Jinsi Ya kupika haluwa
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 20 ก.ย. 2024
- Upishi wa Haluwa
4 cups of Tapioca flour 500g
5 cups of white sugar 970g
1 cup of white sugar 196g
4 cups of brown sugar 500g
21/2 spoon of ground cardamom
2 tsp of ground nutmeg
11/2 gram saffron ( zafarani)
Measure 7 cups of water or 1700ml
2 cups of ghee 500ml
3 cups of cooking oil 750ml
Rose water 250ml
Sesames ( ufuta)seed unakisia
Korosho optional
Pistachio optional
Almond optional
Step 1
Unguza 1 cup of sugar hadi iwe brown kabisa
Step 2
Add 5 cups of water slowly usitie yote kwa pamoja tia kidogo kidogo na huku unakoroga ukiweka yote pamoja haluwa yako inaweza ikafanya madonge.
Utaweka Brown sugar na sukari iliyobaki katika sufuria yako
Tia Hiliki, zafarani na kungu manga
Wacha maji yako yachemke
Step 3
Chukuwa frying pan yako weka ufuta uweke kwenye moto acha upate moto kidogo then weka pembeni.
Step 4
chukuwa bakuli lako safi weke unga wako wa haluwa Tapioca
Tia maji 2 cups uliyoyabakisha
Changanya vizuri unga uchanganyike na maji vizuri then weka rose water .
Maji yakishachemka sasa mimina mchanganyiko wako
Anza kukoroga kidogo kidogo hadi utaona inaanza kujishika
Step 5
Weka samli 2 cups
Unaendelea kusonga hadi ishikane barabar
Weka ufuta.
Endelea kuisonga haluwa yako
Ikifika dakika 45min tia kikombe cha mafuta
Engelea kuisomga
Weka tena kikombe cha mafuta songa
Unasonga kwa muda wa 1hr na 15min then unatia kikombe chako cha mwisho cha mafuta unasonga kwa dakika 10 min
Chukuwa sahani yako ya kaure tia haluwa yako
Juu ipambe kwa lozi, pistachio ukipenda
Enjoy 😉
Masha Allah
Asante usichoke kutuangalia
Masha Allah Tabaaraqa Rrahmaan.
Mashaallah Mashaallah tabarakallah Allah akuepushe na hasad kipenzi wa mie ❤❤❤
Ameen
MashaAllah
Maa shaa Allah
Sante
Mashallah
Shukran sana kwa kutujalii
ShoukrA mbn halwa hanukie hiliki tia
Shukran Ila nadhani hujaiona hiliki❤kwenye kisosi hapo na sio hiliki tu inayosababisha haluwa kuwa na harufu nzuri hata rose water, nutmeg, zafaran na brown sugar hivi ni viungo muhimu kwenye halua, hope umenifahamu na utaitizama tena video hii kwa umakini. Asante sana kwa comment yako.
A alaykum habibty wng naomba maelekezo unga uza wapi
Waalaykumusalam warahmatullah wewe uko nchi gani ? Kama uko uk nunuwa online more cheap kuliko dukani.
Kama uko TZ tafuta unga wa Uwanga.
Ahsante naomba no yko
Shukran
Nicheck, FB or Instagram nitakupa numba in sha Allah , jina ni Millah kitchen
Mashaallah habibty wng shoukra naomba masiliano
@@hajiwaseif2825 nitafute instergram kwa jina hili sawa!
Shukran xn habibty maji sukari mchemsha mda gani
Salaam Aleyku kutumiashukar kwaupishi ya halwa nauliza badali ya unga uliyotua naweza corn Flour
Unaweza my dear , ila wa mahindi Uko mwepesi sana so jaribu kupunguza mafuta 👍
شكرا حبيبتي الله عفيك ❤
Unga wa muogo huo
Tapioca nadhani ni muhogo yer.
Huo Unga sijaujuwa
Tapioca