      @zehrahaji1566 5 หลายเดือนก่อน

      Ndo binaadamu anakonda