Sasa biblia mbona ina migongano huyo yesu ndio mungu mkuu mara ya yeye ana mungu wake na aliabudu na kumuomba sasa wakristo bado hamuelewi uvivu wa kuabudu unawafanya walazimishe ukristo dini wanaambiana ukimuamini yesu kama mwokozi wa maisha yako umepata uzima wa milele hata usipofanya ibada yesu amekufa kwa dhambi zako 😅 ukristo haiwezi kuwa dini ya mungu abadani
Allah amuongeze nguvu amulide ampe afya dawa iendelee Allahamdhullah barikiweni sana sana
Allah ampe afya elimu hekma na amani
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuhu... Maa Shaa Allah...hapo Hassan Kariuki ...hiyo ni knockout,,,umemfinya mno huyo waakwitu... Allah awahifadhi
MashaaAllah tabarakah Rahman
Ustath A.K kiboko cha wakiristo.
Asalaam alaikum warahmatul-Lahi wabarakaatuhu... Hii mafunzo yoote bado wakristo hawaelewi ama tu wanakataa pepo. Subhanal-Lah, Allah awaongoze
Sawa
Sasa biblia mbona ina migongano huyo yesu ndio mungu mkuu mara ya yeye ana mungu wake na aliabudu na kumuomba sasa wakristo bado hamuelewi uvivu wa kuabudu unawafanya walazimishe ukristo dini wanaambiana ukimuamini yesu kama mwokozi wa maisha yako umepata uzima wa milele hata usipofanya ibada yesu amekufa kwa dhambi zako 😅 ukristo haiwezi kuwa dini ya mungu abadani