Anachokifanya mwijaku kwa mondi ni sawa na anachofanya madter j wenye alama d ndio wanaelewa kwakuwa binadam tumeumbwa kuwambiwa maziri alafu tunajisahau na tukiambiwa mabaya tunamchukia msemaji wakat analengo zuri lakukujenga kutokana na maoni ya ww kutakiwa kujiweka vizuri zaid baada yamaoni yao
Kuna kitabu kinachozungumzia maisha ya RICHARD BURTON, kinaitwa " Richard Burton: A Life" kimeandikwa na Melyvn Bragg. Nadhani alikua anamaanisha kitabu hiki ila tu amekosea jina.
Me nliwaambia kua mwijaku yupo katika kumsifia diamond ktk negative way!
Daaah huyu jamaa leo ndo nimejua ana akili sanaaa
Mwijaku ana akili kuliko elimu aliyonayo namanisha haya maisha aliyonayo mungu kamsadidia kupitia akiliyake nasio elimuyake
Nawakumbusha tu hakuna muha anayefanya biashara inayomletea hasara
Mwijaku bwaaana
Mwijakuu,maokoto🙌🙌🙌
AAHA KAKA😂😂😂
❤❤❤❤❤
Anachokifanya mwijaku kwa mondi ni sawa na anachofanya madter j wenye alama d ndio wanaelewa kwakuwa binadam tumeumbwa kuwambiwa maziri alafu tunajisahau na tukiambiwa mabaya tunamchukia msemaji wakat analengo zuri lakukujenga kutokana na maoni ya ww kutakiwa kujiweka vizuri zaid baada yamaoni yao
Mwijaku uko vzr bila kukosolewa ata mmi siisi kama naendelea
Mwijaku akili kubwa kinyama😂😂
Hakuna kitabu cha Richard Burton kinachoitwa story of my life 😅😅😅
Anatuona kama matako yake 😂😂
Anazani watu hawajui ku gugu aka google😂😂😂
Mwijaku muongo hakuna Richard hana kitabu hicho
Kuna kitabu kinachozungumzia maisha ya RICHARD BURTON, kinaitwa " Richard Burton: A Life" kimeandikwa na Melyvn Bragg. Nadhani alikua anamaanisha kitabu hiki ila tu amekosea jina.
@@infotainment677Thanks for the information
Njaa inamuhangaisha
KABLA YA KUPOST JALIBU KUREGEBISHA MAHANDISHI YENU MANA MUNABOA....MUKIANDIKA KABLA YA KUPOST PITIA ILI
🎉🎉🎉mwijaku
Chawa mzuri sanaa
Content hzoooo
Unafiki tu ww mwijaku
Mbaka huku mnachieza aviator
Hajawahi andika kitabu hicho bro
Kaka unajua kucheza na akili za watu ,kweli wewe upo kikazi
Ila huyu mpuunzi
Hili li mwijaku lina akili sana
Sema linabomoaga mpaka sio poa
Richard brayson
😂😂😂😂😂
Mwambini 😂
Uchawa. Wamwejaku. Unakua wakupitiliza. Kumuzi mtu. Kwaneno. Yake. Hajui. Kua. Shida. Hazina.kofia
Unamchukia ww kaka ukimchukia mwijaku utakufa bure maana yy kama upepo tu kokote anaenda akili yake inapomtuma ilimradi tu apate chochote kitu
Du! Kitabu hiko umekiandika wewe mdomoni mwako
th-cam.com/video/7d2xthYCxPo/w-d-xo.htmlsi=WbVyIzVFRENRLlAL
th-cam.com/video/eBL874y_8n4/w-d-xo.htmlsi=tlHjydojdNmMqxQe