TUNATANGULIZA SAMAHANI KWA KUCHELEWESHA KUIWEKA MUVI HII "KUBWA KULIKO" PIA MASHABIKI ZETU WAPENDWA MSISAHAU KU SUBSCRIBE/ LIKE/SHARE&COMENTS CHANEL YETU. THANX FOR YOR SUPPORT 👏👏👏
Ndani ya Kubwa kuliko kabla sijaicheki nimeona ni comment kwanza ayse hongereni wana White's Film mnapambana kwa kutoa vitu adimu from funny real life... Heko sana
TUNATANGULIZA SAMAHANI KWA KUCHELEWESHA KUIWEKA MUVI HII "KUBWA KULIKO"
PIA MASHABIKI ZETU WAPENDWA MSISAHAU KU SUBSCRIBE/ LIKE/SHARE&COMENTS CHANEL YETU.
THANX FOR YOR SUPPORT 👏👏👏
Mmi wala Mn nawapend sana Sana nyie watatu mkojan tin and nagwa yani mambo bruu bruu haaapaaana hapana 😂 Aah weeh
@@emmymajula879 thanx
Mm nimshabiki kweliii
Mvumilivu kwa kila kitu,
Pambaneni ninawapenda sana
@@OSOONLINETV 👌 😍 😍
Mumetisha
Nawakubali Sana tin white na mkojan movie nzuri sana
Ambao hatuchoki kuitazam basi weka like kubwa hapo tuwe pamoja
Daaah kama ulikuwa unateseka kamaa mm kuisubiri KUBWA KULIKO weka like twenzetu mpk mwisho
Mmetisha sana wakuu kwa mwaka huu bongo movie mmeibeba mabegani 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪💪💪💪💪💪💪🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Thanx for your compliment
Tulioikubal kubwa kuliko gonga like hapa 👌
Jamani kama ulikuwa unaisubili kwa hamu kama mimi gonga like
Niliisubr sana ila ndo ninaiona Leo
Heheh
@@joelteti4007 mm DA
Watching frm saudia movie nzuri sana mungu awape mafanikio zaidi inshallah
Daaaaah mkojan bwana ukichanganya tin white a cha tu ety msnhahara n six mouth😂😂😂😂😂💖💖💖
Ndani ya Kubwa kuliko kabla sijaicheki nimeona ni comment kwanza ayse hongereni wana White's Film mnapambana kwa kutoa vitu adimu from funny real life... Heko sana
Yaani leo nimecheka na hii movie pale kwenye kula
Mimi ni William naishi Australia since day one napenda sana kazi zenu
Alie sikia mshahala ni six months😂😂 agonge like
Nipe likes kutoka kenya 🇰🇪
Salute kwenu tin white mkojan mmetisha thank
Napenda san movie ya mkojan na tin white ❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂
Apa sasa nimekubal japo uliahid j2 ila syo mbaya kazi nzuri kw Tinwhite na washriki wengine Bonge la movie imekaa kizazi zaidi🙌🙌🙌
Imetulia na ipo kwenye kiwango Cha asilimia 💯
Hawa watu wanahitaji support kubwa... wako vizuri sana...yaani kazi kama hizi raha hadi unasahau taabu za dunia
Wacht from Qatar ilike this movie
Kazi yenu iko Safi kabisa 🇰🇪
Tin White ana expressions za mshangao kali balaa. Tujivunie vipaji vyetu 👏🏼👏🏼👏🏼
Kabisa yani noma sana mchizi
Oy
Katisha kinoma
Kabisaàaa
@@arafaali3738 .
Tin white and mkojani ..fire sana ..watching fro Dubai plz part 2
Jaman uy mkojani ana nikosha kwl😘😘😘😘😘😘😘😘
Jaman mm ni nanyota ya mbwa 🤣🤣🤣👀👀👀 like za white 🏠 tin ft mkojan from nagwa tunawafilimba cna 🤣🤣🤣
Kubwa kuliko
Mm pia napenda kuigiza San lakin sijuw kwakutokea jaman please help me
Noma sana hii kitu kubwa kuliko
Watch from chille good job
Chakufia nn naacha kazi kwakweliii😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nawapenda mnatuokoa sana kutuwekea TH-cam cc tulio nje ya nchi tunafili km vle tupo home tz
waooo mkojani na tim white muko sawa mapenda move zenu yani hata kama hutaki kucheka utacheka tuu hahahahahaaaaaaaa
Leo mm wamisho kuiangalia like yako peleka benki ukaiifadhi
Laki6 mbona nyingi sana nipunguzie utaniua mim baba Sijazoea😂🤣
😂😂👍👍
😂😂😂
@@sadamissa5687 ucjl
Nampendag tin whitee mambo zakee tuu😂😂😂
Nyota ya ubwa 😆😆🤣🤣😂😂
Kweli ni kubwa kuliko saluti kwenu kaka
Siraha ya rungo na makerere😁😁😁😁😁 jamani tin na kipupwe❤❤❤🇧🇮
Tin white😀😀😀😀😆😆😆eeh bwana eeèeh anakuja😄😄😄😄🙌🙌🙌🙌
Good work
Kama umechelewa Kama mm Like hapa
Am not scared mbwaa ww😂😂😂😂😂😂😂😂
Kama umesikia makange ya ngamia gongs like
Duh watu mnajuwa kuwahi 🤦♀️🤦♀️💕🤣🤣
Aise
Ni utaratibu wa kuletewa chakula labda au yule mpemba ana funguo 😆😆😆😆kubwa kuliko
Kama unaangalia movie uku unasoma comments pls iheshimu comment ya kwanza kwa ku like hapa
Hiii kweli nyota yambwa😀😀😀
Wakumi na sita😍😍😍
Always am with you guys naipenda kaz yenu we needs more than that.
Nimeanza kucheka kabla hata yakutizama, acha niendelee
safii sanaa
Tin white unapewa pesa nyingi hasa ya kulinda unasema punguza 😅😅 sawa bhana
babu yangu anaitwa kipepe😂🤣🤣
wrka mzgo mkojani bnh acha utani... part twooo
Nawapenda sana woooooooooote
Magid
Yaaaan bonge LA surprise jmn
Mkojani ni mwarabu mshahara wa laki sita 😅😅😅tini wey wakupunguziy hujazowey😅😅
Kubwa kuliko
Makelele Tu baba
Nimeipenda movie
Mkojani napenda Sana move zako🌹🌹🌹
Nawakubali sanaa
Safi sanaaaa
Mwanga ndiye anagonga
Yani nilivyokuwa naisubil😆nyota ya mbwa😆😆😆😆😆😆
Mm
kazi Yenu ipo vizuri sana Tena sana
I like this movie
Weka part 2.. 😋😋
Nilisubir sanaaaa na waqubal sanaa
Chakula niuhai bhna 😂😂😂😂
Tin hanajua kuni vunja mbavu 😂😂😂😂😂😂
niliisubirii xana hii
Wapi prt 2 wakubwa
Hatimae ile juma tatu imefika
God is bless bigg up for big move 🙏🙏🙏 one day yes friends
I see 2day. It's good move
Kweli leo nimejua nina nyota ya mbwa😁😁😁😁
Hehehe...kubwa kuliko...kz ipo
Mwalimu wa karet🤣🤣🤣🤣 zunde utakufwaaa
Hi mmejua kunifurahixha,,,,
Namaste tin bwan
sema jaman muwe mnanyoa ndevu kidogo 😂😂😂
Do yu wanti jobu yes i wanti this jobu take jobu i have jobu😂😂😂😂😂
soh
Tunatakapart 2 nakwenderea jmn
Nawapend saan jaman nachek kam chiz
Wa 48 like zangu tu
Duuuh nikuja kumpasua mtuna lungu mm 🤣🤣🤣
Jamani tuendeleeni no 2
Kama kawa
Fantastic
More than comedy
Hongereni jmn tamu km nanii😊
Laki sita ahhh.. Sijazowea nipunguzie
😄😄😄😂.. Danke alle für machen mir spaß.. Ich bin glücklich geboren tanzania.. 🇹🇿 Hamburg +255
Asanteni na wewe kwa kutufurahisha!!!!!!!!🙏
Nawapend sana nyie watu watatu Nna CD zenu Kama zote
Please from USA 🇺🇸 we need part 2 man why y’all take so long to bring part 2 this movie is funny and good 👍🏾👍🏾🟩💚
Soon
Gongaa tena mbwaa we😂😂😂
I can see ,, so funny
Kma umeiskia nyota ya mbwa gong like twende sawa
😂😂😂😂😂😂😂yaani mecheka wallah tin wewe siyo mzima duh
Movies nzuri sana
Makn xan hii muvi
imeenda shule
Masufuria na wali😁😁😁
Its good
I am security code,protector and.commandor of this house.the show is starting😂
Nimecherewa lkn xo mby
Hellow
😂😂😂😂😂nimeanza kucheka kabla mzigo ujachanganya