MZEE MASATU: ATAPIKA NYONGO KWA KOCHA MEXIME | BOKA SIMJUI | SIMBA BINGWA | MAVAMBO NI HATARI SANA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 29 ก.ย. 2024
- JE UNAHITAJI KUTANGAZA BIASHARA NA WISPOTI TV.
KARIBU TUKUHUDUMIE KWA GHARAMA NAFUU, WASILIANA NASI KWA SIMU NAMBA 0743040370 AU TUCHEKI KUPITIA WHATSAPP NAMBA 0758099136.
Yanga imeanda kuchochora tarehe 19 labda watumie ndumba ila kwa kucheza mpira tunawachapa
Mzee uko sawa
Rise and fall of yanga
Chama ni mzuri lakini mkupishana naye kidogo hana hasara anakuharibia mtu Hatari sana.
Hahaaa,Mzee masatu wa moto
Sahihi kabisa mzee hata huku mikoani simba inapocheza shughuli nyingi zinasimama kwa mda mpaka mpira uishe
Mzee masatu upo vizur sana mzeee wang nitakuja dar kwa ajili yako
Mzee masatu unaongea vizuri sana ila mambo ya ccm hatuitaji humu
Kwa kweli Rachel mambo ya ccm. Hapa ni mpira tuu.
😅😅
Kipa tunae na tunatamba nae
Kwa nini msitenganishe mpira na siasa..? samia anatumia pesa za walipa kodi kujipendekeza kwenu eti ananunua magoli .. kwani hizo pesa katoka nazo kizimkazi? Huyo mwanamke anawezaje kuwa kipenzi chenu huku akiuza bandari na maliasili zetu kwa waarabu? Je kama yeye ni kipenzi chenu mligawanaje pesa alizohongwa na waarabu hadi akaua na kuwahamisha wamasai kutoka kwenye ardhi yao..?? Aisee mnaboa sana mnapokuwa mazwazwa mkishangilia mpira huku nchi ikiuzwa na bado mnamuita huyo fisadi eti ni kipenzi chenu?? Kipenzi cha Watanganyika hakiuzi nchi.. eg Mwalimu na Magufuli.. peke yao! Punguzeni umatako aisee!
Huyu Mzee masatu ninoma aise
Yanga hawajakutana na Dodoma kelele za nini,KMC kapigwa 4 na Azam Yanga mdebwedo jana
Boka angekua p.ddy ungemjua Mzee masatu achaizo
Mzeee saidi jamn mbna simsikii saiz
Masatu ongerea mpira habar zamamako Samia uende huko utapoteza mashabik wanaokufatilia kwajili yahabar zakusema mama hatutak
Wew leta dharau kwa mkuu wa nchi kama hujafichwa dakika sifuri !! Jichekeshe
Mzee masatu unatsha sana
19 October ndo watajua yanga kuna wazee au akina kapombe , ngoma, wana umri mdogo kuliko akina job, kibabage, max, mzize,boka.
Mbona unapanic sasa
Ndio hadi unataka kulia tulia sio mbali mtatafutana taifa nyie mjidanganye kama hamjamfukuza gamondi😂😂😂😂
Gemu 4, clean sheet 4, goli 10, point 12, lazima m-panic
Yaani Utopokwix wanahaha hawana la kusema watulie dawa iwaingie
Kwani vipi mikataba ya Kagoma mmeifungia vitumbua
Ubaya Ubwela ❤
😂😂😂😂