Jambo ndungu mtangazaji nakufata moja kwa moja sauti yako iko tokoos naitwa mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theodore kakonga naishi South Africa province ya free state Bloemfontein bravo waza waza bravo fdc tuko pamoja fanyeni nguvu mutoshe Hao maaramia mwenyezi mungu iko pamoja nanyi
Sisi Wana inshi wa Congo tunamuchangao mukubwa Sana,leo tunasikia waasi wanakama sehemu Fulani kesho yake FRDC imekamata tena.sasa himuchezo NI muchezo GANI?
Jambo ndungu mtangazaji nakufata moja kwa moja sauti yako iko tokoos naitwa mwana mufalme katika kizazi chaine chenye utukufu teeeeeeeeeeeele papa Theodore kakonga naishi South Africa province ya free state Bloemfontein bravo waza waza bravo fdc tuko pamoja fanyeni nguvu mutoshe Hao maaramia mwenyezi mungu iko pamoja nanyi
Asante sana papa
Tunawafata vizuri sana tuko Burundi camp musasa
Thank Iyamba lyetu tv Tuna kufàta vìzuri sa.na.tukiwa USA ndugu
Ni ovyo vita kufanyika daima nchini Congo tu ; inabidi kuwasha moto kwao adui. Hivyo, adui wataelewa umuhimu wa Amani kwa wote...😎
Vitæ inapashwa kupelekwa nchini Rwanda ndipo watajuwa ubaya wa vita v
Nawapata vizuri kutoka tanzania kigoma kasulu, naitwa mwibeleka Aka papa LAX
Mimi ni Maisara londin kutoka hapa bruxelles,umesikika vizuri sukuma iliyo haku yetu
Thank Iyamba Letu tv tu pe habari za Ka.nabayonga
Mimi ni François Sandel. Ninawafata apa Mwenga
Safi sana karibu tena
Sauti inatoka vizuri tupe mbichi ! Nakufata kutoka Congo vile de Goma
Nasikia nikiwa Kampala MUNGU akubariki mtangzaji
Asantisana Mimi Niko kyikyi Moise kutoka kamukumbi kutikauganda
Nakufata sana ndugu yangu ni mimi honore nikiwa Malawi
Niko goma nitano ju tano
Miye naona yakwamba sisisote tukuwe wazalendo ni kakule muthamo kutoka beni territoire précisément kasindi lubiriha
NAWAPATA KUTOKA UTICA NY USA
Jambo mutanga zaji
Sisi Wana inshi wa Congo tunamuchangao mukubwa Sana,leo tunasikia waasi wanakama sehemu Fulani kesho yake FRDC imekamata tena.sasa himuchezo NI muchezo GANI?
Hii tv imekufa mbona haisikiki?
KAMA NI HABALI ZUNGUMUZIA ULIO YA ANDIKIA USICHANGANYE MAMBO
Asante sana
Huku matadi tunafata vizuzi