SWALI KWA NDACHA: UTAWEZA KUWA MSIMAMIZI WA IMANI YA YESU WAKATI WEWE SI MKRISTO?-MAJIBU

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 17 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 43

  • @ayububikitila3521
    @ayububikitila3521 3 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana mwalimu wangu DANIEL MWANKEMWA, Ndacha siyo msabato wala mKristo ni Ndacha tu.

    • @StellahGirgis
      @StellahGirgis 2 หลายเดือนก่อน

      Mkristo ni nani na msabato ni nani? Mbona mna mambo ya kijinga

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  2 หลายเดือนก่อน

      ​@@StellahGirgisMkristo ni yule aanayekiri kwamba Yesu Alikufa na Kufufuka. Na siku ile ya Sabato iliyofuatia kusulubuwa kwake Wakristo (Mitume wa Yesu) hawakwenda hata kwenye ibada ya Sabato bali walijifungia ndani (Yoh 20:19)
      Wasabato ni wale ambao ile siku Yesu aliposulubiwa wao walikuwa busy na maandalio ya Sabato kwa sababu habari za Yesu kusulubiwa hazikuwahusu.
      Yohana 19:31
      [31]Basi Wayahudi, kwa sababu ni Maandalio, miili isikae juu ya misalaba siku ya sabato, (maana sabato ile ilikuwa siku kubwa), walimwomba Pilato miguu yao ivunjwe, wakaondolewe.

  • @waithirahnaomy1573
    @waithirahnaomy1573 2 หลายเดือนก่อน

    Safii sana mwalimu mungu akupe neema ya kuelimishaa

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka2697 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hapo KW utatu hapana hakuna utatu, kusema Kwa jina la Baba , mwana na roho mtakatifu, utatu ni kusema mungu Baba, mungu mwana,mungu roho, hakuna utatu Kwa bibilia

  • @stephenkaingu8790
    @stephenkaingu8790 2 หลายเดือนก่อน +2

    Ndacha ni mshindanii lengo lake ni kushinda tu sikuelewa

  • @JESUSISLO891
    @JESUSISLO891 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha anachokitaka ni ajulikane kuwa ana mafungu mengi kichwani ila hata shetani anayajua sipendi mafundisho yake ya kulazimisha mtu aamini anachokiamini kioa kitu anafikiri anakijua

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 3 หลายเดือนก่อน

    Ni kweli Ndacha anataka awe msimamizi wa Imani, ndiyo maana anashurutisha Mwalimu Chaka aseme kama ameuacha Usabato ama la maana yeye Ndacha alimuacha Chaka akiwa ni msabato. Anataka kila mtu afuate kile anaamini yeye Ndacha. Lakini ana udhaifu mkubwa na kutotambua timeline ya Mungu, nyakati mbalimbali na majira mbalimbali Mungu alifanya nini, aliongeza nini, alipunguza nini, alibadilisha nini na kwa wakati gani, Ndacha hana elimu hiyo, kwamba Mungu ni WA majira na nyakati.

  • @stevenmwakimi3731
    @stevenmwakimi3731 2 หลายเดือนก่อน +1

    Tupo chini ya Neema ya Mungu.

    • @StellahGirgis
      @StellahGirgis 2 หลายเดือนก่อน

      Neema gani ambayo inaruhusu kuvunja amri moja, si hata kuzini useme ilishaga ondolewa ni mnafundisha matapiko.

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  2 หลายเดือนก่อน

      ​@@StellahGirgisYaani wewe unamkosoa Yesu alipoinukuu hiyo amri ya Usini, halafy akasema ...lakini mimi ni awaambia kila atazamaye mwanamke kwa kumtamani amekwisha kuzini naye moyoni."
      Mabadiliko haya aliyoyafanya Yesu, wewe huyataki, unataka ingebaki tu ile ile USIZINI?

    • @stevenmwakimi3731
      @stevenmwakimi3731 2 หลายเดือนก่อน

      @@StellahGirgis Ndipo yesu akawafunulia akili ili wapate kuelewa na maandiko.

  • @petermutuku1289
    @petermutuku1289 2 หลายเดือนก่อน +1

    Dasha anajichanganya. Anataka kujua ni amri zipi abraamu alishika. Mwabie Mungu alimwabia aashe nchi ya baba zake, aende kwenye Mungu alimuagiza kwenda.Je hiyo si amri? Pili Mungu alimuagiza kumtoa mwanawe kafara.Je iyo nayo si amri? Tatu, Mungu alimuagiza aashe mtoto na amshije kondoo. Je iyo nayo si amri? Mungu alimuagiza amwashilie ajira na isimaeli waondoke.Je iyo nayo si amri? Bona nyingi tu na hasiko ndani ya amri kumi? Tukisema tutaje zote hatuwezi maliza.

  • @BartolomeuHenrique-mx1fn
    @BartolomeuHenrique-mx1fn 3 หลายเดือนก่อน +1

    Ndacha kubali kujadiliana li kuweka vírus vya Mungu sasa,kama vile mwl Dani anavyokueleza

  • @peteryona3018
    @peteryona3018 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @Janemutakale
    @Janemutakale 2 หลายเดือนก่อน

    Ata Yesu Kristo wayahudi walimuelewa ivyo unaona akitafuta faida anafata Biblia wewe elewa ivyo Mungu atawapa ufahamu tuendelee safari ni ndefu na Yesu yuacha

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 2 หลายเดือนก่อน

    Mwl mwakemwa sabato siyo ya wayahudi ni ya Mungu mwenyewe na Yesu alifia mosaic laws pale msalabani siyo amri kumi🎉

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  2 หลายเดือนก่อน

      @@amedesamki425
      Soma Hosea 2:11 Je kati ya vitakavyokomeshwa Sabato imo au haimo? Na je Sabato ni za Musa au za Mungu?
      Ezekieli 20:24
      [24]kwa sababu hawakuzitekeleza hukumu zangu, bali walizikataa amri zangu, nao walizitia unajisi sabato zangu, na macho yao yaliandama vinyago vya baba zao.

  • @mwoso
    @mwoso 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu alianzisha sabato kwa wanadamu sio tu kwa wana wa Israeli peke yao. Marko 2:27 inasema, ‘sabato iliwekwa kwa faida ya mwanadamu

  • @franquefrank5951
    @franquefrank5951 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe Ndiye Huelewi Biblia. Na Kama Unaelewa Basi Una Kichwa Ngumu Na Hutaki Kuacha Imani Yako Potovu Na Ufuate Ukweli Wa Biblia.
    Unawezaje Kutupilia Mbali Amri Ya Nne Na Si Amri Zingine. Eti Yesu Alimaliza Amri Ya Nne. Mbona Hakumaliza Zile Zingine?
    Halafu Unasema Yesu Ni Mungu Mwenyewe. Eti Kuna Miungu Watatu Na Wote Wanatengeneza Mungu Mmoja.
    Sikiza Mzee; Yesu ni Mwana Wa Mungu Aliye Na Uungu.
    Hoja Hii Ya Ndani Ndio Huelewi Wewe. Nakuombea Sana Mungu Akusaidie Kutokana Na Nyororo Ya Shetani Aliyekufunga Kwenye Imani Potovu, Na Akupe Roho Na Hekima Ya Kuelewa, Kukubali Na Kufuata Ukweli Wa Biblia - Roho Wa Mungu.

  • @PauloMaona-in4qh
    @PauloMaona-in4qh 2 หลายเดือนก่อน +1

    huyu ndacha amepotoka zaidi kwenye unabii wa daniel na ufunuo kikubwa hana uweza wa roho mtakatifu ndacha anahitaji msaada wa roho mtakatifu tumuombee sana

  • @DAVIDMAGHANGA
    @DAVIDMAGHANGA 2 หลายเดือนก่อน

    Umenielimisha

  • @chestitmoses1268
    @chestitmoses1268 2 หลายเดือนก่อน

    Kwa hakika Daniel Mafundisho yako ni ya upotovu

  • @themessage3508
    @themessage3508 3 หลายเดือนก่อน

    ELIMU YAKO NDOGO SANA KWANZA UNAMSINGIZIA UWONGO. CHAKUFANYA TOKA KWA UWANJA MJADILI HAYO

  • @mwoso
    @mwoso 2 หลายเดือนก่อน

    Mwankemwa, je, ni nani aliyekuwa wa kwanza kuanzisha sabato na kuibariki iwe siku ya mapumziko na kuabudu?

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  2 หลายเดือนก่อน

      Mungu ndiye aliyewaanzishia Wana wa Israel Sabato ili wapumzike kwa sababu Aliwatoa toka utumwani (Kumb 5:14-15). Mungu hakuwahi kuwa na Sabato ika Yeye Alistarehe kwa sababu kazi yote ya uumbaji ilikwisha kamilika (Mwanzo 2:1-3) Ndiyo maana huoni tena Mungu Akiendelea na Uumbaji.

  • @dadamuebrania1539
    @dadamuebrania1539 2 หลายเดือนก่อน

    Ooh kumbe kuna " Mwalimu wa Kikristo Daniel Mwankemwa...." Na Mwalimu wa Kisabato Ndacha 😮 Kwahiyo ni vita Ile ile ya Wanafinzi wa YESU na Mafarisayo WAYAHUDI😢

  • @juliuskalama2746
    @juliuskalama2746 2 หลายเดือนก่อน

    Mimi ninavyomwona mwalimu ndacha kama hatamshirikisha Roho mtakatifu anashindwa kuendelea hivi karibuni na sikitambo kabisa

  • @BarakaAkech-r9q
    @BarakaAkech-r9q 2 หลายเดือนก่อน

    Wewe auna elimu yakumfundisha ndacha elimu yako ni ndogo sana

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo9798 2 หลายเดือนก่อน

    Madhehebu yanapotosha maandiko

  • @jimmymatheka2697
    @jimmymatheka2697 2 หลายเดือนก่อน

    Sabato ni amri ya nne sawa Sawa na amri zingine

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb 2 หลายเดือนก่อน

    Huyu mwalimu maneno mengi porojo Hana nukuu mm namuelewa ndacha

  • @christophersimwinga6689
    @christophersimwinga6689 2 หลายเดือนก่อน

    Leo umeniongezea ufahamu kumbe hawa sio wasabato mi nilijua tu kuwa sio wakristo kumbe tena sio wasabato ni sawasawa kabisa

  • @FellaMbogela
    @FellaMbogela 2 หลายเดือนก่อน

    Yesu mwenyewe alipinga sabato sio mara moja kabisa, wanzinzi walipigwa mawe Yesu alikataa,jino kwa jino Yesu samehe 7×70 , sabato aliponya wagonjwa, n. k

    • @StellahGirgis
      @StellahGirgis 2 หลายเดือนก่อน

      Kwa andiko lipi

  • @thepowerofchristministry1918
    @thepowerofchristministry1918 2 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu Bwana asifiwe ninahakika swala la utatu sio fundisho la kweli ktk biblia na nimeomba mara kadhaa tuongee hilo kwa lengo jema, Utatu sio Ukristo ubatizo nikwajina la Yesu kristo,baba sio jina mwana sio jina,Mungu anatumia jina moja tu sikiliza mayo nilio kutumia tusijifiche kwenye kiebrania kiyunani na kadhalika.ndacha anayo makosa nawewe unayo makosa makubwa tu.

    • @BAYYINATDMTV
      @BAYYINATDMTV  2 หลายเดือนก่อน

      Uko tayari lini tulijadili kuhusu Utatu? Nijulishe!

  • @mwoso
    @mwoso 2 หลายเดือนก่อน

    Tertullian alikua mwandishi wakwanza kuanzisha doctrine ya utatu. Hata hivyo wakristo wa kwanza enzi hizo za 150-160 AD walikua na tazwishi na hio doctrine. Si wote walikubaliana na Hilo swala.

  • @gastokonzo9798
    @gastokonzo9798 2 หลายเดือนก่อน

    Mwalimu elimu yako bado sana wewe ni mpingaji wa maandiko na amri za Mungu lakini mwalimu mwenzako ajawai pinga Biblia wewe una maelezo mengi wakati Biblia inajitafsili yenyewe

  • @JoviniFaida-uj5qb
    @JoviniFaida-uj5qb 2 หลายเดือนก่อน

    mimi namuelewa ndacha huyu mwakemwa mengi ni porojo Hana nukuu