Hio nyimbo walipga fresh ,yaan wakirud pamja kwa mtindo huo ,watafika mbali sana Zaid walipo Sasa na watakosha mashabiki wengi
Chemistry ya DIAMOND PLATINUMZ Na NEY ilikuwa Kali Sana Na wakirudi Tena pamoja ineza kuwa fresh Sana sababu NEY Kweli ana kipaji kweli
Patamu apo waachie mawe ayo
Duu Richie ako na sauty ya utangazji na vibe kwa snaa 2
Ww dogo ambae upo km anchor, unashida gan na vivanja vyako, hutuliagi, pekechapekecha muda woote, nilikuona kuanzia kwenye interview ya
Mala bange mala matusi sa ndo mziki ganiu
Hi ni hip,hoo nanananan malafiki wa nyumban
Daah collabo nzuri sana rudin tena ila sasa mond kuna ka msitar
Kwamba hiyo michezo yenu ya kutoboa pua chaajabu yee ndo katoboa.
We mwamba unaongeaga vibaya afu mjuaji sana na nguo zako nyeusii
Hm!!😮
😅
week nzima mnamuongoloea Diamond, kwel mond ni staa aisee
Kwani wee ndo unajua leo kuwa Mond ni staa au kipindi chote hicho ulikuwa kuzimu nn
Sema hawa madogo wana Talent wanaweza kuziba mapengo ya wakina Dullah! Wana great Pottential! All the best